KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 28 kwa ajili ya kujiwinda na mechi ya kimataifa ya kirafiki d . . .
KIUNGO wa Liverpool Ryan Gravenberch ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa Msimu wa Ligi Kuu England (EPL) 2024-25.Mholanzi huyo amepewa heshima hiyo kutokana na kiw . . .
KATIKA raundi ya 26 ya Ligi Kuu England, Liverpool waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City kwenye dimba la Etihad, kwa mabao ya Mohamed Salah na Domini . . .
BADO ni suala la muda tu kabla ya Matheus Cunha kuwa mchezaji mpya wa Manchester United.Nyota huyo wa Wolves amekubali kujiunga na United na tayari ametoa mwanga wa kijan . . .
Ushindi wa Liverpool waleta balaa nchini Uingereza Jeshi la Polisi Merseyside limesema mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 53 amekamatwa baada ya gari kugonga watembea kw . . .
Klabu ya Simba SC ya Tanzaniaimefanikiwa kushika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/25, baada ya kutoka sa . . .
Kuelekea fainali ya UEFA Europa League hapo kesho Jumatano Mei 21 kwenye Uwanja wa San Mames Marria, Bilbao, Spain, majira ya Saa Nne kamili usiku, klabu ya Man United im . . .
Kutokana na mchezo wa fainali ya kombe la shirikisho Simba Sc Vs Rs Berkans, CAF wahimiza mchezo huo kuchezewa katika uwanja wa New Amani Zanzibar kwa sababu mbalimbali z . . .
Mshambuliaji Marcus Rashford akubali kupunguziwa mshahara wake ili kupewa fursa ya kuhama Manchester United kwenda Barcelona, Mshambulizi wa Manchester United na Mui . . .
Taarifa za majonzi zimeikumba klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wa soka nchini Tanzania baada ya mshambuliaji wao, Prince Mpumelele Dube, kutangaza msiba wa mwanawe mpen . . .
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji mkuu wa Serikali ametembelea na kukagua maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa Benjamin william Mkapa . . .
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally amewatoa hofu mashabiki wa klabu ya Simba kuwa kiungo wao Ellie Mpanzu yupo bado msimbazi kwa msimu mmoja na nu . . .
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Ramadhan Missiru kujihusisha . . .
Kocha Carlo Ancelotti amethibitishwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil kwa mujibu wa shirikisho la soka la Brazil (CBF).Kocha huyo muitaliano ataachana na Real Madrid . . .
Klabu ya Real Madrid inataka kocha Xabi Alonso kuanza majukumu ya kuwa meneja wao mpya mapema ili kukiandaa kikosi hicho kujiandaa na michezo ya kombe la Dunia kwa vilab . . .
Paris Saint-Germain (PSG) wamefuzu kwa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) baada ya kuwatoa Arsenal kwa jumla ya mabao 3-1 katika hatua ya nusu fainali. PSG walishind . . .
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga mechi ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu baina ya Yanga na Simba ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Jumapili Juni 15, 2025.Bodi ya Ligi . . .
Yanga SC imerudishwa kamati ya rufaa ya TFF, CAS wamesema Yanga walitakiwa kuanzia Kamati ya rufaa ya TFF kwa mujibu wa kanuni za TFF, Bodi ya ligi (TPLB) na CAS.CAS wame . . .
Kuelekea mchezo wa marudiano wa CAFCC dhidi ya Simba SC, klabu ya Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini imeonyesha uhakika wa kushunda mchezo na hamasa kubwa mashabiki na . . .
Baada ya ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 wa Singida Black Stars dhidi ya Tabora United, mabadiliko makubwa yameshuhudiwa kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Mchezo . . .
Yanga wanamtaka Fei Toto kuziba pengo la Aziz ki kwenye kikosi Chao. Yanga ambayo ilimuuza kwa nguvu Fei Toto kwenda Azam Fc, nayo imefanikiwa japo kuumaliza mgogoro kati . . .
RAIS wa Klabu ya Yanga Sc na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika [ACA), Eng. Hersi Said (@caamil_88) amepata tuzo kutoka World Football Summit [WFS], ya kuthamini mchang . . .
Viwango vya Ubora Barani Africa CAF Club Ranking 2025 | Mfumo wa viwango vya CAF wa miaka 5 hutumiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuamua idadi ya vilabu ambavyo kil . . .
Simba itamenyana na Al Masry Port Said katika mchujo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Shirikisho Aprili 9. Mchezo utaanza saa 16:00 kwa saa za kwenu.Huku Simba na Al Masry . . .
Kupitia kwenye Jarida la Africa Facts Zone limetoa orodha ya Wachezaji wanaolipwa mkunjwa mrefu zaidi kwa mwaka kwa wachezaji wanaochezea soka la ndani ya Afrika.Katika O . . .
Kylian Mbappe ameifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kufunga magoli 33 katika msimu wake wa kwanza akiwa Real Madrid baada ya kufunga magoli mawili katika ushindi wa 3- . . .
Baada ya golikipa wa timu aya Taifa ya Kenya Harambee Stars Patrick Matasi kusimamishwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo, @hoseamchopa ameongea na nyota wa zamani . . .
Klabu ya AmaZulu FC ya Afrika Kusini imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka DRC, Jean Baleke!Mchezaji huyo amesaini mkataba rasmi baada ya kusafiri hadi . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amepanga kukutana viongozi wa Shirikisho la Soka la nchini (TFF), Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania ( . . .
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Steven Mnguto, amesema tayari wamejibu barua ya Yanga na hawana mamlaka ya kuwazuia kwenda CAS lakini kama wameenda CAS kwa kipindi hiki ambap . . .
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe, amechaguliwa tena kuliongoza Shirikisho hilo kama Rais kwa kipindi cha miaka minne ijayo.Motsepe am . . .
hirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Tanzania Ba . . .
Makamu wa Rais wa Yanga SC, Arafat Haji, ameweka wazi kuwa mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga SC na Simba SC, iliyokuwa imepangwa kufanyika Machi 8, 2025, haitapangiwa . . .