logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Rais wa Indonesia Joko Widodo kuzuru Kyiv na Moscow

Rais wa Indonesia na Mwenyekiti wa kundi la nchi G20 zilizoendelea zaidi na zinazoendelea kiuchumi, Joko Widodo, hivi karibuni atafanya ziara nchini Ukraine na Urusi kujadili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Mohammed bin Salman ziarani nchini Uturuki miaka minne baada ya kuuawa kwa Khashoggi

Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman anatarajiwa kufanya kuzuru Uturuki Jumatano hii, Juni 22 kwa ziara ya kiserikali ambapo atapokelewa na Rais Recep Tayyip Erdogan. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

MAKAMU WA RAISI WA MALAWI APOKONYWA MAMLAKA

Rais wa Malawi Lazarius Chakwera Jumanne amempokanya mamlaka yote makamu wake Saulos Chilima baada ya kiongozi huyo kutajwa katika kashfa ya ufisadi iliyoisisimua nchi hiyo. Uchunguzi u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Mistri na Saudia wasaini mikataba ya dola bilioni 7

Makampuni ya Saudi Arabia na Misri yalisaini mikataba yenye thamani ya dola bilioni 7.7 wakati wa ziara ya mwanamfalme wa Saudia mjini Cairo, vyombo vya habari vya serikali katika nchi hizo mbil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Mpina aikomalia Wizara ya Nishati

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameendelea kuing'ang'ania Wizara ya Nishati kuhusu mradi wa bwawa la umeme la Mwalimu Julius  Nyerere safari hii alitaka iundwe tume ya kuchunguza.Mpina ametoa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Siku ambayo minyororo ya utumwa ilipofikia kikomo

Kwa mara ya pili katika historia ya Marekani, Juni 19 maarufu kama “Juneteenth,” ni siku rasmi ya sikukuu ya serikali kuu. Lakini Wamarekani Weusi wamekuwa wakiadhimisha siku hii tangu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Serikali yataja sababu risiti za EFD kufutika maandishi

Serikali imetaja sababu za kufutika kwa maandishi  kwenye risiti za mashine ya kodi ya kielektroniki (EFD) kwamba inatokana na kuchapwa kwenye karatasi zisizokuwa na ubora.Kauli hiyo imetolew . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Sara Duterte aapishwa kuwa makamu wa rais

Binti mkubwa wa Rais wa Ufilipino anayeondoka madarakani Rodrigo Duterte ameapishwa kuwa makamu wa rais wa nchi hiyo.Sara Duterte ameapa kuwaunganisha Wafilipino katika hafla ya kuapishwa kwake mji . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Colombia kufanya uchaguzi wa Rais leo Jumapili

Raia wa Colombia watampigia kura rais mpya leo Jumapili katika uchaguzi uliojaa sintofahamu. Mwanaharakati wa zamani Gustavo Petro na mfanyabiashara milionea Rodolfo Hernandez wanawania mamlaka ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Ujerumani kuchukua hatua za dharura ili kukidhi mahitaji yake ya nishati

Serikali ya Ujerumani imefahamisha leo jumapili kuwa itachukua hatua za dharura ili kuhakikisha inakidhi mahitaji yake ya nishati baada ya kupungua kwa usambazaji wa gesi kutoka Urusi. Miongoni mw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2022

Mashirika ya kibinadamu yanataka Tanzania kusitisha shughuli ya kuwahamisha Wamaasai

Watetezi wa haki za kiraia na mawakili wa jamii ya wamaasai, wanaendelea kuishinkiza serikali ya Tanzania kuachana na mpango wa kuwafurusha maelfu ya wamaasai ambao ni wafugaji wa kuhama hama, k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 18, 2022

DRC yafunga mipaka yake yote na Rwanda

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imefunga mipaka yake yote na Rwanda huku hali ya miwavutano kati ya nchi hizo mbili ikiendelea kuongezeka kufuatia madai ya Rwanda kuunga mkono waasi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 18, 2022

Wanaharakati wakemea vikali wanaoshabikia matumizi na ukuzaji bangi uhalalishwe

Wanaharakati wa kupambana na mihadarati eneo la Pwani wamepinga vikali sera za baadhi ya wagombea urais, zinazolenga kuhalalisha matumizi ya bangi iwapo wataingia madarakani. Wakiongozwa na Moham . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA MAKATIBU WAKUU

. . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

WHO yatoa wito wa mageuzi ya huduma ya afya ya akili

Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa leo limetoa wito wa kufanyika mageuzi kwenye mifumo ya afya ya akili duniani likisema kuna ongezeko la matatizo ya akili tangu kuzuka kwa janga la virusi vya co . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

Marekani yaitaka Russia kuheshimu haki za Wamarekani waliotekwa Ukraine

Marekani Alhamisi imeitaka Russia kuwachukilia Wamarekani wote wa kujitolea walioshikwa mateka wakati wakipigana upande wa wanajeshi wa Ukraine kama wafungwa wa vita, na kuheshimu haki zao za ub . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 17, 2022

Waandishi wa habari Ethiopia bado wanafanya kazi zao kwa mashaka

June 18 ni miezi saba tangu Dessu Dulla alipowekwa jela. Mwandishi wa habari raia wa Ethiopia kutoka Oromia News Network (ONN) anashutumiwa kwa harakati za kuipinga serikali. Kama atapatikana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

Marekani imetangaza kuongeza kiwango cha riba

Benki kuu ya Marekani ilitangaza Jumatano kuwa itapandisha viwango vya riba kwa kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha takriban miaka 30 ikiwa ni juhudi za kukabiliana na mfumuk . . .

bungeni
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

SPIKA WA BUNGE" MAWAZIRI WATORO WAJE SASA HIVI BUNGENI"

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewataka mawaziri waliopo bungeni kuwaita manaibu na mawaziri ambao hawapo ndani ya ukumbi wa Bunge na kwamba wanatakiwa wawepo wakati wote ambao wabunge wanaja . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

Rais Mpya wa Somalia amemteua Hamza Barre kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo

Rais mpya wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amemteua mbunge kutoka baraza kuu la bunge Hamza Abdi Barre kuwa Waziri Mkuu mpya. Mohamud alitoa tangazo hilo kwenye makazi ya Rais siku ya Jumatano. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

RAIS UHURU KENYATTA AWAKERA MAAFISA WA SOMALIA

RAIS Uhuru Kenyatta alijipata pabaya baada ya kualika maafisa wa jimbo la Somaliland katika dhifa iliyohudhuriwa na balozi wa Somalia, Jumanne jioni. Katika dhifa hiyo kulikuwa na bendera ya Soma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

Bashungwa atoa maagizo kuhusu michango shuleni

Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amewaagiza wakuu wa shule nchini kuwashirikisha wazazi na walezi katika kupanga michango kab . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

WAFANYABIASHARA WA BUKOBA WA OMBA WAFANYIWE HAYA NA RAIS SAMIA

. . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

USAFIRI NA USAFIRISHAJI KATIKA ENEO LA MTUKULA UKO HIVI

. . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Rais wa Venezuela afanyxa ziara ya kushtukiza Qatar

Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amewasili Qatar katika ziara ya ghafla katika taifa hilo lenye utajiri wa nishati ambalo siku za nyuma lilisaidia uchumi wa nchi yake uliodorora.Maduro alionyeshwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Biden kuzuru Saudi Arabia na Israel

Rais Joe Biden wa Marekani amethibitisha kufanya ziara nchini Saudi Arabia mwezi ujao kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa taifa hilo ikiwa ni hatua ya mabadiliko makubwa yanayoonesha kugeuka kw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Somalia iliishutumu Kenya kwa kukiuka mamlaka yake ya kujitawala

Somalia iliishutumu kenya kwa kukiuka mamlaka yake ya kujitawala baada ya mwakilishi wa eneo lililojitenga la Somaliland kualikwa Jumanne kwenye mkutano wa kidiplomasia mjini Nairobi. Balozi w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Uingereza imefuta safari ya ndege ya waomba hifadhi wahamiaji kurudishwa Rwanda

Uingereza imefuta safari ya ndege iliyokuwa imepangwa kuwapeleka waomba hifadhi nchini Rwanda siku ya Jumanne jioni baada ya mahakama ya ulaya ya haki za binadamu kuingilia kati ikisema mpango h . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Deni la Serikali lafikia trilioni 69.44

Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka huu deni la serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44.   Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi kama hicho mwaka 2021 deni la S . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Serikali itakavyookoa matumizi ya Sh500 bilioni

Katika mkakati wa kubana matumizi, Serikali inatarajia kudhibiti mambo kadhaa ikiwemo ununuzi na matumizi ya magari.Hayo amebainisha  jana Jumanne Juni 14, 2022 bungeni mjini  Dodoma waka . . .

Kurasa 96 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 13 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 13 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode