logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 14, 2025

Godbless Lema Afichua Jambo la Mbowe Kutaka Kuachia Nafasi ya Uongozi Chadema

Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amefichua taarifa za kushangaza kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Akizungumza na waandishi wa habari jiji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2024

Wabunge wa Ufaransa wapiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu

Wabunge wa Ufaransa Jumatano wamepiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu Michel Barnier baada ya miezi mitatu tu ikiwepo madarakani, katika hatua ya kihistoria ambayo inaiweka tena nchi hiyo kat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Polisi Watoa Taarifa Mgombea Wa Chadema Aliyefariki Baada Ya Kupiga Kura

Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa ambaye alikuwa Mgombea Ujumbe Mchanganyiko wa Mtaa na Wakal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Mbowe Awa Mbogo Ataka Wanachama wa CHADEMA Waliokamatwa Wakizuia Kura Batili Kuachiwa

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2024

Mwenyekiti wa Chadema Kilimanjaro Akamatwa na Polisi Tuhuma za Kupanga Vurugu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha W . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2024

NAIBU WAZIRI SANGU AWANADI WAGOMBEA, ATAJA SABABU ZA KUICHAGUA CCM

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu amewahimiza wananchi wa Kata ya Zimba na Mtowisa kuchagua wagombea wa CCM ili kuendeleza miradi ya maendeleo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2024

CHADEMA waahidi huduma bure kwa Wananchi

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jimbo la Bukoba Mjini Mkoani Kagera kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kunadi sera zake huku mawakala wa Chama hicho wakita . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

Dkt.Nchimbi Awaili Furahisha Uzinduzi wa Kampeni Serikali za Mitaa Mwanza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza, kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Raia wa Somaliland, eneo lililojitenga na Somalia wanashiriki uchaguzi mkuu

Wakaazi wa jimbo la Somaliland, lililojitenga na Somalia miaka 33 iliyopita, wanapiga kura leo kumchagua rais, kipindi hiki kukiwa na msukosuko wa kidiplomasia kai ya utawala wa Mogadishu na nchi jira . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 3, 2024

Wagombea urais Marekani wafanya mikutano ya mwisho mwisho kabla ya uchaguzi

Wagombea urais nchini Marekani, Kamala Harris na Donald Trump, wanaendelea na harakati za mwisho mwisho, kuelekea kwa uchaguzi wa Jumanne wiki ijayo, ambao unaelezwa kama wenye ushindani mkali zaidi.W . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 24, 2024

Matokeo ya uchaguzi Msumbiji kutangazwa na tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi nchini Msumbiji inatarajiwa wakati wowote kuchapisha matokeo ya uchaguzi wa rais na bunge uliofanyika tarehe 9 mwezi huu. Hofu imetanda baada ya upinzani kuitisha maandamano kwa siku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2024

MBOWE NA MWANAE WAKAMATWA MAGOMENI

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amekamatwa na Jeshi la Polisi Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024 baada ya kuonekana akiongea na Waandishi wa Habari ambapo sekunde chache . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 13, 2024

Maandamano ya CHADEMA yapigwa marufuku

Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, yaliyotangazwa kufanyika Septemba 23, 2024 na kutia onyo kuwa yeyote atakayein . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2024

Trump amwita Kamala Harris ‘mwanamke mrembo sana’ akimfananisha na mkewe Melania

RAIS wa zamani wa Amerika Donald Trump amemrejelea mgombea urais wa Chama cha Democrat Kamala Harris kama “mwanamke mrembo sana.”Akijadiliana na mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter), bilionea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 12, 2024

Freeman Mbowe Akamatwa Songwe Airport Leo

Polisi Mkoani Mbeya wamemkamata Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA ( BAVICHA), John Pambalu muda mfupi baada ya wawili hao kuwasili Songwe Airport leo Augus . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 9, 2024

Mdahalo kati ya Trump na Harris Kufanyika Septemba 10

Makamu wa rais wa Marekani na mgombea wa urais wa chama cha Democratic Kamala Harris na rais wa zamani wa Marekani na mgombea wa chama cha Republican Donald Trump wamekubali kufanya mdahalo Septemba 1 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2024

Venezuela: Rais Nicolas Maduro achaguliwa tena kwa muhula wa tatu, upinzani walalamikia udanganyifu

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameshinda uchaguzi wa urais Jumapili, Julai 28, kwa asilimia 51.20 ya kura - sawa na kura milioni 5.15 -, tume ya uchaguzi imetangaza Jumatatu, Julai 29, ingawa kura k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 16, 2024

Uchaguzi Rwanda: Paul Kagame ‘Mitano tena’

Rais wa Rwanda, Paul Kagame ameshinda muhula wa nne wa kuiongoza nchi hiyo kufuatia uchaguzi wa urais na bunge uliofanyika Julai 15, 2024.Katikq uchaguzi huo, jumla ya Wapiga kura milioni tisa walishi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 4, 2024

Viongozi wa dunia wampongeza Claudia Sheinbaum, rais wa kwanza mwanamke wa Mexico

Claudia Sheinbaum alipata ushindi wa kishindo katika uchaguzi nchini Mexico na kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo, akirithi mradi wa mshauri wake na kiongozi anayeondoka madarakani Andres Manue . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2024

Wafahamu wagombea wanaowania uchaguzi mkuu wa Julai 15 Rwanda

Nchini Rwanda, kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa kampeni kuelekea uchaguzi wa Julai 15 mwaka huu, baada ya mwishoni mwa juma wagombea 9 wakiwemo wagombea binafsi krejesha fomu zao kwa tume ya uchaguz . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 3, 2024

Wanainchi wa Mexico wapiga kura kumchagua rais mpya

Wapiga kura nchini Mexico walielekea kwenye vituo vya kupiga kura Jumapili kumchagua rais mpya. Kwa mshangao mkubwa, mmoja wa wagombea wawili wanawake anaweza kuwa kiongozi wa kwanza wa Mexico.Kura ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2024

Wanaotaka kuwania urais Iran kutuma maombi katika kipindi cha siku tano

Mamlaka nchini Iran imetangaza kipindi cha siku tano kwa watu wanaotaka kuwania katika uchaguzi wa urais wa tarehe 28 ya mwezi Juni mwaka huu kuwasilisha maombi yao.Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Mamia waandamana Tunis kumuunga mkono Rais Kais Saied

Mamia ya watu waliandamana mjini Tunis siku ya Jumapili kumuunga mkono Rais Kais Saied huku kukiwa na ukosoaji mkubwa ndani na nje ya nchi baada ya wimbi la kukamatwa kwa waandishi wa habari, wanahara . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 17, 2024

Jenerali Mahamat Idriss Deby ameshinda uchaguzi wa rais nchini Chad

Baraza la Katiba lililotangaza ushindi huo pia lilikataa ombi lililotolewa na Waziri Mkuu Succes Masra la kutaka kufutwa matokeo hayo.Kiongozi wa kijeshi wa Chad, Jenerali Mahamat Idriss Deby Itno ame . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2024

Vijana Marekani wanatamani wangekuwa na mgombea mwengine asiyekuwa Biden au Trump

Idadi kubwa ya wapiga kura vijana katika uchaguzi wa rais Marekani wanasema wanatamani wangekuwa na mtu mwingine na siyo Joe Biden au Donald Trump kumchagua.Lakini wapiga kura vijana wanamuunga mkono . . .

Kurasa 3 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Developing
news
  • 8 masaa yaliopita

Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

Top Stories
news
  • 8 masaa yaliopita

Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

Matukio
news
  • 10 masaa yaliopita

Ukraine inasema iliharibu ndege za kivita za Urusi kwenye Mji wa Siberia

Top Stories
news
  • 11 masaa yaliopita

WHO kuridhia siku ya watoto njiti kufanyika Novemba 17 kila mwaka

Top Stories
news
  • 11 masaa yaliopita

Mahakama ya Kisutu imeahirisha kesi ya Tundu Antiphas Lissu hadi Juni 16 mwaka huu

Top Stories
news
  • 12 masaa yaliopita

Kampeni ya Madaktari Bingwa imewanufaisha Wagonjwa 154,015

Top Stories
news
  • 13 masaa yaliopita

TANROADS yatangaza ajira mpya Dar es salaam kwaajili ya ujenzi wa barabara

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Serikali imetangaza kufuta usajili Kanisa la Ufufuo na Uzima linalomilikiwa na Askofu Gwajima.

    • 8 masaa yaliopita
  • Wachezaji Walioitwa Taifa Stars, Samatta Aomba Kupumzika

    • 10 masaa yaliopita
  • Mgombea wa Kihafidhina Karol Nawrocki ashinda uchaguzi wa urais

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode