Wagombea 36 wanawania kiti cha rais katika uchaguzi unaofanyika leo nchini Somalia ambao umecheleweshwa kwa muda mrefu.Rais huyo atachaguliwa na wabunge katika eneo la uwanja wa ndege lililo chini . . .
abunge wa viti maalum waliofukuzwa uanachama wa Chadema juzi leo Ijuma Mei 13 wameudhuria vikao vya Bunge isipokuwa Halima Mdee na Ester Bulaya.Aliyenza kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge ni Ester M . . .
Mwanasiasa wa upinzani na mwanamuziki maarufu nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amewasili katika ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Baraza la Kuu la Chadema . . .
Mahakama ya kikatiba ya Uganda imemtaka mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kujibu shtaka analotuhumiwa la kueleza nia yake ya kuwania urais akiwa bado anahudum . . .
Upigaji kura wa mapema umeanza nchini Australia leo, wiki mbili kabla siku ya kupiga kura, huku matokeo ya utafiti wa maoni yakionesha chama cha upinzani cha Labour kikiongoza na waziri mkuu Scott . . .
Chama cha kihafidhina cha Ujerumani cha Christian Democratic Union, CDU kimeshinda uchaguzi katika jimbo la Schleswig-Holstein. Takwimu rasmi za matokeo ya awali yaliyotolewa mapema leo zimekiweka . . .
Idara ya mahakama ya Guinea imeanza uchunguzi dhidi ya rais wa zamani wa nchi Alpha Conde na maafisa wengine 26 waliokuwa katika serikali yake. Hatua hiyo inafuatia malalamiko kutoka kwa kundi moj . . .
Mwanachama wa wanamgambo wa mrengo mkali wa kulia wa Oath Keepers siku ya Jumatano alikiri kushiriki katika njama za uchochezi wakati wa shambulizi la mwaka 2021 kwenye jengo la bunge la Marekan . . .
Vyama vya kisiasa nchini Kenya viko kwenye hatari kwa wagombea wake katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 kuondolewa katika orodha ya wagombea iwapo vyama hivyo havitatimiza mahitaji ya sheria ya usa . . .
Katibu wa Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia, Sisty Nyahoza ameainisha vituo vitakavyotumika kutoa maoni kuhusu maeneo tisa yaliyopendekezwa na kikosi kazi hicho.Katika taarifa . . .
Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuhakikisha wanalinda dola kwa kufanya kazi na kutekeleza Ilani na ahadi zote wakati wa uchaguzi.Kimesema kuwa wananchi ambao ndi . . .
Wapiga kura nchini Ufaransa jana wamempa ushindi Emmanuel Macron wa muhula wa pili madarakani katika uchaguzi wa rais baada ya mpinzani wake wa siasa kali za mrengo wa kushoto Marine Le Pen kushin . . .
Mamilioni ya wapiga kura nchini Ufaransa, wanapiga kura Jumapili hii Aprili 24, kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi, unaowakutanisha rais Emmanuel Macron na mwanasiasa wa siasa za mreng . . .
Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amemshukia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na watu wanaomsema vibaya Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli na kumsema vizuri Rais Samia Sul . . .
Mbunge wa Kilindi (CCM), Omary Kigua ameitaka Serikali kutoa vibali vya ajira kwa wateule wa Rais wanaowaondoa watumishi waliowakuta katika taasisi wanazopangiwa kuongoza.Kigua ameyasema hayo leo . . .
Nchini Ufaransa, wagombea wawili kwenye kiti cha urais, rais anayemaliza muda wake Emmanuel Macron na Marine Le Pen wameingia katika wiki ya mwisho ya kampeni kuelekea d . . .
Rais wa zamani wa Ufaransa wa siasa za Kisocialist Francois Hollande Alhamisi ametoa wito kwa wapiga kura kumuunga mkono Emmanuel Macron katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais tarehe 24 Aprili. . . .
Wabunge wa Somalia wamekula kiapo chao kuanza kazi ikiwa ni hatua muhimu kulekea katika uchaguzi wa kiongozi mpya wa taifa hilo, hatua ambayo imekuwa ikicheleweshwa kwa miezi kadhaa iliyogubikwa m . . .
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Zainabu Katimba amehoji juu ya waajiri wasiotoa fursa kwa watumishi wao kufanya kazi wakiwa karibu na wenza wao.Katimba amehoji suala hilo leo Alhamisi Aprili 14, 2022 . . .
Mamlaka nchini Uturuki zimewakamata na kuwashikilia watu 46 wakiwemo maafisa wa zamani wa chama cha kisiasa kinachounga mkono harakati za wakurdi-PKK,ambao wanashukiwa kuwa na mafungamano ya kuwas . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasiliana na Umoja wa Afrika (AU) ili kuunga mkono uvamizi wa Urusi na kuomba kulihutubia shirika la bara hilo. Bw Zelensky alimpigia simu Rais wa Senegal . . .
Pakistan leo Jumatatu inapiga kura kumchagua kiongozi wa upinzani Shehbaz Sharif kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo, siku moja baada ya bunge la taifa kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri . . .
Vyama vinane vya kisiasa vimetishia kuondoka katika muungano mpya uliobuniwa karibuni wa Azimio la Umoja One Kenya ambao unaunga mkono urais wa kiongozi wa ODM Raila Odinga.Katika taarifa ya Jumatano, . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk Tulia Akson amemwapisha Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha kushika wadhifa huo leo Aprili 5 jijini Dodoma.Nahodha ameapishwa kuwa mbunge kufuatia ut . . .
Serikali imewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi daraja B, 470Wito huo umetolewa leo, Aprili 5, 2022 na Wazi . . .