logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • November 3, 2022

Tumbili Ahudhuria Mazishi ya Jamaa Aliyemlisha

Peetambaram Rajan mwenye umri wa miaka 56, aliripotiwa kufariki dunia baada ya kupata ugonjwa wa ghafla katika nyumba yake iliyoko huko Batticaloa, Sri Lanka. Lakini katika maisha yake yote, alij . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • November 3, 2022

Tumbili Ahudhuria Mazishi ya Jamaa Aliyemlisha

Peetambaram Rajan mwenye umri wa miaka 56, aliripotiwa kufariki dunia baada ya kupata ugonjwa wa ghafla katika nyumba yake iliyoko huko Batticaloa, Sri Lanka. Lakini katika maisha yake yote, alij . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 2, 2022

NGUO ZA MITUMBA ZAPIGWA MARUFUKU KENYA

Waziri wa Biashara Moses Kuria wa nchini kenye ametangaza kupiga marufuku mavazi ya nguo za mitumba hivi.Akiongea katika hafla ya Changamka ambayo  katika ukumbi wa KICC, Kuria alisema serikali i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 2, 2022

Jair Bolsonaro azungumza kwa mara ya kwanza tangu aliposhindwa uchaguzi

Rais wa Brazil Jair Bolsonaro amezungumza kwa mara kwanza jana Jumanne tangu aliposhindwa uchaguzi na kutoa hotuba fupi ambayo hakutamka wazi kuyakubali matokeo.Hotuba yake haikugusia chochote kuhusu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 1, 2022

Korea Kaskazini yataka Marekani na Korea Kusini kuachana na luteka za kijeshi

Korea Kaskazini imeitaka Marekani na Korea Kusini kuacha kufanya luteka kubwa za pamoja za kijeshi inazozitaja kama uchokozi unaoweza kuchochea hatua kali zaidi kutoka kwa Pyongyang. Taarifa ya wizara . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 1, 2022

Rais wa Kenya Ruto aagiza mapinduzi ya jeshi la Polisi

Rais wa Kenya William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali yake kukomesha mauaji ya kiholela nchini humo, kwa kuagiza shirika la polisi kuandaa mipango ya mageuzi na uangalizi wa raia. Haya yanajiri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 30, 2022

DRCongo yamtimua Balozi wa Rwanda mjini Kinshasa

Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo Vincent Karega. Hatua hiyo inajiri wakati kundi la waasi la M23 ambalo Kongo inadai kuwa linaungwa mkono na Kigali, likiendelea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Asasi za kiraia zamtaka Macky Sall kutangaza kama atawania tena urais

Mashirika kadhaa nchini Senegal, yanamtaka Rais Macky Sall kuondoa shaka, na kutangaza hadharani kwamba hatagombea muhula wa tatu, jambo ambalo walisema linaweza kuzua "machafuko." Sall, ambaye . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Maambukizia ya kifua kikuu yaongezeka duniani

Ripoti mpya ya Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, inasema dadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, ikiwa ni pamoja na uwepo wa wenye kupata usugu wa dawa, imeongezeka kwa mara ya kwanza baada . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 26, 2022

FAHAMU KUHUSU TIBA YA MACHO KUTOKA ST CLARE HOSPITAL MWANZA

IDAARA ya macho ina sehemu kuu mbili nazo ni kliniki ya macho na chumba cha upasuaji wa macho.Jeh yapi magonjwa ya macho yanayo wakuta wengi?Vipi kwa wachomeleaji vyoma watumiao moto wenye wmanga mkal . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 26, 2022

Walioondolewa Kazini kwa vyeti Feki

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa watumishi wote walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti warejeshewe michango yao waliyochangia kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.Watumishi hao ni wale walioondo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 26, 2022

Mwanaume Mchafu zaidi Duaniani Afariki Dunia Baada ya Watu Kumchukua na Kumuogesha

Mwanamume mmoja wa Iran aliyepewa jina la ‘mtu mchafu zaidi duniani’ kwa kutooga kwa zaidi ya nusu karne amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti.Amou H . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Waziri wa uchumi Japan ajiuzulu

Waziri wa Uchumi wa Japan, Daishiro Yamagiwa,  Jumatatu aliwasilisha barua ya kujiuzulu kutokana na mahusiano yake na kanisa la Unification. Yamagiwa alikuwa amekabiliwa na ukosoaji mkubwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

MASAUNI AWATAKA TRAFIKI KUKAMATA MABASI YASIYO NA VIZIBITI MWENDO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi Nchini na Baraza la Taifa na Usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vizibiti mwendoMasaun . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Askofu Dkt. Gwajima Afanya Uteuzi wa Wasadizi Wake

Josephat Gwajima katika kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi katika suala zima la michezo amewateua wafuatao kuwa wasaidizi wa Mbunge kwenye masuala ya michezo, utamaduni na sanaa. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

HRW yatoa wito kwa Qatar kulinda haki za watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja

Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema polisi nchini Qatar, imewakamata na kuwanyanyasa wanachama wa Jamii ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, kuelekea mashin . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

jamaa abomoa nyumba kisa mwanamke kuchukuliwa na mwanaume mwingine

Francis Banda, mwanamume kutoka Malawi anayeishi Ntcheu, anagonga vichwa vya habari baada ya kubomoa nyumba mbili kutokana na hasira iliyosababishwa na kuvunjwa moyo.Banda alimwacha na kukimbilia kwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 23, 2022

Kenya na Marekani zinataka mzozo wa Ethiopia kutatuliwa haraka iwezekanavyo

Mshauri wa usalama wa taifa wa rais wa Marekani Jake Sullivan, amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya Dr. Monica Juma kuhusu vita vya Ethiopia na mgogoro wa kibinadamu unaoendelea kuongezeka nchini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2022

Boris Johnson 'ameanza kampeni' kuwa waziri mkuu wa Uingereza

Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson amerudi nchini humo katika juhudi zake za kujaribu kurudi madarakani baada ya kujiuzulu wa Liz Truss. Johnson alilazimika kujizulu baada ya utaw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

waziri mkuu wa uingeraza aishangeza dunia

Liz Truss amejiuzulu kama waziri mkuu wa Uingereza baada ya kukaa madarakani kwa chini ya miezi miwili.Kuanzia mkutano wake wa kwanza na Malkia, hadi machafuko ya bajeti yake ndogo, wiki zake sita mad . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

NCC WATAKIWA KUANDAA MIONGOZO BORA YA UJENZI

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe.Atupele Mwakibete ameitaka Bodi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), kuandaa Sera, Sheria, Kanuni na miongozo bora itakayosimamia na kuleta maendeleo ya sek . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

Zimbabwe Yaibuka ya Kwanza Bara Afrika Kuidhinisha Chanjo ya ukimwi

Zimbabwe imeibuka taifa la kwanza katika bara la Afrika kuidhinisha chanjo ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi.Zimbabwe itaanza kutoa chanjo hiyo rasmi baada ya kupata idhini ya matumizi yake ku . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Baadhi ya visababishi vya kiungulia

KIUNGULIA humfanya mtu ahisi kana kwamba kuna mwasho kifuani. Chakula tunachokula hupitia kinywani mwetu hadi kwenye mirija inayojulikana kama umio. Kinapitia uwazi ulio kati ya umio na tumbo. Uf . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Wauguzi Wafutiwa leseni

Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), limewafutia leseni wauguzi wasaidizi wawili wa Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo, Masasi mkoani Mtwara, baada ya kupatikana na hatia ya uzembe uliosaba . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Indonesia yapiga marufuku kwa muda dawa za maji kwa watoto

Indonesia imepiga marufuku kwa muda dawa zote za maji kufuatia vifo vya watoto wapatao 100 kutokana na uharibifu wa figo. Haya yameripotiwa leo na wizara ya afya nchini humo. Wizara hiyo imesema k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Marekani yawashtaki raia watano wa Russia 20

Waendesha mashtaka wa Marekani Jumatano waliwashtaki raia watano wa Russia kwa kukwepa vikwazo na mashtaka mengine kwa kusafirisha teknolojia za kijeshi. Teknolojia hizo zilinunuliwa kuto . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

ST CLARE HOSPITAL MWANZA WAJA NA SULUHISHO TIBA YA MIONZI KUNUSURU UHAI KWA WANANCHI KANDA YA ZIWA.

"Umegusia suala la Tezi dume hapo, wengi wanaume ukileta mjadala wa changamoto hiyo, fikra zao huelekea kwenye kile kipimo cha kidole ambacho wengi hukikwepa wakisema si rafiki, unatoa rai gani kwa wa . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

WAKULIMA MKOANI ARUSHA WASHAURIWA KUZALISHA VYAKULA VYENYE LISHE BORA

WAKULIMA Mkoa wa Arusha wameshauriwa kufanya uzalishaji wa vyakula wenye lishe bora utakaokidhi afya ya mwananchi baada ya uzalishaji huku wakitakiwa pia kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya fam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Shirika la WHO lahofia kutofikiwa malengo ya maendeleo ya UN ya 2030

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema janga la Uviko-19 pamoja na vita na migogoro ni masuala yaliyorudisha nyuma juhudi za kuimarisha afya na ustawi wa wanawake pamoja na watoto. Kwa mujibu wa dat . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

WHO yaonya matumizi dawa nne za kunywa watoto barani Afrika

Mkurugenzi wa shirika la afya duniani, Tedrso Adhanom Ghebreyesus AP - Salvatore Di NolfiShirika la afya duniani, WHO, juma hili limetoa angalizo kuhusu matumizi ya dawa nne za kimiminika zinazotumiwa . . .

Kurasa 84 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 15 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 15 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode