logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 11, 2026

China Yakanusha Tuhuma za Kusaidia Kijeshi Iran, Marekani Wafunguka

Ripoti mpya za kijasusi za Marekani zinaeleza kuwa China inadaiwa kujiandaa kupeleka mifumo mipya ya ulinzi wa anga kwa Iran katika wiki zijazo, wakati ambapo mapigano kati ya Iran . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 10, 2026

Djibouti kufanya uchaguzi wa rais siku ya Ijumaa

Uchaguzi wa rais unafanyika siku ya Ijumaa kwenye taifa hilo lenye umuhimu mkubwa wa kimkakati katika Pembe ya Afrika rais wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh anatafuta nafasi ya kuiongoza nchi hiyo ya& . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 8, 2026

Hofu zatawala ZImbabwe kufuatia mapendekezo ya mabadiliko ya katiba

Hofu inaongezeka miongoni mwa upinzani nchini Zimbabwe kufuatia mapendekezo ya mabadiliko ya katiba yanayodaiwa kuimarisha zaidi mamlaka ya chama tawala cha Zanu-PF.Kwa mujibu wa rasimu hiyo, bunge li . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 7, 2026

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • April 7, 2026

DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka

MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya taifa ya soka ilipokuwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 27, 2026

Donald Trump Aongeza Muda wa Kusitisha Mashambulizi kwa Iran

Rais wa United States, Donald Trump, amesema ameongeza muda wa kusitisha mashambulizi dhidi ya viwanda vya nishati vya Iran kutoka siku chache hadi kufikia Aprili 6.Aidha ameeleza kuwa Iran ilikuwa im . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 26, 2026

Nicolás Maduro apinga kesi ya Marekani akidai kunyimwa haki

Rais wa zamani wa Venezuela Nicolas Maduro anatarajiwa kufika tena mahakamani Marekani akijaribu kushawishi jaji afute kesi inayomkabili ya ugaidi wa dawa za kulevya. Anadai serikali ya Marekani inamz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 25, 2026

Iran yatoa kauli kali, yakataa mazungumzo na United States

Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na usalama katika eneo la Middle East.Kupitia ujumbe wa video ul . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • March 16, 2026

Matumizi ya Internet yamezuiliwa huku uchaguzi wa urais ukiendelea

Zaidi ya wapiga kura milioni 3.2 wamejiandikisha kushiriki katika uchaguzi wa rais nchini Republic of the Congo ambapo Rais Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 82 anatetea nafasi yake. Hata hivy . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 25, 2026

Trump Atoa Hotuba ya Hali ya Taifa mbele ya Bunge Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya Bunge la Marekani katika kipindi ambacho taifa hilo linakabiliwa na changamoto za kisiasa ikiwemo mvutano unaoendelea na Iran. . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Rubio kukutana na Netanyahu Februari 28

Afisa mmoja wa Marekani amesema kuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Marco Rubio atasafiri na kuelekea Israel wiki ijayo wakati ambapo mivutano inazidi kati yake na Iran.Afisa huyo ambaye hakutaka . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 17, 2026

Lissu Awasili Mahakamani na Makabrasha Kujibu Mashahidi wa Jamhuri

Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Tundu Lissu, amewasili katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, akiwa amebeba vifurushi vilivyojaa makabrasha tayari kwa kuendelea na usikilizwaji w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 13, 2026

Tarique Rahman wa BNP aongoza matokeo ya awali Bangladesh

Bangladesh inaingia katika sura mpya ya kisiasa baada ya kufanya uchaguzi wake wa kwanza tangu maandamano makubwa yaliyosababisha kuondolewa madarakani kwa serikali ya Waziri Mkuu wa zamani Sheikh Has . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 9, 2026

José Seguro ashinda urais nchini Ureno

Tayari mshindani wake mkuu André Ventura amekubali kushindwa na mshindi anatarajiwa kuchukua madaraka Machi 9, akimrithi Rebelo de Sousa, ambaye ameiongoza nchi hiyo ya kusini-magharibi mwa Ulaya tan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Afrika waiondolea Guinea vikwazo

Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea Guinea vikwazo ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa rais mwezi Disemba.Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afr . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Ulaya kuekeza zaidi eneo la Arctic

Umoja wa Ulaya haujaekeza vya kutosha kwa usalama wa eneo la Arctic na sasa ndio wakati wa kubadilisha hilo na kuekeza zaidi.Haya yamesemwa na Rais wa Halmshauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula vonder Le . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Pigo kwa Mudavadi mahakama ikifufua chama chake ANC

MAHAKAMA Kuu imebatilisha kuvunjwa kwa chama cha kisiasa cha Amani National Congress (ANC), kinachohusishwa na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi, na kukirejesha rasmi katika ulingo wa siasa.Katika hat . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Yoweri Museveni anaongoza kwa 61.7%

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais yanaonyesha Yoweri Museveni akiongoza kwa kura 14,232 (61.7%); Bobi Wine anashika nafasi ya pili kwa kura 7,753 (33.64%), kulingana na Tume ya Uchaguzi nchini hum . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Viongozi wa Denmark na Greenland waungana kumpinga Trump

Denmark na Greenland zimeungana kupinga wito wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kukitwaa kisiwa cha Greenland hivyo viongozi wa nchi hizo wamesema wanaichagua Jumuiya ya NATO na Umoja wa Ulaya ba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Wafungwa zaidi ya 400 wameachiwa Venezuela

Spika wa bunge la Venezuela Jorge Rodriguez amesema zaidi ya watu 400 wameachiliwa kutoka gerezani kama sehemu ya mchakato unaoendelea wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa.Akizungmza siku ya Jumanne . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Mahakama ya Juu yaidhinisha ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais

Mahakama ya Juu nchini Guinea imeeidhinisha siku ya Jumapili jioni, Januari 5, ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais wa Desemba 28, kwa asilimia 86.72 ya kura. Jenerali Doumbouya alicha . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Chama tawala chapata wingi kamili, PDCI yapata pigo kubwa

Chini Côte d'Ivoire chama tawala cha RHDP kimeimarisha wingi wake kamili katika uchaguzi wa wabunge uliofanyika siku ya Jumamosi, Desemba 27. Chama cha Rais Alassane Ouattara, kilichochaguliwa tena m . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Bobi Wine "Museveni Acha kutumia jeshi kuingilia uchaguzi"

Mgombea wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, NUP, Robert Kyagulani maarufu kama Bobi Wine, sasa anamtaka mgombea wa NRM, rais Yoweri Museveni, kuwataka wafuasi wake kulinda kura zake, badala ya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Ruto ahakikishia ODM atakubali masharti yao mradi wawe pamoja 2027

RAIS William Ruto amesema kuwa utawala wake utazingatia masharti yanayosukumwa na ODM kuelekea uchaguzi wa 2027, akisema chama hicho kinastahili kujiandaa kuwa ndani ya serikali inayokuja.Kiongozi wa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 24, 2025

Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

CHAGUZI za UDA zilizopangiwa kufanyika Mlima Kenya huenda zikawa jukwaa la wanasiasa kupimana ubabe hali ambayo inaweza kusababisha migawanyiko hata zaidi chamani kabla ya Uchaguzi Mkuu 2027.UDA imera . . .

Kurasa 2 ya 19

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Mamia ya watu wafurika Homa Bay baada ya uvumi wa dhahabu kugunduliwa huko

Matukio
news
  • August 24, 2026

Mama Wa Miaka 18 Ashtakiwa kwa Mauaji Ya Mtoto Wake Wa Miaka Miwili

Matukio
news
  • August 10, 2026

Baada ya kuachiliwa kwa wafungwa 15, tofauti zinaendelea kati ya Kinshasa na AFC/M23

Matukio
news
  • July 17, 2026

Ajali ya barabarani nchini Uganda yauwa wanafunzi 20

Matukio
news
  • July 15, 2026

Iran na Marekani zaendelea kushambuliana

Top Stories
news
  • July 9, 2026

Wairan kumzika Ayatollah Ali Khamenei nyumbani kwake Masshad

Matukio
news
  • July 5, 2026

China imemwachilia huru mchungaji wa Kiprotestanti

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

    • saa moja lililopita
  • Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

    • saa moja lililopita
  • Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode