Peetambaram Rajan mwenye umri wa miaka 56, aliripotiwa kufariki dunia baada ya kupata ugonjwa wa ghafla katika nyumba yake iliyoko huko Batticaloa, Sri Lanka. Lakini katika maisha yake yote, alij . . .
Peetambaram Rajan mwenye umri wa miaka 56, aliripotiwa kufariki dunia baada ya kupata ugonjwa wa ghafla katika nyumba yake iliyoko huko Batticaloa, Sri Lanka. Lakini katika maisha yake yote, alij . . .
Waziri wa Biashara Moses Kuria wa nchini kenye ametangaza kupiga marufuku mavazi ya nguo za mitumba hivi.Akiongea katika hafla ya Changamka ambayo katika ukumbi wa KICC, Kuria alisema serikali i . . .
Rais wa Brazil Jair Bolsonaro amezungumza kwa mara kwanza jana Jumanne tangu aliposhindwa uchaguzi na kutoa hotuba fupi ambayo hakutamka wazi kuyakubali matokeo.Hotuba yake haikugusia chochote kuhusu . . .
Korea Kaskazini imeitaka Marekani na Korea Kusini kuacha kufanya luteka kubwa za pamoja za kijeshi inazozitaja kama uchokozi unaoweza kuchochea hatua kali zaidi kutoka kwa Pyongyang. Taarifa ya wizara . . .
Rais wa Kenya William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali yake kukomesha mauaji ya kiholela nchini humo, kwa kuagiza shirika la polisi kuandaa mipango ya mageuzi na uangalizi wa raia. Haya yanajiri . . .
Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo Vincent Karega. Hatua hiyo inajiri wakati kundi la waasi la M23 ambalo Kongo inadai kuwa linaungwa mkono na Kigali, likiendelea . . .
Mashirika kadhaa nchini Senegal, yanamtaka Rais Macky Sall kuondoa shaka, na kutangaza hadharani kwamba hatagombea muhula wa tatu, jambo ambalo walisema linaweza kuzua "machafuko." Sall, ambaye . . .
Ripoti mpya ya Shirika la Afya Ulimwenguni WHO, inasema dadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, ikiwa ni pamoja na uwepo wa wenye kupata usugu wa dawa, imeongezeka kwa mara ya kwanza baada . . .
IDAARA ya macho ina sehemu kuu mbili nazo ni kliniki ya macho na chumba cha upasuaji wa macho.Jeh yapi magonjwa ya macho yanayo wakuta wengi?Vipi kwa wachomeleaji vyoma watumiao moto wenye wmanga mkal . . .
Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa watumishi wote walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti warejeshewe michango yao waliyochangia kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.Watumishi hao ni wale walioondo . . .
Mwanamume mmoja wa Iran aliyepewa jina la ‘mtu mchafu zaidi duniani’ kwa kutooga kwa zaidi ya nusu karne amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti.Amou H . . .
Waziri wa Uchumi wa Japan, Daishiro Yamagiwa, Jumatatu aliwasilisha barua ya kujiuzulu kutokana na mahusiano yake na kanisa la Unification. Yamagiwa alikuwa amekabiliwa na ukosoaji mkubwa . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi Nchini na Baraza la Taifa na Usalama barabarani kuhakikisha wanayakamata mabasi yote yasiyo na vizibiti mwendoMasaun . . .
Josephat Gwajima katika kutekeleza ilani ya chama cha mapinduzi katika suala zima la michezo amewateua wafuatao kuwa wasaidizi wa Mbunge kwenye masuala ya michezo, utamaduni na sanaa. . . .
Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema polisi nchini Qatar, imewakamata na kuwanyanyasa wanachama wa Jamii ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, kuelekea mashin . . .
Francis Banda, mwanamume kutoka Malawi anayeishi Ntcheu, anagonga vichwa vya habari baada ya kubomoa nyumba mbili kutokana na hasira iliyosababishwa na kuvunjwa moyo.Banda alimwacha na kukimbilia kwa . . .
Mshauri wa usalama wa taifa wa rais wa Marekani Jake Sullivan, amefanya mazungumzo na mwenzake wa Kenya Dr. Monica Juma kuhusu vita vya Ethiopia na mgogoro wa kibinadamu unaoendelea kuongezeka nchini . . .
Aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson amerudi nchini humo katika juhudi zake za kujaribu kurudi madarakani baada ya kujiuzulu wa Liz Truss. Johnson alilazimika kujizulu baada ya utaw . . .
Liz Truss amejiuzulu kama waziri mkuu wa Uingereza baada ya kukaa madarakani kwa chini ya miezi miwili.Kuanzia mkutano wake wa kwanza na Malkia, hadi machafuko ya bajeti yake ndogo, wiki zake sita mad . . .
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe.Atupele Mwakibete ameitaka Bodi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), kuandaa Sera, Sheria, Kanuni na miongozo bora itakayosimamia na kuleta maendeleo ya sek . . .
Zimbabwe imeibuka taifa la kwanza katika bara la Afrika kuidhinisha chanjo ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi.Zimbabwe itaanza kutoa chanjo hiyo rasmi baada ya kupata idhini ya matumizi yake ku . . .
KIUNGULIA humfanya mtu ahisi kana kwamba kuna mwasho kifuani. Chakula tunachokula hupitia kinywani mwetu hadi kwenye mirija inayojulikana kama umio. Kinapitia uwazi ulio kati ya umio na tumbo. Uf . . .
Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), limewafutia leseni wauguzi wasaidizi wawili wa Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo, Masasi mkoani Mtwara, baada ya kupatikana na hatia ya uzembe uliosaba . . .
Indonesia imepiga marufuku kwa muda dawa zote za maji kufuatia vifo vya watoto wapatao 100 kutokana na uharibifu wa figo. Haya yameripotiwa leo na wizara ya afya nchini humo. Wizara hiyo imesema k . . .
Waendesha mashtaka wa Marekani Jumatano waliwashtaki raia watano wa Russia kwa kukwepa vikwazo na mashtaka mengine kwa kusafirisha teknolojia za kijeshi. Teknolojia hizo zilinunuliwa kuto . . .
"Umegusia suala la Tezi dume hapo, wengi wanaume ukileta mjadala wa changamoto hiyo, fikra zao huelekea kwenye kile kipimo cha kidole ambacho wengi hukikwepa wakisema si rafiki, unatoa rai gani kwa wa . . .
WAKULIMA Mkoa wa Arusha wameshauriwa kufanya uzalishaji wa vyakula wenye lishe bora utakaokidhi afya ya mwananchi baada ya uzalishaji huku wakitakiwa pia kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya fam . . .
Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema janga la Uviko-19 pamoja na vita na migogoro ni masuala yaliyorudisha nyuma juhudi za kuimarisha afya na ustawi wa wanawake pamoja na watoto. Kwa mujibu wa dat . . .
Mkurugenzi wa shirika la afya duniani, Tedrso Adhanom Ghebreyesus AP - Salvatore Di NolfiShirika la afya duniani, WHO, juma hili limetoa angalizo kuhusu matumizi ya dawa nne za kimiminika zinazotumiwa . . .