Manchester United wamepata dili kubwa zaidi la jezi katika historia ya Premier League baada ya kutangaza ushirikiano mpya wa miaka 10 na adidas wenye thamani ya pauni mil . . .
Kocha Mkuu wa Chelsea Mauricio Pochettino anaendelea kukijenga kikosi chake, huku taarifa zikieleza kuwa amejipanga kumsajili Axel Disasi akitokea AS Monaco ya Ufaransa.C . . .
Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili mshambuliaji Hafiz Konkoni kutoka klabu ya Bechem United inayoshiriki ligi kuu nchini Ghana.Konkoni (23) raia wa Ghana ambaye aliku . . .
Kiungo kutoka nchini Brazil Fábio Henrique Tavares ‘Fabinho’ ameachwa katika kikosi cha Liverpool ambacho kipo Singapore kwa ajili ya ziara ya maandalizi ya msimu mp . . .
Mtanzania Omar Abbas Mvungi aliyekuwa anakipiga MFK Vyskov, amejiunga na FC Nantes ya Ufaransa.Mvungi aliyekulia kwenye kituo cha Cambiasso anakuwa mchezaji wa Kwanza Mta . . .
Rwanda ilianza kampeni ya Kundi IV ya Kombe la Davis Cup Afrika kwa njia nzuri baada ya kuwalaza Msumbiji katika mechi za ufunguzi za Kundi B za michuano hiyo iliyofungul . . .
UONGOZI wa Yanga, umekamilisha taratibu za usajili wa mshambuliaji Emmanuel Mahop Dikongue kutoka Cameroon ambaye sifa zake zinafafana na Mkongomani, Fiston Mayele.Yanga . . .
Uongozi wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris Saint-Germain umempa ruhusa Mshambuliaji Kylian Mbappe kuzungumza na Al Hilal baada ya klabu hiyo ya Saudi Arabia kutuma . . .
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wamesema wanatarajia kukipiga mnada kibegi cha jezi ambacho kilipanda Mlima Kilimanjaro kwa jili ya uzinduzi wa jezi za msimu mpya wa 2023-2 . . .
Klabu ya Paris St-Germain imelaumiwa kwa unyanyasaji wa kimaadili baada ya kumuacha Kylian Mbappe katika ziara ya maandalizi Asia huku Umoja wa Wanasoka wa Ufaransa ukise . . .
Manchester United wamekamilisha usajili wa mlinda mlango Andre Onana kutoka Inter Milan kwa kima cha pauni milioni 47.2m.Mchezaji huyo wa kimataifa wa Cameroon mwenye umr . . .
Mabingwa wa Soka nchini Ujerumani FC Bayern Munich wameweka wazi msimamo wao kuhusu kiungo wa kati Joshua Kimmich, haujabadilika na hawana nia ya kumwacha aondoke katika . . .
Matajiri wenye Jiji lao wasiokuwa na mbamba @azamfc leo wanatarajia kuzindua jezi zao mpya kwaajili ya msimu wa 2023/24.Wauza lambalamba na Waoka Mikate hao wa @azamfc wa . . .
Nahodha wa Australia Sam Kerr ameondolewa kwenye mechi mbili za kwanza za mwenyeji wa Kombe la Dunia ambazo ni pamoja na pambano dhidi ya Super Falcons ya Nigeria.Nyota h . . .
Klabu ya Chelsea ina mpango wa kuwasilisha ofa mpya Brighton ya zaidi Pauni 70 milioni ili kuipata huduma ya kiungo wa timu hiyo, Moises Caicedo dirisha hili.Taarifa zina . . .
Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania Bara Young Africans umeweka wazi kuwa kazi ipo msimu mpya wa 2023/24 kutokana na mipango makini inayosukwa kwenye klabu hiyo.Young Africa . . .
Imefahamika Rasmi Klabu ya Mtibwa Sugar imemwajiri Kocha Mzawa Habibu Kondo kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na anaanza majukumu yake leo Jumanne (Julai 18).Kondo amechukua n . . .
Kundi la pili la wachezaji wa klabu ya @simbasctanzania limeondoka alfajiri ya leo nchini kuelekea Uturuki kuungana na wachezaji wengine ambao tayari wapo huko wakiendele . . .
Uongozi wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani umemshauri nyota wao raia wa Senegal, Sadio Mane kuchunguza chaguzi za uhamisho.Uongozi wa Bayern umethibitisha kwa sasa ha . . .
Timu ya Taifa ya Tanzania (TaifaStars), imepangwa Kundi E katika makundi ya kufuzu Kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia ya mwaka 2026Katika droo iliyochezeshwa leo makund . . .
Wakati vuguvugu la kiungo wa Simba Clatous Chotta Chama likizidi kuchukua nafasi katika midomo ya wapenda soka nchini.Mchambuzi wa Michezo kutoka EFM ametoa kauli inayoon . . .
Klabu ya Arsenal huenda ikapata ahueni kidogo kwenye mkwanja kunasa huduma ya kiungo Declan Rice kwa kuwa kuna kiasi kitarudi kutokana na West Ham United kuhitaji saini y . . .
Beki wa kati ya Timu ya Taifa ya Uganda na Klabu ya SC Villa ya nchini humo, Gift Fred.IMEELEZWA kuwa Yanga imetumia dau la Sh 200Mil kufanikisha usajili wa beki wa kati . . .
Klabu Bingwa nchini England Manchester City imempa ofa ya mkataba mpya beki wa England, Kyle Walker ili kujaribu kumshawishi abaki katika klabu hiyo msimu huu wa majira y . . .
Uongozi wa Ihefu FC umegonga hodi Singida Fountain Gate kwa ajili ya kumpata beki wa kati, Pascal Wawa kwa mkopo utakaomuweka kwenye viunga vya Mbarali hadi msimu ujao.Ih . . .
Mashabiki wa The Gunners ‘Arsenal’ wamewacheka wale wa Chelsea baada ya kufahamika Brighton wanataka zaidi ya Pauni 100 milioni kumuuzaMoises Caicedo.Kiungo huyo wa E . . .
Hizi taarifa zinasambaa nipende kukanusha ni za uongo zipuuzwe mara moja.Sijawai kuwa na mawazo ya kwenda yanga wala kujiunga na yanga tangu niwe mchezaji wa Simba. Naipe . . .
Klabu ya Manchester United imeiambia Inter Milan kwamba iko tayari kutoa Pauni Milioni 40 ili kufanikisha usajili wa Mlinda Lango wao, Andre Onana, kwa mujibu wa ESPN.Maz . . .
MARA baada ya wachezaji wa timu ya Al Hilal kutaka kusitisha mkataba huku wakihusishwa na baadhi ya timu za hapa nchini, mabosi wao wameamua kuwafungulia mashtaka Fifa.Wa . . .
Kipa wa Paris Saint-Germain Sergio Rico yuko nje ya uangalizi maalum, ripoti ya hospitali ilithibitisha Jumatano, huku akiendelea kupata nafuu kutokana na jeraha la kiwew . . .
Wito wa Arsene Wenger kwa mabadiliko katika kanuni za kuotea unaonekana kuwa na matunda, huku shirikisho la soka la dunia, FIFA, likipanga kujaribu mapendekezo mapya.&nbs . . .
Barcelona bado inamlipa Lionel Messi zaidi ya miaka miwili baada ya kuondoka klabuni na itaendelea kufanya hivyo hadi angalau 2025. Katika mahojiano na Cadena SER, L . . .
Kocha wa Ureno Luis Castro anaondoka katika klabu ya Botafogo ya Brazil na kuwa meneja wa timu ya Saudi Pro League ya Al Nassr.Al Nassr alikuwa akitafuta meneja mpya tang . . .