Mwanazuoni na Wakili Dk Aloys Rugazia ameibuka kwa kishindo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbagala, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).Dk Rug . . .
ALIYEKUWA Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i Juni 27,2025 alieleza matumaini yake kuwa atakitwaa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa 2027. Dkt Matiang’i pia amedokeza kuwa hivi kari . . .
Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo wanatarajiwa kusaini mkataba muhimu mjini Washington wa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda mrefu katika eneo la mashariki mwa Kongo ambapo mzozo huo umesab . . .
KIONGOZI Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema taifa lake liko tayari kujibu kwa nguvu kubwa endapo Marekani itafanya shambulio lolote dhidi ya Iran, akibainisha kuwa majeshi ya Marekani . . .
SERIKALI ya China imekamilisha ujenzi wa tundu jipya la reli lenye urefu wa mita 602 katika mji wa Suifenhe, Heilongjiang, hatua inayolenga kuimarisha usafiri wa reli kati ya China na Urusi.Ujenzi wa . . .
KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Mark Rutte, amesema hatua ya kuongeza bajeti ya ulinzi hadi asilimia tano ya pato la Taifa ni uamuzi mkubwa na muhimu kwa usalama wa mataifa wanachama. . . .
RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, hatosafiri kwenda Brazil kushiriki mkutano wa BRICS kutokana na waranti ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).Kwa mujibu wa mshauri wa . . .
RAIS Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili zishirikiane kufanikisha hatua za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi.Akizungumza k . . .
Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa ZambianEdgar Lungu umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha mazishi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo, Jumatano.Famil . . .
Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi leo Juni 26, 2025 itaendelea na usikilizwaji wa kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, Bernardo Sepeku (63).Bernado alifungua kesi dhidi ya Bodi y . . .
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Alhamisi, Juni 26, 2025 inatarajiwa kutoa hukumu za mashauri mawili yaliyofunguliwa na raia wa Tanzania – wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani, . . .
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini Kenya (CAK) imevitaka vyombo vya habari nchini humo kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yaliyofanyika jijini Nairobi, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya mwak . . .
Iran imetekeleza adhabu ya kuwanyonga majasusi watatu wa Israel waliokuwa wakitumikia kifungo katika Gereza la Urmia Mkoa wa Azerbaijan Magharibi nchini humo, huku Serikali ikitangaza kufanya msako na . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa China inaweza kuendelea kununua mafuta ya Iran baada ya Israel na Iran kukubaliana kusitisha mapigano,hatua ambayo Ikulu ya White House ilifafanua kuwa ni ku . . .
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kutopata hofu kuhusu deni la Taifa pale linapotangazwa, kwani deni hilo lina sehemu kubwa inayoenda kwenye upande wa kampuni binafsi na wala si . . .
Kesi iliyofunguliwa na Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutoka Zanzibar, imepangwa kusikilizwa Julai 10 mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya . . .
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni atawania kuchaguliwa tena kwa muhula mwingine wa uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao ili kuongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kut . . .
Mshauri wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameahidi kwamba kambi zinazotumiwa na majeshi ya Marekani kufanya mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, pamoja na nchi zinazoyahifad . . .
Rais wa Sierra Leone, Julius Maada Bio, amechaguliwa kuwa Rais wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) Juni 22, wakati wa mkutano wa kawaida wa wakuu wa nchi uliofanyika Abuj . . .
Takriban wanajeshi saba wa Uganda wameuawa nchini Somalia. Hayo yameelezwa na msemaji wa jeshi la nchi hiyo ya Afrika Mashariki Felix Kulayigye.Wanajeshi hao walikuwa sehemu ya Kikosi cha Umoja wa Mat . . .
Iran imelaani vikali hatua ya Marekani na kusema imevuka "mstari mwekundu" kwa kushambulia siku ya Jumapili vinu vyake vitatu vya nyuklia vya Fordo, Isfahan na Natanz.Balozi wa Iran katika Umoja wa Ma . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi.Akizungumza katika Kongamano la Sheria . . .
Maelfu ya watu katika mji mkuu wa Iran, Tehran wameandamana kuipinga Israel baada ya sala ya ijumaa huku waandamaji hao wameto Kuli za kuwaunga mkono viongozi waoMaelfu ya watu katika mji mkuu wa  . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kwasasa Israel inafanya vizuri katika masuala ya vita ukilinganisha na Iran ambayo inafanya vizuri kidogo. Kauli ya Donald Trump inafutatia baada ya kutoa . . .
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Mradi wa Maji na kituo cha kutibu maji Butimba jijini Mwanza. Samia amezindua mradi huo Juni 20, 2025 ikiwa ni mwendelezo na ziara yake ya kikazi katika mikoa . . .