logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Rwanda na DRC wameafikiana makubaliano ya awali ya amani

Hatua mpya ya amani yaanza kuchomoza Mashariki mwa Kongo, huku Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zikitia saini makubaliano ya awali yanayolenga kumaliza vita vya muda mrefu. Nchi hizo zi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Wanauchumi wafafanua kuhusiana na athari za mgogoro wa Israel na Iran

WACHAMBUZI wa masuala ya uchumi wamesema mgogoro kati ya Israel na Iran unaoendelea unaweza kuleta athari za kuongezeka kwa mfumiko wa bei za bidhaa muhimu na mafuta.Wakizungumza hapo juni 19  wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Niger yataifisha hisa za kampuni ya Uranium ya Ufaransa

Serikali kijeshi ya Niger, imetangaza mipango ya kuitaifisha kampuni ya Orano, inayomilikiwa na serikali ya UfaransaKampuni hiyo inamiliki asilimia 63 ya hisa za kampuni kubwa ya Somair ya kuchimba ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Umoja wa Ulaya kukutana mezani leo na Iran

Mawaziri wa Ulaya wanatarajia kukutana leo kuishawishi Iran irudi kwenye meza ya mazungumzo Mawaziri hao wa Mambo ya nje watakutana na mwenzao wa Iran Abbas Araghchi mjini Geneva, Uswis leo Ijumaa, kw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 19, 2025

Putin awaonya Ujerumani kuwapatia Ukraine makombora ya Taurus

Rais Vladimir Putin wa Urusi ameionya Ujerumani kuhusiana na mipango yake ya kuipatia Ukraine makombora ya masafa aina ya Taurus. Amesema Moscow itaizingatia hatua hiyo kuwa ni kuhusika moja kwa moja . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Umoja wa Afrika kuthamini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kuahidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa haki, uhuru na amani.M . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Umoja wa Afrika kutathimini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kuahidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa haki, uhuru na amani.M . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

Serikali kuongeza posho kwa wenyeviti wa vijiji kutoka 100,000% hadi laki 300,000%

Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ameibua hoja nzito kuhusu malipo na maslahi ya wenyeviti wa serikali za mitaa akisema kundi hilo limekuwa likipuuzwa licha ya kuwa nguzo muhimu ya utawala wa karibu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

KESI YA LISSU KUSIKILIZWA TENA JULAI MOSI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu hadi Julai 1, 2025 kwa ajili ya kusubiri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kupitia jalada la kesi h . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

George Mcheche ateuliwa na Rais kuwa jaji mkuu wa Mahakama ya Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Masaju ambaye amechukua nafasi ya Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Chadema yapingwa marufuku kufanya mikutano hadi kesi namba 8323 uchunguzi utakapobainika

Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepigwa marufuku kufanya shughuli zozote zile za kiutendaji na oparesheni mpaka hapo kesi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Fahamu historia Fupi kuhusu Rais wa zamani wa Zambia Edgar Chagwa Lungu

Edgar Lungu alizaliwa Novemba 11,1956 katika mji wa Ndola mkoa wa viwanda wa Copperbelt nchini Zambia eneo ambalo lina historia ndefu ya kisiasa na kiuchumi kutokana na uchimbaji madini, hasa shaba. . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 5, 2025

Raia wa Burundi wanashiriki uchaguzi wa wabunge na wa mitaa

Zaidi ya Warundi milioni 6 hii leo Juni 5 wanaamikia katika vituo zaidi ya 14,000 vya kupigia kura, ili kuwachagua wabunge wao na madiwani wa manispaa, katika hali mbaya ya mazingira ya nchi iliokumbw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 2, 2025

Mgombea wa Kihafidhina Karol Nawrocki ashinda uchaguzi wa urais

Mgombea wa kihafidhina Karol Nawrocki ameshinda uchaguzi wa urais nchini Poland kwa 50.89% ya kura dhidi ya meya wa kiliberali wa Warsaw, Rafal Trzaskowski, kulingana na matokeo rasmi yaliyotolewa leo . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 2, 2025

Rufaa waliotumwa na afande kuhusiana na kesi ya binti wa Yombo kusikilizwa kesho

Rufaa dhidi ya adhabu ya kifungo cha maisha gerezani  iliyotolewa kwa washtakiwa wanne waliokutwa na hatia kwenye  kosa la kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti Mkazi w . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 2, 2025

Mubashara kesi za Tundu Lissu kuendelea leo

Mahakama ya Tanzania imetangaza kuwa kesi mbili za jinai namba 8606/2025 na 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Antiphas Lissu zitatajwa na kusikilizwa leo Jumatatu Juni 2 mubashara katika Mahakama ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2025

Chadema Yatoa Wito kwa Wananchi Kuhudhuria Kesi ya Uhaini ya Lissu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimewaalika wananchi wote, mashirika ya kiraia, Jumuiya za Kimataifa na Kitaifa kuhudhuria na kufuatilia kwa karibu mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili Mw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2025

Mbeto" Maelekezo ya Mwenyekiti CCM ni Maagizo ya Utekelezaji kwa Chama"

Chama Cha Mapinduzi kimesema kitahakikisha kinayafanyia kazi maelekezo yote yalioelekezwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan katika kupitisha wagombea udiwani, Uwakilishi na Ubunge.Pia cham . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

CCM yatoa vipaumbele 9 na washirika 7 walioshiriki katika maandalizi ya Ilani

Ilani mpya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 inalenga kujenga uchumi jumuishi unaowafikia Watanzania wote kuchochea maendeleo ya kisasa, kupunguza umaskini na kuimarisha ustawi wa . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

Ilani mpya ya Chama cha Mapinduzi CCM yalenga kuboresha makazi vijijini a,na maji

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani yake mpya ya uchaguzi, imeahidi mageuzi makubwa ya huduma ya maji nchini katika kipindi cha miaka mitano ijayo ikiwa ni pamoja na kuimarisha upatikanaji wa maji . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

Chadema yapeleka kampeni ya No reforms no election wilayani Simanjiro

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Heche amepeleka kampeni ya 'No reforms, No election' kwa wafugaji wa jamii ya Kimaasai akitumia uwekezaji kwenye viwanda vya kusin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha upinzani Misri amechwa huru sasa.

Kiongozi wa upinzani nchini Misri, Ahmed al-Tantawi, ameachiliwa huru baada ya kufungwa jela kwa mwaka mmoja kutokana na makosa ya ukiukwaji wa sheria za uchaguzi kutokana na taarifa iliyotolewa na Wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

JICA kushirikiana na TZ katika utekelezaji wa mradi mbalimbali ya maendeleo nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) limeihakikishia Serikali ya Tanzania  ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa litaendelea kushirikiana nayo kat . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

Joseph Kabila akutana na viongozi wa Dini nchini Goma

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila ameonekana kwa mara ya kwanza tangu kuondolewa kinga ya kutoshtakiwa na seneti huku akionyesha nia ya kujitokeza tena kisiasa Kabila am . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

TUME YA MAADILI YA UONGOZI WA UMMA YAOMBA USHIRIKIANO BAINA YA VIONGOZI

TUME ya Maadili ya Viongozi wa Umma imewataka wahariri na waandishi wa habari kuendelea kushirikiana nayo katika kuwaibua viongozi wanaokiuka maadili ili kuimarisha uwajibikaji na utawala bora nchini. . . .

Kurasa 3 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 16 masaa yaliopita

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

Matukio
news
  • 16 masaa yaliopita

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

Top Stories
news
  • 18 masaa yaliopita

Atupwa Jela Kwa Kuwatapeli Wanawake Wanne Kwa Njia Ya Mapenzi

Top Stories
news
  • 21 masaa yaliopita

Rais wa Marekani amtaka Putin kusitisha mapigano

Top Stories
news
  • 22 masaa yaliopita

Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Kongo kutumikia miaka 10 jera

Top Stories
news
  • 22 masaa yaliopita

Jera maisha kwa kumlawiti mwanafunzi wa miaka minne

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Maelezo ya mashahidi wa Lissu kusomwa August 18

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

    • 16 masaa yaliopita
  • Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

    • 16 masaa yaliopita
  • Watu 40 wapoteza maisha Darfur

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode