Kaizer Chiefs Yatangaza Rasmi Kuachana na Kocha wake Mkuu Stuart Baxter

KLABU ya Kaizer Chiefs na Kocha Stuart Baxter wamefikia makubaliano ya pamoja ya kuvunja mkataba wa kocha huyo aiyerudi kuifundisha klabu hiyo kwa mara ya pili mara baada ya kuhudumu mwanzo kwenye klabu hiyo.

 

Akiwa na Kaizer Chief amefanikiwa kushinda michezo 9 ametoka sare michezo 6 na kufungwa michezo 8 na katika kipindi hicho klabu imefunga jumla ya mabao 25 huku ikiruhusu kufungwa mabao 23 kitendo ambacho kimepelekea mabosi wa Kaizer Chiefs kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba wake.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii