Kamati Kuu ya CHADEMA, imeazimia kuwa haitofuata maamuzi ya Msajili mkuu wa Vyama vya siasa ambayo pamoja na mambo mengine yaliyolenga kutengua uteuzi wa Wajumbe wanane wa Sekretarieti na Kamati Kuu y . . .
Mbunge wa Chama cha Wafanyakazi Australia Magharibi Kyle McGinn amemaliza muda wake wa mihula miwili Bungeni kwa kuvua kiatu chake na kumimina bia kwenye kiatu na kisha kunywa.McGinn amefanya tukio hi . . .
Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema watawala wanatumia mifumo yao kutaka kujaribu kutengeneza vyama mbadala ili kuziba pengo la Chadema la chama kikuu cha upinzani huku akisisitiza kuwa vita hi . . .
Hata kama naibu wa rais wa zamani Rigathi Gachagua anafuraha kuhusu chama chake kipya kuwa nguvu mpya katika ulingo wa kisiasa wa eneo hilo, anashukuru kwamba kupenya katika baadhi ya maeneo huenda is . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara John Heche pamoja na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho, Dk Wilbroad Slaa wamewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Mei 19, 2025 kwa ajil . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo May 19,2025 ambapo hivi ndivyo hali ilivyo nje ya Mahakama hiyo muda huu saa 12 asubuhi Po . . .
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Jacobs Mwambegele ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa daftari l . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Heche amewaomba Watanzania kukiunge mkono chama hicho wakichangie na wakitetee. Heche ametoa kauli hiyo kwenye mkutano wake wa h . . .
Chama cha Mapinduzi CCM kimetangaza kufanya Mkutano Mkuu Maalum utakofanyika Dodoma tarehe 29 na 30 ukiambatana na agenda kuu tatu ikiwemo kupokea taarifa ya miaka mitano ya utekelezaji wa Uchaguzi 20 . . .
Bunge la Seneti limeanza kuchunguza ombi la kumvua kinga ya useneta rais wa zamani Joseph Kabila siku ya Alhamisi, Mei 15. Akishutumiwa na mamlaka ya Kongo kuwa mshiriki wa kundi la waasi la AFC/M23, . . .
Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche amezungumza kuhusu yale yanayoendelea ndani ya chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema akisema anakuja Mwanza kufanya ziara maalamu.Tazama zaidi hapa kuyasiki . . .
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Kilimanjaro, Grace Kiwelu ametangaza kuachana na Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA).Kiwelu ambaye ni Mwenyekiti K . . .
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea tena leo, Jumanne Mei 06.2025 kwa ajili ya kutajwaAkizungumza mbele ya Mahakama katik . . .
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakina migogoro na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwani wanahusiana vizuri na chama hicho na kwenye chama cha vyama vya siasa (TCD)wanashiriki vizuri na . . .
Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha mapinduzi Taifa Mkoa wa Ruvuma MNEC Hemed Challe, akiwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya Seneti ya Vyuo Mkoani Ruvuma kupitia CCM, yaliyofany . . .
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche ni mmoja wa Viongozi waandamizi wa Chama hicho waliofika gereza kuu la Ukonga kumuona Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu lissu aliyehamishiwa gerezani ha . . .
Chama cha NCCR Mageuzi Machi 29, 2025, kimetangaza kumteua Haji Ambar Khamis kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Joseph Roman Selasini kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu unao . . .
Tundu Lissu ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema baada ya kupata kura 513 kati ya kura 996, sawa na asilimia 51.5.Freeman Mbowe yeye amepata kura 482 kati ya kura 996, sawa na as . . .
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jumapili Januari 19, 2025 kimewapitisha makada wake 23 kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.Hatua ya kupitishwa kwa wagombea hao, imekuja baada yakusailiwa katika . . .
Nchini Comoro, matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge yamechapishwa jana, Jumanne Januari 14 jioni na Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi baada ya kuchelewa kwa zaidi ya saa tatu kwa muda uliopangwa. Hali . . .
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amefichua taarifa za kushangaza kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Akizungumza na waandishi wa habari jiji . . .
Wabunge wa Ufaransa Jumatano wamepiga kura ya kuiondoa serikali ya waziri mkuu Michel Barnier baada ya miezi mitatu tu ikiwepo madarakani, katika hatua ya kihistoria ambayo inaiweka tena nchi hiyo kat . . .
Jeshi la Polisi Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Ndg Modestus G Timbisimilwa ambaye alikuwa Mgombea Ujumbe Mchanganyiko wa Mtaa na Wakal . . .
. . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Gervas Eliewaha Mgonja, (42), Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha W . . .