logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

MKUU WA MAJESHI YA LIBYA AFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE NCHINI UTURUKI

Ankara — Mkuu wa Majeshi ya Libya Luteni Jenerali Mohammed al-Haddad pamoja na maafisa wengine wanne wa kijeshi wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka m . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

PAPA LEO ATOA WITO WA AMANI WAKATI WA KRISMASI

Baba Mtakatifu Leo ametoa wito kwa watu wote wenye nia njema duniani kuifanya sikukuu ya Krismasi kuwa siku ya amani, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu siku hii takatifu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

MWANAMKE ALIYEISHI ZAIDI YA MIAKA 20 BILA FIGO AFARIKI DUNIA

 Asia Mustapha, mwanamke aliyepambana na maradhi ya figo kwa zaidi ya miaka 20 na kutegemea huduma ya kusafisha damu kwa mashine (dialysis), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Desemba 24 mwaka . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 23, 2025

Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram zikidai kuwa gari la Polisi lilimgonga na kumuua mwananchi katika eneo la Kong . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 23, 2025

Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

Serikali imepiga hatua kubwa katika kulinda afya na ustawi wa wazee baada ya kufanikiwa kutoa vitambulisho vya matibabu ya bure pamoja na bima za afya kwa wazee zaidi ya 1,256,544 kote nchini. Hatua h . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Familia zenye uhitaji wa kutoa huduma ya malezi ya kambo, kuasili zaitwa kutuma maombi

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imezitaka familia zenye uhitaji wa kutoa huduma ya malezi ya kambo na kuasili kuwasilisha maombi yao kwa kamishna wa ustawi wa jamii ku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Kalonzo "Sikuweka lami barabara ya kwangu Tseikuru sababu sijatawaliwa na ubinafsi"

KIONGOZI wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka amejitetea dhidi ya shutumu kuwa hajatekeleza miradi ya maendeleo kwa miaka 40 aliyodumu uongozini akifichua kuwa alikataa shinikizo za kuweka lami katika barabar . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Zelenskyy" Urusi itashambulia wakati wa Krismasi"

Rais Volodymyr Zelenskyy amesema anategemea Urusi itafanya mashambulizi makali ndani ya Ukraine wakati wa sherehe za sikukuu ya Krismasi, akiituhumu Moscow kwa kuonesha tabia hiyo ndani ya miaka minne . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 23, 2025

Mzozo kati ya Washington na Abuja 'umetatuliwa kwa kiasi kikubwa,' yatangaza serikali

Mzozo wa kidiplomasia kati ya Marekani na Nigeria "umetatuliwa kwa kiasi kikubwa," kulingana na Waziri wa Habari wa Nigeria Mohamed Idris, ambaye amezungumzia "ahadi thabiti na ya heshima" kutoka pand . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Kafiti Wilium Kafiti, ametoa msaada wa pikipiki 100 kwa vijana wa Mkoa wa Mwanza katika tukio lililovuta hisia na kuacha alama chanya kwa jamii. Hafla hiyo imefanyika . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 22, 2025

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Familia za waathiriwa wa maandamano ya kupinga serikali zimetangaza nia yao ya kuandamana hadi ikulu ya rais leo Jumatatu, Desemba 22, kuomba mkutano na Rais William Ruto ili kukemea ucheleweshaji kat . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Serikali ya Rwanda imefunga zaidi ya makanisa 10,000 ya kiinjili nchini humo baada ya kubainika kushindwa kutimiza masharti ya kisheria yaliyowekwa mwaka 2018 kwa lengo la kudhibiti na kusimamia maene . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dk. Benson Bagonza, amewataka Watanzania kujiepusha na tabia alizozitaja kuwa ni “sumu” tano zinazodhoofisha maridhian . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Jeshi la Polisi wilayani Babati mkoani Manyara linafanya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha Patrick Francis (35), mkazi wa kijiji cha Mapea, aliyefariki dunia nyumbani kwao katika mazingira ambayo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Mkuu wa Mkoa wa Mara  Kanali Evans Mtambi   ameagiza wilaya za Tarime na Rorya kulipisha jengo linalomilikiwa na Chama Kikuu cha Wakulima wa Mara (WAMACU) ndani ya muda wa mwezi mmoja, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Marekani yaifuatilia meli nyingine ya mafuta Venezuela

Marekani imetangaza kuwa inaifuatilia Venezuela kwa lengo la kuikamata meli nyingine ya mafuta inayodai kutumiwa na serikali yake kukwepa vikwazo vya biashara ya mafuta vilivyowekwa na Washington.Kati . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Wayahudi watakiwa kuhamia Israel kuepuka chuki

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Israel Gideon Saar amewatoa mwito kwa Wayahudi waishio kwenye mataifa ya magharibi kuhamia nchini Israel ili kuepuka chuki inayoongezeka dhidi ya jamii hiyo.Akizungumza kw . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 22, 2025

Wanafunzi waliotekwa nyara Niger waachiwa huru

Serikali ya Nigeria imethibitisha kuachiwa huru kwa wanafunzi wote waliotekwa nyara katika shule ya St. Mary’s iliyopo katika jimbo la kaskazini la Niger. Taarifa hiyo imetolewa na msemaji wa Ikulu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene ameviomba vyombo vilivyopo chini ya wizara hiyo kufanya utafiti na kuja na suluhisho la kuondoa na kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi ikiwemo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Umoja wa Mataifa umeomba ufadhili wa dharura kusaidia zaidi ya raia 80,000 waliokimbilia Burundi kufuatia mmapigano ya hivi karibuni yaliyotokea Kivu Kusini, hususani katika mji wa Uvira ambako kumesh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Umoja wa Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na taasisi zinazoongoza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na C-Sema na Elimika, wameandaa mwongozo wa uandishi wa ha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 20, 2025

Mwanaume Afariki Baada ya Kufuata “tiba” ya Mtandaoni

Hii ni habari ya kusikitisha  kuhusu kifo cha mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 47 kutoka Vietnam, ambaye alikufa baada ya kuacha kutumia dawa zake za shinikizo la damu na kufuata ushauri kutok . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Ng’ombe 22 wamekufa katika mazingira ya kutatanisha Shinyanga

Ng’ombe 22 wa mfugaji Alex Idege, mkazi wa Kijiji cha Kasingili, Kata ya Ilola, Wilaya ya Shinyanga, wamekutwa wamekufa zizini muda mfupi baada ya kurejea kutoka malishoni, katika tukio linaloibua m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

TikTok yaepuka marufuku ya Marekani kupitia ubia mpya

Mtandao wa kijamii wa TikTok umechukua hatua muhimu ya kibiashara kwa kufikia makubaliano ya kuanzisha ubia na kampuni za Marekani, hatua inayolenga kutatua changamoto za kisheria na kiusalama zilizok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Kura yapigwa kufupisha kifungo cha miaka 27 gerezani alichozabwa Rais

WABUNGE nchini Brazil mnamo Jumatano walipiga kura kufupisha kifungo ambacho Rais Jair Bolsonaro aliangushiwa kutoka miaka 27 hadi miaka miwili.Mswada walioupitisha kufupisha adhabu hiyo, hata hivyo h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Papa Leo akemea wanaotumia dini kuhalalisha vurugu

Papa Leo, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, siku ya Alhamisi Desemba 18, 2025 amewakemea vikali viongozi wa kisiasa na viongozi wa dini wanaotumia imani za kidini kuhalalisha migogoro, vita au sera . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Pwani wajipanga kuwafikia wasio na uwezo kupitia Bima ya Afya kwa Wote

Katika tathmini ya utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Pwani umejipanga kufanya uhakiki wa wananchi wasio na uwezo ili waweze kufikiwa na mpango wa Bima ya Afya kwa W . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Papa Leo Asema Matumizi ya Dini Kuanzisha Vita ni Kufuru na Dhambi Kubwa

Papa Leo ambaye ni  kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani leo Vatican City, Desemba 18 mwaka huu amekemea vikali matumizi ya dini kama chombo cha kuhalalisha migogoro ya kisiasa, vurugu, . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Kifo cha 'Hadi' chazua vurugu kubwa Bangladesh

Maandamano yaliyoambatana na vurugu yamezuka kote mjini Dhaka na sehemu nyingine za Bangladesh kufuatia kifo cha mwanaharakati maarufu Sharif Osman Hadi kutangazwa Alhamisi jioni.Waandamanaji hao wana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Rais wa zamani wa Iraq awa mkuu mpya wa UNHCR

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Alhamisi lilimuidhinisha Rais wa zamani wa Iraq Barham Salih kuwa mkuu ajaye wa shirika la wakimbizi, UNHCR, akiwa ni kwanza kutoka Mashariki ya Kati tangu mwishoni . . .

Kurasa 4 ya 133

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

    • 13 masaa yaliopita
  • Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

    • 13 masaa yaliopita
  • Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode