logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Kifo cha 'Hadi' chazua vurugu kubwa Bangladesh

Maandamano yaliyoambatana na vurugu yamezuka kote mjini Dhaka na sehemu nyingine za Bangladesh kufuatia kifo cha mwanaharakati maarufu Sharif Osman Hadi kutangazwa Alhamisi jioni.Waandamanaji hao wana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Rais wa zamani wa Iraq awa mkuu mpya wa UNHCR

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Alhamisi lilimuidhinisha Rais wa zamani wa Iraq Barham Salih kuwa mkuu ajaye wa shirika la wakimbizi, UNHCR, akiwa ni kwanza kutoka Mashariki ya Kati tangu mwishoni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Marekani yawawekea vikwazo majaji wawili zaidi wa ICC

Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili zaidi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wake dhidi ya raia wa Israel.Majaji hao walioongezwa kwenye orodha ya vikwazo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Watu 7 wakamatwa wakihusishwa na washambuliaji wa Bondi

Wanaume saba wanaoaminika kuwa na uhusiano wa kiitikadi na washambuliaji wawili waliohusika na shambulizi la kigaidi kwenye ufuo wa Bondi siku ya Jumapili wamekamatwa kusini-magharibi mwa Sydney.Taari . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Umoja wa Ulaya kuipatia Ukraine mkopo wa yuro bilioni 90

Viongozi wa Umoja wa Ulaya hatimaye wamefikia makubaliano ya kuipatia Ukraine mkopo wa kiasi cha yuro bilioni 90 katika kipindi cha miaka miwili ijayo, hii ikiwa ni kulingana na Rais wa Baraza la Ulay . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 18, 2025

Magari 11 yaondolewa namba za usajili Rukwa

Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Rukwa limefanya operesheni maalum ya usalama barabarani kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, ikilenga kulinda usalama wa wasafiri na watumiaji wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 18, 2025

Nigeria yaomba radhi Burkina Faso baada ya ukiukaji wa anga

Nigeria imeomba radhi Burkina Faso kufuatia ukiukaji wa anga yake wiki iliyopita. Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria amepokelewa Jumatano, Desemba 17, na Kapteni Ibrahim Traorà . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

UN na mashirika waonya juu ya kusitishwa misaada Gaza

Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya misaada 200 wametahadharisha kwamba operesheni za kiutu kwenye maeneo ya Kipalestina na hasa Ukanda wa Gaza ziko hatarini kufungwa hayo yamesemwa kwenye t . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Bunge la Ujerumani lapitisha mabilioni ya matumizi ya jeshi

Kamati ya Bajeti ya Bunge la Ujerumani imeidhinisha kitita cha yuro bilioni 52 za matumizi ya kijeshi wakati taifa hilo likijaribu kujiimarisha katikati ya kitisho cha kiusalama kinachosababishwa na u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Trump atangaza mikakati ya mwaka 2026

Rais wa Marekani  Donald Trump amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi ya Disemba 18 mwaka huu na kuweka wazi mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko hapo awali.Rais Trump alianza . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Polisi Morogoro wachunguza kifo cha dada wa kazi na magari kuchomwa moto Mvomero

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kij . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Wakuu wa Shule Msiwe Kikwazo Cha Utendaji Kazi wa Walimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI] Mhe. Prof Riziki Shemdoe amewataka Wakuu wa Shule za Sekondari nchini kutokuwa kikwazo cha utendaji kazi wa wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Msako wa Kuwakamata Kamchape waanza rasmi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewataka wananchi kuachana na imani potofu ikiwemo kuamini katika ushirikina ambao unaweza kuchochea mauaji, ukatili na matukio mengine ya jinai katika baadhi ya maene . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Mwanza yazindua utoaji elimu ya bima ya afya kwa wote

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Desemba 17 mwaka huu amezindua utoaji wa elimu ya Bima ya Afya kwa Wote mkoani Mwanza, akihimiza wananchi kushiriki ili kuhakikisha kila mmoja anakuwa na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Uamuzi kesi ya kufutwa sherehe za uhuru ni leo

Uamuzi katika kesi iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kufutwa kwa Sherehe za Uhuru 2025, unatarajiwa kutolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Donald Trump apiga marufuku raia wa nchi saba zingine kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne Desemba 16 amepanua orodha ya raia wa kigeni waliopigwa marufuku kuingia nchini Marekani ambayo sasa inajumuisha Raia wa Syria, Burkina Faso, Mali, na Pa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Mawakili wa Roger Lumbala kukata rufaa dhidi ya kifungo mteja wao cha miaka 30 jela

Timu ya mawakili inayomwakilisha kiongozi wa zamani wa upinzani nchini Kongo Roger Lumbala imetangaza siku ya Jumanne Desemba 16 kwamba watakata rufaa siku ya Jumatano baada ya mteja wao kuhukumiwa ki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Sudan yaongoza kwenye orodha ya nchi zenye migogoro ya kibinadamu duniani

Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa siku ya Jumanne na kundi la kimataifa la misaada, huku vita vik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Madumu ya mafuta ya magendo yakamatwa Ubungo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata madumu 23,755 ya mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini Tanzania kinyume na taratibu kupitia Bandari ya Kunduchi jijini Dar es Salaam.Akizungumza Kamishna Mk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Mataifa ya Ulaya yaanzisha Kamisheni ya Madai ya Ukraine

Baraza la Ulaya ni shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humuna na pia limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidia za kivita kwa watu wa Ukraine.Hatua hiyo imepelekea Baraza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Venezuela yautaka Umoja wa Mataifa kulaani uharamia wa Marekani

Venezuela imetuma malalamiko yake rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kile inachokiita "wizi" wa Marekani iliyoiteka meli yake ya mafuta kwenye Bahari ya Karibiani wiki iliyopita . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Lukashenko ataka hatua za haraka kukomesha vita vya Ukraine

Rais Alexander Lukashenko wa Belarus ametowa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha vita nchini Ukraine wakati huu Marekani ikiendelea na juhudi za kidiplomasia kuhusu mzozo huo uliodumu kwa mi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

M23 wajiondowa Uvira kwa agizo la Marekani

Imefahamika kuwa kujiondowa kwa kundi la waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutoka mji muhimu wa Uvira kumetokana na agizo la Washington.katika taarifa iliyotelawa nchini humo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Watu 30 washitakiwa kwa jaribio la mapinduzi Benin

Mahakama ya Uhalifu wa Kiuchumi na Ugaidi nchini Benin imewashitaki watu wapatao 30 ambao wengi wao wakiwa ni wanajeshi kwa jaribio la mapinduzi lililoshindwa mapema mwezi juu.Katika taarifa iliyotole . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Madereva watakiwa kuacha tabia ya kupokea simu kwenye vyombo vya usafiri

Afisa Mnadhimu wa  kitengo cha usalama barabarani Makao Makuu ya Polisi Dar-es- Salaam- SACP Butusyo Akim Mwambelo amewataka waendesha  vyombo vya moto kuzingatia sheria wakati wanapoendesha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Leo ni siku ya maridhiano nchini Afrika Kusini

Nchini Afrika Kusini kila ifikapo Disemba 16 huwa ni maadhimisho ya Siku ya Maridhiano kufuatia juhudi za upatanisho nchini humo zilizolenga kuleta  uponyaji kutokana na madonda yaliyochochewa na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Dawa za kulevya zateketezwa Mtwara

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya mkoani Mtwara imefanikiwa kuteketeza kilo 73 za dawa za kulevya aina ya bangi, baada ya kesi zake kukamilika mahakamani na mahakama kutoa uamuzi wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi

Bunge la Zambia limepitisha jana kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani unadai vitamsaidia Rais Hakainde Hichilema katika uchaguzi wa m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Kamati Mambo ya Nje Bunge la Marekani kutembelea Tanzania

MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, na Mbunge machachari wa Chama cha Republican katika Jimbo la Florida, Brian Mast, amepokea mwaliko wa kufanya ziara rasmi nchi . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Kesi ya wagombea wa ACT Pemba yaahirishwa hadi Desemba 23

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kanda ya Pemba, Chausiku Kuya, ameahirisha kesi ya madai iliyofunguliwa na waliokuwa wagombea wanane wa Uwakilishi kupitia chama cha ACT Wazalendo Kisiwani P . . .

Kurasa 5 ya 133

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Udanganyifu, kuandika matusi bado tatizo katika mitihani

    • 7 masaa yaliopita
  • Enzo Maresca Atajwa Kumrithi Ruben Amorim Manchester United

    • 7 masaa yaliopita
  • Bill Gates Amlipa Melinda Dola Bilioni 8 Miaka Mitano Baada ya Talaka

    • 7 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode