logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Umoja wa Mataifa waomba uchunguzi huru wa madai ya mauaji ya kimbari nchini Mali.

Mali imesema jana kwamba wachunguzi wa kijeshi wameanza kuchunguza matukio yaliyotokea kwenye kijiji cha Moura kunakodaiwa vikosi vyake na vya kigeni vilifanya mauaji ya kimbari. Awali mtaalamu wa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Aliyekuwa meneja wa PSSSF na wenzake wasomewa upya mashtaka yao

Aliyekuwa Meneja wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wa mkoa wa Temeke, Rajabu Kinande na wenzake wanne wamesomewa mashtaka upya katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala baada ya mshtakiw . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Rais wa zamani Blaise Compaoré ahukumiwa kifungo cha maisha

Rais wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré, amehukumiwa Jumatano kifungo cha maisha jela kwa kushiriki katika mauaji ya mtangulizi wake Thomas Sankara, aliyeuawa pamoja na wasaidizi wake kum . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mchungaji Aanguka na Kufa Kanisani Wakati Akihubiri Kuhusu Wachawi

Tukio la kusikitisha limetokea katika Kanisa la Evangelical Winning All (ECWA) nchini Nigeria baada ya shemasi kuanguka ghafla na kufariki papo hapo akihubiri dhidi ya mauaji ya kiibada na dhabihu . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mwanaharakati Asiyemwamini Mungu Afungwa Jela Miaka 24.

Mwanaharakati mashuhuri raia wa Nigeria asiyeamini uwepo wa Mungu, amehukumiwa kifungo cha miaka 24 gerezani na mahakama kuu katika jimbo la kaskazini la Kano baada ya kupatikana na hatia ya kukufuru . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mwanamume, 25, Apanga Kuoa Mpenziwe wa miaka 85, na Wajukuu 20.

Mwanamume mchanga mwenye umri wa miaka 25, amewashangaza wengi baada ya kufichua mipango yake ya kufunga kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa miaka 85.Wapenzi hao wanalandana sana wazimu na kuzam . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mary Muthoni Ataja Sababu za Kumruhusu Mama Ngina Kunyoa Rasta zake za Miaka 70.

Mpigania uhuru Muthoni Wa Kirima, mwenye umri wa miaka 92, amefafanua sababu za kumruhusu aliyekuwa mama wa taifa, Mama Ngina Kenyatta, kunyoa nywele zake za rasta.Baada ya kuzifuga nywele zake za ras . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Polisi Morocco imewakamata watu wanaohusika na biashara ya figo

Polisi wa Morocco wamewakamata watu wane wanaoshukiwa kuhusika na mtandao wa kimataifa wa ulanguzi wa dawa za kulevya na viungo vya binadamu unaofanya kazi kati ya Morocco na Uturuki chanzo cha . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Raia takribani 300 wameuawa nchini Mali; HRW inasema

Wanajeshi wa Mali na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Russia waliwauwa takribani raia 300 mwishoni mwa mwezi Machi kati-kati mwa taifa lililokumbwa na mzozo la Sahel, Human Rights Watch (HRW . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

FBI Wakamata Boti ya Kifahari ya Mshirika wa Urusi, Waongeza Presha kwa Urusi

SHIRIKA la Ujasusi la Marekani (FBI) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na mamlaka nyingine nchini Hispania, wameikamata na kuishikilia boti ya kifahari iliyopewa jina la Tango inayomilikiwa na V . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Ajali ya reli yauwa wanane na kujeruhi 20 kusini mashariki mwa DRC

Watu wasiopungua wanane waliuawa katika ajali ya treni ya mizigo iliyotokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamesema maafisa wa eneo hilo. Afisa wa habari wa ofisi ya mkoa w . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Mshukiwa wa mauaji wa Sacramento akamatwa

Polisi wa mji wa Sacramento katika jimbo la California nchini Marekani imesema imemkamata mtu anayeshukiwa kufanya shambulizi la bunduki lililouwa watu sita na kuwajeruhi wengine 12 usiku wa Jumap . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Marekani kupendekeza azimio jipya la kuilaani Korea Kaskazini

Marekani inao mpango wa kuwasilisha muswada wa azimio jipya katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kuiwajibisha Korea Kaskazini baada ya nchi hiyo kufanya jaribio jingine la makombora ye . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Watu 150 hawajulikani waliko Nigeria baada ya treni yao kushambuliwa

Watu wasiojulikana waliojihami kwa bunduki wameishambulia treni kwa viripuzi kaskazini magharibi mwa Nigeria, na hadi sasa watu 150 waliokuwa wakisafiri kwa treni hiyo hawajulikani walipo. Wapatao . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Ujerumani kuwafukuza wanadiplomasia 40 wa Urusi kuhusiana na mauaji ya Bucha, Ukraine

Ujerumani imesema inawafukuza wanadiplomasia 40 wa Urusi kama jibu kwa mauaji ambayo wanajeshi wa Urusi wanatuhumiwa kuyafanya katika wa Bucha nchini Ukraine. Ufaransa na Lithuania pia zimesema zi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Biden analaani ukatili wa Putin ndani ya nchi ya Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden alitamka Jumatatu kuwepo kwa kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Rais wa Russia Vladmir Putin na kulaani ukatili unaodaiwa kufanywa na wanajeshi wa Russia ambao umegund . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Zelensky aonya kuhusu hali mbaya zaidi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameonya kuwa hali mbaya zaidi inaweza kutokea wakati Urusi ikielekeza tena nadharia yake kusini na mashariki mwa nchi hiyo, katika juhudi za kuiunganisha Rasi y . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Paddy Aaga Dunia

Mbunge  wa zamani wa Kasipul Kabondo amefariki dunia wakati akipokea matibabu katika hospitali ya doha nchini Qatar.Kulingana na kaka yake, Gabriel Alienda, kiongozi huyo alikumbwa na kiharusi ch . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Baraza la mawaziri Sri Lanka lajiuzulu

Baraza zima la mawaziri la Sri Lanka limejiuzulu kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali, yaliyofanyika licha ya sheria ya kutotoka nje iliyotangazwa mwishoni mwa juma lililopita. Mawazir . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Papa Francis awaenzi wanahabari waliouawa katika vita vya Ukraine.

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, Jumapili amewaenzi waandishi wa habari waliouawa katika vita vya Ukraine akisema anatumai Mwenyezi Mungu atawapa malipo kwa kuwatumikia kwa wema . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Ukraine yachukua udhibiti wa eneo la Kyiv kutoka kwa Warusi

Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima la Kyiv baada ya wanajeshi wa Urusi kurudi nyuma kutoka katika baadhi ya miji muhimu karibu na mji huo mkuu. Kuna hofu ya kutegwa mabomu ya ardhiniN . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watatu wafa kwenye ajali ya ndege za jeshi la anga Korea Kusini

Ndege mbili za Korea Kusini zimegongana angani wakati wa mazoezi na kuanguka karibu na kambi yake, na kuua watu wote wanne waliokuwemo ndani yake. Kulingana na mamlaka ya kijeshi, ndege hizo za ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Eu yaitaka China kutoisaidia Urusi katika vita vya Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya na China wamekutana leo kwa mara ya kwanza katika miaka miwili, huku Brussels ikiishinikiza Beijing kutoa uhakikisho kwamba haitopatia Urusi silaha wala kuisadia Moscow . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Warusi waondoka Chernobyl wakati mapigano yakiendelea kwingineko

Wanajeshi wa Urusi wamekabidhi udhibiti wa kiwanda cha nyuklia cha Chernobyl kwa Waukraine na kuondoka eneo hilo lililochafuliwa na mionzi kwa kiasi kikubwa mapema leo. Maafisa wa Ukraine wamesema . . .

Kurasa 48 ya 53

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

Habari
news
  • jana

Polisi Mtwara wamkamata Ebitoke katika fukwe za bahari

Top Stories
news
  • jana

RC KIHONGOSI AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA, WAKUBALIANA KUIMARISHA UTALII NA SEKTA YA AFYA

Habari
news
  • jana

Waititu apawe agizo la kuleta dhamana ya Sh53 milioni ili atoke jela

Top Stories
news
  • jana

Nyongeza ya mishahara ya walimu yageuka kuwa masikitiko

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

    • 22 masaa yaliopita
  • NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

    • 24 masaa yaliopita
  • Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode