logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Home HABARI MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO

MSEMAJI na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) Puyo Nzalayaimisi ameendelea na ziara yake kwa ajili ya kuj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

MADAKTARI BINGWA KUTOKA SAUDIA ARABIA WAFANYA UPASUAJI UKEREWE, 50 WAFANYIWA UPASUAJI

madaktari  bingwa kutoka saudia rabia na madaktari wa tanzania wamefenye upasuaji  wa wagonjwa 50 katika wilaya ukerewe mkoani mwanza.mkuu wa wilaya ya ukerewe kanali denis mwila ameeleza ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Rais wa Malawi avunja baraza lake la Mawaziri

Rais wa nchini Malawi, Lazarus Chakwera amelivunja baraza lake la Mawaziri  lote kutokana na masuala ya rushwa. Akituhubia taifa lake kwa njia ya televisheni siku ya Jumatatu tarehe 24 2022 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

WIZARA YA AFYA YAPONGEZA MAENDELEO YA MRADI UPANUZI JENGO LA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MKOANI MBEYA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekilaghe, amepongeza maendelo ya mradi wa upanuzi wa jengo la mama na mtoto na kumtaka mkandarasi kumaliza kazi iliyobakia pamoja na maboresho kabla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Mkurugenzi wa WHO “dunia inaweza tokomeza Covid 2022”

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dr. Tedros amesema Dunia inaweza kuit . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

SERIKALI YA TAZANIA YAANIKA SABABU YA KUWA NA SIMBA WENGI DUNIANI

RAIS wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa, (SCI), Sven Lindqueast ameitaja Tanzania kuwa ni nchi yenye  nusu ya simba wote Duniani katika Mkutano wa 50 wa Mwaka wa Uwindaji wa Kitalii unaoen . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAFUNGUA TAWI MKOANI KATAVI

Tanzania Commercial Bank (TCB)  imezindua tawi jipya Mkoa wa Katavi Wilaya ya Mpanda ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma za kibenki kwa wateja na Wananchi kwa ujumla.Tawi hilo la kwan . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

TCRA IMETANGAZA UAMUZI WAKE DHIDI YA STAR TV KWA KUKIUKA SHERIA YA MAUDHUI

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kwa miezi mitatu kipindi cha Efatha Ministry kinachorushwa kupitia kituo cha televisheni cha Star TV, kwa kukiuka kanuni za maudhui ya Utangazaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 24, 2022

Rais wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kaboré azuiliwa katika kambi ya kijeshi

Rais wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya kijeshi, shirika la habari la Reuters limeripoti.Hatua hiyo Inakuja huku kukiwa na mkanganyiko wa mahali alipo rais.Shirika . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

MADUKA HOSP MITA 500

"Maduka yote ya nje ya dawa yanatakiwa kuwa nje umbali wa mita 500 sheria hii niliipitisha kabla sijaondoka Wizarani, maduka yaliyo ndani ya Mita 500 ndani ya Hospitali Nchi nzima tunakwenda kuyaondoa . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

BASI BILA DEREVA

Norway imesema inajiandaa kuanza majaribio ya Mabasi ya Abiria yasiyokuwa na Dereva ambayo yataanza majaribio kuanzia April 2022,Mabasi hayo yametengenezwa na Kampuni ya Kituruki ya Karsan na yana uwe . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

MAREKANI YAAGIZA FAMILIA ZA WAFANYAKAZI WA UBALOZI KUONDOKA UKRAINE

Marekani imewaagiza ndugu wa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Ukraine kuondoka nchini humo huku hali ya wasi wasi ikiendelea kungezeka katika kanda hiyo.Wizara ya mambo ya nje pia imetoa ruhusa kwa . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

MOTO WAUA TAKRIBAN WATU 16 NA KUJERUHI 8 NCHINI CAMEROON

Serikali Nchini Cameroon imesema takriban watu 16 wamefariki dunia kwenye Klabu iliyopo Mji Mkuu wa Taifa hilo, Yaounde kufuatia ajali ya moto iliyosababishwa na fatakiKwa Mujibu wa Wizara ya Ha . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

RAIS SAMIA AMPONGEZA DKT, SALIM KUTIMIZA MIAKA 80.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania (1984-1985) Dkt. Salim Ahmed Salim kwa kutimiza umri wa miaka 80 leo Januari 23, 2022, pia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Waandamana kupinga sherai za Corona Ujerumani

Maelfu ya watu waliandamana jana nchini Ujerumani kupinga vizuizi vya kuzuia kuenea kwa virusi vya corona na chanjo za lazima huku makundi madogo yakifanya maandamano kinzaniPolisi inasema zaidi y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Madawati Ya Kijinsia Vyuoni Isiwe Ya Mazoea Bali Yalete Tija’- Dkt. Gwajima

Serikali imesema Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Kati ni mojawapo ya wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyowasababishia kushuka kwa ufanisi kwenye masomo yao, hivyo kupitia Mpango Kazi wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Abiria aliyegoma kuvaa barakoa asababisha ndege kukatisha safari angani

Kampuni ya ndege ya Marekani -American Airlines iliyokuwa ikisafiri kutoka Miami kuelekea London Uingereza imelazimika kurudi ilikotoka kwasababu mmoja wa wasafiri wake alikataa kuvaa barakoa, ime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Marekani kusitisha safari za ndege 44 kuelekea China

Serikali ya Marekani imesema  itasitisha safari za ndege 44 kuelekea China kutoka Marekani zinazofanywa na mashirika ya ndege ya China kujibu uamuzi wa serikali ya China kusitisha baadhi ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2022

RIPOTI YA CHANJO YA UVIKO-19 YATOLEWA RUKWA,

Wananchi wa mkoa wa Rukwa wamepongezwa kwa kujitokeza kupata chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa Korona ambapo hadi kufikia mwezi Januari mwaka huu watu 57,638 wamefanikiwa kupata chanjo hiyo katika v . . .

Top Story
  • Na Gsengo
  • January 20, 2022

MHUDUMU WA GESTI AUAWA KWA KUKABWA SHINGO KWA KAMBA YA VIATU CHUMBANI KWA MTEJA

MUHUDUMU wa nyumba ya kulala wageni ya Peace Lodge iliyoko katika eneo la Matarawe Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambaye jina lake limehifadhiwa anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 23 amekutwa ameku . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

KUANZIA FEBRUARI WASIOCHANJWA KUTOZWA FAINI HADI TSH. 9,414,826 NCHINI AUSTRIA.

Kuanzia Februari Nchini Austria, Chanjo kwa Watu wazima itakuwa ni lazima na wote ambao hawajachanjwa watapokea wito wa kuchomwa sindano ya kwanza. Wale ambao hawatajitokeza watatozwa faini baada ya k . . .

Kitaifa
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

SERIKALI YASISITIZA KUENDELEA KUSIMAMIA HAKI ZA WATUMISHI.

erikali imesema, zaidi ya Watumishi wa Umma 180,000 wamepandishwa madaraja ambapo Wilaya ya Nkasi iliyopo mkoani Rukwa imenufaika na promosheni kwa watumishi wake 837 kupandishwa madaraja huku watumis . . .

Kitaifa
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

GHARAMA ZA VIFURUSHI VYA INTANETI ZADAIWA KUPANDA NCHINI.

Wadau wameshuhudia mabadiliko katika bei za Vifurushi vya Intaneti, ikionekana Kampuni za Mawasiliano zimepunguza ukubwa wa Vifurushi vilivyokuwepo awali huku Wananchi wakilalamika kutofahamishwa kuhu . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

MATETEMEKO YA ARDHI YAUA ZAIDI YA WATU 20 AFGHANISTAN

Maafisa Usalama Nchini humo wamesema watu zaidi ya 20 wamefariki dunia baada ya matetemeko ya ardhi yaliyotokea eneo la Magharibi mwa Taifa hiloMatetemeko hayo ya kipimo cha 4.9 na 5.3 yaliathiri Mkoa . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

KESI YA SABAYA NA WENZAKE KILINDIMA TENA LEO.

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita inatarajiwa kuendelea leo kwa shahidi wa 14 wa upande wa mashataka kuanza kutoa ushahidi.Sabaya n . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

MPANGO KUMUWAKILISHA SAMIA SADC

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango anaondoka nchini hii leo kuelekea Lilongwe, Malawi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa . . .

Top Story
  • Na Gsengo
  • January 8, 2022

RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI, MAKATIBU WA KUU NA MANAIBU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Januari 8,2022 amefanya mabadiliko Madogo katika Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu.Rais Samia Sul . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

RAIS WA MSUMBIJI NA MKEWE WAMEKUTWA NA MAAMBUKIZI YA UVIKO 19

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Uviko-19.Taarifa iliyotolewa na ofisi ya Rais huyo jana Jumatatu Januari 3, 2021 imesema kuwa Rais Nyusi na mkewe w . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

TEUZI LEO JANUARI 04.2022.

. . .

Kitaifa
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

MOTOTO AFARIKI KWA KUNYWA DAWA YA MIFUGO.

Mtoto mwenye umri wa miaka mitano amefariki dunia huku mwingine akinusurika baada ya kunywa dawa ya chanjo ya ng’ombe katika kitongoji cha Imalamakoye Wilaya ya Urambo mkoani Tabora. Mwenyekiti . . .

Kurasa 104 ya 107

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Trump akiri kutokubaliana na Putin

    • 6 masaa yaliopita
  • Waliompiga Enock wakamatwa

    • 6 masaa yaliopita
  • Nico Williams asaini mkataba Athletic mpaka 2035

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode