logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wauawa na wengine wajeruhiwa

Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waliuawa na wengine watatu kujeruhiwa vibaya wakati gari lao lilipogonga kilipuzi kaskazini mwa Mali siku ya Jumatatu, msemaji wa Umoja wa Mataifa al . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

RAIS SAMIA AFANYA ZIARA FUPI OFISI ZA CCM MKOA KIGOMA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ya tarehe 18 Oktoba, 2022 amefanya ziara fupi kwenye ofisi ya CCM mkoa wa Kigoma na k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Vyakula Vigumu Kusagika Mwilini

Vyakula vya wanga nyingiKula chakula chenye wanga kinaweza kudhoofisha afya kwa muda mrefu kwani husababisha kuongezeka kwa uvimbe na kubadilisha utumbo. Kwa mfano, viazi vinaweza kuchukuliwa kuwa cha . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Sheria ya kilimo kutungwa

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikali ipo njiani kutunga sheria maalum kwa ajili ya kilimo ili kulinda maeneo yote yanayofaa kwa kilimo katika azma yake ya kukuza sekta ya kilimo nc . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Rais Museveni Aamuru Mwanawe Kuondoka kwa Mitandao ya Kijamii

 Yoweri Museveni  "Jenerali Muhoozi Kainerugaba - atakaa mbali na mitandao ya kijamii kufuatia jumbe zake za kivita kuhusu Kenya."Jenerali Muhoozi alitishia uhusiano wa Kenya na Uganda baada . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

uwezo wa kuzaa kwa wanawake kushuka

 miaka 30 ijayo mwanamke wa Tanzania atakuwa na uwezo wa kujifungua wastani wa watoto wachache ripoti ya ‘Tanzania in figures 2021’ kuonyesha uwezo wa kuzaa wa wanawake nchini umeshuka k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JPM MKOANI MWANZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa daraja la JPM,  Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022.  Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Madhara Ya Ulaji Wa Sumu Kuvu Husababisha Kupungua Kwa Kinga Ya Mwili

Kaimu Mratibu wa Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Tanzania (TANIPAC), Khassim Musya akitoa elimu wa wananchi waliofika katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani  yenye Kaulimbiu isemayo 'Uzalishaj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Aliyewasema Wazanzibar kufikishwa mahakamani

Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Elizabeth Ngiba (32), kwa kosa la kujirekodi video na kutoa lugha ya maudhi dhidi ya Wazanzibar akiwaambia kwamba licha ya kujua kujistiri lakini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Wananchi DRC wataka UN kutangaza mauaji ya mara kwa mara kuwa ya kimbari

Wakazi wa Beni, Kivu kaskazini, na Ituri wanaiomba serikali ya DRC na Umoja wa Matifa kutangaza mauaji ya mara kwa mara katika eneo lao kuwa ya kimbari.Akizungumuza na wanahabari akiwa katika ene . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

WANANCHI WAASWA KUTOA USHIRIKIANO THABITI KATIKA UTAFITI WA VVU NCHINI

SERIKALI imezindua Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya Ukimwi Tanzania (THIS 2022-2023) na kueleza kuwa kiwango cha maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI kimeshuka na kufikia asilimia 4.7. Pia imedhamir . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

WAFANYABIASHARA SOKO LA SAMAKI MISUNGWI WALIZWA

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2022

Rais Samia asisitiza Watanzania kuchapa kazi

 Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wakati akielekea Mkoa wa Kigoma leo Jumapili, Oktoba 6, 2022, Rais Samia amesema yeye na wasaidizi wake wapo kwa ajili ya kuitumikia Tanzania na Mtanzania ili kule . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

RAIS SAMIA ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mhe. Philip Isdor Mpango, viongozi wengine wa Chama, Serikali, pamoja na Waumini wa Kanisa hilo wakiwa kwenye Misa Taka . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Mtoto wa Rais Museveni aiomba msamaha Kenya, anataka kuzuru Tanzania

Mtoto wa rais Yower Museveni wa Uganda, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kutembelea Tanzania, ikiwa ni siku chache tangu azue utata wa kuiteka Nairobi kwa wiki mbili.Licha ya baba yake k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Wabunge nchini Iraq wamchagua rais mpya

Wabunge nchini Iraq jana walimchagua Abdul Latif Rashid, mwanasiasa mkurdi mwenye umri wa miaka 78 kuwa rais mpya wa nchi hiyo. Afisa mmoja wa bunge amesema kuwa Rashid alipata zaidi ya kura 160 dhidi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Makonda apelekwa mahakamani

Leo Oktoba 13,2022 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetaja kesi ya madai, iliyofunguliwa na Patrick Christopher Kamwelwe, dhidi ya Willium Malecela na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Mak . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Matokeo ya Sensa Kujulikana mwezi huu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kutangaza matokeo ya zoezi la sensa ya watu na makazi lililoanza kufanyika usiku wa kuamkia Agosti 23, 2 . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Waganga wa jadi wapigwa marufuku Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewaagiza waganga wa jadi kuacha kuwatibu watu wakati wa mlipuko wa ebola unaoendelea ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu 19 nchini humo.Rais pia amewaagiza maaf . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Mbunge wa CCM afariki dunia

 Mbunge wa Aman (CCM), Mussa Hassan Mussa amefariki dunia leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 nyumbani kwake visiwani Zanzibar.Akitoa taarifa ya kifo hicho leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 Spika wa Bunge, D . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Ufaulu shule ya sheria ni hatari tupu

Wanasheria na baadhi ya wadau wametaka utafiti ufanyike kubaini chanzo cha anguko kwenye mtihani wa uwakili katika Shule Kuu ya Sheria Tanzania (LST).Pendekezo hilo na mengine yamekuja kufuatia matoke . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Ujerumani kurejesha vipande 70 vya kazi za sanaa nchini Nigeria

Shehena ya kazi za sanaa zipatazo 70 zilizoporwa kutoka ufalme wa zamani wa Benin zitarejeshwa nchini Nigeria kutoka jumba la makumbusho la nchini Ujerumani. Uamuzi huo umefikiwa jana Jumanne baada ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Upelelezi wa kesi ya sabaya bado unaendelea

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya akiendelea kusota mahabusu kwa siku 132 sasa tangu afikishwe mahakamani, mwendesha mashtaka wa Serikali, Kassim Nassir amesema upelelezi wa kesi hiyo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Rais Samia kuanza ziara ya siku nne Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu.Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Mkutano Mkuu wa CPC Kuzingatia Utulivu na Mwendelezo wa Sera

Mkutano huu unafanyika katika wakati hali ya ndani ya China na hali ya kimataifa, ina changamoto mbalimbali kiuchumi na kiusalama, kwa hiyo kitakachojadiliwa na kuamuliwa kwenye mkutano huo, sio kama . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Vikundi 1184 kuboresha malezi ya mtoto wa kike

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum  Dkt. Dorothy Gwajima amesema serikali imeanzisha vikundi vya malezi 1184 katika mikoa 17 Tanzania Bara  hadi kufikia Juni 20 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Urusi na Belarus kuunda kikosi cha pamoja cha kijeshi

Kiongozi wa Belarus Alexander Lukashenko hapo jana alitangaza kuundwa kwa kikosi cha pamoja cha nchi yake ndani ya jeshi la Urusi. Lukashenko alisema hatua hiyo inatokana na shinikizo linaloongezeka k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 11, 2022

Muuguzi ashutumiwa kuwaua kwa sumu watoto wachanga zaidi ya 10 hospitalini

Lucy Letby ameshtakiwa kwa mauaji ya watoto watano wa kiume na wakike wawili."Mtoaji sumu alikuwa kazini" katika hospitali ambapo kulikuwa na "kuongezeka kwa kiasi kikubwa" kwa idadi ya watoto wenye a . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

Wakaazi wa Komanda DRC waomba jeshi kuwawekea ulinzi wa kutosha

Wakaazi wa Mji wa Komanda  wilayani Irumu mkoani Ituri Kaskazini mashariki mwa Congo wanaomba jeshi la serikali kuweka ulinzi wa kutosha katika miji na vijiji vya wilaya yao vinavyoshambuliwa kil . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

Papa Francis "kutengwa ni kashfa, karaha na dhambi"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis siku ya Jumapili alitoa utetezi mkali dhidi ya wahamiaji, akitaja kutengwa kwao kuwa “kashfa, karaha na dhambi”, na kumuweka katika mgongano na ser . . .

Kurasa 85 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 15 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 15 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 15 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode