logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Hukumu rufaa ya Sabaya Mei 6

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imepanga Mei 6, 2022 kutoa hukumu ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wanaopinga hukumu ya kifungo cha miaka 30 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Watu wasiopungua 60 wafa katika ajali ya treni Congo

Watu wasiopungua 60 wamethibitishwa kufariki baada ya treni ya mizigo kutoka kwenye njia yake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Ajali hiyo ilitokea siku ya Ijumaa wakati treni hiyo, ambayo i . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wanajeshi wa kitengo cha anga Marekani wamepelekwa Poland

Mamia ya wanajeshi kutoka kitengo cha anga namba 82 cha Marekani wamepelekwa katika milima ya msituni ya mashariki mwa Poland kilomita chache tu kutoka mpaka wa Ukraine. Hilo linawaweka karibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Ukraine yaondoa wanajeshi wake DRC

Ukraine imetangaza kuwaondoa wanajeshi wake 250 katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO ili kuilinda nchi yao dhidi ya uvamizi wa Urusi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mtu Mmoja auwawa na Tembo Arusha

Mfugaji NarudashwaTitika mwenye umri wa miaka 45 mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama aina . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Hospitali tatu Ukraine zashambuliwa

Mamlaka nchini Ukraine zinasema ndege za Urusi zimezishambulia hospitali tatu usiku wa kuamkia Alkhamis (Machi 10) magharibi mwa mji mkuu, Kyiv, na kwenye mji wa bandari wa Mariupol, huku juhudi z . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Ngariba Wa Simanjiro wajisalimisha

Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Caroline Mtapula amewataka mangariba katika Wilaya ya Simanjiro kuacha kukeketa watoto wa kike na kuwaozesha wakiwa katika umri mdogo kwani wanahaki ya kupata elimu, . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Watu 60 wauawa katika shambulio kaskazini-magharibi mwa Nigeria

Nchini Nigeria, watu wenye silaha wamewauwa watu zaidi ya 60 wanaolinda usalama katika kijiji chao wilayani Zuru katika jimbo la Kebbi, Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo baad . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Urusi yatoa masharti mazito kwa Ukraine ili imalize vita

Urusi imesema kuwa inaweza kusitisha operesheni na kuacha kuishambulia Ukraine wakati wowote endapo Ukraine itatimiza masharti ya Urusi Urusi imeyataja masharti hayo kuwa ni lazima Ukraine iitamb . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Urusi yatangaza usitishaji mapigano Ukraine

Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Vassily Nebenzia, amesema nchi yake itasitisha mapigano kuanzia saa nne asubuhi ya leo kwa majira ya Moscow na kufunguwa njia salama kuwahamisha raia kutok . . .

Afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Moderna kujenga kituo cha kutengeneza chanjo Kenya

Kenya imetia saini mkataba na kampuni ya teknolojia ya kibayoteknolojia ya Marekani, Moderna Inc, kujenga kituo cha kutengeneza chanjo nchini. Kituo hicho ikiwa kinatarajiwa kutoa hadi dozi milio . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Ris wa Ukraine Aomba kufanya Mazungumzo na Putin ili kumaliza Vita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema njia ya ya kumaliza vita mara moja nchini Ukraine ni kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rais Vladimir Putin."Hatutaki kuishambulia Urusi na hatupangi . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Mkakati wa jeshi la Urusi na kile ilijifunza baada ya kuanguka kwa USSR.

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameelezea uvamizi wa nchi yake dhidi ya Ukraine kama "operesheni maalum ya kijeshi". Lakini, tangu mwanzo, hii haikuwa oparesheni ya kijeshi iliyodhibitiwa na yenye . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Mtambo wa Nishati ya Nyuklia Washambuliwa Ukraine

Kituo cha mtambo mkubwa wa nishati ya nyuklia barani Ulaya kilichoko Ukraine kimelengwa katika mashambulizi ya Urusi usiku wa kuamkia leo Ijumaa wakati Urusi na Ukraine zikikubaliana kutenga njia . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mganga anatafutwa kwa ubakaji

Polisi Mkoani Lindi wanamtafuta Juma Salumu maarufu ‘Juma kipanya’ ambaye ni mganga wa kienyeji mkazi wa Manispaa ya Lindi kwa tuhuma za kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa darasa la saba m . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Makombora ya Urusi Yaua Wanajeshi 70 Ukraine

SERIKALI ya Ukraine wamethibitisha kuwa wanajeshi wasiopungua 70 waliuawa katika shambulio la makombora ya Urusi katika kambi yao ya kijeshi juzi Jumapili, Februari 27, 2022. Shambulio hilo lilit . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Makombora ya Urusi Yaua Wanajeshi 70 Ukraine

SERIKALI ya Ukraine wamethibitisha kuwa wanajeshi wasiopungua 70 waliuawa katika shambulio la makombora ya Urusi katika kambi yao ya kijeshi juzi Jumapili, Februari 27, 2022. Shambulio hilo lilit . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwanafunzi wa Udaktari Ajipandikiza Kifaa cha Bluetooth Sikioni Kuiba Mtihani.

Mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa udaktari anachunguzwa baada ya kudaiwa kufanya udanganyifu katika mtihani kwa kuweka kifaa cha Bluetooth kwenye sikio lake, kulingana na afisa wa chuo kikuu. Ripoti zi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Afariki kwa kusimamisha uume muda mrefu

Mwanafunzi mmoja wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha Maasai Mara nchini Kenya, ameripotiwa kufariki siku ya Alhamisi baada ya uume wake kudaiwa kusimama kwa muda mrefu. Taarifa za pol . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Viongozi wa kidini Congo waunga mkono amani

Viongozi wa dini huko Kivu ya Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameafikiana kuiunga mkono serikali katika juhudi za kusaka amani kwenye eneo hilo.Eneo hilo liliwekwa . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Wakenya wasifia umahiri wa marubani waliofanikisha kutua salama kwa ndege wakati wa Dhoruba Eunice

Wakenya mtandaoni wamewasifu marubani wawili wanaofanya kazi katika shirika la ndege la Kenya Airways, ambao walitua ndege huku kukiwa na dhoruba ya Eunice barani Ulaya.Mmoja wa marubani, Ruth Kar . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Mwanamke huko Florida ashtakiwa kwa mauaji ya mumewe kwa kumchoma kisu mara 140

Mwanamke mmoja katika jimbo la Florida nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji baada ya polisi kusema kuwa alidaiwa kumdunga kisu mume wake zaidi ya mara 140.Joan Burke, 61, ambaye anazuiliwa bila d . . .

Afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Dereva auawa baada ya basi la shule kuvamiwa na majambazi Kenya

Dereva wa basi la shule ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya majambazi kuvamia msafara wa mabasi matatu huko Marakwet katika eneo la Kerio Valley.Kulingana na komanda wa polisi kaunti ya Elgeyo Ma . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Mahakama Kuamua Kama Mbowe na Wenzake Wana Kesi ya Kujibu Leo

Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi leo Februari 18, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi kama Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Washtakiwa wengine watatu wana Kesi ya Kujib . . .

Kurasa 53 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 9 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode