logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2025

Fifa Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Shughuli Zote Za Kisoka

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki ka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 6, 2025

Cristiano azungumzia shauku yake kwa Ronaldo JR

Mshambulizi wa Al Nassr Cristiano Ronaldo amefanya mahojiano na Canal 11, ambapo alisisitiza hamu yake ya kucheza kwenye uwanja sawa na mwanawe, Cristiano Jr. Hata hivyo, . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 28, 2025

Aziz Ki Ageuka Dhahabu Klabu Nne Zataka Saini yake

Inaelezwa kuwa timu nne Barani Afrika Orlando Pirates, MC Alger, Wydad Casablanca na Al Ahly Benghazi zinawinda saini ya kiungo wa Yanga SC, Stephan Aziz K raia wa Burkin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 9, 2025

CAF Yaongeza Fedha Kwa Mshindi wa Kombe la CHAN

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza ongezeko la asilimia 75 kwa atakayebeba Kombe la CHAN ambapo mshindi sasa atapata Dola za Kimarekani Milioni 3.5.CA . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 30, 2024

Manchester City yarejesha matumaini mapya kwa mashabiki

Ushindi wa mabao 3-0 walioupata Manchester City dhidi ya Leicester City umerejesha matumaini ya kikosi cha Pep Guardiola kilichoanzafa vibaya kwa msimu huu. Ushindi huo n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 19, 2024

TFF Yamfungia Miaka Mitano Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha DRFA

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano kujihusisha na mpira wa miguu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 17, 2024

Mtoto wa Mwanamuziki Joh Makini Aitwaye King Mseke Huyoo Manchester City Academy

Mtoto King John Mseke (9) ambaye ni Mtoto wa Msanii Staa wa Hiphop Tanzania Joh Makini ( @JohMakiniTZ ), amewasili katika Academy ya Club ya Manchester City iliyopo Jijin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 12, 2024

Uhispania, Ureno na Morocco Wathibitishwa kuwa Wenyeji kombe la Dunia 2030

Shirikisho la soka Duniani (FIFA) limethibitisha kuipatia Saudi Arabia haki za kuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA la 2034 huku Uhispania, Ureno na Morocco wakit . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 29, 2024

Simba na Yanga Kupanda Ndege Moja Kwenda Algeria

SERIKALI imesema inaangalia uwezakano wa kuwapa Simba na Yanga ndege moja kwa ajili ya kwenda nchini Algeria katika michezo yao ya Kimataifa ya hatua ya makundi ya Ligi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 27, 2024

Mechi sita zilizomfanya Pep kuanza kusitasita Manchester City

BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu ya Kandanda Uingereza (Epl) Manchester City wamejikuta katika hali ambayo hawajazoea miaka ya hivi karibuni.Mechi ya Jumanne ya Kipute cha Klab . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2024

Sababu za FIFA kubadili muundo wa dimba la Kombe la Dunia la Klabu

SHIRIKISHO la Kandanda Duniani (FIFA), lilizindua rasmi muundo mpya wa ‘FIFA Club World Cup’ mnamo Novemba 14, 2024.Shirikisho hili linachukulia hii kuwa hatua kubwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 22, 2024

Kocha Aliyefukuzwa Timu ya Taifa ya Ghana

Mwaka 2019 - Rais wa Shirikisho la Soka Ghana alimfukuza Kazi Kwesi Appiah na rasmi hakua tena kocha wa Ghana. Sababu ya kufukuzwa ilikua kutumia ‘Wachezaji wasiojulika . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 21, 2024

Yanga Kumsajili Mshambuliaji Huyu Kutoka Uganda...Noma na Nusu

YANGA imeanza mikakati ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji katika dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15 mwaka huu ambapo jina la mshambuliaji Bayo Aziz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2024

Lee Carsley awaaga waingereza kwa kishindo akimpa kibarua kizito Tomas Tuchell

Ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Ireland unamfanya  kocha wa mpito  wa Uingereza Lee Carsley kuendelea kufanya vyema katika kibarua chake tangu akabidhiwe kibarua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 15, 2024

KMC FC yamtangaza Kali Mangonga Ongala Kocha mpya

Timu ya KMC imemtangaza kocha kali ongala kuwa kocha mpya wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu wa KMC FC Abdihamid Moalin.Timu ya KMC imemtangaza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Maamuzi ya William Saliba na Matthijs de Ligt yalijadiliwa

Mkuu wa PGMOL Howard Webb anasema beki wa Arsenal William Saliba alitolewa nje kwa kadi nyekundu ipasavyo dhidi ya Bournemouth. Maafisa wa Mechi Mic'd Up pia anazungumzia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 11, 2024

Meneja Uwanja wa Chamazi Complex Matatani

Baada ya YANGA kususia uwanja wa Azam Complex, na kutangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex. CEO wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' aliita kikao cha dharula kwa wafanyakazi w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 10, 2024

SABABU ZA MAN CITY KUSHUKA KWA MSIMU HUU NI HIZI HAPA

1.poor signing of players in two years Huu ni mfano namba Moja ambao mmefeli kwa kwa kiasi kikubwa coz sajili za wachezaji wengi kwa asilimia kubwa hazijalipa.2. Bad . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 5, 2024

Makocha watabiri mchezo mgumu Simba SC VS KMC FC

Makocha wa Simba SC na KMC wameongea na waandishi wa habari kuelekea mchezo utakaoziktanisha timu zao siku ya kesho Novemba 6 kwenye uwanja wa KMC Complex Mweng . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Mmomonyoko Wa Arsenal FC Edu ajiuzulu

Mkurugenzi wa michezo wa Arsenal Mbrazil  Edu Gaspar anatarajiwa kuondoka Arsenal baada ya kuwasilisha barua ya kuacha kazi kwenye Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 1, 2024

Arne Slot "tunayataka makombe yote msimu huu"

Kocha wa Liverpool Arne Slot ameweka wazi kuwa wanayo nafasi ya kushinda ubingwa wa mkombe yote ambayo timu yake inashiriki msimu huu wa 2024-2025. Slot ameyasema hayo al . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 29, 2024

Ruben Amorim anatajwa kuwa Kocha mpya Man United

Kocha huyo anayefundisha Sporting Lisbon ambayo ni Mabingwa watetezi wa ligi ya Ureno na ndiyo vinara wa ligi hiyo msimu huu wa 20245-2025 ikiwa na alama 27, katika miche . . .

news
Kikapu
  • Na Asha Business
  • October 28, 2024

Stephen Curry apata majeraha Warriors ikipoteza

Stephen amewahi kushinda tuzo ya MVP mara mbili  amekuwa na historia ya kuumia kifundo cha mguu wake mara kwa mara   amefunga alama 18 huku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 16, 2024

Thomas Tuchel Apewa Muda Na England

Thomas Tuchel kocha wa zamani wa Chelsea ya England ametangazwa na FA ya nchi hiyo kuwa kocha wao mkuu baada ya Gareth Southgate kujiuzulu mwezi Julai 2024. Kikosi c . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2024

Golikipa Juma Kaseja Kuwa Kocha Kagera Sugar

Baada ya juzi uongozi wa Kagera Sugar kutangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu, Paul Nkata, nyota wa zamani wa Simba na Yanga, Juma Kaseja  . . .

news
Marathoni
  • Na Asha Business
  • October 14, 2024

Ruth Chepngetich amevunja rekodi Chicago Marathon

Ruth Chepngetich ameweka rekodi mpya Chicago marathon siku ya Jumapili Oktoba 13 baada ya kukimbia mbio ndefu kwa masaa mawili dakika 9 na sekunde 57. Chepngetich anakuwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2024

Real Madrid yapania kuibomoa Arsenal 2025

Real Madrid ya Hispania imepania kumsajili mlinzi wa kati wa klabu ya Arsenal raia wa Ufaransa William Saliba ili kuimarisha safu yao ya ulinzi inayomtegemea zaidi Antoni . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2024

Manchester City Yashinda kesi

Klabu ya Manchester City ya Uingereza Oktoba 7, 2024 imeshinda kesi yake dhidi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini humo ya sheria ya matumizi ya fedha iliyokuwa inawahusisha wamil . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2024

Hatima ya Kocha wa MAN United Ten Hag Kuamriwa Leo

Tetesi za usajili barani Ulaya zinasema hatma ya kocha Erik ten Hag katika klabu ya Manchester United itaamuliwa wakati wa mkutano wa timu hiyo leo huku msaidizi wake, Ru . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 4, 2024

Palestina Yaomba FIFA Kuifungia Israel Kujihusisha Katika Mchezo

Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), limetangaza wazi mpango wake wa kushughulikia ombi liliwakilishwa na Palestina kuifungia Israel kujihusisha katika mchezo wa . . .

news
Kikapu
  • Na Asha Business
  • October 1, 2024

Dikembe Mutombo, nyota wa mpira wa kikapu na mchezaji nguli wa NBA afariki

Alikuwa mchezaji nguli wa NBA, na si kwa umbo tu. Dikembe Mutombo, mchezaji nguli wa mpira wa vikapu kwa misimu 18 katika NBA, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 58 s . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 26, 2024

MBAPPE NJE KWA SIKU 21

Klabu ya Real Madrid imetangaza kuwa mshambuliaji wake nyota wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amepata majeraha na atakuwa nje kwa muda wa wiki tatu.Taarifa iliyoto . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 26, 2024

MBAPPE NJE KWA SIKU 21

Klabu ya Real Madrid imetangaza kuwa mshambuliaji wake nyota wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amepata majeraha na atakuwa nje kwa muda wa wiki tatu.Taarifa iliyoto . . .

Kurasa 5 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

    • 14 masaa yaliopita
  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 16 masaa yaliopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode