logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Teknolojia
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Ripoti "Robo ya wateja hawana imani na malipo ya data, SMS ya Safaricom"

TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Elon Musk ametoa Internet bure Venezuela

Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 ha . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Je uwepo wa Wanafunzi wengi,ubora mdogo tatizo liko wapi. Pitia hapa tukujuze

Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye upatikanaji wa elimu tangu uhuru mwaka1961,hasa katika kuandikisha wanafunzi wengi shuleni.Hata hivyo,ta . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ifahamu Kagera jinsi ilivyobarikiwa

Mkoa wa kagera,ulioko kaskazini magharibi mwa Tanzania,ni moja ya maeneo yenye historia ya kipekee.Kabla ya uhuru ,eneo hili lilijukana kama . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mama Maria Nyerere apokea nishani ya baba wa Taifa

Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri y . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Ripoti yasema majanga kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yaongeza matatizo ya akili

RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 imeiweka Kenya katika nafasi ya nne barani Afrika kwa idadi ya watu walioathiriwa na m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Watu 29 wamefariki katika maandamano dhidi ya serikali Iran

Maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran yameingia wiki ya pili huku idadi ya watu waliopoteza maisha ikifikia 29, kwa mujibu wa taarifa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Urusi na China zatoa wito kwa Marekani kumuachilia Maduro

Urusi na China zimetoa wito kwa Marekani kumuachilia kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores kufuatia kukamatw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maduro ajitetea mahakamani baada ya kukamatwa na Marekani

Kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro amejitangaza kuwa "rais halali wa Venezuela" wakati akipinga kukamatwa kwake nchini Marekani na amekan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Waziri Mkuu Mwigulu Aagiza Upanuzi wa Nafasi kwa Wachezaji Wazawa Kujiandaa AFCON 2027

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais Ndayishimiye akosoa matamshi ya Waziri wake kuhusu Qatar

Nchini Burundi, Rais Evariste Ndayishimiye alilazimika kumkemea waziri wake wa mambo ya nje baada ya waziri huyo kutuma ujumbe wa kuikosoa Q . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Operesheni ya kumkamata Maduro yasababisha vifo 32

Cuba imethibitisha kuwa raia wake 32 waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro.Nchi inayoongozwa kikomunisti am . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Watatu familia moja wafariki kwa moto

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa chanzo c . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kacheri asakwa na polisi kwa kumuua mkewe

. . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Trump atoa onyo kali kwa Makamu wa Rais wa Venezuela

Rais wa Marekani Donald TrumP ametoa kauli kali dhidi ya Makamu wa Rais wa Venezuela Delcy Rodríguez akionyesha msimamo mkali wa Washington . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Zelensky aanza msururu wa mazungumzo ya amani

. . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Kocha wa Morocco aonya dhidi ya kuidharau Taifa Stars

Kocha wa timu mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON 2025 Morocco Walid Regragui amewaonya wachezaji wake dhidi ya kuwapuuza wapin . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mahakama ya Juu yaidhinisha ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais

Mahakama ya Juu nchini Guinea imeeidhinisha siku ya Jumapili jioni, Januari 5, ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais wa Desem . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Watu 114 wameuawa katika kipindi cha wiki moja Darfur

Watu 114 wameuwa nchini Sudan, baada ya kushuhudiwa kwa makabiliano makali kati ya wanajeshi wa wanamgambo wa RSF, Magharibi mwa jimbo la Da . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kata ya Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura leo kuchagua madiwani

Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rais Trump amuonya kiongozi mpya wa Venezuela

Aliyekuwa rais wa Venezuela Nicolas Maduro aliyekamatwa pamoja mkewe Cilia Flores wakati wa operesheni maalum iliyotekelezwa na vikosi vya M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wahanga wote wa moto nchini Uswisi wametambuliwa

Watu wote 40 waliokufa katika moto uliotokea kwenye baa wakati wa mkesha wa Mwaka Mpya nchini Uswisi wametambuliwa na mamlaka za nchi hiyo.P . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Wenyeji Morocco wafuzu robo fainali AFCON 2025

Morocco imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kupata ushindi mwembamba wa 1–0 dhidi ya Taifa Stars Tanzania kat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mwanamume wa Siaya Aliyemuua Chatu, Akampeleka Kituo cha Polisi Atapewa Fidia, KWS Wathibitisha

Mwanamume kutoka kijiji cha Sigomere katika kaunti ya Siaya amepata nafuu na faraja kufuatia kifo cha kusikitisha cha mbwa wake. Mwanam . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wapiganaji saba wauawa katika mashambulizi Yemen

Wapiganaji saba wa kundi la waasi wanaotaka kujitenga wameuawa katika mashambulizi ya angani huku muungano unaoongozwa na Saudi Arabia nchin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Rais wa zamani wa Brazil Aruhusiwa Hospitali na Arudishwa Gerezani

Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameondoka hospitalini katika Mji Mkuu wa Brasilia ikiwa ni wiki moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Polisi Waendelea na Uchunguzi Ajali ya Lori Morogoro

Polisi Mkoa wa Morogoro limetoa taarifa kwa umma kuwa linaendelea na uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 31, 2025 maji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia 96 wameokolewa

Serikali ya Gambia imethibitisha kisa cha kusikitisha ambapo Boti iliyokuwa imebeba Wahamiaji zaidi ya 200 imeripotiwa kupinduka usiku wa ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Binti wa Kim atembelea makaburi ya Kumsusan

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, Ju Ae amekuwa akionekana mara kwa mara na kwa umaarufu mkubwa zaidi kwenye vyombo vya habari vya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Walimu wakuu wataka wizara irudi kwa mfumo wa zamani wa kuteua wanafunzi sekondari

WALIMU wakuu wa shule za upili sasa wanataka Wizara ya Elimu kutelekeza mfumo wa kitaifa wa kuteua wanafunzi wa Gredi 10 na kukumbatia mfumo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Gabon Yasimamisha Timu, Aubameyang Afungiwa na Kocha Atimuliwa!

Serikali ya Gabon imesitisha ushiriki wa timu ya taifa ya soka “The Panthers” na kumfungia mshambuliaji nyota Pierre-Emerick Aubameyang, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

TRA Yavunja Rekodi, Oktoba hadi Desemba Yakusanya Sh. Trilioni 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13 kwa mwez . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Urusi yasema droni za Ukraine zimeua 24 Kherson

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa.Mamlaka zili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa "DRC yarejea kama mwanachama asiye wa kudumu"

Mwanzoni mwa mwaka 2026, Somalia inachukua urais wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Kama ilivyo kawaida, baadhi ya viti visiv . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 1, 2026

Watu 5 wauawa katika mashambulizi dhidi ya boti za madawa

Kwa mujibu wa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Marekani, mashambulizi hayo yalifanyika Jumanne na kulenga msafara wa boti tatu hiuvyo  wat . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 1, 2026

AFCON hatua ya 16 bora kuanza kutimua vumbi wikiendi hii

Januari 3 Sudan watakipiga na Senegal katika mechi ya mwanzo kabisa katika uwanja wa Grand Stade de Tanger na usiku wake kutakuwa na mtanang . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 1, 2026

Raia wa mashariki ya DRC hawana chakusherehekea mwaka mpya 2026

Raia mashariki mwa nchi ya DRC, wameukaribisha mwaka mpya 2026 huku wakiwa hawana chakusherehekea kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 1, 2026

Ukraine Yakanusha Shambulio la Droni Dhidi ya Makazi ya Putin, Urusi Yazidi Kudai

Serikali ya Ukraine Jumanne imekanusha vikali madai ya Urusi kuwa ilihusika na shambulio la droni lililolenga moja ya makazi ya Rais wa Urus . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

ASILI YA MWAKA MPYA NA 1 JANUARI KUWA LIKIZO RASMI.

Mamilioni ya watu dunia(leo Desemba 2025) wanajiandaa kuupokei mwaka 2026 kwa Shangwe ,fataki,sala na salamu za heri . Lakini nyuma ya . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Fahamu neno Ndoa na maana yake;

Ndoa ni taasisi ya kijamii na kiroho inayounganisha mwanaume na mwanamke katika muungano rasmi na wakudumu.Ingawa tamaduni na sheria hutofa . . .

Kurasa 2 ya 215

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category