logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Wanajeshi wavunja kambi ya waandamanaji Sri Lanka

Mamia ya wanajeshi wa Sri Lanka pamoja na polisi mapema Ijumaa wamevamia kambi moja ya waandamanaji wanaoipinga serikali kwenye mji mkuu wa Colombo, wakati wakiharibu mahema ya wanaharakati wana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Bindu, Mwanamke wa Kihindi Aliyejioa Mwenyewe, Ashawishiwa na Muvi ya Netflix

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Kshama Bindu raia wa India mwenye umri wa miaka 24 amekuwa gumzo mitandaoni baada ya kufunga ndoa ya kujioa yeye mwenyewe. Harusi ya Bindu ilifanyika Ju . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Adakwa kwa kukeketa wanafunzi wawili

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa kijiji cha Chiwondo wilayani Chamwino, Chidalo Tagoo (64) kwa tuhuma za kuwakeketa wanafunzi wawili wa darasa la tatu wenye umri wa miaka 12 na . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 21, 2022

CIA yamsema Urusi imepoteza wanajeshi karibu 15,000 mpaka sasa nchini Ukraine

Shirika la upelelezi la Marekani CIA, limesema takribani wanajeshi 15,000 wa Urusi wamekufa tangu Moscow ilipofanya uvamizi nchini Ukraine. Mkurugenzi wa CIA William Burns, amesema karibu idadi ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2022

WFP "Ulimwengu kukabiliwa na uhaba wa chakula mwakani".

Mkuu wa shirika la chakula duniani, WFP, David Beasley, Jumatano wakati akiwa kwenye majengo ya bunge la Marekani ameonya kuhusu uwezekano wa upungufu wa chakula ulimwenguni. Beasley amas . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Kemikali ya Methanol yalaumiwa kwa vifo vya vijana Afrika Kusini

Daktari Litha Matinawe ambaye ni naibu mratibu wa huduma za afya kwenye jimbo la Eastern Cape , Afrika kusini, amesema kwamba ripoti ya kilichosababisha vifo vya vijana hivi karibuni imetolewa. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Takribani abiria 41 wamenusurika katika ajali ya basi la Happy Nation

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Afisa wa juu wa Ukraine adai nchi hiyo inajiaandaa kuishambulia Crimea

Naibu waziri wa ulinzi wa Ukraine Volodymyr Havrylov amesema nchi yake inaazimia kuishambulia rasi ya Crimea iliyonyakuliwa na Urusi mwaka 2014, pamoja na jeshi la wanamaji wa Urusi walioko huko. . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

WAHAMIAJI WAFUNGWA KIFUNGO CHA MIAKA 11.

Zaidi ya wahamiaji 30 Jumanne wamehukumiwa nchini Morocco kutokana na kujaribu kuruka uzio wa mpakani na eneo la Uhispania la Melilla mwezi Juni. Kwa mujibu wa shirika la habari la AP. H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Raia wa China ashtakiwa kwa kusafirisha watoto

Raia wa China ambaye alina . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Wahausa waitisha maandamano mjini Khartoum leo Jumanne

Maelfu ya watu kutoka kabila la Hausa nchini Sudan wameweka vizuizi barabarani na kuzichoma moto ofisi za serikali, baada ya makabiliano makali ya kikabila katika jimbo la Blue Nile. Kufuatia maka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Joto laendelea kuwa kumbwa mataifa ya ulaya

Mataifa ya Ulaya Magharibi yanakumbwa na joto kubwa, ambalo sasa linaelezwa kuelekea katika mataifa ya Kaskazini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Mwanahabari wa Marekani azuiliwa Congo 18 Julai, 2022

Afisa wa ngazi ya juu wa serikali  ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya congo amesema Jumapili kwamba idara ya kijasusi ya nchi hiyo , imemkamata  mwanahabari wa Marekani Starvos Nic . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Urusi yaanza tena mashambulizi nchini Ukraine

Urusi jana ilianzisha tena mashambulizi yake katika eneo la Donbass Mashariki mwa Ukraine baada ya mapumziko ya muda mfupi ili kupanga tena vikosi vyake. Wakati wa ukaguzi wa vikosi vilivyohusika . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Polisi Kariakoo Wapiga Jogging na Wananchi

JESHI la Polisi Wilaya Kipolisi ya Kariakoo, jijini Dar jana Jumamosi limefanya jogging na wananchi wa eneo hilo kumalizia na bonge la tizi wakihamasisha uzalendo na kuimarisha afya zao.Jogging hi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

MVUVI APOTEA ZIWANI WAWILI WAOKOLEWA MKEWE ANAKOROGA UJI ILI APATIKANE

Taarifa mbaya kutoka Ziwa Victoria, zinamhusu mvuvi aliyejulikana kwa jina la Salehe Haruna (42) anatajwa kuzama maji katika eneo la Sweya wilayani Nyamagana mkoani Mwanza,Mkewe Salehe aitwaye Hel . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Jeshi lakiri kuwaua vijana saba na kuomba msamaha

Jeshi nchini Togo limeomba msamaha kwa kuwaua vijana saba ambao linasema lilifikiri ni wanajihadi. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Mke wa kwanza wa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, afariki

Familia ya Donald Trump imesema mke wa rais huyo wa zamani wa Marekani, Ivana Trump alifariki mjini New York akiwa na umri wa miaka 73. Trump aliandika Alhamisi kwenye mitando ya kijamii . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

MAPACHA WATOROKA NYUMBANI KISA KUPELEKWA SHULE TOFAUTI

Familia moja katika mtaa wa Rupingazi Mji wa Embu imejawa masikitiko na uchungu kufuatia kutoweka kwa watoto wao pacha wenye umri wa miaka 15. Leon Macharia na Ryan Mwenda, waliokuwa kidato cha pili k . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

Urusi inazituhumu nchi za magharibi kwa kuwahami wanajeshi Ukraine

Wizara ya mambo ya kigeni ya Urusi, imeyatuhumu mataifa ya Marekani na Uingereza kwa kuwapa mafunzo wanajeshi wa Ukraine, Urusi ikitaja hatua hiyo ya mataifa ya NATO kama vit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Marekani inasema imemua mmoja wa viongozi wa IS nchini Syria

Marekani inadai ushindi mwingine dhidi ya kundi la Islamic State, ikisema ilimsaka, kumlenga na kumua mmoja wa viongozi wa tano wa ngazi ya juu wa kundi hilo la kigaidi, wakati wa shambulio la n . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 12, 2022

Mapigano ya risasi kati ya magenge hasimu huko Haiti yamesababisha vifo vya watu 50

Mapigano ya risasi kati ya magenge hasimu yamesababisha vifo vya watu 50 tangu Ijumaa karibu na mji mkuu wa Haiti wa Port-au-Prince, Meya wa eneo hilo alisema Jumatatu huku ghasia zikiendelea ku . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • July 12, 2022

Pacha mmoja aliyetenganishwa Muhimbili afariki

Mmoja kati ya watoto pacha waliotenganishwa Julai Mosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Neema amefariki dunia wakati akiendelea na matibabu Jumapili Julai 10, 2022.Taarifa iliyotolewa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Islamic States Yathibitisha Kuhusika na Shambulio katika Mji wa Lume, DRC

Kundi la kigaidi la Islamic State limethibitisha kuhusika kwenye shambulio la siku ya Alhamisi ambalo lililenga mji wa Lume, jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo . . .

Kurasa 38 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode