Rais Samia Suluhu Hassan amempokea Rais wa Kenya, William Ruto na kumkaribisha Ikulu Dar es Salaam ambapo watazungumzia masuala kadhaa ya ushirikiano ukiwamo ya kibiashara.Rais Ruto aliwasili nchini j . . .
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amejitetea kwa hatua yake ya kumpandisha cheo mwanawe Jenerali Muhoozi Kainerugaba licha ya kumtimua kama kamanda wa wanajeshi wa ardhini wa Uganda.Katika mageuzi yaliyo . . .
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuzindua kampeni ya kuzuia kujiua barani Afrika, kufuatia kuwepo kwa ripoti nyingi za mauaji ya aina hiyo kutoka Afrika.WHO inaitaja Afrika kuwa ndilo bara li . . .
Wananchi wa Kijiji cha Ruvuma Chini, mkoani Ruvuma, wameishukuru serikali kwa kuwapelekea mradi wa maji ambao unagharimu bilioni 1.3 kwani unakwenda kuondoa changamoto ya watumishi wa serikali kukimbi . . .
Maafisa nchini Nigeria waligundua njia haramu ya kuunganisha mafuta kutoka kwenye mojawapo ya njia yake kuu ya kusafirisha mafuta baharini ambayo imekuwa ikifanya kazi bila kutambuliwa kwa . . .
Qatar imeamuru wafanyakazi wengi wa serikali kufanyia kazi majumbani wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia mwezi ujao. Shule zitapunguziwa masaa wiki mbili kabla ya kuanza kinyang’anyiro hicho na k . . .
Rais William Ruto anatarajiwa kujumuika katika sherehe za Uhuru nchini Uganda siku ya Jumapili, Oktoba 9, hii ikionekana kama juhudi za kutuliza hali tete iliyoshuhudiwa wiki hii kati ya nchi hizi mbi . . .
Serikali ya Morocco imetoa vibali 10 kwa wakulima kulima bangi kihalali kwa ajili ya viwanda na kuuza nje kwa mara ya kwanza.Wakulima katika maeneo ya kaskazini ya al-Hoceima, Chefchaouen na Taounate . . .
Mawaziri wa utalii kutoka zaidi ya nchi 50 wanachama wa shirika la utalii Duniani na maafisa wa Kamisheni ya Afrika Jumatano walikutana jijini Arusha Tanzania kujadili hali ya utalii ilivyo . . .
Florence Samwel ambaye ni mtumishi wa Wizara ya Kilimo amezishtaki Hospitali za TMJ na Hindu Mandal pamoja na Dkt. Maurice Mavura katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya u . . .
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania mkoani Geita Hashim Ngoda amesema wamevuka lengo la makusanyo kwa asilimia 132 katika kipindi cha robo ya kwanza mwaka 2022/2023 ambapo walitakiwa kukusanya s . . .
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha 08/691 KJ Chandarua mkoani Ruvuma, Sajenti Batsin Sanga amehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuwaua kwa risasi mtalaka wake na mwanajes . . .
Rais Yoweri Museveni amemuondoa mwanawe, Muhoozi Kainerugaba, kama kamanda wa majeshi ya nchi kavu ya Uganda, jeshi lilisema Jumanne, baada ya Kainerugaba kutishia mara kwa mara kwenye ukurasa wake wa . . .
Rais Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 5, 2022 amekutana na kuzungumza na Waziri wa Fedha wa Qatar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Katara Hospitality Ali bin Ahmed Al Kuwari, Doha nchini QatarRais wa Jamhuri . . .
Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha kuwa bei za mafuta kuanzia Oktoba 5 zimeshuka hivyo petroli katika jiji la Dar es Salaam itauzwa Sh2,886  . . .
Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza imemkuta na kesi ya kujibu Diana Bundala maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake nane na kuwataka mawakili wanaowatetea kujiandaa kutoa ushahidi dhidi yaoM . . .
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amelishtaki shirika la utangazaji la Marekani CNN kwa kumkashifu, akitaka kulipwa fidia ya dola milioni 75.Trump ameishutumu CNN kwa kuendesha kampeni aliyoiita . . .
Mwanawe Rais wa Uganda Yoweri Museveni Muhoozi Kainerugaba sasa anasema kuwa amewasamehe Wakenya ambao walimvamia kwenye mtandao wa Twitter.Kupitia kwa ujumbe kwenye mtandao wa Twitter, Muhoozi ambaye . . .
Utulivu ulirejea katika mji mkuu wa Burkina Faso siku ya Jumatatu baada ya kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo kukimbilia nchi jirani ya Togo kufuatia mapinduzi ya pili katika muda wa chini ya miezi tisa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemteua Innocent Bashungwa, aliyekuwa Waziri wa TAMISEMI kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.Taarifa ya uteuzi huo ilitolewa u . . .
Maafisa wa tume ya uchaguzi nchini Brazil wamesema kuwa duru ya pili ya uchaguzi itafanyika Oktoba 30, baada ya wagombea wawili wakuu kushindwa kupata zaidi ya asilimia 50 ya kura zinazohitajika. Bara . . .
Waandamanaji wenye hasira wameshambulia ubalozi wa Ufaransa katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou jioni ya Jumamosi. Hii ni baada wa wafuasi wa wanajeshi waliofanya mapinduzi mapya kuituhumu Uf . . .
Hatimaye mwili wa marehemu Hellen Wendy Nyabuto (24),binti wa Kikenya aliyefariki kwa kuzama kwenye bwawa la kuogelea nchini Canada umewasili Nairobi leo.Hellen ambaye alikuwa muuguzi na mwanafunzi al . . .
Rais William Ruto ametoa wito kwa bunge kubuni mikakati ya kuwahoji Mawaziri Bungeni, ili kufafanua sera za serikali na kujibu maswali kuhusu miradi yake.Wakati wa hotuba yake alipofungua rasmi Bunge . . .
Tume ya Kitaifa ya Huduma kwa Polisi Kenya (NPSC) imemteua Massa Hamisi Salim kuwa kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Idara Upelelezi wa Jinai (DCI) hadi mshikilizi kamili ya cheo hicho atakapoteuliwa.Salim ali . . .
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema matatizo mengi yanayiowakumba vijana nchini kwa sasa kiafya yanatokana na lishe duni huku matatizo hayo yakiendelea kuwa siri.Rais Samia amewataka watafiti . . .
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amesema anafanya kila lililo chini ya uwezo wake ili kufanikisha vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya wale wanaowakandamiza wanawake nchini Iran, w . . .
Chanzo cha kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, ambaye alitawala kwa muda mrefu zaidi ya malkia au mfalme mwingine yeyeote wa nchi hiyo, kimetolewa rasmi.Kulingana na cheti cha kifo kilichochapi . . .
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesema hakuna haja ya kuweka vikwazo ikiwemo marufuku ya kutoka nje katika maeneo yenye mlipuko wa Ebola kwasababu Ugonjwa huo hausambazwi kw . . .
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imesema kwamba asilimia 30 ya Watanzania wana tatizo la shinikizo la juu la damu na asilimia 33 wana uzito wa juu wa kupitiliza jambo linaloashiria kwamba wap . . .