logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Top Story
  • Na Asha Business
  • May 19, 2023

Sukari yenye sumu, Vigogo 27 wasimamishwa kazi

Serikali nchini Kenya, imewasimamisha kazi maofisa 27 kutoka taasisi kumi na mbili wanaotuhumiwa kuachia sukari ambayo muda wake wa matumizi ulikuwa umekwisha na  ilikuwa imepangwa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 18, 2023

Idadi ya waliofariki kwa kukaa njaa yafikia 226

Nchini Kenya, miili mingine 15 imepatikana katika msitu wa Shakahola, Pwani ya nchi hiyo na kufikisha idadi ya watu waliopatikana kufikia 226 wanaohusishwa na mchungaji mwenye utata Paul Mackzie aliye . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 18, 2023

Wawili wakamatwa na mali za wizi Manyara

Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, linawashikilia Mohamed Said na Diana Lozi wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na fedha halali za kitanzania zinazohisiwa kuwa ni za wizi na simu za mk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2023

Mahitaji ya Wakimbizi Sudan ni dola bilioni 3

Wakati mapigano yakizidi kushika kasi nchini Sudan, umoja wa mataifa unasema jumla ya dolla bilioni 3.03 zinahitajika ilikutoa msaada wa dharura kwa raia walioathirika na makabiliano hayo.Ripoti hiyo . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

Polisi Uganda Wakamata Washukiwa 4 Wanaodaiwa Kumuua Fundi wa Umeme, Kuuza Damu Yake

Maafisa wa polisi mjini Kabale nchini Uganda wamewakamata washukiwa wanne wanaodaiwa kula njama, kumuua fundi umeme na kuuza damu yake kwa mtu asiyejulikana.duru zilidai kuwa damu ya marehemu iliuzwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

Mtoto Afariki Na Watu 23 Hawajulikani Walipo Baada Ya Kiboko Kugonga Mtumbwi Malawi

Mtoto mchanga amefariki na watu wengine 23 hawajulikani walipo baada ya kiboko kugonga mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Mto Shire nchini Malawi, mamlaka ilisema siku ya Jumanne.Polisi wa wilaya ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

Vita vyapamba moto Khartoum

Mashambulizi ya anga na mizinga yameongezeka kwa kasi katika mji mkuu wa Sudan siku ya Jumanne asubuhi, wakaazi wa mji huo walisema, wakati jeshi likijaribu kulinda kambi muhimu kutoka kwa wapinzani w . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mbwa wazua hofu Ilemela, wanakula mifugo

Wakazi wa kisiwa cha Bezi kilichopo wilayani Ilemela mkoani Mwanza wamekumbwa na hofu kutokana na kusambaa kwa mbwa ambao wamekuwa tishio kwao na kwa mifugo wanayofuga kama mbuzi na bata.Akizungumza k . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mkewe Yesu wa Tongaren Sasa Awaomba Wakenya Kuisaidia Familia Yake

Nabii Benjamin, ambaye ni mke wake mhubiri Eliud Wekesa maarufu kama Yesu Wa Tongaren kutoka Bungoma, ameomba msaada kutoka kwa Wakenya. Katika kipande cha video kilichorekodiwa nyumbani kwake, m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mpinzani mkuu wa Rais wa Tunisia ahukumiwa kifungo kwa mashtaka ya ugaidi

Mahakama moja nchini Tunisia Jumatatu ilimhukumu Rachel Ghannouchi, mmoja wa wapinzani wakuu wa Rais Kais Saied, kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, vyombo vya habar . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 15, 2023

Jamaa Amnunulia Mbwa Wake Gari Kusherehekea Siku Yake ya Kuzaliwa

Mwanaume mmoja raia wa Nigeria amemwandalia mbwa wake sherehe kubwa ya kufana kusherehekea siku yake ya kuzaliwa na kumnunulia gari lenye thamani ya mamilioni ya pesa. Mwanamume huyo aliyetambuli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2023

Kimbunga chaleta maafa Myanmar

Maelfu ya watu Jumapili walijificha katika nyumba za ibada na shule wakitafuta makazi kutokana na dhoruba kali iliyopiga pwani ya Myanmar, na kuvunja paa za majengo na kuua watu wasiopungua watatu.Kim . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 14, 2023

Aliyedaiwa kujiteka akamatwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroard Mutafungwa amesema kijana Kennedy Nyangige (20) mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya Bugando (Cuhas) aliyetoa taarifa za uongo kwa familia yake kwamba ametekwa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Yesu wa Kenya apandishwa kizimbani baada ya kujisalimisha

Eliud Wekesa, maarufu kama “Yesu wa Tongaren” amefikishwa mahakamani mjini Bungoma baada ya kujisalimisha kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano alipotakiwa kufanya hivyo hatua inayokuja wakati serik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Sudan: Jeshi na RSF zakubaliana kuwalinda raia wakati huu mapigano yakiendelea

Jeshi na wanamgambo wa RSF nchini Sudan, wametia saini mkataba wa kuheshimu hali ya kibinadamu wakati huu mapigano yakiendelea lakini wameshindwa kukubaliana kuhusu kusitisha vita.Pande hizo mbili zim . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Idadi ya watu waliofariki wakifunga kula imefikia watu 150

Nchini Kenya, idadi ya miili ya watu iliyofukuliwa katika eneo la Shakahola Pwani ya nchi hiyo, inayohusishwa na Mchungaji mwenye utata Paul Mackenzie, anayedaiwa kuwapotosha waumini wake kufunga chak . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Vichanga vyakutwa vikielea juu ya maji, vyaokolewa

Msemaji wa serikali ya Kongo, Patrick Muyaya amesema idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi huko Kalehe imeongezeka na kufikia watu 438 huku muujiza wa watoto wawili wac . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Wananchi wapiga simu kituoni kuwasalimia Polisi

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewaonya baadhi ya wananchi mkoani humo wanaoipiga namba ya dharura ya 114 kwa ajili ya kuwasalimia askari kama mchezo na kuwataka kuitumia namba hiyo pale . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 11, 2023

Watu wengine kumi wafariki katika maporomoko ya ardhi DRC

Watu kumi wamefariki katika maporomoko ya ardhi baada ya mvua kubwa kunyesha huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa walisema siku ya Jumatano, katika eneo hilo lenye mzozo, mamia . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 9, 2023

Waumini 25 Kanisa la Kibaptist watekwa

Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Kibaptista, Mchungaji Joseph Hayab amesema watu wasiofahamika wakiwa na silaha wameshambulia Kanisa hilo lililopo Bege kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka nyara wau . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 9, 2023

Mafuriko DRC: Idadi ya vifo yafikia zaidi ya watu 500

Idadi ya vifo nchini DRC imefikia zadi ya watu mia tano kutokana na mafuriko na kufunikwa na maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa za siku nne mfululizo, huko Nyamukubi Wilayani Kalehe j . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 8, 2023

Wanajeshi 7 wa Niger wauawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini

Wanajeshi saba waliuawa Jumapili baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini katika eneo la Tillaberi magharibi mwa Niger, jeshi la Niger limesema.Wanamgambo wa kiislamu hufanya mara kwa mara . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 8, 2023

Mafuriko yaua mamia ya watu DRC

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaomboleza takribani vifo vya watu 400 waliokufa katika mafuriko kwenye wilaya ya Kalehe jimboni Kivu Kusini taarifa zinasema kuwa hadi sasa watu 300 wamezikwa.Mkuu w . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Baba ajiua yeye na wanae kisa ugumu wa maisha

Imeelezwa Mzee Amani Madumba aliyekuwa akiishi Kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro aliyefariki dunia yeye pamoja na watoto wake watatu usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2023 kwa kuteketea . . .

Kurasa 23 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode