logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Ahmed Ally aidharau Ruvu Shooting

Furaha ya ushindi dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast bado imeendelea kushamiri kwa Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally, licha ya kikosi cha klabu . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 13, 2022

Simba Fanyeni Kweli Uwanja wa Mkapa Leo

SIMBA SC, leo Jumapili inatarajiwa kuvaana na ASEC Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Saalam. H . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

Happy Birthday Young Africans Sports Club

 Yanga ilianzishwa mwaka 1935 na Simba mwaka 1936, lakini ukizama ndani utagundua kwamba , huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa utani na upinzani wa jadi baina ya miamba . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Morrison aomba radhi, Simba wakausha

STAA wa Simba, Bernard Morrison ametuma ujumbe kwenye kundi la WhatsApp la wachezaji wa timu hiyo na kufowadi vilevile kwa viongozi akiomba radhi kwa kilichotokea.“ . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Ni muujiza kurejea katika soka-Christian Eriksen

Christian Eriksen anasema ni muujiza kuweza kuanza tena soka akiwa na Brentford baada ya kuzimia alipokuwa akiichezea Denmark kwenye Euro 2020 msimu uliopita wa joto. M . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Marekani yashinda medali ya kwanza ya dhahabu katika Olimpiki 2022

Marekani Jumatano imejipatia medali yake ya kwanza ya dhahabu kwenye michecho ya Olimpiki ya majira ya baridi mjini Beijing, China, kupitia ushindi wa Lindsey Jacob . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Simba Yawaita Yanga Kuwasapoti CAF

mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast, unaotarajiwa kufanyika Februari 13, katika Uwanja wa Mkapa, Dar.Sim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

China yadai kudhibiti maambukizi ya Corona kwenye michezo ya Olimpiki

China imesema Jumanne kwamba itaalika watazamaji zaidi kwenye michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi inayoendelea mjini Beijing kutokana na fanaka kubwa ya kudhibi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Young Africans yalalamikia waamuzi Ligi Kuu

Uongozi wa klabu ya Young Africans umepaza sauti na kusema timu yao imekua ikipata wakati mgumu dhidi ya waamuzi wanaochezesha michezo yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Haji Manar "Hatulalamikii Waamuzi Tunawakumbusha Tu"

Kupitia Mkutano na waandishi wa Habari leo Feburuari 8, 2022, Msemaji wa Klabu ya  Haji Manara amesema kuwa Klabu yake na viongozi hawatoi malalamiko kwa Waamuzi . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Nyota wa Ligi ya Primia Kurt Zouma ajipata mashakani baada ya kurekodiwa akimpiga paka wake teke ‘kama mpira

Mchezaji nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza Kurt Zouma anaweza kufunguliwa mashtaka baada ya kurekodiwa kwenye picha ya video akimpiga paka wake kama mpira kwenye sakafu y . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Maamuzi mabovu ya waamuzi ligi kuu Tanzania, Mwigulu aahidi kuleta VAR

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema atakaa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa ili waongee uwezekano wa kutenga bajeti y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Nizar Khalfan. "Tuliibana Simba kweli kweli"

Kocha Msaidizi wa Mbeya Kwanza FC Nizar Khalfan ametoa pongezi kwa wachezaji wake kwa kazi kubwa walioifanya kwenye mchezo wa jana Jumapili (Februari 06) dhidi ya Mab . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Ubingwa wa Senegal umeweka historia hii kwenye taifa hilo

Timu ya taifa ya Senegal imeshinda ubingwa wa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza kwa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya mabingwa mara 7 na wakihistoria timu ya taifa ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Jack Wilshere akata tamaa Arsenal

Kiungo Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Jack Wilshere amefuta uwezekano wa kusajiliwa tena klabuni hapo, baada ya kusisitiza meneja wa sasa wa The Gunners Mikel Arte . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Salah Vs Mane:Nyota wawili wa Anfield watamenyana katika AFCON leo, je ni nani atachukua kombe kati ya Cameroon na Misri?

Ni lala salama ya AFCON leo katika dimba la Olembe unaopatikana kwenye mji kuu wa Cameroon, Yaounde.Nyota wawili wa Anfield ya England watakutana kuoneshana ubabe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Misri watinga fainali AFCON, ni vita ya Mo Salah Vs Sadio Mane

Mafarao wa Misri wamefanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya kutoka sare dhidi ya wenyeji Cameroon dakika 90 na zile za nyongeza na hivyo mchezo huo kuamuliwa kwa . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Mabosi Simba waapa sasa ni mwendo wa kugawa dozi

SIMBA haina matokeo mazuri katika mechi zake tatu za Ligi Kuu Bara ingawa wikiendi iliyopita walirejesha ubabe wao nyumbani wakiipasua Dar City na kudhihirisha bado j . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

Kocha Young Africans aitamani Mbeya City

Kocha Mkuu wa Young Africans Nasreddine Nabi, amesema anafurahi kuona kikosi chake kimeendelea kuimarika kwa ajili ya kutimiza malengo ya kuibuka na ushindi katika mc . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Straika Mkongo Aanza Nyodo Simba

MARA baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu kuanza kwa msimu huu, mshambuliaji Mkongomani ndani ya kikosi cha Simba, Chris Mugalu, ameibuka na kutamka kuwa sasa hivi k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Kibwana Anahesabu Siku Yanga

BEKI kiraka wa Yanga, Kibwana Shomari na mwenzake Abdallah Shaibu ‘Ninja’, wanahesabu siku tuza kurudi uwanjani mara baada ya kupona majeraha yao. Kibwana anayemudu . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Aubameyang ajiunga Barcelona bure

Pierre-Emerick Aubameyang amejiunga na Barcelona kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Arsenal, uhamisho huo unatarajiwa kutangazwa leo Jumanne. Mshambuliaji huyo w . . .

news
SOKA
  • Na Gsengo
  • January 29, 2022

MASHABIKI WA YANGA WAITEKA MWANZA KWA BURUDANI V MBAO FC

 LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora, Uw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Zaidi ya watu 6 wafariki katika mkanyagano kwenye michuano ya AFCON

Maafisa wa Cameroon wamesema kwamba takriban watu 6 wamekufa baada ya mkanyagano nje ya uwanja mmoja wa mpira kunakofanyikia michuano ya kombe la Afrika la AFCON. . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

Michezo FC Porto kumuacha Mbemba kisa kudanganya umri

. . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC leo Januari 23, 2022

Sasa kutoka Msimbazi hadi Jangwani ‘gap’ ni pointi 10, wakati huo Coastal Union wanashuka kwa nafasi moja huku Namungo wakipanda kwa nafasi tatu kutoka nafasi y . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

Yanga yazidi kung'ara Ligi Kuu Ya NBC Tanzania bara

Vinara wa Ligi Kuu Ya NBC Tanzania bara timu ya Yanga imeendelea na wimbi la ushindibaada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Tanzania Polisi mchezo uliopig . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

PENATI YA KAMARA YASABABISHA NYUMBA YAKE KULINDWA

Nyumba ya mshambuliaji wa Sierra Leone Kei Kamara bado iko chini ya ulinzi wa polisi baada ya mshambuliaji huyo kukosa penati dhidi ya Guinea ya Ikweta kwenye michu . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

Comoro Yawaduwaza Ghana kwa kuwatupa nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)

Timu ya taifa ya Comoro imeitupa Ghana nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kuichapa mabao 3-2 katika mchezo wa mwisho wa Kundi C usiku wa Juman . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

ROONEY ATAJWA KUINOA EVERTON

Nyota na mkongwe wa Manchester United, Wayne Rooney anatajwa kuwa huenda akarithi mikoba ya Rafael Benitezndani ya Goodison Park.Everton siku ya Jumapili ilimfuta kazi al . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

SIMBA WATAMBULISHA JEZI MPYA.

Saa chache Mara baada ya wekundu wa msimbazi Simba kumtambulisha Ahamed Ally Kama msemaji wao mpya vilevile  Klabu ya Simba imezindua jezi mpya zitakazotumika kwenye . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 2, 2022

LUKAKU AONDOLEWA KWENYE ORODHA YA KIKOSI EPL LEO DHIDI YA LIVERPOOL.

Chelsea wamemuondoa Mshambuliaji wao Romelu Lukaku katika list ya wachezaji watakaowatumia katika mchezo wa EPL leo dhidi ya Liverpool.Sababu hasa ya kufanya hivyo haijaw . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 1, 2022

KOCHA PABLO AONYWA VIKALI.

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Pablo Franco amepewa Onyo Kali kwa kosa la kushindwa kuzuia hisia ama mihemko yake hali iliyosababisha aoneshe vitendo visivyo vya kiuanamic . . .

Kurasa 23 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

    • 9 masaa yaliopita
  • Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

    • 11 masaa yaliopita
  • MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode