logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Dini
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

KIONGOZI WA BUDDHA ASIFU UHURU WA KUABUDU TANZANIA

Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye  Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katik . . .

Magari
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Kimi Antonelli Ashinda Monaco GP kwa Mara ya Tano Mfululizo, Lewis Hamilton Atajwa

Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercedes, Kimi An . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Familia zalalamikia kuzuiwa kuchukua miili ya wahanga wa Utumishi Girls

WAZAZI na jamaa za wasichana 16 walioangamia kwenye mkasa wa moto katika Shule ya Wasichana ya Utumishi sasa watasubiri hadi Juni 17, 2026 i . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 8, 2026

Israeli yajibu mashambulio ya Iran

Haya ni mashambulzi ya kwanza ya Israeli nchini Iran tangu mwezi Aprili, baada ya mkataba wa usitishwaji vita kati ya Iran, Marekani na Isra . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati na fid . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Kim Kardashian na Dada Yake Waibuka Monaco Kumshangilia Lewis Hamilton

Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 iliyofanyika . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Daktari wa Marekani apona Ebola nchini Ujerumani wakati wagonjwa 488 wakiripotiwa DRC

Daktari wa Marekani, ambaye aliambukizwa virusi Ebola alipokuwa akifanya kazi nchini DRC, amepona baada ya matibabu ya zaidi ya wiki mbili n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Kamishna wa Masuala ya Kibinadamu wa Ulaya kuzuru Bunia nchini

Kamishna wa Ushirikiano wa Kimataifa, Misaada ya Kibinadamu na Mwitikio wa Migogoro wa Ulaya, Hadja Lahbib, anatarajiwa Jumapili hii, Juni 7 . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Marekani yaongeza tahadhari dhidi ya vitisho vya ujasusi

Wizara ya ulinzi ya Marekani, imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu vitisho vya ujasusi wa kigeni vinavyohusishwa na Israel . Haya ni kwa m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 7, 2026

Shambulizi la droni la Urusi lawauwa watu wawili Ukraine

Maafisa nchini Ukraine wamesema, mashambulizi ya droni ya Urusi hii leo yamesababisha vifo vya watu wawili nchini humo.Kulingana na chapisho . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 5, 2026

WATU 50 WAFARIKI KWA KIU YA MAJI

Takriban watu 50 wamefariki dunia kutokana na kiu katika eneo la mbali la Jangwa la Sahara kaskazini mwa Niger baada ya lori lililokuwa liki . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 5, 2026

TPA KUPITA NJIA ZA BANDARI KUBWA DUNIANI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeanza kupita njia zinazotumiwa na baadhi ya bandari kubwa duniani katika kuboresha na kuend . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 5, 2026

Jamaa afariki katika ajali ya barabarani pamoja na mke na watoto 4 baada ya kuongoza sala msikitini

Familia moja imeingia katika maombolezo baada ya kupoteza  ndugu saba kwa wakati mmoja kwenye  ajali mbaya ya barabarani.Mwanaume, . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Ronaldo kuongoza kizazi cha wachezaji wakongwe Marekani 2026

Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 jambo linaloonyesha uimara na maish . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Familia ya Kifalme yagawanyika kabla ya sherehe ya harusi ya Peter Phillips

Sakata limeibuka ndani ya Familia ya Kifalme ya Uingereza kati ya Prince William na Queen Camilla kufuatia maandalizi ya harusi ya Peter Phi . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit) nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Trump: Marekani haihitaji makubaliano kupata Uranium Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani haihitaji makubaliano ya kidiplomasia na Iran ili kupata uranium iliyorutubishwa kutoka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Sudan na DRC zatajwa orodha ya migogoro iliyosahaulika zaidi

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Colombia zimeorodheshwa kuwa miongoni mwa migogoro ya wakimbizi iliyopuuzwa zaidi duniani kulingana na s . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Mali yatangaza dola milioni 3.5 kukamatwa kwa Iyad Ag Ghaly

Serikali ya kijeshi ya Mali imetangaza kitita cha dola milioni 3.5 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa au kuuawa kwa kio . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

IAEA yataka kufikia vituo vya nyuklia vya Iran haraka

Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA) linadai kuruhusiwa mara moja kufikia zaidi ya vituo kumi vya nyuklia nchini Iran.Katika miez . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2026

Jeshi la Uswisi kupeleka takriban wanajeshi 4,000 mpakani

Jeshi la Uswisi limetangaza kupeleka wanajeshi 4,000 ndani ya mipaka yake kwa lengo la kuimarisha usalama wakati viongozi wa dunia wakitaraj . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 4, 2026

Mapigano makali yatikisa Mogadishu

Mapigano yametikisa Mogadishu usiku kucha huku vikosi vya usalama vikikabiliana na wanamgambo waliovamia maeneo kadhaa.Milio ya risasi imeti . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 4, 2026

Algeria yaifunga Uholanzi 1-0, maandalizi ya Kombe la Dunia

Algeria iliwashangaza Uholanzi kwa kuwafunga bao 1-0 mjini Rotterdam hapo Juni 03,2026 katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Kombe la Du . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 4, 2026

Samia akutana na Putin katika ziara ya siku tatu Urusi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya siku tatu nchini Urusi ambako amekutana na Rais Vladi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 4, 2026

Ujerumani yashindwa kupata kiti UN

Ujerumani yapata pigo baada ya kushindwa kuingia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikizidiwa na Ureno na Austria serikali ya Merz yakabi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Hospitali ya Ebola Yateketezwa Baada ya Kisa cha Kijana Kufariki

Umati wenye hasira umechoma moto sehemu ya hospitali inayowahudumia wagonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Gachi Apokea Zawadi ya Range Rover, Aacha Gumzo Mitandaoni

Msanii wa muziki nchini ambae anafahamika kwa jina la Gachi amezua furaha na gumzo mitandaoni baada ya kupewa zawadi ya gari jipya jipya ain . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Mechi za Tanzania Dhidi ya Uganda na Rwanda Zafutwa Morocco

Mechi za kirafiki za Tanzania zilizokuwa zichezwe nchini Morocco dhidi ya Uganda na Rwanda zimeripotiwa kufutwa kutokana na changamoto za up . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

MWENGE WA UHURU WAWASILI KONDOA,MIRADI YA BILIONI 3.9 KUKAGULIWA

Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 umewasili katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ambapo jumla ya miradi 14 yenye thamani ya shiling . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Trump ametangaza kuwa atahudhuria mkutano wa G7

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa atahudhuria mkutano wa G7 utakaofanyika Ufaransa katikati ya mwezi Juni.Trump atasafiri kwenda . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

WHO yaonya kuwa mlipuko wa Ebola DRC haujadhibitiwa

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameonya kuwa mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Raia 18 wa Kiafrika wafariki katika mkasa wa moto hotelini India

Watu ishirini na mmoja waliangamia katika moto katika hoteli moja huko New Delhi. Kituo hiki kilikuwa kinawahudumia wagonjwa wa kigeni na fa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Wabunge wa Marekani waidhinisha azimio la kuagiza kukomeshwa kwa vita vya Iran

Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha azimio siku ya Jumatano linaloamuru kuondolewa kwa wanajeshi wa Marekani katika vita dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 4, 2026

Mashariki ya Kati: Israel na Lebanon zakubaliana kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano

Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa usiku wa Jumatano, Juni 3, kuamkia Alhamisi, Juni 4, Israel na Lebanon zimetangaza makubaliano yao ya k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

Ruto ageukia KDF kukamilisha miradi mikubwa kabla ya uchaguzi wa 2027

MIEZI 14 kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027, Rais William Ruto anategemea Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kusimamia utekelezaji wa miradi mikubwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

DIPLOMASIA YA KIMKAKATI KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA

Katika kipindi ambacho mataifa duniani yanaingia katika ushindani mkubwa wa kiuchumi, teknolojia na ushawishi wa kidiplomasia, Tanzania nayo . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Dar, Serikali Yaweka Ruzuku Kwenye Dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya za kikomo za bidhaa za mafuta zitakazoanza kutumika nchin . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

WHO yapunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya wagonjwa wanaoshukiwa nchini DRC na Uganda

Marekebisho haya ya takwimu hayamaanishi kwamba mlipuko wa virusi vya Ebola umepungua. Ni matokeo tu ya uelewa bora wa hali ya mlipuko huo, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

Rais Mteule wa Benin aanza tena mazungumzo na majirani zake

Baada ya miaka kadhaa ya mvutano na majirani zake wa kaskazini, Rais mteule wa Benin Romuald Wadagni amefanya ziara nchini Niger na Burkina . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2026

Upinzani wawataka wakazi wa mji wa Kinshasa kusalia majumbani mwao

Sehemu ya upinzani chini DRC, umewataka wakazi wa mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa kusalia majumbani mwao. Mpango huu unaongozwa na vuguvugu . . .

Kurasa 2 ya 246

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category