logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mwanamke ‘Aliyejiteka’ Afungwa Miezi 8 Jela

Mahakama ya Makadara iliyopo Nairobi nchini Kenya, imemhukumu kifungo cha miezi nane gerezani mwanamke Mary Ambeza baada ya kumkuta na hatia ya kudanganya kwamba ametekwa nyara na watu wasiojulika . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

AUAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA KAKA YAKE,

Mwanafunzi wa darasa la 7 shule ya msingi Mwenge manispaa ya Morogoro Faidhati Ibrahim Gadafi (13 )ameuawa kwa kukatwa na mapanga na kaka yake anayetambulika kwa jina la Shomari Malima mtoto wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mvua kubwa zasababisha vifo vya watu 94 huko Brazil

Watu 94 wamefariki dunia kufuatia mvua kubwa iliyonyesha kwenye mji wa mlimani wa Petropolis nchini Brazil. Mvua hizo zilizoanza kunyesha siku ya Jumanne zimesababisha maporomoko ya udongo yaliyof . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Mwalimu Aliyebaka Wanafunzi 13, Kutunga Mimba 8 Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela.

Mwalimu mmoja wa dini nchini Indonesia, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kuwabaka wanafunzi 13 wa kike.Herry Wirawan, ambaye alikuwa mmiliki na mwalimu wa dini ya Kiislamu katika shule hiyo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Rais wa zamani wa Honduras Juan akamatwa na polisi

Rais wa zamani wa Honduras Juan Orlando Hernandez amekamatwa na polisi nyumbani kwake kufuatia ombi la Marekani la kutaka kiongozi huyo apelekwa nchini humo kwa makosa yanayohusiana na biashara ya . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Maelezo yaibuka kuhusu mauaji ya msichana kutoka Somalia aliyeuwa na mwanamme kutoka Iraq kwa sababu ya mapenzi

Maelezo zaidi yanaibuka kutokana na mauaji ya msichana wa Kisomali aitwaye Dahabo Omar huko Malaysia siku ya Jumapili.Kuna taarifa mbalimbali kwamba mkimbizi wa Iraqi nchini Malaysia aliyekuwa akifany . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Waandamanaji wawili wauawa na polisi wa Sudan wakati wa maandamano

Maafisa wa usalama wa Sudan wamewaua kwa risasi waandamanaji wawili walipokuwa wanajaribu kuwatawanya maelfu ya waadamanaji, kwa kutumia gesi ya kutoa machozi kwenye mji mkuu wa Khartoum pamoja . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Vilio zaidi kwa polisi, wawili wakidaiwa kufariki kwa kipigo Moro, Tabora

Madai ya watuhumiwa kufariki dunia wakiwa mikononi mwa polisi au baada ya kipigo cha askari hao yameendelea kujitokeza safari hii yakiibuka katika mikoa ya Tabora na Morogoro.Katika matukio hayo . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Mwalimu akamatwa kwa madai ya kumpiga mtoto viboko hadi kufa

Mwalimu wa shule amekamatwa nchini Nigeria kwa madai ya kumpiga mwanafunzi wa miezi 19 hadi kufa, polisi wanasema.Mwalimu huyo katika shule ya msingi ya Asaba, jimbo la Delta, alidaiwa kuacha alama . . .

Mauaji
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Ajiua Chumbani kwa Mpenzi Wake Baada ya Kufukua Kaburi la Mama Yake

Mkazi wa Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi Wille Mwakapimba amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwa mpenzi wake Hawa Ayubu na kuacha ujumbe ulioandikwa kuwa alisikia ujumbe wa sauti . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 13, 2022

Mtuhumiwa wa mauaji akamatwa Morogoro akiwa na simu ya Marehemu

Polisi mkoani Njombe wamemkamata Ndugu Daniel Mwilango Mtuhumiwa wa mauaji ya Nickson Myamba (48) aliyekuwa katibu wa baraza la walei kanisa la Roman Katoliki kigango cha Parokia ya Makambako ya . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

Kumpachika Mkeo Mimba na Kunywa Dawa ni Dhambi, Pasta Aonya.

 humu duniani hapakosi vituko. Pasta mmoja wa kuhubiri mitaani amewashtua wengi na mahubiri yake tatanishi kuwa waume wanao wapachika mimba wake zao wanatenda dhambi.Vile vile pasta huyo amewaony . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

Papa Benedict aomba msamaha, akubali makosa ya unyasaji wa kijinsia

Aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki na kujiuzulu mwaka 2013, Papa Benedict amekiri makosa yalitokea katika kushughulikia kesi za unyanyasaji wa kijinsia alipokuwa Askofu Mkuu wa Munich, na kuomb . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Kijiji Ambacho Wakaazi Hulala Kwenye Miti Licha ya Kuwa na Nyumba

    Wakaazi wa kijiji cha Malelei Kaunti ya Lamu sasa wanalazimika kulala kwa miti licha ya kuwa na nyumba zao.Wakaazi wa kijiji hicho ambacho kinapatikana katika wadi ya Witu wanalazim . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Mwanamume Akamatwa kwa Kuweka Kamera za Siri katika Vyumba vya Wanawake Vya Kuoga.

    Mwanamume mmoja amekamatwa baada ya kamera za siri kupatikana katika vyumba vya wanawake vya kuoga    Haijulikani kamera hizo zimekuwa katika vyumba hivyo kwa muda ga . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

Watu 26 wafariki kutokana na radi Congo

Watu 26 wamefariki dunia Jumatano baada radi kupiga katika waya inayobeba umeme mwingi katika vitongoji vya mji mkuu wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, na kuangukia nyumba na soko s . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Watu 25 wauwa na umeme sokoni Kinshasa

Taarifa za hivi punde zinaarifu kuwa watu wasiopungua 25 wamekufa katika mjini mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa, baada ya waya wenye kiwango cha juu cha nguvu ya umeme kukatika n . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Maporomoko ya udongo yaua 14 Ecuador

Watu wasiopungua 14 wamekufa na wengine 32 wamejeruhiwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea usiku wa kuamkia kaskazini mwa mji mkuu wa Ecuador, Quito. Ofisi ya msaada wa dharura nchini Ecuador ndi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanafunzi Apokezwa Kichapo cha Mbwa kwa Kula Chapati ya Mwalimu Mkuu .

Mwanafunzi wa Shule ya Gremon Education Center eneo la Bamburi, kaunti ya Mombasa anauguza majeraha mabaya katika Hospitali ya Rufaa ya Coast General baada ya kudaiwa kupewa  kichapo cha mbwa na . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu Tisa (9) Wanashikiliwa Na Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mwanza Kwa Tuhuma Za Mauaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu wanne ambao:- 1.Robert Daud, miaka 42, mume wa mganga, mkazi wa katunguru, 2. Sylivester Renetus, Miaka 30, Mkazi wa katunguru, 3. Ryabakamba S . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu zaidi ya 20 washikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji Kilindi Mkoani Tanga

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema kamwe Jeshi hilo alitavumilia vitendo vya kujichukulia sheria mkononi vinayofanywa na baadhi ya watu wa jamii ya wakulima na kifugaji ambap . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Boris hataki kutoa majibu mahsusi kutoingilia uchunguzi wa polisi

Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic Raab amesema waziri mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson, hawezi kutoa majibu kamili juu ya dhifa kadhaa zilizofanyika kwenye ofisi yake ya Mtaa wa Downing wakat . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Waandishi wawili wa habari wakamatwa na Taliban

Waandishi wawili wa habari wanaofanya kazi na kituo binafsi cha televisheni nchini Afghanistan wamekamatwa na maafisa wa kundi la Taliban kwenye mji mkuu Kabul kwa sababu ambazo hazijulikani. Wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

MLIMBWENDE AFARIKI BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA GHOROFANI

Aliyewahi kushika taji la Miss USA Cheslie Kryst amefariki siku ya Jumapili akiwa na umri wa miaka 30 baada ya kuruka kutoka katika jengo refu huko Manhattan, New york.Polisi pamoja na familia . . .

Kurasa 54 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode