logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Wanawake na wasichana wa Afghanistan wataabika baada ya tetemeko la ardhi

Wanawake na wasichana wako katika hali mbaya na hatari Afghanistan, kufuatia matetemeko ya ardhi ya hivi karibuni kwa sababu ya migogoro ya kibinadamu na haki za kiraia tangu Taliban kutwaa mamlaka, a . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

Watu 28 wafa maji Mto Kongo

Miili ya watu 28 imepatikana kutoka Mto Kongo baada ya mashua waliyokuwamo kuzama kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Chrispin Mputu, waziri wa mambo ya ndani wa eneo hilo, amethi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 13, 2023

Mwanafunzi aliyeagizwa maji na walimu afia shimoni

Mwanafuzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Gibaso iliyopo wilayani Tarime mkoani Mara, amefariki dunia kwa kutumbukia kwenye shimo wakati akichota maji katika shimo lililochimbwa kwa ajili ya u . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 11, 2023

Idadi ya vifo katika tetemeko Afghanistan yapita 2,400

Idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi la Jumamosi la kipimo cha 6.3, Afghanistan imepita 2,400 huku timu za utafutaji na uokoaji zikiondoa miili zaidi kwenye magofu ya mamia ya nyumba zil . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 10, 2023

Mapigano Palestina: Miili 1,500 yapatikana

Mamlaka za usalama za Israel, imesema wameyashambulia maeneo ya kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza na miili ya wanamgambo 1,500 imepatikana katika miji ya kusini iliyokombolewa na jeshi, katika mapa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 9, 2023

Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua watu 558 huko Gaza

Mashambulizi ya anga ya Israel yameua zaidi ya watu 558 katika Ukanda wa Gaza, Wizara ya Afya katika eneo la Palestina imesema.Zaidi ya watu 65 zaidi wamehesabiwa kuwa wamekufa, na kuongeza jumla ya w . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 9, 2023

Waliokufa katika mapigano ya Israel, Palestina wafikia 1,100

Idadi ya waliokufa pande zote mbili zinazopigana kati ya Israel na kundi la wanamgambo la Hamas la nchini Palestina imefikia zaidi ya watu 1,100 hadi sasa huku maelfu wakijeruhiwa.Jeshi la Ulinzi la I . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Watu 10 wafariki, 102 hawajulikani walipo katika ziwa la barafu la India kupasuka

Vikosi vya uokoaji vya India viliwatafuta watu 102 waliotoweka Alhamisi baada ya mafuriko makubwa yaliyosababishwa na ziwa la barafu na kusababisha vifo vya watu 10, maafisa walisema.Mafuriko makali k . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Ajali ya Wanafunzi, Mwalimu Asimamishwa Kazi

Mwalimu Furaha Msule anayefundisha Shule ya Sekondari Kidegembye iliyopo Lupembe Halmashauri ya Wilaya ya Njombe amesimamishwa kazi kwa kosa la kuwachukua Wanafunzi na kuwapeleka kupakia kuni zake kin . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Hospitali ya Temeke Yamfanyia Upasuaji MTU Mwenye Jinsia Mbili

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke imefanikiwa kufanya upasuaji wa kutoa viungo vya uzazi vya kike kutoka kwenye korodani ya mgonjwa wa jinsia mbili mwenye muonekano wa jinsia ya kiume.Upasuaji huo ume . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Kiongozi Wa Upinzani Visiwa Vya Shelisheli Ashtakiwa Kwa Uchawi, Mtanzania Ahusishwa

Mahakama katika Visiwa vya Shelisheli, imemsomea mashtaka ya uchawi kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo, Patrick Herminie pamoja na watu wengine saba, akiwemo Mtanzania.Herminie ambaye anatajwa kuta . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 2, 2023

Meya na maafisa watano wafukuzwa kwa vifo vya watu 107 Iraq.

Mamlaka nchini Iraq imesema meya na mkuu wake wa zimamoto ni miongoni mwa maafisa watano wa taifa hilo waliofutwa kazi kwa kile kilichoelezwa kuwa uzembe mkubwa baada ya ajali ya moto iliyoua watu 107 . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 1, 2023

Moto Wateketeza Maduka Kariakoo

Moto ambao bado chanzo chake hakijajulikana, Umezuka Kariakoo Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 1, 2023 na Kuteketeza baadhi ya Majengo ya Maduka likiwemo jengo la Big bonZimamoto waendelea kupambana tu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 29, 2023

Sam Larry Akamatwa na Police Nigera Kuhusika na Kifo cha Mwanamuziki Mohbad..

Promota Wa Muziki Na Rafiki Wa Karibu Wa Naira Marley #SamLarry Ameripotiwa Kurudi Nchini Nigeria Na Kukamtwa Na Jeshi La Polisi La Lagos. Polisi Wamemkata Sam Larry Kwasababu Ya Uchunguzi Unaondelea . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 29, 2023

Takriban watu 52 wamekufa na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa hii leo nchini Pakistan, kufuatia shambulio la kujitoa mhanga.

Shambulio hilo limetokea wakati wa sherehe za kidini huko Mastung katika mkoa wa kusini magharibi wa Baluchistan, wakati waumini wa Kiislamu wakisherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad.Naibu Inspekta J . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 29, 2023

Moto mwingine wazuka katika kiwanda cha betri za magari Iran

Moto umezuka Alhamisi katika kiwanda cha betri za magari kinachomilikiwa na wizara ya ulinzi ya Iran, kwa mara ya pili katika chini ya wiki moja, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti.Hakuna mtu a . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 28, 2023

Burkina Faso inawashikilia maafisa wanne baada ya kuzuiwa kwa mapinduzi.

Burkina Faso ilisema siku ya Alhamisi kwamba maafisa wanne walikuwa wamezuiliwa, siku moja baada ya serikali ya kijeshi kutangaza kuwa imezuia jaribio la mapinduzi.Wanne hao wanashukiwa kuhusika katik . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 22, 2023

Akiri kuwauwa watu 14, amuomba Hakimu amlinde

Mshukiwa wa mauaji Denis Kazungu (34), amekiri mbele ya Mahakama ya Kicukiro mjini Kigali nchini Rwanda kwamba aliwaua watu 14, wengi wao wakiwa wanawake na mwanamume mmoja.Kazungu pia amesema, licha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 19, 2023

Helikopta ya Jeshi Yaanguka Wakati wa Oparesheni ya Usiku, Wanajeshi Waangamia

Helikopta ya Jeshi la Ulinzi la Kenya imeanguka Lamu, na kuua idadi ambayo bado haijafichuliwa ya wahudumu na wanajeshi waliokuwa katika ndege hiyo. Taarifa kutoka kwa KDF mnamo Jumanne, Septemba . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 14, 2023

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko Libya yakisiwa kuvuka 6,000

Mafuriko ya hivi karibuni nchini Libya kufikia sasa yameua takriban watu 6,000 huku wengine wapatao 10,000 wakiwa wametoweka baada ya kusombwa hadi kwenye bahari ya Mediterranean au kufunikwa kwenye t . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 8, 2023

Watu 64 wauawa katika shambulizi la wanamgambo wa Kiislamu

Takriban raia 49 na wanajeshi 15 waliuawa nchini Mali siku ya Alhamisi wakati wanamgambo wa Kiislamu waliposhambulia kambi ya kijeshi, na chombo kimoja kaskazini mashariki mwa taifa hilo, serikali ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 21, 2023

Tetemeko la ardhi latikisa California wakati dhoruba 'Hilary' ikisababisha mafuriko makubwa

Magari ya kuzima moto yanaonekana katika eneo lililokumbwa na tetemeko la ardhi Kaskazini mwa mji wa Los Angeles.Wakati eneo la Kusini mwa jimbo la California likikumbwa na dhoruba isiyo ya kawaida ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 14, 2023

Wanajeshi wa Canada kusaidia katika kudhibiti moto unaendela nchini

Wanajeshi wa Canada Jumapili wamepelekwa kaskazini mwa taifa hilo ili kukabiliana na mioto ya msituni jamii kadhaa za ndani ambako wakazi wamekimbia mioto inayowaka.Jimbo la British Columbia lililopo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 10, 2023

Mgombea urais nchini Ecuador auawa kwa kupigwa risasi

Taarifa hiyo imetolewa na rais Rais wa Ecuador Guillermo Lasso aliyesema kuwa kitendo hicho kitaadhibiwa.Villavicencio mwenye umri wa miaka 59 na mwenye watoto watano, alikuwa mmoja wa wagombea wanane . . .

Kurasa 19 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode