logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
UTALII
  • Na Asha Business
  • August 17, 2022

MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA PHILIP MPANGO AKABIDHI MALORI TANAPA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Philip Mpango amewasili Hifadhi ya Taifa Mikumi mkoani Morogoro leo kwenye hafla ya kukabidhi Malori maalum kwa TANAPA yatakayotumika k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 17, 2022

Tanesco kuzima mfumo wa ununuzi Luku siku nne

Wananchi hawataweza kununua umeme kwa njia ya Luku kwa siku nne, Agosti 22 - 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi kutokana na matengenezo kwenye kanzidata ya mfumo wa Luku. Meneja Mwan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Shaka Anatarajiwa Kukagua Miradi ya Serikali.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amewasili mkoani Tabora kwa ziara ya siku tano kuanzia tarehe 16-20 Agosti, 2022 yenye lengo la kuimarisha uhai wa chama, . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Raila Odinga Kuhutubia Taifa Leo Adhuhuri Baada ya Rais Kutangazwa.

Kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja one Kenya Raila Odinga ametangaza kuhutubia taifa leo, Jumanne, Agosti 16.Mgombea huyo wa mara tano wa urais atahutubia taifa saa chache baada ya mgombea urais . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Japan yaadhimisha miaka 77 tangu tukio la Hiroshima na Nagasaki

Waziri mkuu wa Japan Fumio Kishida Jumatatu amesisitiza ahadi yake  ya kutoingia vitani wakati wa  katika  hafla iliyojawa na huzuni , ya kuadhimisha  miaka 77 tangu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Maafisa watatu wa Liberia wawekewa vikwazo na Marekani

Wizara ya fedha ya Marekani Jumatatu imesema kwamba Marekani imeweka vikwazo kwa maafisa watatu wa serikali ya Liberia akiwemo kiongozi wa utawala kwenye serikali ya rais George Weah.Hatua hiyo ni kut . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Wabunge wa Marekani wakutana na rais wa Taiwan na kuichukiza China

Ujumbe wa Wabunge watano wa Marekani umekutana leo na Rais wa Taiwan Tsai Ing-Wen mjini Taipei na kuzua hasira ya China, ikiwa ni wiki mbili tu baada ya ziara ya Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelos . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Mikusanyiko ya kidini yalaumiwa kwa kuenea kwa Surua Zimbabwe

Wizara ya afya ya Zimbabwe imesema Jumapili kwamba mlipuko wa Surua umeua watoto 80 nchini humo tangu Aprili, wakati ikidai  mikusanyiko ya kidini imesababisha kuongezeka kwa maambukizi.Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Taliban yatangaza Jumatatu kuwa siku kuu ya kitaifa

Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umetangaza lJumatatu kuwa siku kuu ya kitaifa ya kuandhimisha mwaka mmoja tangu kuchukua tena madaraka kutoka kwa serikali iliyokuwa ikiungwa mkono kimataifa , wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Wajackoyah, Wahiga watinga Bomas

Wagombea urais, George Wajackoyah kutoka Chama cha Roots na David Waihiga leo, Jumatatu Agosti 15, 2022 wameingia katika ukumbi wa Bomas unaotumiwa na Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) ya Kenya na kuhakiki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Utawala wa Taliban waelezwa kuminya uhuru wa wanawake na wasichana

Umoja wa Ulaya umesema mamlaka ya Taliban "imekiuka na kudhulumu kwa kiwango kikubwa haki za wanawake na wasichana wa Afghanistan." Hayo yamo katika taarifa ya msemaji wa umoja huo kwa masuala ya kima . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Iran imempandisha kizimbani mgombea Tajzadeh

Vyombo vya habari nchini Iran vimeripoti kwamba, Iran imemfungulia mashtaka mwanasiasa mwanamageuzi Mostafa Tajzadeh, ambaye aliwahi kufungwa na pia kukamatwa tena mwezi uliopita akituhumiwa kuhujumu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2022

Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

Ni Agosti 14, 202 Benki ya CRDB imefanya Marathon huku mgeni rasmi alikuwa ni Makamu wa Rais Dr Philip Isdor Mpango huku kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali akiwemo Rais Mstaafu Kikwete, Naibu Spika Mu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Venezuela na Colombia zipo katika jitihada ya kurejesha mahusiano

Mataifa ya Venezulea na Colombia kila moja, limeteuwa balozi wake kuyawakilisha katika miji mikuu ya mataifa hayo kwa kujenga upya uhusiano baina ya mataifa hayo mawili, ambao ulivunjika miaka mitatu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

RAIS SAMIA SULUHU AMEWEKA JIWE LA MSINGI LA UKARABATI NA UPANUZI WA UWANJA WA NDEGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa. Hafla ya uwekaji wa Jiwe . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 12, 2022

Ugonjwa wa ajabu waitesa familia Babati

 Utadhani unatazama filamu ya kutisha; hivyo ndivyo unavyoweza kusema unapofika Kijiji cha Imbilili Juu, Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoa wa Manyara na kukutana na familia ya Helena Hungoli (60) . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 11, 2022

Muqtada al-Sadr atoa wito kwa mahakama kuvunja Bunge

Muqtada al-Sadr anaendelea na mapambano yake na wapinzani wake wa kisiasa nchini Iraq. Mhubiri huyo wa Kishia anatoa wito wa kuvunjwa kwa Bunge, miezi kumi tu baada ya kuchaguliwa kwake. Kwa siku kumi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Rais Samia akataa ombi la kuipandisha hadhi Mbalizi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake haina mpango wa kukata maeneo kwa kuyapandisha hadhi, badala yake wanajielekeza kwenye utatuzi wa shida za wananchi hapa nchini.Rais Samia a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Amnesty International yasema Ukraine yahatarisha maisha ya raia

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu lililo na makao yake mjini London Amnesty International, limesema kuwa vikosi vya Ukraine vinakiuka sheria za kimataifa na kuhatarisha raia kwa kuweka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

TCRA yawapiga msasa waandishi wa TV za Mtandao, kupewa pesa ili kuziimarisha

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema inaangalia mpango wa kuzipa kipaumbele na kuziwezesha kiuchumi runinga za mtandaoni kupitia mfuko wa Media fund ambao upo chini Wizara ya Habari.Hayo yames . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

WATOTO WAKAMATWA WAKIFUNGA NDOA

 Mzazi aliyepokea mahari ya kumuoza binti wa miaka 15 ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Sekondari ya Makang’wa, ametemeshwa tonge mdomoni.Ng’ombe wanne na mbuzi kati ya sita ha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2022

Serikali ya mpito ya Sudan Kusini kubaki madarakani kwa miaka miwili zaidi

Viongozi wa  Sudan Kusini Alhamisi wamesema kwamba serikali itabaki madarakani kwa miaka miwili zaidi, ili kukamilisha mageuzi ya kisiasa, kiusalama na uchaguzi, yanayohitajika ili kusogeza . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Jeshi la Polisi limemkamata mtu mmoja tuhuma mauaji ya Mwanafunzi wa Chuo UDSM

Jeshi la Polisi Kanda Maal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Biden asaini amri ya kulinda haki ya kutowa mimba

Rais Joe Biden wa Marekani amesaini amri inayolenga kulinda haki ya kutowa mimba. Uamuzi huo ni kujibu uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Juu kufuta haki ya kikatiba ya kuavya mimba nchini hum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2022

Ndege ya kijeshi ya China yaingia anga la Taiwan

Taiwan imesema imetuma ndege mbili kuziteka ndege za kivita za China karibu na kisiwa hicho chenye utawala wake wenyewe. Taipei imesema ndege 22 kati ya 27 za China zilivuuka mstari wa Lango Bahar . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Yemen zaongoza muda wa kusitisha mapigano kwa miezi mingine miwili

Umoja wa Mataifa umesema pande hasimu kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen zimekubaliana kuongeza muda wa mkataba wao wa amani kwa miezi mingine miwili. Awali, serikali inayofadhiliwa na S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Marekani yaongeza vikwazo kwa watu mashuhuri wa Russia

Marekani Jumanne imeongeza vikwazo vipya, vikilenga watu mashuhuri wa Russia akiemo mwanamke aliyewahi kushiriki kwenye michezo ya Olimpiki ya gymnastics Alina Kabaeva.Kabaeva mwenye umri wa miaka 39, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Ofisi ya mwendesha mashitaka yamchunguza aliyekuwa rais Enrique Peña Nieto

Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Mexico imesema Jumanne kuwa inamchunguza Enrique Peña Nieto, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya mwaka 2012 na 2018. Anashukiwa kwa uhalifu ikiwa ni pamoja na kujitajirish . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Pelosi awasili Taiwan licha ya onyo la China

Licha ya vitisho kutoka Beijing, Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi, amewasili kwenye kisiwa cha Taiwan. China ilionya kuwa ingelichukuwa hatua kali endapo Pelosi angeliitembelea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

China yalalamikia vikali ziara ya Pelosi, Taiwan

China Jumanne imelalamikia  balozi wa Marekani mjini Beijing Nicholas Burns, kutokana na ziara ya spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi kwenye kisiwa cha Taiwan kulingana na chombo cha hab . . .

Kurasa 91 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 14 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 14 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode