logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Mkuu wa IAEA Grossi kwenda Iran Jumamosi

Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki - IAEA, Rafael Grossi, atakwenda Iran siku ya Jumamosi kufanya mikutano na maafisa waandamizi wa Iran. Msemaji wa shirika hilo la Umoja wa Mataif . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Nchi za UN zaunda mkataba wa kupambana na platiki

Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimekubaliana kuunda mkataba wa kisheria utakaoshughulikia uchafuzi wa mazingira kutokana na taka za plastiki baharini, mitoni na ardhini. Baraza la mazingira la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Wanajeshi wa Urusi waingia katika bandari muhimu ya Kherson, Ukraine

Wanajeshi wa Urusi wameingia leo katikati ya mji wa bandari wa Kherson nchini Ukraine, siku moja baada ya madai yanayokinzana kuhusu kama Moscow imeukamata mji wowote mkubwa nchini humo kwa mara y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

UN Yamchagua Betty Murungi Kusuluhisha Mzozo wa Ethiopia.

Rais wa Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa(UNHRC), Balozi Federico Villegas alitangaza uteuzi wa watu watatu kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu mzozo wa Tigray, Ethiopia.Katika taarifa J . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Watanzania 2 Wafungwa kwa Kumuua Bosi Wao, Kutupa Mwili Wake.

Mahakama kuu ya Migori imewahukumu raia wawili wa Tanzania kifungo cha miaka 35 kila mmoja kwa kosa la mauaji ya mwajiri wao.Marwa Magige Kieusi na Makonge Wangwi Maseti wote walipatikana na hatia ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Kilio cha Watanzania waliokwama Ukraine

Wakati majeshi ya Russia yakiendelea kushambulia miji nchini Ukraine, baadhi ya Watanzania wanaoishi nchini humo wameeleza machungu ya vita hivyo wasijue hatima yao.Tayari Serikali ya Tanzania ime . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Rais wa Msumbiji awafukuza mawaziri sita

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi mawaziri sita akiwemo waziri wa fedha.Tangazo hilo lilitolewa katika taarifa ambayo haikutoa sababu zozote za kufukuzwa kazi kwa mawaziri hao wala kuto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Ridhiwani Kikwete Ataka Mipaka Ya Ardhi Iheshimiwe Kuepuka Migogoro

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete ametaka kuheshimiwa kwa mipaka ya ardhi baina ya kijiji na kijiji ili kuepuka migogoro.Alisema, mipaka ya vijiji imewekwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Korea Kaskazini yamuunga mkono Putin.

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote, Mataifa 141 yameung . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Wizara yazindua onesho la mchango wa wanawake kwenye utalii

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amefungua Onesho la Mchango wa Wanawake katika Sekta ya Utalii nchini lililofanyika leo kwenye kijiji cha Makumbusho jijini Dar es Salaa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Mhadhiri wa Chuo Matatani Kwa Rushwa ya Ngono

Mhadhiri wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Adam Semlambo ameingia matatani, akihusishwa na rushwa ya ngono ambapo uongozi wa chuo hicho, umemsimamisha kazi kuanzia jana, machi 2, 2022 kupisha uchu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Jamaa Aoa Pacha Watatu Wanaofanana katika Harusi Maridadi "Nawapenda Wote"

Mwanaume wa DR Congo aliyetambulika kwa jina Luwizo ndiye ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni hivi punde.Luwizo, mwanamume mwenye wake wengi kutoka Kalehe, Kivu Kusini, DR Congo, hivi majuzi ali . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mwanafunzi wa Kenya alivyoshuhudia ubaguzi na mateso kwenye mpaka wa Ukraine na Poland

Fatma Abou ni mwanafunzi anayesomea udakitari nchini Ukraine. Huu ulikuwa mwaka wake wa sita na wa mwisho kabla kumaliza masomo na kuhitimu kama dakitari. Lakini mashambulizi nchini humo yali . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Geita wadai ‘shangingi’ lao lililonunuliwa Sh400 milioni

Halmashauri ya mji wa Geita imeiomba Jumuiya ya Serikali za Mitaa nchini (ALAT) kupeleka kilio chao kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ili warudishiwe gari lao la ki . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

WIZARA YA NISHATI NA DP WORLD YA DUBAI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO

Wizara ya Nishati na kampuni ya DP World ya Dubai zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika kuendeleza miundombinu ya kupokea na kuhifadhia mafuta na gesi itakayojengwa nchini Tanzania . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

bora kwa wanafunzi

Wazazi na walezi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia lishe bora kwa watoto wao ili kuboresha ustawi wao pamoja na kuongeza ufaulu shuleni kupitia upatikanaji wa chakula kat . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Wanafunzi Waafrika wabaguliwa Ukraine

Wanafunzi Waafrika wanaosoma nchini Ukraine wamedai kuwa wanabaguliwa na vikosi vya usalama wanapokuwa katika harakati za kuikimbia nchi hiyo kuelekea nchini Poland.Mmoja wa wanafunzi hao wa Afrik . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwalimu Amuoa Mwanafunzi wake wa Zamani Katika Karamu ya Kufana.

Aliyekuwa kiranja mkuu wa Orient Academy Group of School, Boji-Boji, Stephanie Ebere Odili amefunga pingu za maisha na mwalimu wake wa zamani wa shule ya upili, Sammy Anslem Chuks.Mapenzi Kipofu: Mwal . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwanasiasa wa Kawangware Atekwa Nyara na Mwili wake Kutupwa Nyeri.

Familia ya Joseph Ochieng almaarufu Obude ambaye alitekwa nyara na kisha mwili wake ukapatikana katika makafani moja mjini Nyeri, inalalamikia kujivuta kwa upelelezi wa mauaji ya mtoto wao.Ochieng, mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Urusi, Ukraine wafanya mazungumzo

Siku ya tano baada ya majeshi ya Urusi kuingia Ukraine, wajumbe kutoka nchi hizo mbili wameanza mazungumzo yenye lengo la kumaliza vita. Ofisi ya rais wa Ukraine inasema inataka kusitishwa ma . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Umri wa Watanzania kuishi waongezeka

Makadirio ya ukomo wa umri wa kuishi kwa Watanzania yameongezeka kutoka miaka 67 na miezi mitatu mwaka huu hadi kufikia ukomo wa miaka 74 ifikapo 2035, ikiwa ni ongezeko la miaka saba na miezi miw . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Madiwani Korogwe wampa wiki mbili DED, menejimenti

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe limemuagiza Mkurugenzi na menejimenti ya Halmashauri hiyo kupeleka taarifa ya mapato na matumizi ya Julai hadi Desemba 2021 baada ya kutor . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

BALOZI KOMBO AKUTANA NA WADAU WA NGO’s JIJINI ROMA

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mkutano na wadau wa NGO’s takribani sitini na nne zinazofanya shughuli zake nchini Tanzania mwishoni mwa wiki Ji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

India Yaahidi Kuisadia Ukraine

WAZIRI  Mkuu wa India Narendra Modi amejitolea kuisaidia Ukraine katika juhudi za kuleta amani, Modi ameyasema haya wakati wa mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Ukraije Volodymyr Zelens . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Radi yaua 7 Rukwa

Watu saba wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi katika maoneo tofauti katika wilaya zaNkasi na Sumbawanga mkoani Rukwa.Akizungumza na Jembe FM leo 27, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nkandasi, Given . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Waziri Jafo atoa siku 14 tatizo hili lipatiwe ufumbuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa siku 14 kwa Uongozi kwa Wilaya ya Kinondoni kuhakikisha wanatatua tatizo la mfumo wa majitaka katika Mtaa wa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Mfalme Zumaridi akamatwa kwa Usafirishaji haramu wa binadamu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Diana Edward Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa kosa la usafirishaji haramu wa Binadamu na Unyonyaji. Akizungumza na waandishi wa habari Mkoani . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Takriban watu elfu 150 watoroka Ukraine

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi, UNHCR, limesema takriban watu laki moja na nusu wamekimbia kutoka Ukraine kuingia katika mataifa jirani kutafuta usalama wakati Urusi ikish . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Nigeria yanasa tani za ngozi zinazouzwa kama chakula

Mamlaka ya Nigeria inasema kuwa imekamata tani 120 za ngozi za wanyama zilizoagizwa kutoka nje katika jiji la Lagos.Zilinaswa kwa tuhuma kwamba tayari zilikuwa zimechakatwa na kemikali kwa ajili ya . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Baba ambaye alitoa watoto wake watatu kwa serikali ya Korea Kaskazini

Mtengeneza filamu wa Kikorea Yonghi Yang alikulia Japani miaka ya 1960, kama sehemu ya jamii kubwa ya wahamiaji kutoka nchi yake ya kuzaliwa ambayo ilikuwa na makazi katika jiji la Osaka.Wakiwa . . .

Kurasa 113 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 10 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 10 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode