logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 5, 2023

Ahukumiwa miaka miwili jela sababu ya Ex wake

Mchezaji soka wa Colombia na Klabu ya Boca Juniors, Sebastian Villa amehukumiwa miaka miwili na mwezi mmoja jela kwa kosa la kumnyanyasa kijinsia aliyekuwa mpenzi wake Daniela Cortes.Daniela Cortes mp . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 5, 2023

Mhubiri Mackenzie awadai Wanahabari mgao wake

Mhubiri tata, Paul Mackenzie anayedaiwa kuchangia vifo vya watu wengi katika msitu wa Shakahola, amewataka Wanahabari kumnunulia mkate na maziwa akisema wametengeneza pesa nyingi kupitia jina lake.&nb . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 5, 2023

Shambulizi la chini Ecuador laua watano na wanane kujeruhiwa

Takriban watu watano waliuawa na wanane kujeruhiwa Jumapili wakati wanaume watatu walipofyatua risasi ndani ya nyumba huko Guayaquil, mojawapo ya miji iliyoathiriwa zaidi na uhalifu na ulanguzi wa daw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 2, 2023

Rais Wa Marekani Joe Biden Ajikwaa Na Kuanguka Katika Hafla Ya Colorado

Rais wa Marekani Joe Biden amejikwaa na kuanguka alipokuwa akikabidhi cheti cha diploma katika sherehe ya kuhitimu kwa Chuo cha Jeshi la Wanahewa la Marekani huko Colorado.Biden, ambaye ndiye rais mko . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 1, 2023

Msichana, 9, miongoni mwa waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Kyiv

Msichana mwenye umri wa miaka 9 na mama yake walikuwa miongoni mwa watu watatu waliouawa kufuatia mgomo wa Urusi huko Kyiv mapema Alhamisi, maafisa wa Ukraine walisema, huku picha ya wazi zaidi ikione . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 1, 2023

Mahakama Yamwachilia Mwanamume Baada ya Kumfunga Miaka 33 Kimakosa

Mwanamume mmoja nchini Marekani ameachiliwa na Mahakama ya California baada ya kutumiwa kifungo cha miaka 33 kwa tuhuma za jaribio la mauaji.Fox 2 inaripoti kuwa Daniel Saldana mwenye umri wa miaka 55 . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 31, 2023

Mwanafunzi Achoma Bweni na Kuua Wanafunzi 19 Kisa Kunyang'anywa Simu

Msichana mwenye umri wa miaka 15 ameshtakiwa kwa kuchoma moto bweni la shule huko Guyana na kusababisha vifo vya wanafunzi 18 na mvulana wa miaka mitano..Msichana huyo alishtakiwa siku ya Jumatatu kwa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 30, 2023

Mhubiri Kutoka Nigeria Ashtakiwa Kwa Kupora Benki Mamilioni Ya Pesa

PASTA kutoka Nigeria ameshtakiwa kwa kula njama za kuitapeli benki mamilioni ya pesa.Pasta Wealth Ochelle almaarufu Apostle Wealth wa Kanisa la Cogic International Church of God lililoko eneo la . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 30, 2023

Urusi yafanya mashambulizi mapya ya anga mjini Kiev

Urusi imefanya wimbi jipya la mashambulizi katika mji mkuu wa Kiev mapema leo Jumanne huku milio ya ving'ora ikisika katika maeneo kadhaa ya Ukraine kama tahadhari.Meya wa mji mkuu huo Vitali Klitschk . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 29, 2023

Raia wahamasishwa kubeba silaha, kupambana

Gavana wa Mkoa wa Darful uliopo Magharibi mwa Sudan, Mini Minawi amewahimiza raia kwenye eneo hilo kubeba silaha ili kujilinda na wahujumu wa taasisi za taifa.Amesema, raia wanapaswa kuchukua silaha k . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 29, 2023

Askari Wawili Wauawa Mbuga ya Wanyama

HomeGossip NewsAskari Wawili Wauawa Mbuga ya WanyamaAskari Wawili Wauawa Mbuga ya WanyamaUdaku Special May 29, 2023Weka Tangazo Lako Hapa Walinzi wawili wa Mbuga za Wanyama Virunga, wameuawa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 26, 2023

Msaidizi wa Kazi za Nyumbani Amshtaki Bosi Wake Kwa Kutomlipa Mshahara Kwa Miaka Mitano

Zuhura Ramadhani (30) amemshtaki Khadija Katusi Muoza katika Serikali ya Mtaa ya Mpiji Magohe kwa kutomlipa stahiki zake kwa zaidi ya Miaka mitano ambapo kwa mwezi mshahara wake ni Tsh. 35,000Zuhura a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 26, 2023

Wakazi wa Sudan "Tunalazimika kuiba ili kupata mahitaji".

Wakati mapigano mjini Khartoum yakiingia siku ya 23, raia waliobaki mjini humo wameelezea hali mbaya ya kikatili huku wakidai wanakaribia kuishiwa na mahitaji muhimu, masoko yakiwa yamefungwa na bidha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 25, 2023

Mtoto Ashinda BETI Milioni 188, Baba Mzazi Azikataa

Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19 amebaki kwenye njia panda baada ya kushinda hela ndefu kutoka kwenye mchezo wa Kamari (betting) lakini babake akazikataa hela hizo kwenye nyumba yake. Kulingana na . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 25, 2023

Lifti Kuporomoka ni Uzembe wa Uongozi wa Jengo Milenium Tower

Askari wa Zimamoto na Uokoaji Assintant Inspector Mohammed kutoka Kinondoni amesema chanzo cha lifti ya jengo la Millenium Tower lililopo eneo la Makumbusho, imetokana na kubeba watu zaidi ya uzito un . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 24, 2023

Mji wa Belgorod washambuliwa kwa ndege zisizo na rubani

Urusi imesema mji wake wa Belgorod uliko mpakani na Ukraine umeshambuliwa kwa idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani.Viongozi wa Urusi wamesema mji wake wa Belgorod ambao uko kwenye mpaka na Ukraine um . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 24, 2023

Wanawake 30 watekwa kwa kushindwa kulipa ushuru

Maafisa wa serikali nchini Cameroon, wanasema takriban Wanawake 30 wametekwa nyara na wanamgambo wanaopigania kujitenga na wenzao wanaozungumza kiingereza, huku wakidai utekaji nyara huo ulitokana na . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 24, 2023

Mlinzi Awafungia Nje Wafanyikazi wa Serikali Kulalamikia Malimbikizo ya Mshahara

Mlinzi mmoja nchini Uganda aliwafungia nje wafanyakazi 50 wa serikali kwa madai ya kutolipwa malimbikizo ya mshahara wake. Karim Kanku, 67, anasemekana kudai serikali takriban KSh1.8 milioni . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2023

Waziri akumbwa na kashfa wizi wa vijiko Hotelini

Waziri mmoja mwanamama aliwakilisha nchi yake kwenye kikao Mjini Dakar Senegal na akiwa hapo ikawa kajiwekea la Utaratibu ka kuiba vijiko, visu na nyuma kila wanapoenda restaurant. Breakfast anaiba, â . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Fundi Ujenzi Amnyonga Mkewe Kisha Kujinyonga

Fundi Ujenzi, Iddi Saidi Kindula (37), mkazi wa Madale jijini Dar es Salaam anadaiwa kumuua mkewe, Tukae Seif Ramadhani (16), kwa kumnyonga kisha naye kukutwa amefariki dunia akining’inia kwenye kam . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Mtoto Auawa Kwenye Mchezo wa Kupigana Makofi na Mateke

Mtoto mwenye umri wa miaka 12, kutoka nchini Zambia amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa na marafiki zake watatu wakati wakicheza mchezo wa mateke na makofi. Kulingana na shangazi wa marehemu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Mashabiki 12 wa Mpira Wafa Uwanjani

Takriban watu 12 wameuawa katika vurugu zilizotokea ndani ya Uwanja wa El Salvador, ambapo mashabiki wa soka walikusanyika kutazama mechi kati ya FC Alianza na Club Deportivo FAS. Taarifa ya polisi nc . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 21, 2023

Mamia waandamana kuipinga Serikali

Vikosi vya usalama vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vilirusha mabomu ya machozi na kupigana vita katika mitaa ya mji mkuu Kinshasa huku waandamanaji wanaoipinga serikali wakiandamana kwa madai ya . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2023

Utata Vifo Vya Vichanga Mmoja Akutwa Amechunwa

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linaendelea na uchunguzi kufuatia utata wa vifo vya watoto mapacha ambao walizaliwa njiti katika kituo cha afya Kaliua kilichopo mkoani humo ambapo mtoto mmoja alikutwa a . . .

Kurasa 22 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode