Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky amemtunukia tuzo ya heshima ya Rais mbwa aliyepewa jina Pattern kwa huduma zake tangu uvamivi wa Urusi. Mbwa huyo mwenye umri wa miaka miwili na nusu amekuwa shu . . .
Bomu la ardhini la enzi za ukoloni ambalo halijalipuka lilmegunduliwa katika kijiji kimoja katikati mwa Kenya ambapo baadhi ya wakazi walidhania kuwa ni mzizi wa mboga za kienyeji. Polisi wa K . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito hatua zichukuliwe kuzifungua bandari nchini mwake kuepusha mzozo wa chakula duniani. Zelensky amesema biashara katika bandari hizo imesimama na kuita . . .
Meli kubwa ya shehena ya magari yapatayo 4,397 imewasili katika Bandari ya Dar es Salaam na kuvunja rekodi, ikiwa na idadi kubwa ya magari kuwasili kwa mara moja katika bandari hiyo.Kaimu Mkurug . . .
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini Uganda kuanzia leo Jumanne Mei 10 -11, 2022, kwa mualiko wa Rais wa nchi hiyo, Yowei Museveni.Kwa mujibu wa t . . .
Wanasiasa wa chama cha Democratic nchini Marekani wamekubali kuharakisha msaada zaidi wa dola bilioni 39.8 kwa ajili ya Ukraine na hivyo kuondoa hofu kwamba kuchelewa kwa kura kungevuruga usafiris . . .
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameahirisha ziara yake nchini Lebanon iliyokuwa imepangwa kufanyika mwezi Juni mwaka huu kutokana na sababu za kiafya. Taarifa hiyo imetolewa jana . . .
Rais mpya wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol anaapishwa leo katika sherehe itakayogubikwa na majaribio ya hivi kariuni ya silaha za nyuklia ya Korea Kaskazini. Utawala wa kihafidhina wa rais Yoon unaji . . .
Seneta wa zamani wa Haiti anakabiliwa na mashitaka nchini Marekani kuhusiana na mauaji ya rais wa zamani wa Haiti Jovenel Moise. John Joel Joseph amepandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza katika m . . .
Waziri mkuu wa Sri Lanka Mahinda Rajapaska amejiuzulu Jumatatu kufuatia wiki kadhaa za maandamano yanayomtaka yeye na kaka yake, Rais Gotabaya Rajapaska kujiuzulu kutokana na mzozo mbaya wa kiuc . . .
Mashirika ya ndege ya Nigeria yamesema yamesitisha mpango wa kusitisha safari za ndege za ndani kuanzia Jumatatu kupinga ongezeko la gharama ya mafuta ya anga.Bei imeongezeka karibu mara nne mwa . . .
HEBU VUTA PICHA, unaenda hotelini na badala ya kupokewa na wahudumu, mapokezi unakutana na roboti lililotengenezwa kwa mfano wa mwanamke mrembo, linakukaribisha kwa maneno ya bashasha na kukueleke . . .
JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani yao ya kumaliza kidato ya sita kesho Jumatatu Mei 9, 2022 na kumaliza Mei 27. P . . .
Wananchi wa kijiji cha Rau River Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamefunga ofisi ya kijiji hicho wakidai wanashinikiza kufanyika mikutano ya kijiji pamoja na kusomewa mapato na matumizi ya mash . . .
Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza mawazi, makatibu wakuu wa baadhi ya Wizara kutafuta suluhisho la haraka la kukabiliana na tatizo la kupanda bei ya mafuta nchini.Mkuu huyo wa nchi ametoa agizo . . .
Marekani na mataifa mengine yenye uchumi mkubwa duniani yanayounda kundi la G7 yaliyokutana Jumapili yameafikiana kupiga marufuku au kutonunua mafuta ya Russia, yakilenga moja ya chanzo kikubwa . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy anasema raia 60 wameuwawa wakati shambulizi la bomu la Urusi lilipoiharibu kabisa shule moja katika eneo la mashariki la Luhansk. Maafisa wamesema raia takriban . . .
Wanamgambo wa Libya wanaoungwa mkono na serikali yenye nguvu siku ya Alhamis walikanusha tuhuma za mauaji, mateso, na kazi za kulazimishwa wakisisitiza kuwa wanashikilia sheria na kutishia kuish . . .
Marekani inapanga kuelezea kikamilifu sera yake kwa China kabla ya mfululizo wa mikutano ya ngazi ya juu na viongozi wa Asia na mkutano wa kwanza wa ana kwa ana kati ya wakuu wa ulinzi wa Mareka . . .
Serikali ya Marekani imesema inasimama pamoja na Burundi wakati ikikabiliana na shambulizi la Al-Shabaab hapo Mei 3 kwa wanajeshi wa Burundi ambao wanahudumu katika kikosi cha mpito cha Umoja wa . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenksyy amesema kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za matibabu na dawa katika maeneo ya mashariki na kusini yanayodhibitiwa na Urusi nchini Ukraine. Zelenks . . .
Rais wa Marekani Joe Biden amemteua Karine Jean-Pierre kuwa msemaji wa Ikulu ya White House, mtu wa kwanza mweusi kushikilia wadhifa huo wa hadhi ya juu. Katika taarifa, Biden amesifu uzoefu, tala . . .
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kwa ajili ya kusikiliza hukumu ya rufaa yao kupinga kifungo . . .
Naibu mkuu wa watumishi katika Ikulu ya Urusi, Kremlin, Sergey Kiriyenko amezuru mjini Mariupul, huko Ukraine, ambao kwa kiwango kikubwa unadhibitiwa na Urusi. Kiongozi huyo ambae aliwahi kuwa waz . . .
Mwanaanga wa Kijerumani Matthias Maurer yuko njiani kurejea duniani baada ya karibu miezi sita kuwepo angani kwenye kituo cha anga ya kimataifa. Maurer na wenzake watatu kutoka Marekani wakiwa kat . . .
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameiagiza Serikali kupeleka bungeni hatua za muda mfupi itakazochukua kukabiliana na changamoto ya kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa.&nb . . .
Sweden imepokea hakikisho la kuungwa mkono na Marekani katika kipindi ambapo ombi lake la kutaka kujiunga na Muungano wa Kujihami wa NATO litakapokuwa linazingatiwa na nchi 30 za muungano huo. Hay . . .
Jeshi la Polisi limepewa siku saba kuhakikisha linawakamata vijana maarufu kwa jina la ‘Panya Road’ waliohusika kujeruhi na kuiba katika maeneo mbalimbali jijini hapa.Agizo hilo limetolewa n . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala ambazo zitapunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia.&nbs . . .
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken alipimwa Jumatano na alikutwa na maambukizi ya COVID-19 na atafanya kazi kwa njia ya mtandao, wizara ya mambo ya nje ilisema. Waziri amepata ch . . .