Mtu mmoja mkazi wa jiji la Dar es Salaam, Shaban Adam (54), anashikiliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini – DCEA, akituhumiwa kutengeneza dawa za kulevya.Adam alikamatw . . .
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za watoto la KidsRights limesema haki za watoto zinazidi kumomonyoka kutokana kuongezeka ka migogoro ya silaha duniani kote, ikiwa ni pamoja na vita vya Gaza, Suda . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Dokta Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuwaacha wengine waendelee kujifunza, kwani muda wao wa kuendesha dola . . .
Kikosi cha pili cha maafisa wa polisi 200 kutoka Kenya kiliwasili nchini Haiti Jumanne kuimarisha ujumbe unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambao unaongozwa na taifa hilo la Afrika Mashariki kupamban . . .
Mwili wa rais wa zamani wa Burundi Pierre Buyoya, aliyefariki kutokana na UVIKO-19 mnamo mwezi Desemba 2020 huko Paris, ambako alikuwa amewasili tu kwa matibabu, na kuzikwa awali huko Bamako nchini Ma . . .
Wabunge wa Gambia Jumatatu waliidhinisha marufuku ya mwaka 2015 dhidi ya ukeketaji licha ya shinikizo kutoka watu wenye mila za kidini katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, wakitupilia mbali mswada hu . . .
RAIS William Ruto amekemea wakfu wa Ford Foundation akiihusisha na vurugu zilizoshuhudiwa nchini wakati wa maandamano yaliyopinga Mswada wa Fedha wa 2024 na jinsi utawala wa Kenya Kwanza unaendesha se . . .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Wananchi kutunza mazingira na kuweka haiba ya mji kuwa safi.Dkt. Mwinyi ameyasema hayo hii leo leo Julai 15, 20 . . .
Kundi la wanamgambo wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza la Hamas, limesema mazungumzo kuhusu usitishaji mapigano yanaendelea na Kamanda wake wa kijeshi Mohammed Deif yuko katika hali nzuri kiafya.Taa . . .
Rais wa Marekani Joe Biden Jumapili amehutubia taifa akiwa katika ofisi yake ya White House akiwataka Wamarekani kupunguza uhasama wa kisiasa na kukumbuka kuwa wote ni majirani baada ya jaribio la mau . . .
Afisa wa ngazi ya juu kutoka Hamas, kundi la wanamgambo wa Kiislamu linalochukuliwa kuwa ni kundi la kigaidi na Umoja wa Ulaya, amezungumza Leo siku ya Jumapili kuhusu uamuzi wa kundi hilo la kusitish . . .
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amejeruhiwa usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2024 wakati akihutubia mkutano wa hadhara mjini Butler, Pennsylvania.Trump, ambaye ni mgombea urais mtarajiwa kwa tik . . .
Wapiga kura milioni 60 wameitwa kupiga kura. Raia wa Iran watachagua kati ya mwanamageuzi Massoud Pezeshkian na Saïd Jalili ambaye ni mhafidhina mwenye msimamo mkali. Katika duru ya kwanza, kiwango c . . .
Polisi wa serikali kuu ya Brazil wamemfungulia mashtaka Rais wa zamani Jair Bolsonaro kwa utakatishaji wa fedha na ushirika wa uhalifu kuhusiana na almasi ambazo hazikutangazwa.Kiongozi huyo wa mrengo . . .
Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio Jumanne alitia saini sheria inayopiga marufuku ndoa za utotoni katika nchi ambako maelfu ya wasichana wanaolewa kabla ya kufikisha miaka 18.“Wanawake wetu wamep . . .
Tanzania inauza mahindi tani 650,000 nchini Zambia ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa kufuatia mazungumzo kati ya Rais Samia Suluhu na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema Aprili 26, 2024 . . .
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) akichukua nafasi ya Dkt. Selemani Jafo ambaye amet . . .
Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Robert Lukumay Mkazi wa kijiji cha Olgililai katika kata Ya kiutu Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anadaiwa kuonekana baada ya kufariki na kuzikwa May 31,2024 nakuzik . . .
Tume ya Umoja wa Mataifa nchini DRC, MONUSCO, inafunga rasmi ofisi yake leo Jumanne, Juni 25, huko Bukavu katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi.Bi Bintou Keita, mkuu wa ujumbe wa Umoja w . . .
Mali imewafunga jela wapinzani 10 wa serikali ya kijeshi, wakiwemo viongozi wa upinzani kwa kuomba nchi kurejeshwa chini ya utawala wa kiraia, mawakili wao waliiambia AFP Jumatatu.Mawakili wamesema wa . . .
Kiambu - Aliyekuwa Jaji Mkuu Willy Mutunga ameungana na wanaharakati kutetea haki za waandamanaji waliotekwa nyara. Rais huyo wa zamani wa Idara ya Mahakama alionyesha hasira yake kutokana na kuo . . .
Maelfu ya wanawake waliingia barabarani katika miji ya Ufaransa, Jumapili kupinga maandamano ya kiongozi wa mrengo wa kulia Marine Le Pen, huku kura za maoni zikionyesha kuwa chama hicho kinaweza kush . . .
Ikiwa Tanga ndiyo kinara wa waraibu wa dawa za kulevya kwa hapa nchini serikali wilayani humo imesema ipo macho kuwachukulia hatua wale wote ambao wanajihusisha na uingizaji wa dawa za kulevya na kuia . . .
Mkataba mpya wa kujihami kati ya Russia na Korea Kaskazini unadhihirisha kuimarika kwa mshikamano kati ya mataifa ya kimabavu na inasisitiza umuhimu wa mataifa ya kidemokrasia kuonyesha umoja katika v . . .
Wakufunzi kadhaa wa jeshi la Russia waliwasili nchini Burkina Faso kufuatia shambulio la wanajihadi kaskazini mwa nchi hiyo, vyanzo vilisema Jumanne.Baada ya kuchukua madaraka mwezi Septemba mwaka 202 . . .
Watu kadhaa wamekusanyika mbele ya Bunge la Kenya leo Jumanne kupinga rasimu ya bajeti ya mwaka 2024-2025 ambayo inatoa kodi mpya, huku polisi wakitumia gesi ya kutoa machozi na kukamata angalau watu . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunji . . .
Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kuwasili mjini Pyongyang leo Jumanne katika ziara nadra ambayo inaweza kupelekea kusainiwa “mkataba wa ushirikiano wa kimkakati,” kulingana na maafisa wa . . .
Jeshi la Israel linafanya mashambulizi makali kusini mwa Ukanda wa Gaza baada ya vifo vya wanajeshi wanane wa Israel katika mlipuko wa gari la kubeba wanajeshi huko Rafah siku ya Jumamosi Juni 15. Hil . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Lindi imemhukumu Mohamed Said Selemani mwenye umri wa miaka 62 mkazi wa kijiji cha Ng'apa wilaya ya Lindi, kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumlawiti mt . . .