1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee k . . .

Kanye West Azuiwa Kuingia Uingereza, Tamasha Kubwa Lafutwa

Tamasha kubwa la muziki la Wireless Festival limefutwa rasmi baada ya Rapa Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) kuzuiwa kuingia . . .

Jembe Michezo

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 . . .

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuend . . .

Jembe Habari

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umep . . .

NYOKA ALIYEKUWA AKIFUGWA AUAWA BAADA YA KULETA TAHARUKI MAVIMBA

Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana n . . .

Habari Zote
Afrika Mashariki

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .

SOKA

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .

Kimataifa

Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani

Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .

Afrika

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .

Afrika

Papa Leo akemea vitendo vya rushwa nchini Angola

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Leo wa 14, amekemea vitendo vya rushwa na kuzitaka mamlaka za Angola kumaliza ubaguzi ambao umeend . . .

matukio

NYOKA ALIYEKUWA AKIFUGWA AUAWA BAADA YA KULETA TAHARUKI MAVIMBA

Mkaguzi wa Kata ya Milola, Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Aloyce Andrew, kwa kushirikiana na wananchi . . .