logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Waarabu wamfuata Nabi Dar

Yanga bado haijawapa mikataba mipya makocha wao, lakini kama kuna kitu kitawashtua basi ni ujio wa ofa moja kubwa kwa kocha mkuu Nasreddine Nabi ambaye kama hawatajiongez . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 31, 2022

Sakho avunja ukimya.

wiki tangu kiungo mshambuliaji wa Simba, Pape Sakho atwae tuzo ya Bao Bora kwenye michuano ya Caf.Bao la Sakho liliingia kwenye kinyang’anyiro cha michuano ya Kombe l . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Kambi ya Simba mambo ni moto.

Kambi ya Simba inaendelea kunoga, huku kocha Zoran Maki akisaliwa na wiki kama moja tu kukamilisha programu zake kabla ya kuja kuwasha mitambo katika tamasha la Simba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 28, 2022

Simba tunaanza upyaa

Kocha mkuu wa Simba, Zoran Maki amewaambia wachezaji kuwa atakayefanya vizuri ndiye atakayepata nafasi ya kucheza bila kujali ukubwa wa majina.Kauli hiyo ni kama amew . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 25, 2022

Chelsea Kumbakiza Lukaku Mazima Inter Milan, Waongeza Mkataba wa Mkopo Wake

Klabu ya Chelsea imeripotiwa kufikiria uwezekano wa kumbakiza kwa mkopo wa mwaka mwingine zaidi mchezaji wake Romelu Lukaku hadi mwisho wa msimu wa 2023/2024. Taar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Eric Johana Omondi ajiunga na klabu ya soka ya Muangthong United nchini Thailand

Mchezaji wa kimataifa wa Harambee Stars, Eric Johana Omondi amejiunga na Muangthong inayoshiriki Ligi Kuu nchini Thailand kwa kandarasi ya mwaka mmoja Julai 22. Kupi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

OKWA ATUA SIMBA NA MBWEMBWE ZOTE

Mchezaji mpya wa Simba, Mnigeria Nelson Okwa wikiendi iliyopita aliiaga timu aliyokuwa akiichezea ya Rivers United kibabe kwa kuiongoza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu, ki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Klabu ya Polisi Tanzania yampiga chini kocha Malale Hamsini

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Azam kumenoga kinoma

Matajiri wa Chamazi raundi hii hawataki utani kabisa na bosi mkubwa, Yusuf Bakhresa ameingilia usajili na hadi sasa ameshusha wageni watano wa maana na wazawa watatu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Hatimaye Klabu ya Yanga Rasmi Yamtambulisha Aziz Ki

Kiungo mshambuliaji  Raia wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki (26) hatimaye ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa klabu ya Yanga kabla ya kujiunga na Yanga, Aziz Ki a . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Aliyekuwa Kiungo wa Klabu ya Sofapaka Wisdon Naya Aaga Dunia

Aliyekuwa kiungo wa klabu ya Sofapaka Wisdom Naya ameaga dunia, klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Kenya (KPL) imethibitisha kupitia kwa taarifa.Aliyekuwa Kiungo wa Klabu ya Sofap . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

Zoran apania nusu fainali CAF

Klabu ya Simba juzi ilimtambulisha kocha mkuu, Zoran Maki ambaye ameelewa matumaini mapya ndani ya klabu hiyo msimu ujao na akiwataka wapinzani wake wajipange kwani y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

Nabi aonya mastaa Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, amefurahia usajili uliofanywa na uongozi mpaka sasa lakini akaahidi kutakuwa na mabadiliko makubwa kikosini na amewatumia salamu wachezaji huko w . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Ujerumani yaiadhibu Uhispania na hivyo kutinga kwenye robo fainali

Katika mashindano ya kandanda barani Ulaya kuwania ubingwa wa wanawake yanayoendelea huko England jana ilikuwa zamu ya kundi B kucheza mechi zake na kilele cha uhondo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Chelsea Yafikia Makubaliano na Napoli Kumsajili Beki Kalidou Koulibaly

Klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza imefikia makubaliano na klabu ya Napoli ya nchini Italia juu ya uhamisho wa Beki wao Kalidou Koulibaly kwa ada ya uhamisho ya Eur . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Mastaa 6 baibai Yanga

Mashabiki wa Yanga bado wanaendelea kushangweka baada ya timu hiyo kubeba mataji matatu, huku wakiendelea kusikilizia mastaa wapya watakaoshuka kikosini kwa msimu uja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Zoran avunja ukimya Simba

KOCHA mpya wa Simba, Zoran Manojlovic Maki amevunja ukimya  huku akifichua jinsi alivyouchungulia mziki wa timu hiyo mapema na usajili unaoendelea kikosini akiamin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Kocha Wa Simba kutua Misri

SIMBA inaenda nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa ambapo wao wanashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika huku wakiwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

YANGA INASHUSHA MCHEZAJI MWINGINE TENA

YANGA imemalizana na Bernard Morrison akisaini mkataba wa mwaka mmoja kurejea klabuni kwa masharti kadhaa lakini kuna balaa kubwa wanalifanyia kazi kwa usiri mkubwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

AFCON kufanyika tena Januari na Februari mwaka 2024

Mashindano yajayo ya kuwania ubingwa wa Afrika AFCON yatafanyika mapema mwaka 2024 ili kuzuia kinyang'anyiro hicho kukumbwa na mafuriko wakati wa msimu wa mvua nchini . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Romelu Lukaku arejea Inter Milan kwa mkopo baada ya kuagana na Chelsea

MSHAMBULIAJI matata raia wa Ubelgiji, Romelu Lukaku, 29, amerejea Inter Milan kwa mkopo, takriban mwaka mmoja baada ya kutua ugani Stamford Bridge kuvalia jezi za Che . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Sadio Mane na Mohamed Salah watiwa katika orodha ya Wachezaji 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Mwaka barani Afrika

WASHAMBULIAJI Sadio Mane na Mohamed Salah wamejumuishwa katika orodha ya masogora 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Kiume barani Afrika mnamo 2021-22. Mane aliy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Straika mpya Simba kumekucha

Mkongomani aliyeko kwenye hatua za mwisho za kujiunga na Simba, Ceasar Manzoki ameaga rasmi wachezaji wenzie na mashabiki wa Vipers ya Uganda. Simba imefanya maz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Straika wa mabao atua Simba

Yanga inafanya  usajili wa bandika bandua kutokana na namna wanavyofanya usajili wao kuelekea msimu wa 2022/23, lakini kama unadhani Simba wamepoa unajidanganya. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Man City imemtambulisha Erling Haaland

Club ya Man City imemtambulisha rasmi Erling Haaland (21) kutokea Boru . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

WAKALA APELEKA JINA LA NABI SIMBA

INAWEZA kuwa habari ya kushtua sana kwa mashabiki wa Yanga, lakini ndivyo ilivyo kwamba wakala wa Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, alilipelekea jina la kocha h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Bocco na Mugalu wazua mzozo Simba

WACHEZAJI, John Bocco na Chris Mugalu waliong’ara msimu uliopita wakiwa vinara wa mabao wa Simba na Ligi Kuu Bara msimu uliopita, wamewagawa mabosi wa klabu hiyo ya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

BINGWA LIGI KUU KUONDOKA NA MILIONI 600

BINGWA wa ligi kuu tanzania bara msimu wa 2021/2022 atajinyakulia kombe la shilingi milioni 600. Afisa mtendaji wa mkuu wa bodi ya ligi kuu [TPLB] , Almasi Kasongo , ames . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Urais Yanga...Ni jeuri ya pesa

 Vita ya nafasi ya Urais wa Yanga imeanza. Kuna majina makubwa kwa mashabiki na wanachama ambayo kabla kesho Jua halijazama yatapishana kuchukua fomu za nafasi h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

KANDA YA ZIWA YAPATA WAWAKILISHI MICHUANO YA MAJI CUP

HATIMAYE Michuano ya Maji Cup League 2022 kwa ngazi ya Kanda ya Ziwa imehitimishwa jinini Mwanza na kupata wawakilishi wake watakao kwenda kushiriki kwenye fainali zi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

MASHARTI MAPYA KWA MKONGO

Yanga inaendelea na mazoezi ya kujiandaa na mechi za kumalizia msimu wa Ligi Kuu Bara pamoja na pambano lao na fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASF . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Simba yaleta mchezaji mpya

Mabosi wao wanazidi kukuna kichwa ili kutengeneza timu itakayofukia mashimo yote yaliyojitokeza msimu huu na kushindwa kutimiza malengo yao na moja ni kusaka wacheza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

KARIM BENZEMA AZUA MSALA

Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema, ametiwa hatiani kwa njama ya vitisho dhidi ya aliyekuwa mchezaji mwenza wa timu ya Ufaransa Mathieu Valbuena kuhusiana na . . .

Kurasa 19 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • JAMII IMETAKIWA KUJIEPUSHA NA UHALIFU MTANDAONI

    • saa moja lililopita
  • Shauri la Polepole afisa wa polisi atajwa mahakamani

    • 3 masaa yaliopita
  • Maombi ya Kibatala kuhusu ulinzi wa Polepole uamuzi kutolewa leo

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode