logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Serikali yakabidhi magari sita kwa jeshi la Zimamoto

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekabidhi Magari pamoja na Vifaa vya Uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na na Uokozi Mkoani humo na akatumia wasaa huo kuishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Mafunzo ya Polisi ya DPA yafungwa rasmi leo

Mkuu wa Chuo cha Taaluma Ya Polisi Dar es Salaam Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dkt. Lazoro B. Mambosasa, amewataka maofisa wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ba . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

12 wakamatwa kwa kufanya vurugu Tarime

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwakamata watu 12 ambao ni waendesha pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda katika Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya mkoani Mara baada ya kufanya fujo na kufunga barabara ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Waliopoteza vitambulisho kupigia kura leseni

wapiga kura waliopoteza kadi za kupigia kura, Anamary amesema wanaweza kutumia pasi zao za kusafiria, au leseni ya udereva.Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Uyole ya Mbeya Mjini Mkoani Mbeya Anamary Jose . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Wakulima wa Zabibu watakiwa kuwa mabalozi wa mafunzo ya kukuza ujuzi

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Zuhura Yunus amewataka wakulima Wadogo na wasindikaji wa zao la Zabibu kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya ili kukuza uj . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 21, 2025

SERIKALI YATOA BIL 24.4 UKARABATI MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA PWANI

Serikali imetoa shilingi Bilioni 24.4 kwa ajili ya kufanya ukarabati mkubwa wa Barabara na madaraja mkoani Pwani katika maeno Sita yaliyoathirika na mvua za El- Nino zilizonyesha Aprili 2024.Akizungum . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Hukumu rufaa ya Nyundo na wenzake kusomwa leo

Awali hukumu ya rufaa hiyo ilipangwa kutolewa Septemba 25, 2025, kabla ya kuahirishwa kutokana na sababu za dharura.Hukumu ya kesi ya rufaa iliyokatwa na Clinton Damas maarufu 'Nyundo' na wenzake wata . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

DCEA yakamata kilo 10,783.94 za dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kati ya mwezi Septemba na Oktoba 2025, imekamata jumla ya kilogramu 10,783.94 za aina mbalimbali za dawa za kulevya.Mamlaka ya Kudhibiti na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Maaskofu wa Camerun Watoa wito kwa utulivu wakati upinzani ukitangaza ushindi wa uchaguzi

Kanisa Katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini Cameroon limetoa wito wa utulivu huku kukiwa na hofu ya kutokea machafuko wakati nchi hiyo ikisubiri matokeo rasmi ya uchaguzi wa urais wa Oktoba 12.Mgomb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

DRC na Rwanda kukutana Washington

Wajumbe kutoka DRC na Rwanda wanatarajia kukutana kuanzia leo Oktoba 21 na kesho Jumatano Oktoba 22 mjini Washington kwa kikao cha tatu cha mfumo wa pamoja wa kuratibu usalama. Lengo ni kuendeleza mak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Rais wa zamani wa Ufaransa Sarkozy anaanza kutumikia kifungo cha miaka mitano jela

Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy atawekwa rumande leo Jumanne. Ataanza kifungo cha miaka mitano jela kwa kula njama ya kukusanya fedha za kampeni nchini Libya. Ni pigo kubwa kwa kiongozi huy . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Zelensky kushiriki katika mkutano kati ya Putin naTrump 'ikiwa ataalikwa'

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kukutana na Vladimir Putin na Donald Trump mjini Budapest iwapo ataalikwa kwenye mkutano kati ya viongozi wa Urusi na Marekani. Mkutano huu, ulio . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 20, 2025

Odinga atunukiwa kuwa "Chief of the Order of the Golden Heart"

Rais wa Kenya William Ruto amemtunuku aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo hayati Raila Odinga heshima ya juu zaidi kwa raia Chief of the Order of the Golden Heart (CGH) ikiwa ni siku moja baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 20, 2025

WANANCHI MKOANI GEITA WAHAKIKISHIWA ULINZI NA USALAMA KABLA, WAKATI NA BAADA YA UPIGAJI KURA

Vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Geita vimeendelea kuimarisha ulinzi na usalama ili kuhakikisha amani, usalama na utulivu kabla, wakati na baada ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Ndege ya Emirates EK9788 ilikuwa ikiwasili kutoka Dubai mwendo wa 03:50 saa za ndani ilipoacha njia na kugongana na gari la doria la uwanja wa ndege.

Ndege ya Emirates EK9788 ilikuwa ikiwasili kutoka Dubai mwendo wa 03:50 saa za ndani ilipoacha njia na kugongana na gari la doria la uwanja wa ndege.Watu wawili wamefariki baada ya ndege ya mizigo ain . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Kiongozi wa upinzani Moïse Katumbi anathibitisha kujitolea kwake kwa mazungumzo jumuishi DRC

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Ensemble pour la République, Moïse Katumbi, anathibitisha kujitolea kwake kwa mazungumzo jumuishi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ametoa ujumbe huu k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Mgonjwa wa mwisho wa Ebola aondoka katika kituo cha matibabu cha Bulape

Mgonjwa wa mwisho wa Ebola aliyelazwa katika kituo cha matibabu cha Bulape katika Mkoa wa Kasai, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ametangazwa kuwa amepona na kuruhusiwa kuondoka kituoni hapo s . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 17, 2025

Tanzania yashiriki Kongamano la Tano la Biashara na Uchumi kati ya Uturuki - Afrika, Istanbu

Tanzania imeshiriki Kongamano la Tano la Biashara na Uchumi kati ya Uturuki na Afrika (5th Türkey - Africa Business and Economic Forum) ambalo limefunguliwa Oktoba 16 mwaka huu  jijini Istanbul . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 17, 2025

Dkt. Mpango Amwakilisha Rais Samia katika Mkutano wa Dharura wa Asasi ya Siasa Ulinzi na Usalama ya SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Philip Mpango ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

Wataalamu wa Uturuki waenda Gaza kusaidia kutafuta miili

Uturuki imewatuma wataalamu kadhaa wa uokozi kwenda Ukanda wa Gaza kulisaidia kundi la Hamas kuitafuta miili ya mateka wa Israel ambao inaaminika imefunikwa na vifusi vya majengo yaliyoporomoshwa kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

Papa Leo XIV "Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi"

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ameikosoa dunia kwa kushindwa kuzuia mamilioni ya watu kufa kwa njaa.Papa amesema kuruhusu binaadamu wengine wafe kwa njaa ni kushindwa kwa pamoja . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Ashiriki Mkutano Wa Dharura Wa Wakuu Wa Nchi Wa SADC Kuhusu Hali Ya Usalama Madagascar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

John Bolton, mshauri wa usalama wa kitaifa wa Donald Trump, akabiliwa na mashtaka 18

Aliyekuwa mshauri wa usalama wa taifa wa Donald Trump anakabiliwa na mashtaka 18 yanayohusiana na kumiliki na kufichua nyaraka za siri wakati wa muhula wake wa kwanza. John Bolton, ambaye amekuwa mkos . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 17, 2025

Wanne wauawa kufuatia vurugu wakati wa kuagwa mwili wa Raila Odinga

Watu wanne waliuawa katika mji mkuu wa Kenya Nairobi siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na vitoa machozi kutawanya umati mkubwa wa watu katika uwanja wa michezo ambapo mwili . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

WANAWAKE VIJIJINI WAHIMIZWA KUENDELEZA MIFUMO ENDELEVU YA CHAKULA

Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Chakula Duniani Oktoba 15 mwaka huu yameendelea kwa shamrashamra mbalimbali mkoani Tanga huku Wananchi na Wadau wa Maendeleo na Taasisi za Kilimo wakijumuika kushereh . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA KILIMO NA USALAMA WA CHAKULA NCHINI

Serikali imedhamiria kuimarisha elimu ya kilimo kwa kuwa ni nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto za usalama wa chakula na mabadiliko ya tabianchi na suala la ajira kwa vijana.Amesema hayo Kat . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

Wananchi songwe wahakikishiwa uwepo wa mawasiliano ya uhakika

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla amesema Serikali imejipanga kuhakikisha watanzania wote hususan wanaoishi vijijini na maeneo ya mipakani wanapa . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

Sekta ya utalii yajiimarisha kisheria katika usimamizi wa biashara nchini

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Idara ya Utalii imeendelea kujiimarisha kisheria kwa kuwajengea uwezo Maafisa wake kupitia mafunzo maalum kuhusu Sheria na Kanuni za Usimamizi wa Biashara za Utal . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

NAIBU WAZIRI CHUMI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA NAM

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi ameongoza ujumbe wa Tanzania unaoshiriki Mkutano wa 19 wa Kati wa Mawaziri wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote ( . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 16, 2025

RC MTANDA AZINDUA BODI YA NANE YA YA MAJI BONDE LA ZIWA VICTORIA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameitaka bodi mpya ya Bonde la ziwa Victoria kusimamia menejimenti ya bonde la ziwa hilo ili iwajibike ipasavyo katika kulinda rasilimali maji kwa manufaa ya vi . . .

Kurasa 4 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode