logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2024

AFCON 2023 – Afrika Kusini ina kibarua kwa Nigeria

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ‘AFCON 2023’ imefikia Nusu Fainali ambako Nigeria itaivaa Afrika Kusini saa 2:00 usiku na wenyeji Ivory Coast dhidi ya Jamhuri . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 2, 2024

Toko Ekambi astaafu Cameroon

Mshambuliaji Karl Toko Ekambi ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Cameroon baada ya kuondoshwa katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Afcon 2023 na Nige . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • February 1, 2024

LEWIS HAMILTON KUONDOKA NYUMBANI “MERCEDES”

Lewis Hamilton kuondoka Mercedes na kujiunga na Ferrari kwa msimu wa Formula 1 wa 2025 Lewis Hamilton atajiunga na Ferrari mwaka ujao na kuchukua nafasi ya Carlos Sainz k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2024

Wachezaji Watano Simba Waugua Ugonjwa wa Red Eyes

KOCHA Mkuu wa Simba Abdalhek Benchikha ameahirisha mapumziko aliyowapa mastaa wa timu hiyo waliokuwa Taifa Stars, baada ya wachezaji watano aliokuwa nao mazoezini kupatwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 31, 2024

Regragui " Sikusema Morocco inawawakilisha Waarabu"

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Morocco ‘ Simba wa Milima ya Atlas’ Walid Regragui amesema kikosi chake hakikucheza kwa kujituma katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora dhid . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 31, 2024

Mali Wafika Robo Fainali kwa Mara ya Kwanza Baada ya Miaka 10 Kwa Kuichapa Burkina Faso

Mali iliifunga Burkina Faso mabao 2-1 na kujihakikishia nafasi ya kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika. Mapema katika vipindi vyote viwili, Mali wal . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 30, 2024

Taifa Stars yapongezwa AFCON 2023

Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wachezaji, Benchi la Ufundi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kazi kubwa waliyoifanya kwenye Fainali za Mataifa ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 29, 2024

Maigizo mpya yamuibua kocha Benchikha

Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema usajili ambao wameufanya unakwenda kurudisha makombe ambayo waliyapoteza katika katika kipindi cha msimu miwili."Tumean . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 26, 2024

Real Madrid kinara wa mapato duniani

Real Madrid imetajwa kuwa klabu ya soka iliyoingiza mapato ya juu zaidi duniani kwa msimu wa 2022/23 kwa mujibu wa Deloitte Sports Business Group, ikichukua nafasi ya Man . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 26, 2024

Straika wa Mabao Arudi Cameroon

Maombi ya Taifa la Cameroon yamejibiwa, huyu mwamba aliiua Brazil na akafanya mabalaa pale Qatar akitokea benchi, ndio ni Vicent Aboubacar.Ni top Striker Barani Afrika kw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 25, 2024

Msuva Afunguka AFCON Kumsaidia Kupata Timu ya Saudi Arabia ya Al Najmah FC

staa wa soka wa Tanzania Simon Msuva amesema Kombe la Mataifa ya Afrika ( AFCON) imemuwezesha kupata Timu ya Saudi Arabia ya Al Najmah FC ya Ligi daraja la kwanza ambayo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 23, 2024

Wafungaji Bora wa AFCON 2024

Kwa vile michuano ya hivi punde zaidi ya Kombe la Mataifa ya Afrika ilianza wikendi iliyopita, hebu tuchochee hamu yako kwa kutafakari Wafungaji Bora wa AFCON. Mashi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 22, 2024

Kocha Senegal yupo salama

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Senegal, Aliou Cisse alipata matatizo ya kiafya, akawahishwa hospitalini kufuatia ushindi dhidi Cameroon, lakini sasa anaendelea vyema baad . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 19, 2024

Wapya Simba SC wapewa masharti mazito

Imefahamika kuwa wachezaji wapya wote wa kigeni waliosajiliwa katika dirisha dogo la msimu huu wamepewa mikataba migumu ya miezi sita yenye masharti mazito ya kuichezea t . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Onana afafanua picha aliopigwa AFCON 2023

Mlinda Lango chaguo la kwanza katika kikosi cha Cameroon, Andre Onana ameweka wazi kuwa kocha wake, Rigobert Song alimwambia wazi kama atacheza mchezo wa Premier League d . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 16, 2024

EFA yawaangushia lawama wachezaji

Shirikisho la Soka Misri ‘EFA’ limewatupia lawama wachezaji wa timu ya taifa ya nchi hiyo ‘The Pharaoh’ baada ya timu hiyo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Msumb . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Jordan Henderson aanzisha vita Ulaya

Klabu ya Ajax ina matumaini makubwa ya kuipata saini ya kiungo wa Al Etifaq, Jordan Henderson kwa mkopo wa nusu msimu licha ya kuwepo kwa upinzani kutoka Juventus na Etif . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Bondia Kidunda kusaini kimya kimya

Imefahamika kuwa Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania, Seleman Kidunda kesho Jumanne (Januari 16) anatarajia kusaini mkataba wa pambano la kimataifa la kuwania mkan . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 11, 2024

Mataikun wa Saudi Arabia washtuka

Matajiri wa Saudi Arabian, AL Etifaq hawana mpango wa kumuuza kiungo wao raia wa England, Jordan Henderson mwenye umri wa miaka 33, dirisha hili la Januari.Taarifa hii in . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 9, 2024

Arteta: Arsenal tunajitafuta upya

MICHEZOArteta: Arsenal tunajitafuta upya39 mins agoKocha Mkuu wa Arsenal Mikel Arteta amefichua kwamba, klabu hiyo inahitaji kutuliza akili zaidi katika kipindi hiki kufu . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • January 8, 2024

Hatimaye Bondoa Mwakinyo Kupanda Ulingoni Tena, Atazichapa na Bondoa Huyu

Bondia Hassan Mwakinyo ( @hassanmwakinyojr ) amesema Shirikisho la Mchezo wa Ngumi Duniani (WBO) limeridhia kwamba pambano lake la January 27,2024 New Amaan Complex Zanzi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 8, 2024

Justine Ndikumnana aondoka Coastal Union

Klabu ya Coastal Union imeachana na Mlinda Lango wake Justine Ndikumnana, raia wa Burundi ambaye amekuwa mchezaji wa nane kuachwa ndani ya timu hiyo kwenye dirisha hili l . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 5, 2024

Mbappe"Siijui hatma yangu PSG"

Mshambuliaji wa Klabu Bingwa nchini Ufaransa Paris St-Germain, Kylian Mbappe bado amesema hajafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake.Mkataba wa nahodha huyo wa Ufaransa mwe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 5, 2024

Eng Hersi Uso Kwa Uso na Mbappe na Bosi Wake Ufaransa

Rais wa Klabu ya Young Africans SC na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Afrika, Eng Hersi Said amekutana na Rais wa Klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa na Mwenyekiti wa Vi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Wawili kuongeza nguvu Dodoma Jiji FC

Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Francis Baraza amesema dirisha hili la usajili anatarajia kuimarisha kikosi chake kwa kufanya usajili wa wachezaji wawili kwenye eneo la ushamb . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Tunatumia akili kubwa, mtatuelewa

Uongozi wa Young Africans umeweka wazi kuwa usajili ambao wanafanya kwenye timu hiyo ni wa akili kubwa ukiwa na malengo ya kuongeza uimara kwenye timu hiyo.Young Africans . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 1, 2024

Yanga Yamtambulisha Augustine Okrah

Yanga SC wamemtambulisha nyota kutoka Ghana, Augustine Okrah kama mchezaji wao mpya wakimsajili katika dirisha hili dogo.Okrah aliwahi kuitumikia Simba kabla ya kurejea k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 29, 2023

Yanga na Msuva Mambo Safi, Kumtangaza Rasmi Mapinduzi Cup

Hatima ya winga wa Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars), Simon Msuva, kurejea katika klabu yake ya zamani ya Yanga huenda ikajulikana kwenye mashindano ya Kombe la Mapindu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 29, 2023

Diarra, Bacca, Kibabage kuwania tuzo ya mchezaji Bora wa Mwezi Yanga

Majina ya wachezaji watatu wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Yanga kwa Mwezi Desemba, yamewekwa hadharani.Wachezaji wanaowania tuzo hiyo inayotolewa na Shirika la Bima . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 28, 2023

Man City kufungua pochi kwa Echeverri

Mabingwa wa Soka Duniani, Klabu ya Manchester City wanakaribia kufikia makubaliano ya kumsajili chipukizi Claudio Echeverri kutoka River Plate ya Argentina, kwa mujibu wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 27, 2023

Maxime afunguka killichomng’oa Kagera Sugar

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema ushindani kwenye Ligi Kuu msimu huu ndio chanzo cha makocha wengi kufukuzwa kazi.Maxime alifutwa kazi juma lili . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • December 27, 2023

Bondia Kiduku Ampiga Bondia Sebyala Kutoka Uganda

Bondia Mtanzania Twaha Kiduku ameshinda dhidi ya Bondia wa Uganda, Mohamed Sebyala katika mchezo uliopigwa Jijini Dar es salaam usiku huu.Twaha kiduku ameshinda pambano h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 27, 2023

Rais Mwinyi mgeni rasmi Kili Stars Vs ZNZ Heroes

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa kirafiki wa timu ya soka ya Tanzania Bara dhidi ya . . .

Kurasa 8 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • MAJALIWA MGENI RASMI SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

    • 8 masaa yaliopita
  • DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA

    • 9 masaa yaliopita
  • WANAWAKE VIJIJINI WAHIMIZWA KUENDELEZA MIFUMO ENDELEVU YA CHAKULA

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode