logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Putin, Macron na Zelensky wajadili mgogoro wa eneo la mashariki ya Ukraine

Ikulu ya rais wa Ufaransa ya Élysée imetangaza kuwa, baada ya kuzungumza na Rais Vladimir Putin wa Russia, rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron amezungumza kwa njia ya simu pia na mwenzake wa Ukr . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Tanzania Bara, Zanzibar Kutekeleza Kwa Pamoja Anwani Za Makazi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa pamoja zinashirikiana kutekeleza mfumo wa anwani za makazi nchini kwenye mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Za . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Malkia Elizabeth aambukizwa virusi vya Corona.

Malkia Elizabeth wa Uingereza amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona hii leo. Kasri la Buckingham limesema, Malkia ana dalili za kawaida kama za mafua. Kasri hilo limesema kwamba kion . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Spika Justin Muturi Aanika Familia yake Mara ya Kwanza.

Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kwa mara ya kwanza, ametambulisha familia yake kwa Wakenya akielekea kutawazwa mgombeaji wa urais wa chama cha Democratic Party katika Ukumbi wa Bomas of KenyaM . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Moses Kuria Ataka Livondo Akamatwe kwa Kudai Kulikuwa na Njama ya Kumuua Uhuru.

Mbunge wa Gatundu Kusini, Moses Kuria amejitenga na madai ya mwanasiasa Stanley Livondo kwamba kulikuwa na njama ya kuangamiza maisha ya Rais Uhuru KenyattaAkizungumza katika sherehe ya Kuria kutoa sh . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

DP Ruto " Ataendelea Kujipigia Debe kwa Ufanisi wa Miradi ya Serikali ya Jubilee."

Naibu Rais William Ruto anasema kuwa ataendelea kujipigia debe kwa ufanisi wa miradi mbalimbali ya serikali ya Jubilee katika miaka kumi ya uongozi wao.Akijibu tuhuma za wapinzani wake wa kisiasa kuwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Wakenya Wazindua Kampeni Mitandaoni Wakitaka Serikali Ipunguze Bei ya Chakula.

Sehemu ya Wakenya wenye hamaki wametumia mitandao ya kijamii kupinga bei ghali ya bidhaa muhimu.Katika siku za hivi majuzi, Wakenya wamelazimika kujifinya zaidi kumudu bei ya vyakula.Kupitia alama ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Putin na Biden wakubaliana kufanya mkutano wa kilele kuhusu Ukraine

Rais Joe Biden wa Marekani na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wamekubaliana umuhimu wa kufanyika kutano wa kilele kuhusu Ukraine, ambao unaweza kufanyika tu endapo Urusi haitaivamia Ukraine.Kwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Ethiopia yaanza kuzalisha umeme katika bwawa la mto Nile

Bwawa lenye utata la Ethiopia kwenye mto wa Nile lilianza kuzalisha umeme kwa mara ya kwanza Jumapili, kulingana na runinga ya serikali. Bwawa hilo lenye thamani ya $4.2bn (£3.8bn), lililoko m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Akamatwa kwa kuoa wanawake 17

Polisi katika jimbo la Bhubaneshwar nchini India wamemkamata mwanaume anayedaiwa kuwalaghai wanawake 17 kwa kujifanya daktari na wakati mwingine hata afisa mkuu wa afya. Ramesh Chandra Swai . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Juhudi za kidiplomasia zaendelea

Urusi imesema inaendelea kuviondoa vifaru na magari mengine ya kivita kutoka kwenye maeneo ya karibu na mipaka ya Ukraine, baada ya kumaliza luteka za kijeshi zilizoibua wasiwasi mkubwa kwa mata . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Waasi wa Ukraine wadai kushambuliwa na wanajeshi wa serikali

Waasi wanaoiunga mkono na Urusi nchini Ukraine wamevituhumu vikosi vya serikali kwamba vimeshambulia kwa makombora kijiji kimoja hii leo. Tuhuma hizo zimetolewa wakati vyombo vya habari vya Urusi . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Wafahamu wanawake watano Afghanistan waliokataa kunyamazishwa

Ni theluji tu. Wakati baridi likiwapiga idadi kubwa ya watu wa Afghanistan wenye njaa, theluji yenye muonekano wa binadamu inaonekana inaleta furaha kwenye kona moja ndogo ya mji wa Kabul.Kundi . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

IGP Sirro afunguka sakata la Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema haikuwa kazi rahisi kuchunguza, kuwakamata na kufikishwa kortini maofisa saba wa jeshi hilo mkoani Mtwara kwa tuhuma za kumuua mfanyabias . . .

Dini
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Makamu wa kwanza wa Rais akiongoza waumini wa Kiislamu katika Hauli ya Maalim Seif

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, jana ameongoza Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, waumini wa Kiislam na wananchi mbali mbali katika Hauli ya kumkumbuka na kum . . .

siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Rais Dkt. Mwinyi atengua uteuzi wa Kamishna wa Mapato Z'bar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali, ili kupisha uchunguzi wa kina w . . .

UTALII
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Tumepokea Kauli Ya Wakazi Wa Ngorongoro

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepokea kauli ya wakazi wa Ngorongoro kwamba wako tayari kupokea maelekezo ya Serikali na kushirikiana pamoja katika kuulinda utalii na uhifadhi wa . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Wizara Ya Afya Yapokea Vifaa Vya Tehama Vyenye Thamani Zaidi Ya Mil. 105

Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea vifaa vya Tehama na machapisho vyenye thamani zaidi ya Mil. 105 kwa ajili ya kusambazwa kwenye vituo vya Afya ili kuboresha huduma za ufuatiliaji na udhi . . .

Hali ya hewa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

TMA- KUTAKUWA NA MVUA ZA MASIKA ZA KUTOSHA KWA MACHI HADI MEI

 MAMLAKA ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua za kutosha kwa msimu wa Mvua za  Masika wa Machi hadi Mei, 2022 kwa mikoa inayopata mvua mara mbili kwa mwaka.Mku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Mkuu wa Umoja wa Mataifa apinga unyanyasaji unaofanywa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Katika ripoti yake ya hivi punde iliyowasilishwa mbele ya Baraza la Usalama, Antonio Guterres amevinyooshea kidole cha lawama vikosi vya usalama na jeshi nchini Jamhuri ya Af . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Wachunguzi wadai mshairi aliyetoweka Innocent Bahati aliondoka kuelekea Uganda

Mamlaka ya Rwanda imetangaza hitimisho la kwanza la uchunguzi wake kuhusu kutoweka kwa mshairi Innocent Bahati, ambaye familia yake haijasikia habari zake kwa mwaka mmoja. Ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

DRC kukabiliwa na janga la njaa.

Mzozo wa kibinadamu bado unaendelea kutatanisha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Umoja Mataifa, mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na mamlaka wanatangaza kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

WFP yasema eneo la Sahel barani Afrika linakabiliwa na njaa

Shirika la mpango wa chakula Duniani la Umoja wa Mataifa linasema eneo la sahel barani Afrika linakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula ambao haujawahi kushuhudiwa unaosababishwa na kupanda . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Mwanamke wa kwanza Duniani aponywa UKIMWI

Mwanamke wa kwanza Duniani amefanikiwa kuponywa na ugonjwa wa Ukimwi kwa kupandikizwa seli shina katika mwili wake ambaye alikuwa anaugua saratani ya damu. Mwanamke huyo alipandikizwa seli . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

RC Makalla hakuna shule iliyouzwa Kurasini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amemaliza hali ya taharuki juu ya uvumi wa taarifa zilizodaiwa kuwa eneo la Shule ya Sekondari Kurasini linauzwa kwa Mwekezaji ambapo amethibitisha kuwa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Uandikishwaji wanafunzi wa awali wafikia 92%

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), imetekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan la uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mkutano wa kilele baina ya AU na EU waanza mjini Brussels

Viongozi wa Umoja wa Afrika na wa Umoja wa Ulaya wanakutana mjini Brussels kwa mazungumzo ya siku mbili kuanzia leo, wakiazimia kuimarisha ushirikiano, huku Ulaya ikiahidi uwekezaji mkubwa barani . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Hutawahi Chaguliwa Tena baadhi ya wagombea wa kenya

Mwanaharakati wa kuwatetea wafanyakazi Francis Atwoli amemkashifu Seneta wa Kakamega Cleophas Malala kwa madai ya kutomheshimu licha ya kuchukua jukumu muhimu katika taaluma yake ya kisiasa. Katibu Mk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

“TANESCO ina mtaji hasi wa uendeshaji” PIC

aarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2021 imeeleza kuwa taarifa za kifedha za shirika la umeme Tanzania (TANESCO) za Mwaka 2 . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Makamu wa rais wa Kenya ajitetea kuhusu ukosefu wa ngombe DR Congo

Naibu rais wa Kenya amejitetea baada ya kuibua hasira katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na matamshi yake ya awali yaliyoashiria kuwa hakuna ngombe nchini humo.William Ruto alise . . .

Kurasa 114 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 10 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 10 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode