logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

Jordan Henderson: Nimefuata pesa Saudi Arabia

Kiungo wa kimataifa wa England, Jordan Henderson amekiri pesa ndio ilikuwa sababu mojawapo ya kujiunga na Al- Ettifaq kutoka Saudi Arabia.Kiungo huyo wa zamani wa Liverpo . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 18, 2023

Jamii kuwaunga mkono wanamichezo wenye Ulemavu

Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya michezo nchini wametakiwa kushirikisha watu wenye Ulemavu katika programu zao za mashindano, mazoezi na katika kuandaa timu ya Taifa. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

Andrè Onana kusugua benchi Man Utd

Imeripokuwa kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag, anafikiria kumuweka nje kipa namba moja wa timu hiyo, Andrè Onana.Hatua hiyo imekuja baada ya kuonekana O . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 13, 2023

Taifa Stars Yatupwa Kundi Gumu AFCON2023

Tanzania imepangwa Kundi F pamoja na Morocco, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani nchini Ivory Coast.Kat . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2023

Blatter apinga maamuzi ya FIFA 2030

Rais wa zamani wa Shiriksho la Soka Duniani (FIFA), Sepp Blatter, amekosoa uamuzi wa shirikisho hilo kubariki Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2030 kuandaliwa katika ma . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Uhispania, Morocco na Ureno kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2030

Morocco, Uhispania na Ureno zimetajwa kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia la soka mwaka  2030, huku Uruguay, Argentina na Paraguay wakiwa wenyeji wa mechi za ufunguzi kua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 4, 2023

Arsenal wamuita mezani Ben White

Uongozi wa Klabu ya Arsenal umeanza mazungumzo rasmi na beki wake Ben White, ili kufanikisha mpango wa kumsainisha mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya Kaskazini . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Mwanasheria afichua siri za Mohamed Salah

Mwanasheria na mshauri wa Mshambuliaji Mohamed Salah amedokeza  kuwa nyota huyo wa Liverpool anaweza kuwa anapata kiasi kikubwa mno cha mapato ya jumla kwa mujibu wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 27, 2023

Afrika Mashariki wenyeji AFCON 2027

Hatimaye Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ limeipa nafasi Afrika Mashariki kupitia nchi za Tanzania, Uganda na Kenya kuwa mwenyeji wa Fainali za Mataifa ya Afrik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 25, 2023

David de Gea atishia kustaafu soka

Mlinda Lango David de Gea anaweza kustaafu soka ikiwa hatapokea ofa ifaayo ya kurejea kwenye mchezo, huku akisisitiza kutokuwa tayari kwenda Ligi ya Saudi Arabia.Mhispani . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 24, 2023

Manula is back!

Mlinda Mlango wa Klabu ya Soka ya Simba, Aish Salum Manula ameonekana kuimarika zaidi baada ya kuwa nje ya Uwanja kwa Muda Mrefu kutokana na jeraha la lake.Kipa huyo ameo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 22, 2023

Taarifa kutoka Yanga ni kuhusu majeruhi ya Lomalisa

Mlinzi wa kushoto wa Yanga Joyce Lomalisa Mutambala anatarajiwa kuwa nje kwa wiki moja baada ya kupata majeraha kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo FcMchezo huo ul . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 21, 2023

Bosi Tottenham Hotspur afichua usajili wa Kane

Bosi wa Tottenham Hotspur, Daniel Levy amesema wameweka kipengele cha kumrudisha Mshambuliaji, Harry Kane kwenye kikosi chao, endapo FC Bayern Munich itachoka huduma yake . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 20, 2023

Wachezaji wa Kihispania wa kike wakubali kusitisha kugomea timu ya taifa baada ya kugoma makubaliano na shirikisho na serikali ya Uhispania

Mzozo kati ya timu ya soka ya wanawake ya Uhispania na Shirikisho la Soka la Kifalme la Uhispania (RFEF) unaonekana kufikia muafaka baada ya pande hiz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 20, 2023

Bayern Munich kukutana na Manchester United leo

Bayern Munich watakuwa wenyeji wa Manchester United siku ya Jumatano usiku katika kile ambacho kitaonekana kuwa na kizaazaa kwenye Uwanja wa Allianz Arena. Timu hiyo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 20, 2023

Mashabiki Wanne wa Timu ya Namungo Wafariki Dunia Wakisafiri Kuishangilia Timu yao

Uongozi wa Namungo FC umesema gari walilokuwa wanatumia mashabiki wa timu hiyo kutoka Ruangwa kuja Dar es Salaam kuishangilia timu yao ikicheza dhidi ya Yanga mechi ya Li . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 19, 2023

Ten Hag alalamikia solo la usajili

Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag, amelaumu timu zinazopandisha bei ya wachezaji kwenye soko la usajili wakati klabu hiyo ya Old Trafford inavutiwa.Ikiwa ni pamoja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 15, 2023

Klopp aitema mazima Ujerumani

Wakala wa Kocha Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp, Marc Kosicke amesisitiza kuwa kuwa mteja wake hataweza kuifundisha timu ya taifa ya Ujerumani licha ya jina lake kuwa mion . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 14, 2023

AFCON 2023: Wapinzani wa Stars kujulikana Oktoba 12

Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars’ kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2023), sasa inasubiri kuona itakuwa kundi gani na nani ikipangwa nazo kwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 14, 2023

Ally Kamwe "Hatuna tatizo na Al Merreikh"

Kikosi cha Young Africans kinatarajia kuondoka nchini leo Alhamis (Septemba 14) kuelekea Rwanda kwa ajili ya kuwafuata Al Merrikh kutoka Sudan katika mechi ya kwanza ya h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 12, 2023

Paul Pogba Asimamishwa Kucheza Soka, Kisa Matumizi ya Dawa za Kuongeza Nguvu

Kiungo wa Juventus, Mfaransa Paul Pogba, amesimamishwa kwa muda kucheza Soka, kutokana na kukutwa na hatia ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ambazo zimezuiliwa michez . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 8, 2023

Haaland kuweka rekodi Premier League

Uongozi wa Klabu Bingwa nchini England ‘Manchester City’, una mpango wa kumpatia ofa mpya staa wake, Erling Haaland ya mshahara wa pauni 600,000 kwa juma.Imeelezwa ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 6, 2023

Mbappe arudisha imani kwa mashabiki

Mshambuliaji wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris Saint- Germain Kylian Mbappe amesifiwa na mashabiki wa klabu hiyo kutokana na kiwango bora anachoendelea kuonyesha. . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 1, 2023

Chelsea wang’oa kifaa Man City, United waimarisha ukutu

Chelsea imethibitisha kumsajili mchezaji, Cole Palmer kutokea Manchester City.Kiungo huyo Mshambuliaji amejiunga na The Blues kwa dau la paundi milioni 42.5 kwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 1, 2023

UEFA 2022/23: Guardiola Kocha Bora, Haaland Mchezaji Bora

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ameshinda tuzo ya Kocha bora kwa timu za Wanaume kwa msimu uliopita baada ya kuiwezesha timu yake kutwaa UbingwaAidha, Mshambuliaj . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 31, 2023

Mama Mzazi Wa Rais Wa Shirikisho La Soka La Hispania Alazwa, Agoma Kula

Mama Mzazi wa Rais wa Shirikisho la soka la Hispania Luis Rubiales amelazwa baada ya hali yake kubadilika wakati akiwa kwenye mgomo wa kula kufuatia tuhuma za â . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 30, 2023

Eden Hazard azikataa Saudi Arabia, Marekani

Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ubelgiji Eden Hazard amepanga kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 32, huku ikidaiwa amegomea ofa kibao za kwenda kucheza soka nchini Sa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 30, 2023

Singida Fountain Gate Yaachana na Kocha Mkuu Hans van der Pluijm

Singida Fountain Gate imeachana na Kocha Mkuu Hans van der Pluijm raia wa kwa Uholanzi ambaye aliongeza mkataba mpya ikimaanisha mwaka mmoja alipomaliza Juni 30.Taarifa i . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 29, 2023

Taifa Stars hesabu kali kufuzu AFCON

Septemba 7-2023 Tanzania watakuwa na mchezo wa kufu kombe la mataifa ya Afrika dhidi ya Algeria (ugenini).kimahesabu Tanzania anahitaji alama moja tu ili afuzu fainali hi . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 27, 2023

Wafanyakazi 11 Wa Soka La Hispania Wajiuzulu Kufuatia Sakata La Busu

Wafanyakazi 11 katika soka la Hispania wamejiuzulu kufuatia sakata la busu lililotokea katika sherehe za Kombe la Dunia la Wanawake huko Sydney, Australia.Kati ya walioji . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 27, 2023

FIFA Yamsimamisha Kwa Muda Rais Wa Shirikisho La Soka La Uhispania

Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani (FIFA) imemsimamisha kwa muda mkuu wa shirikisho la soka la Uhispania Luis Rubiales kwa siku 90, FIFA imesema Jumamosi ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 23, 2023

Kocha mpya Ivory Coast

Nahodha na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast Didier Drogba ametangazwa kuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa hilo kwa mkataba wa miaka minne.Hii ni mara y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 22, 2023

Rais RFEF apangua uzushi wa mitandaoni

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Hispania ‘RFEF’ amejibu mapigo juu ya kushutumiwa kumbusu mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake iliyotwaa Kombe la Dunia kwa ushindi . . .

Kurasa 10 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Wataalamu wa Uturuki waenda Gaza kusaidia kutafuta miili

    • 2 masaa yaliopita
  • Papa Leo XIV "Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi"

    • 2 masaa yaliopita
  • Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Ashiriki Mkutano Wa Dharura Wa Wakuu Wa Nchi Wa SADC Kuhusu Hali Ya Usalama Madagascar

    • 2 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode