1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Maitre Gims Wawekewa Kizuizini Ufaransa kwa Uchunguzi wa Utakatishaji Fedha

Msanii maarufu wa muziki wa mtindo wa rapa na mwenye asili ya Kongo, Maitre Gims, amewekwa kizuizini nchini Ufaransa ili kuhojiwa . . .

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa . . .

Jembe Michezo

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuend . . .

Taifa Stars yashuka nafasi ya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeshuka kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka duniani vinavyotolewa na FIFA, n . . .

Jembe Habari

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu . . .

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, D . . .

Habari Zote
matukio

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa mshambuliaji yeyote atakayejaribu kuingia n . . .

Kimataifa

JENERALI MUHOOZI AZUA MJADALA KIMATAIFA KWA IRAN

Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda (UPDF), amezua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya . . .

Kitaifa

Palamagamba Kabudi Kuirithi Mikoba ya Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali serikalini, samba . . .

matukio

Vikosi vya Urusi vyaendeleza mashambulizi ya droni Kharkiv

Picha za video za Reuters Television zilionyesha wazima moto wakimimina maji kwenye nyumba iliyokuwa bado inatoa moshi baada ya kushambuliwa . . .

Kimataifa

Iran:Tutapambana hadi maadui wasalimu amri

Iran imesisitiza kuwa itaendelea na vita hadi maadui wake watakaposalimu amri, huku ikikanusha vikali madai ya Rais wa Marekani, Donald Trum . . .

Kimataifa

Trump Afunguliwa Kesi Mpya na Democrats Kuhusu Kura za Posta

Chama cha Democrats nchini Marekani kimefungua kesi mahakamani kupinga agizo jipya la Rais Donald Trump linalolenga kudhibiti upigaji kura k . . .