Rais wa Russia, Vladimir Putin, Alhamisi amesema yuko tayari kuafikiana kuhusu Ukraine katika mazungumzo yanayowezekana chini ya Rais-mteule wa Marekani Donald Trump, ili kumaliza vita na hakutoa mash . . .
NCHI zimetenga bajeti kidogo kwa afya huku wagonjwa wengi kutoka familia maskini wakipitia changamoto ya kulipia ada za hospitali, Shirika la Afya Duniani (WHO) limebaini.Ripoti iliyochapishwa na WHO . . .
Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, Jumatano amewataka wabunge wa Marekani kuukataa mswada wa ufadhili wa muda kwa bajeti baada ya Ijumaa, na hivyo kuongeza uwezekano wa kufungwa kwa sehemu y . . .
Mahakama ya Juu ya Marekani, Jumatano imeamua kusikiliza maombi ya TikTok na kampuni yake mama ya China, ByteDance, kuzuia sheria iliyokusudia kulazimisha uuzwaji wa TikTo ifikapo Januari 19 au kupigw . . .
Wizara ya Afya ya Urusi imetangaza kuwa imegundua chanjo dhidi ya saratani ambayo itatolewa bure kwa wagonjwa na inatarajiwa kuanza kutumika rasmi mwaka 2025.Andrey Kaprin, Mkuu wa Kituo cha Utafiti w . . .
Umoja wa Ulaya Jumatatu kwa mara ya kwanza uliweka vikwazo vyenye mamlaka kamili, ikiwa ni pamoja na kuzuia mali na marufuku ya viza, kwa makampuni ya Kichina kwa kuipatia Russia vifaa vya . . .
Nchini Kenya, Madaktari wanatarajiwa kuandamana jijini Nairobi hivi leo, kuishinikiza serikali kutekeleza makubaliano ya kuwaongezea mshahara na kuwaboreshea mazingira ya kazi, baada ya mgomo walioufa . . .
Polisi wanaendelea na uchunguzi kufahamu kama Mtu aitwae Vincent Peter Massawe wa DSM amejipoteza mwenyewe kwa makusudi ama la, ikiwa ni siku kadhaa toka Ndugu zake watangaze kupotea kwake.Taarifa ya . . .
Baada ya taarifa za kupotea kwa Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini December 11, 2024 Jijini Dar es salaam, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema . . .
Kuanzia mwezi wa 4 mwakani, wafanyakazi wa serikali kutokea mji mkuu wa Taifa la Japan, Tokyo watakuwa wanufaika wa kwanza wa mfumo wa kupunguziwa siku za kufanya kazi katika wiki, kutoka siku 5 hadi . . .
Umoja wa Mataifa Jumatano umeonya kuwa uamuzi wa Taliban wa kuwazuia wanawake kusomea utabibu kutaharibu hali zaidi Afghansitan ambayo tayari inakabiliwa na janga baya sana la kibinadamu.Katibu . . .
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Chido katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa Kisiwa cha Madagascar.Taarifa ya TMA ya leo Desemba 12, 2024 iliyopo kwenye tovuti . . .
LEO ni Sikukuu ya Jamhuri. Siku ya Jamhuri ni mojawapo ya siku za kitaifa katika Jamhuri ya Kenya. Jamhuri ni nchi huru inayojitawala.Kenya inatambuliwa kama Jamhuri na mataifa mengine ulimwenguni. Ka . . .
Nchi za Somalia na Ethiopia, zimekubaliana kumaliza mvutano kati yao baada ya kumalizika kwa mazungumzo yaliyoongozwa na rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan jijini Ankara.Rais Erdogan, msuluhishi wa . . .
skari wa Usalama Barabarani wametakiwa kukamata mabasi yanayoendeshwa kwa mwendokasi mara tu wanapoona kosa hilo kupitia mfumo wa VTS na wasisubiri mpaka orodha ya mabasi yaliyovunja sheria kutoka Mak . . .
Serikali ya Nchi ya Urusi imewataka raia wake kutosafiri kwenda Marekani, Canada au baadhi ya nchi za Umoja wa Ulaya, ikisema kuna hatari ya kuandamwa na mamlaka za Marekani, kutokana na uhusiano mbay . . .
Sudan, kwa mwaka wa pili mfululizo imeorodheshwa miongoni mwa mataifa yanayokumbwa na mzozo mbaya wa kibinadamu duniani katika ripoti iliyotolewa Jumatano na shirika la hisani la International Rescue . . .
Familia za wafungwa wa Syria Jumatatu zilikuwa zinazunguka kwenye vyumba vichafu katika jela ya Sednaya mjini Damascus kujaribu kuona dalili za kuwpata jamaa zao waliofungwa kwa muda mrefu pale . . .
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kwamba Profesa Mohamed Janabi atakuwa mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika katika uchaguzi utakaotangazwa na shirika hil . . .
Mkoa wa Manyara umeadhimishi siku ya uhuru wa Tanzania bara kwa kupanda miti katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Babati mrara, pamoja na kuwajulia hali Wagonjwa katika Hospitali hiyo.Akizungumza mar . . .
Rais-mteule wa Marekani, Donald Trump ameapa kufanya mabadiliko makubwa na ya haraka baada ya kuchukua ofisi Januari 20, kwa kuwarudisha makwao mamilioni ya wahamiaji walio ndani ya nchi kinyume . . .
BAADA ya miezi minne, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo tena katika Baraza lake la Mawaziri:Innocent Bashungwa na Dk. Damas Ndumbaro ni miongoni mwa mawaziri wanaoongoza kusimamia wi . . .
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa awataka wahandisi wote nchini wazingatie miiko na maadili ya taalum hiyo ikiwemo kuitekeleza miradi ya ujenzi kwa ubora unaoendana na thamani ya fedha halisi iliyotolewa.â . . .
Jeshi la Polisi limetolea ufafanuzi video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na kauli ya Mkurugenzi wa Taasisi ya Reach Out Tanzania, Kumbusho Dawson ambaye alisema Watu waliojitambulisha k . . .
Serikali imekiri kubeba mzigo mkubwa wa kuwahudumia wahalifu waliopo magerezani kwa huduma mbalimbali ikiwemo chakula, malazi na gharama za matibabu huku ikiitaka Idara ya Huduma ya Uangalizi kuielewe . . .
Rais wa kihafidhina wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol ang'ang'ania madarakani. Siku ya Alhamisi, Desemba 5, chama chake kmetangaza kwamba kitashinda hoja ya kushtakiwa iliyowasilishwa Bungeni na upinzani . . .
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa Mwaka 2024 yafanyike katika ngazi ya mikoa na Fedha zilizotengwa . . .
Serikali ya Ufaransa inakabiliwa na kura ya kutokuwa na imani Jumatano, hatua ambayo inaweza kuisumbua serikali ya waziri mkuu Michael Barnier.Wachambuzi wanatabiri kuna uwezekano mkubwa kwa wabunge w . . .
Utawala wa Rais Biden, wa Marekani, Jumatatu umetangaza kuweka vikwazo kadhaa vipya kwa bidhaa kwenda China, vikizuia kuuzwa kwa vifaa muhimu vya teknolojia za viwandani, na vile vikubwa vya kuweka ku . . .
Mpango wa Umoja wa Mataifa wa UKIMWI unachapisha ripoti inayoangazia umuhimu wa haki za binadamu katika kutokomeza janga hili. Ubaguzi, ukosefu wa usawa katika upatikanaji wa matunzo na migogoro ya ki . . .