SERIKALI imesema usimamizi wa taka hususan katika maeneo ya mjini hauridhishi, kwa kuwa ni wastani wa asilimia 37 tu ya taka ngumu zinazozal . . .
Watu wasiopungua 22 wameangamia baada ya kuvamiwa na moto katika sherehe ya harusi huko Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ko . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 199 kwa makosa mbalimbali katika operesheni na misako iliyofanyika ku . . .
Komamanga ni miongoni mwa matunda yenye virutubisho mbalimbali vinavyoweza kuwa sehemu ya lishe bora. Tunda hili, linalojulikana kwa jina la . . .
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani umetangaza kifo cha Mtanzania Khalifa H. Siwa, aliyefariki dunia Septemba 2, 2026 . . .
Bodi ya Filamu Tanzania imewataka waigizaji Irene Uwoya, Aunty Ezekiel, Frida Kajala na Jacqueline Wolper kufika katika ofisi za Bodi hiyo s . . .
Hatua ya maswali ya dodoso (Cross-examination) kwa shahidi wa tatu wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Dem . . .
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema kuuangusha utawala wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kunawezekana, akidai kuwa serikali hiyo . . .
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Ángel Gamondi, ametangaza kikosi cha awali kitakachoingia kambini hivi karibun . . .
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, ameonya dunia imeingia katika eneo hatari la hali mbaya ya hewa, huku athari za El . . .
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM – Bara), Stephen Wasira, amekutana na kuzungumza na Kamati ya Wabunge wa CCM, Septemba 2,&nb . . .
Rais Paul Kagame siku ya Jumatano, Septemba 2, amekutana na James Swan, mkuu mpya wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini DR C . . .
Uganda imeipa mafuta yake jina la "Pearl Sweet" wakati huu Waziri wa nishati nchini humo Irene Batebe akitangaza kuwa wanatarajia kuanza kuy . . .
Ripoti mpya ya shirika la watoto UNICEF imesema kuwa takriban watoto milioni 20 wanaotumia mtandao katika nchi 21 walirubiniwa kimapenzi au . . .
Nepal inakabiliwa na kazi kubwa ya kujenga upya nyumba takriban 20,000 katika maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko, huku waokoaji wakiendelea k . . .
Rais Vladmir Putin amesema bado kuna nafasi ya kufikiwa kwa makubaliano ya amani Ukraine, huku akielezea maonyo ya Ukraine kuhusu hatari kwa . . .
Pilipili ni kiungo kinachotumiwa sana kwenye vyakula mbalimbali kutokana na ladha yake ya ukali. Ina kemikali iitwayo capsaicin ambayo ndiyo . . .
Serikali ya kijeshi ya Niger, inayoongozwa na Jenerali Abdourahamane Tiani kwa msaada wa washirika wake wa kijeshi kutoka Urusi, ilise . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amezitaka mamlaka katika mikoa 14 k . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto, S . . .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini matukio ya wizi wa umeme katika maeneo ya Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni, Wilaya ya Kinond . . .
Msanii wa Nigeria, Davido, ameibuka kuwa msanii mwenye uteuzi mwingi zaidi katika tuzo za AFRIMMA 2026 baada ya kutajwa katika vipengele vit . . .
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu . . .
Nchini Togo, waandishi hao wawili wa habari wa Ufaransa na msadizi wao, raia wa Togo, ambao walikuwa wamefungwa kwa wiki kadhaa huko Lomé, . . .
Guinea-Bissau itapitisha katiba mpya kufuatia kura ya maoni ya Jumapili iliyopita. Matokeo ya kura yalitangazwa Jumanne usiku na Tume ya Kit . . .
Nchini Kenya, wagonjwa wameendelea kuathirika wakati huu wauguzi wakiendelea na mgomo wao katika majimbo mbalimbali ya taifa hilo la Afrika& . . .
WATU wasiojulikana wameiba jeneza katika ofisi ya biashara iliyopo Kijiji cha Mbweera, Kata ya Masama, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, kab . . .
JUHUDI za uokoaji zinaendelea nchini Nepal na China, baada ya mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea wiki iliyopita, kusababis . . .
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Zambia kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Zambia, Hakainde H . . .
Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtangaza Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana . . .
Mahakama nchini Marekani imemkuta na hatia Duane “Keffe D” Davis kwa kosa la mauaji ya mwanamuziki maarufu wa Hip Hop, Tupac Shakur, kat . . .
Idara ya huduma za magereza nchini Uganda, imethibitisha kuwa wanasiasa wa upinzani wanaoendelea kuzuiliwa Dkt Kizza Besigye na Meya wa jiji . . .
Baada ya takribani siku mbili za mkwamo, hatimaye wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Kenya, wamesitisha rasmi mgomo wao na kukubali kur . . .
Kifo cha kutatanisha cha Zytina Mason-Brown, msichana mwenye umri wa miaka 14, kimechukua mwelekeo mpya baada ya kijana wa miaka 17 kukamatw . . .
Aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya gereza nchini Marekani, miezi kadhaa ba . . .
Huduma za afya nchini Kenya, huenda zikatatizika zaidi wiki hii kufuatia tishio la mgomo wa madaktari walio mafunzoni kutokana na kile wames . . .
Mji mkuu wa Niger, Niamey, ulirejea katika hali ya utulivuJumapili baada ya takriban saa 24 za mapigano yaliyoutikisa utawala wa kijeshi wa . . .
Juhudi za uokoaji zinaendelea nchini Nepal na China baada ya mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea wiki iliyopita na yaliyosa . . .
Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Kylian Mbappe, ndiye anayestahili kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwa . . .
Nchini Zimbabwe, mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa amekamatwa kwa tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya na utakatishaji fedha. Mawakili wa mke . . .