logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mdahalo wa wagombea wa UN wafanyika mjini New York

Wagombea sita wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wameweka msisitizo mkubwa juu ya kurejesha imani kwa taasisi hiyo, ambayo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Athari za kuvalisha mtoto viatu kabla hajaanza kutembea

MOJAWAPO ya maswali yanayozua mjadala katika malezi ya watoto wachanga ni kuhusiana na wakati ambapo mtoto anapaswa kuanza kuvalia viatu.Kil . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Shirika la afya la AU laitaka Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri dhidi ya Uganda

Shirika la afya la Umoja wa Afrika (Africa CDC) linaiomba Marekani kuondoa vikwazo vya usafiri dhidi ya Uganda. Hakuna visa vipya vilivyorek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Trump apokea miili ya wanajeshi wanne wa Marekani waliouawa Mashariki ya kati

Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano,  aliwaongoza viongozi wa serikali, maafisa wa kijeshi na familia za wanajeshi wanne wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

EMEDO "Tuungane kubadili muelekeo wa vifo vya kuzama maji"

Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya kuzuia kuzama maji duniani jamii jijini mwanza imetakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia usalama wao ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

RAIS MWINYI AZUNDUA KITUO CHA MABASI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kituo cha Mabasi ya Umeme (ZAN BUS), ki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Saudi Arabia na Marekani Wasaini Mkataba wa Matumizi ya Nishati ya Nyuklia

Saudi Arabia na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia kwa madhumuni ya amani, hatua inayolenga . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa AU Kuhusu Afya Ghana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Inter Miami Yamtambulisha Casemiro, Lakini Yakumbwa na Uchunguzi

Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Wadephul kukutana na Ramaphosa mjini Johannesburg

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Johann Wadephul, anahitimisha leo ziara yake ya siku nne barani Afrika nchini Afrika Kusini ambapo anat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2026

Wagombea wa nafasi ya Katibu Mkuu wa UN kushiriki mdahalo

Wagombea wanaowania nafasi ya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa watapambana leo katika mdahalo utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Baraza Kuu la Um . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

WIZARA YA MADINI YAZITAKA KAMPUNI ZA KIGENI KUHESHIMU SHERIA, YAWAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA MIGODINI.

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameziagiza kampuni kubwa za kigeni zinazowekeza katika sekta ya madini nchini kuzingatia kikamilifu sheri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

MHE. SALEHE MBWANA MHANDO: UCHAGUZI UMEKWISHA, SASA NI MUDA WA KAZI NA MAENDELEO

Mbunge wa Jimbo la Kilindi, Mhe. Salehe Mbwana Mhando,ameendelea na ziara yake ya Kuwashukuru Wananchi katika Kata ya Mabalanga, ambapo alik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

Maandamano yakupinga mpango wa kubadilisha katiba yahairishwa

Maandamano yaliyoitishwa na muungano wa upinzani wa C64 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kupinga mpango wa kuibadilisha katiba hayat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

Uchunguzi wa rushwa wagusa chama cha Orbán

Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Hungary imeanzisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na makosa ya jinai, wakivamia kituo cha data cha c . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

Rais Aoun wa Lebanon akutana na Trump

Rais Joseph Aoun wa Lebanon amekutana na Rais Donald Trump wa Marekani mjini Washington wakati wa ziara yake ya kutafuta uungwaji mkono kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2026

Bunge la Ufaransa laridhia marufuku ya mitandao kwa watoto

Bunge la Ufaransa limeidhinisha muswada wa sheria utakaopiga marufuku watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 kutumia mitandao ya kijamii.Hat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Trump Atoa Kauli Kali Baada ya Wito wa Netanyahu Kukamatwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, hatakamatwa akiwa nchini Marekani licha ya kuwepo kwa hat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

LANGO JIPYA LA BIASHARA UKANDA WA MAZIWA MAKUU

Kigoma ni mwisho wa reli.” Ingawa ulitamkwa kwa utani, kwa kiasi kikubwa uliakisi hali halisi ya miundombinu na mtazamo uliokuwepo kuhusu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Argentina Yapokelewa Kishujaa Licha ya Kupoteza Fainali ya Kombe la Dunia

Maelfu ya mashabiki wa Argentina walijitokeza licha ya baridi kali na mvua kuwakaribisha wachezaji wa timu yao ya taifa waliorejea nyumbani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Senegal yaunga mkono azma ya Macky Sall kuwania nafasi ya katibu Mkuu, UN

Senegal imetangaza kuwa inaunga mkono harakati za aliyekuwa rais wa nchi hiyo Macky Sall, kuwania nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Korea Kaskazini yasisitiza uungaji wake mkono kwa Urusi

Korea Kaskazini imesisitiza uungaji wake mkono kwa vita vya Urusi nchini Ukraine wakati wa mazungumzo ya mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2026

Hamas wamchagua Al-Hayya kuongoza kundi hilo

Kundi la wanamgambo wa Palestina la Hamas limetangaza hii leo kumchagua mujahid Khalil al-Hayya kuwa kiongozi wake mkuu.Afisa mmoja wa Hamas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Msaidizi wa Trump Asimamishwa Kazi

Ikulu ya Marekani imemsimamisha kazi kwa muda bila malipo mmoja wa waendeshaji wa muda mrefu wa teleprompter wa Rais Donald Trump, baada ya . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Mzamiru Yassin Aaga Rasmi Simba Baada ya Miaka Tisa ya Utumishi

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na kiungo wake mkongwe Mzamiru Yassin, baada ya mkataba wake kumalizika, ikiwa ni sehemu ya m . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Ajali ya barabarani nchini Uganda yauwa wanafunzi 20

Wanafunzi wa shule 20 na mtu mmoja mzima, wamepoteza maisha, nchini Uganda baada ya Basi, walilokuwa wanasafiria kuhusika kwenye ajali ya ba . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Zelensky aripoti vifo kufuatia mashambulizi ya Urusi Saa 2 zilizopitaSaa 2 zilizopita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema watu kadhaa wameuawa na wengine wamejeruhiwa katika mashambulizi ya droni za Urusi.Rais Zelensky . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 17, 2026

Marekani yashambulia madaraja ya Iran

Marekani imeongeza mashambulizi yake dhidi ya Iran kwa kushambulia madaraja muhimu na kuangusha mnara wa kudhibiti usafiri wa baharini katik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

RAIS DKT. MWINYI" KUIMARISHA MIFUMO YA AFYA NI NJIA BORA YA KUENZI URITHI WA MZEE MKAPA"

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, Mhe. Dkt. Huss . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 16, 2026 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofan . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

Washington kuweka ushuru wa 25% kwa baadhi ya bidhaa za Brazil

Serikali ya Marekani imetangaza siku ya Jumatano kwamba itaweka ushuru wa 25% kwa bidhaa kadhaa za Brazil, kufuatia uchunguzi uliofanywa na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

watu 11 wafariki katika kisa cha moto katika kituo cha watoto yatima

watu 11 wamefariki na wengine 19 wamejeruhiwa katika kisa cha moto, ambao bado unawaka, katika kituo cha watoto yatima katika viunga vya Alg . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

Ebola DRC: Maambukizi yapindukia 2,000 na vifo 796

Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unazidi makali ambapo maambukizi yameongezeka na kufikia watu 2,073 na vif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 16, 2026

Ukraine kupata serikali mpya, huku vita vikipamba moto

Bunge la Ukraine linatarajiwa hivi leo kuipitisha serikali mpya ya wakati wa vita, baada ya rais Volodymyr Zelensky kufanya mabadiliko katik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

UDSM Yaingia kwenye orodha ya QS World University Rankings (QS WUR) 2027

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeandika historia mpya baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika orodha ya QS World University Rankin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Wanaswa kwa tuhuma za kupanga kutapeli benk

JESHI la Polisi Mkoani Tabora limekamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kupanga njama ya kufanya utapeli katika benki za CRDB na NMB zilizo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Urusi yashambulia vikali miundo mbinu ya bandari ya Ukraine

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema mashambulizi yamefanyika katika bandari za Odesa na Chornomorsk kwa kutumia makombora ya masafa marefu na . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Mbappe akiri timu yake haikucheza kwa viwango

Ufaransa yaambulia patupu kwenye mchuano wa nusu fainali dhidi ya Uhispania. Lakini je Uhispania inatosha kutwaa kombe la dunia.Nahodha wa U . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2026

Iran na Marekani zaendelea kushambuliana

Marekani imeshambulia maeneo mbali mbali ya Iran ikifyetuwa makombora 13 wakati Tehran ikishambulia maslahi ya Marekani kwa makombora Bahrai . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Lebanon na Israel warejea kwenye meza ya mazungumzo, Rome

Lebanon na Israel wamerejea kwenye mazungumzo hii leo mjini Rome, huku Beirut ikitarajia kutafikiwa hatua katika suala la Israel kuondoka ku . . .

Kurasa 2 ya 252

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category