logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2025

Wakili Ajitosa Ubunge Jimbo la Mbagala

Mwanazuoni na Wakili Dk Aloys Rugazia ameibuka kwa kishindo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbagala, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).Dk Rug . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 28, 2025

Maneno ya Matiangí Ruto hanitishii, nitavua koti na kumkabili

ALIYEKUWA Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i Juni 27,2025 alieleza matumaini yake kuwa atakitwaa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa 2027. Dkt Matiang’i pia amedokeza kuwa hivi kari . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 27, 2025

Leo DRC-- Rwanda wakutana kusaini mkataba wa amani

Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo wanatarajiwa kusaini mkataba muhimu mjini Washington wa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda mrefu katika eneo la mashariki mwa Kongo ambapo mzozo huo umesab . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 27, 2025

Iran yatoa tahadhari nchini Marekani kuhusu mashambulio

 KIONGOZI Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema taifa lake liko tayari kujibu kwa nguvu kubwa endapo Marekani itafanya shambulio lolote dhidi ya Iran, akibainisha kuwa majeshi ya Marekani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Kumalizika kwa tundu jipya la reli mita 602 launganisha China na Urusi

SERIKALI ya China imekamilisha ujenzi wa tundu jipya la reli lenye urefu wa mita 602 katika mji wa Suifenhe, Heilongjiang, hatua inayolenga kuimarisha usafiri wa reli kati ya China na Urusi.Ujenzi wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

NATO yakubali kuongeza Bajeti ya Ulinzi hadi asilimia tano

KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Mark Rutte, amesema hatua ya kuongeza bajeti ya ulinzi hadi asilimia tano ya pato la Taifa ni uamuzi mkubwa na muhimu kwa usalama wa mataifa wanachama. . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Putin hatoshiriki mkutano wa Brics

 RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, hatosafiri kwenda Brazil kushiriki mkutano wa BRICS kutokana na waranti ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).Kwa mujibu wa mshauri wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Samia ataka amani, umoja wa Afrika kufanikisha mageuzi ya kifikra

RAIS Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili zishirikiane kufanikisha hatua za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi.Akizungumza k . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Serikali ya Zambia yapeleka zuio la Mahakama mazishi Edgar Lungu yasimamishwe

Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa ZambianEdgar Lungu umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha mazishi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo, Jumatano.Famil . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Kesi ya kanisa kumnyang’anya zawadi mtoto wa Askofu kuendelea leo

Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi leo Juni 26, 2025 itaendelea na usikilizwaji wa kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, Bernardo Sepeku (63).Bernado alifungua kesi dhidi ya Bodi y . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Mahakama ya Afrika leo kutoa hukumu ya uchaguzi mkuu 2020

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Alhamisi, Juni 26, 2025 inatarajiwa kutoa hukumu za mashauri mawili yaliyofunguliwa na raia wa Tanzania – wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani, . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Serikali Kenya yapiga marufuku kurusha Live matangazo ya Gen Z

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini Kenya (CAK) imevitaka vyombo vya habari nchini humo kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yaliyofanyika jijini Nairobi, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya mwak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Iran yateketeza adhabu ya kuwanyonga majasusi watatu wa Israel

Iran imetekeleza adhabu ya kuwanyonga majasusi watatu wa Israel waliokuwa wakitumikia kifungo katika Gereza la Urmia Mkoa wa Azerbaijan Magharibi nchini humo, huku Serikali ikitangaza kufanya msako na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

China kuendelea kununua mafuta Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa China inaweza kuendelea kununua mafuta ya Iran baada ya Israel na Iran kukubaliana kusitisha mapigano,hatua ambayo Ikulu ya White House ilifafanua kuwa ni ku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Mwigulu atoa utofauti wa deni la Serikali na deni la Taifa

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kutopata hofu kuhusu deni la Taifa pale linapotangazwa, kwani deni hilo lina sehemu kubwa inayoenda kwenye upande wa kampuni binafsi na wala si . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 24, 2025

Kesi ya CHADEMA yapigwa kalenda hadi Julai 10

Kesi iliyofunguliwa na Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutoka Zanzibar, imepangwa kusikilizwa Julai 10 mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Museveni kugombea tena urais mwakani

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni atawania kuchaguliwa tena kwa muhula mwingine wa uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao ili kuongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kut . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Tehran yatishia kushambulia nchi yoyote itakayotumiwa na majeshi ya Marekani kuishambulia Iran.

Mshauri wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameahidi kwamba kambi zinazotumiwa na majeshi ya Marekani kufanya mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, pamoja na nchi zinazoyahifad . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Rais wa Sierra Leone achaguliwa kuwa rais wa ECOWAS

Rais wa Sierra Leone, Julius Maada Bio, amechaguliwa kuwa Rais wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)  Juni 22, wakati wa mkutano wa kawaida wa wakuu wa nchi uliofanyika Abuj . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Wanajeshi 7 Uganda kikosi cha UN wauawa Somalia

Takriban wanajeshi saba wa Uganda wameuawa nchini Somalia. Hayo yameelezwa na msemaji wa jeshi la nchi hiyo ya Afrika Mashariki Felix Kulayigye.Wanajeshi hao walikuwa sehemu ya Kikosi cha Umoja wa Mat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Iran imelaani vikali hatua ya Marekani imevuka "mstari mwekundu"

Iran imelaani vikali hatua ya Marekani na kusema imevuka "mstari mwekundu" kwa kushambulia siku ya Jumapili vinu vyake vitatu vya nyuklia vya Fordo, Isfahan na Natanz.Balozi wa Iran katika Umoja wa Ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2025

CHADEMA bado wanayo nafasi kutia saini kanuni za maadili

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi.Akizungumza katika Kongamano la Sheria . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Maelfu ya Wairan waandamana kuipinga Israel

Maelfu ya watu katika mji mkuu wa Iran, Tehran wameandamana kuipinga Israel baada ya sala ya ijumaa huku waandamaji hao wameto Kuli za kuwaunga mkono viongozi waoMaelfu ya watu katika mji mkuu wa  . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Israel yafanya vizuri kwenye Vita kuliko Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kwasasa Israel inafanya vizuri katika masuala ya vita ukilinganisha na Iran ambayo inafanya vizuri kidogo. Kauli ya Donald Trump inafutatia baada ya kutoa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Mradi wa maji Butimba jijini Mwanza wazinduliwa rasmi leo juni 20

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Mradi wa Maji na kituo cha kutibu maji Butimba jijini Mwanza. Samia amezindua mradi huo  Juni 20, 2025 ikiwa ni mwendelezo na ziara yake ya kikazi katika mikoa . . .

Kurasa 2 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

Top Stories
news
  • 17 masaa yaliopita

Atupwa Jela Kwa Kuwatapeli Wanawake Wanne Kwa Njia Ya Mapenzi

Top Stories
news
  • 20 masaa yaliopita

Rais wa Marekani amtaka Putin kusitisha mapigano

Top Stories
news
  • 21 masaa yaliopita

Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Kongo kutumikia miaka 10 jera

Top Stories
news
  • 21 masaa yaliopita

Jera maisha kwa kumlawiti mwanafunzi wa miaka minne

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Maelezo ya mashahidi wa Lissu kusomwa August 18

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

    • 14 masaa yaliopita
  • Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

    • 14 masaa yaliopita
  • Watu 40 wapoteza maisha Darfur

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode