logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 2, 2025

Wachezaji Walioitwa Taifa Stars, Samatta Aomba Kupumzika

KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 28 kwa ajili ya kujiwinda na mechi ya kimataifa ya kirafiki d . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 31, 2025

Kiungo Liverpool atwaa tuzo, awabwaga Cole Palmer na wenzake

KIUNGO wa Liverpool Ryan Gravenberch ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa Msimu wa Ligi Kuu England (EPL) 2024-25.Mholanzi huyo amepewa heshima hiyo kutokana na kiw . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 31, 2025

Rekodi za mrithi wa Trent Alexander Arnold ni balaa

KATIKA raundi ya 26 ya Ligi Kuu England, Liverpool waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester City kwenye dimba la Etihad, kwa mabao ya Mohamed Salah na Domini . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 31, 2025

Mshambuliaji Mpya wa Man United bado kidogo tu

BADO ni suala la muda tu kabla ya Matheus Cunha kuwa mchezaji mpya wa Manchester United.Nyota huyo wa Wolves amekubali kujiunga na United na tayari ametoa mwanga wa kijan . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 27, 2025

Ajali Mbaya Yaharibu Sherehe Ya Liverpool Ya Kutwaa Ubingwa Wa Ligi Kuu

Ushindi wa Liverpool waleta balaa nchini Uingereza Jeshi la Polisi Merseyside limesema mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 53 amekamatwa baada ya gari kugonga watembea kw . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

SIMBA WATWAA MEDALI BINGWA WATETEZI KOMBE LA SHIRIKISHO

Klabu ya Simba SC ya Tanzaniaimefanikiwa kushika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) msimu wa 2024/25, baada ya kutoka sa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

MAN U WAONGOZA KUELEKEA FAINALI YA EUROPA

Kuelekea fainali ya UEFA Europa League hapo kesho Jumatano Mei 21 kwenye Uwanja wa San Mames Marria, Bilbao, Spain, majira ya Saa Nne kamili usiku, klabu ya Man United im . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

CAF BADO WASHAURI KUTUMIA UWANJA WA ZANZIBAR

Kutokana na mchezo wa fainali ya kombe la shirikisho Simba Sc Vs Rs Berkans, CAF wahimiza mchezo huo kuchezewa katika uwanja wa New Amani Zanzibar kwa sababu mbalimbali z . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

Kuhamia Barca, kwa shusha mshahara wa Rashford

Mshambuliaji Marcus Rashford akubali kupunguziwa mshahara wake ili kupewa fursa ya kuhama Manchester United kwenda Barcelona, Mshambulizi wa Manchester United na Mui . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 16, 2025

MCHEZAJI WA YANGA PRICE BUDE APATA MSIBA

Taarifa za majonzi zimeikumba klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wa soka nchini Tanzania baada ya mshambuliaji wao, Prince Mpumelele Dube, kutangaza msiba wa mwanawe mpen . . .

news
SOKA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 15, 2025

Uwanja wa Mkapa upo tayari, wenye maamuzi ni CAF

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji mkuu wa Serikali ametembelea na kukagua maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa Benjamin william Mkapa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 15, 2025

Ahmed Ally Awatoa Hofu Wana Simba Kuhusu Kuondoka Kwa Mpanzu, Bado Yupo Sana

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally amewatoa hofu mashabiki wa klabu ya Simba kuwa kiungo wao Ellie Mpanzu yupo bado msimbazi kwa msimu mmoja na nu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 13, 2025

TFF Yamfungia Ramadhan Missiru Miaka 6 Na Faini Ya Milioni Tano

Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Ramadhan Missiru kujihusisha . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 12, 2025

RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

Kocha Carlo Ancelotti amethibitishwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil kwa mujibu wa shirikisho la soka la Brazil (CBF).Kocha huyo muitaliano ataachana na Real Madrid . . .

news
SOKA
  • Na Jacobmlaytz
  • May 12, 2025

XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

Klabu ya Real Madrid inataka kocha Xabi Alonso kuanza majukumu ya kuwa meneja wao mpya mapema ili kukiandaa kikosi hicho kujiandaa na michezo ya kombe la Dunia kwa vilab . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 8, 2025

PSG WAMEFUZU FAINALI YA LIGI YA MABINGWA UALAYA

Paris Saint-Germain (PSG) wamefuzu kwa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) baada ya kuwatoa Arsenal kwa jumla ya mabao 3-1 katika hatua ya nusu fainali. PSG walishind . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 6, 2025

Kariakoo Derby kupigwa Juni 15

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga mechi ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu baina ya Yanga na Simba ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Jumapili Juni 15, 2025.Bodi ya Ligi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 2, 2025

Dabi ya Kariakoo Itapigwa tu Liwalo na Liwe

Yanga SC imerudishwa kamati ya rufaa ya TFF, CAS wamesema Yanga walitakiwa kuanzia Kamati ya rufaa ya TFF kwa mujibu wa kanuni za TFF, Bodi ya ligi (TPLB) na CAS.CAS wame . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 23, 2025

Stellenbosch FC Waanza Kutupa Vijembe

Kuelekea mchezo wa marudiano wa CAFCC dhidi ya Simba SC, klabu ya Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini imeonyesha uhakika wa kushunda mchezo na hamasa kubwa mashabiki na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 20, 2025

Baada ya Ushindi wa 3-0 wa Singida Black Stars Dhidi ya Tabora United Huu Ndio Msimamo wa Ligi

Baada ya ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 wa Singida Black Stars dhidi ya Tabora United, mabadiliko makubwa yameshuhudiwa kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Mchezo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 18, 2025

Yanga Wanamtaka Fei Toto kuziba pengo la Aziz ki

Yanga wanamtaka Fei Toto kuziba pengo la Aziz ki kwenye kikosi Chao. Yanga ambayo ilimuuza kwa nguvu Fei Toto kwenda Azam Fc, nayo imefanikiwa japo kuumaliza mgogoro kati . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 14, 2025

Hersi Said Apewa TUZO Kwa Mchango Wake wa Kuunganisha Vilabu Afrika

RAIS wa Klabu ya Yanga Sc na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika [ACA), Eng. Hersi Said (@caamil_88) amepata tuzo kutoka World Football Summit [WFS], ya kuthamini mchang . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 11, 2025

ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking)

Viwango vya Ubora Barani Africa CAF Club Ranking 2025 | Mfumo wa viwango vya CAF wa miaka 5 hutumiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuamua idadi ya vilabu ambavyo kil . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 9, 2025

KIKOSI Cha Simba Vs Al Masry Leo Tarehe 09 April 2024

Simba itamenyana na Al Masry Port Said katika mchujo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Shirikisho Aprili 9. Mchezo utaanza saa 16:00 kwa saa za kwenu.Huku Simba na Al Masry . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Aziz K Ashikilia Namba 4 Kwa Wachezaji Wazawa wa Ndani Afrika wanaolipwa Mkwanja Mrefu

Kupitia kwenye Jarida la Africa Facts Zone limetoa orodha ya Wachezaji wanaolipwa mkunjwa mrefu zaidi kwa mwaka kwa wachezaji wanaochezea soka la ndani ya Afrika.Katika O . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2025

Mbappe aifikia rekodi ya Ronaldo Real Madrid

Kylian Mbappe ameifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kufunga magoli 33 katika msimu wake wa kwanza akiwa Real Madrid baada ya kufunga magoli mawili katika ushindi wa 3- . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Kenya"Tanzania Mjipange Na Matokeo

Baada ya golikipa  wa timu aya Taifa ya Kenya Harambee Stars Patrick Matasi kusimamishwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo, @hoseamchopa ameongea na nyota wa zamani . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 27, 2025

Jean Baleke Apata Timu Afrika Kusini

Klabu ya AmaZulu FC ya Afrika Kusini imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka DRC, Jean Baleke!Mchezaji huyo amesaini mkataba rasmi baada ya kusafiri hadi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 25, 2025

Serikali yaita kikao kizito kuamua Kariakoo Derby

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amepanga kukutana viongozi wa Shirikisho la Soka la nchini (TFF), Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania ( . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Busara na Hekima zitumike zaidi Dabi ya Kariakoo

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Steven Mnguto, amesema tayari wamejibu barua ya Yanga na hawana mamlaka ya kuwazuia kwenda CAS lakini kama wameenda CAS kwa kipindi hiki ambap . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 12, 2025

Motsepe Achaguliwa Tena Kuongoza CAF Hadi 2029

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe, amechaguliwa tena kuliongoza Shirikisho hilo kama Rais kwa kipindi cha miaka minne ijayo.Motsepe am . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2025

TFF Yavifungia Viwanja Vitatu Vya Ligi Kuu Kwa Kutokidhi Vigezo

hirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Tanzania Ba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2025

Makamu wa Rais wa Yanga: Hakuna Mechi Tena Dhidi ya Simba Msimu Huu!

Makamu wa Rais wa Yanga SC, Arafat Haji, ameweka wazi kuwa mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga SC na Simba SC, iliyokuwa imepangwa kufanyika Machi 8, 2025, haitapangiwa . . .

Kurasa 4 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

    • 9 masaa yaliopita
  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 11 masaa yaliopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode