logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

MPIGA DEBE ACHOMWA KISU KIFUANI KISA ABIRIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Abdilah Yassin mkazi wa Kihonda Manispaa ya Morogoro mpigadebe katika kituo kikuu cha mabasi cha Msamvu mkoani Morogoro kwa kusababisha mauaji kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Makamu wa Rais kuhutubia jukwaa la 8 la wakuu wa nchi duniani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Machi 29, 2022 ameshiriki ufunguzi wa  Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani linalofanyika Dubai, Umoja wa Falm . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

RPC aliyetamani kuwa IGP achunguzwa

Jeshi la Polisi Tanzania, limemrudisha makao makuu ya jeshi hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Wankyo Nyigesa kupisha uchunguzi kutokana na matamshi aliyoyatoa Machi 26, 2022 katika sherehe za . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Watahiniwa Mapacha Wavunja Rekodi.

Familia moja jijini Nairobi inasherehekea baada ya watoto wao mapacha ambao hawajawahi kufungamana darasani kuvunja rekodi katika Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane(KCPE).Pacha hao wasiofanana, Bett . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Rais wa Tunisia aonya bunge kufanya vikao

Rais wa Tunisia, Kais Saied ameonya kuhusu majaribio ya kufanya vikao vya bunge ambalo limesimamishwa. Akizungumza jana usiku Saied amesema vikosi na tasisi vitaendelea kupambana na wale wanaojari . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Zelensky ayaomba mataifa ya magharibi kuiwekea Russia marufuku ya kuuza mafuta yake.

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Jumatatu ameyataka mataifa ya magharibi kuiwekea haraka vikwazo vikali Russia, ikiwemo marufuku ya kuuza mafuta, ili kuizuia Moscow kuongeza bila pingamizi har . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Waendesha boda boda 16 washukiwa wa unyanyasaji wa kingono waachiliwa huru.

Mahakama nchini Kenya Jumatatu imewaachilia huru waendesha boda boda 16 waliokamatwa kutokana na shambulio baya dhidi ya mwanadiplomasia wa kike, baada ya serikali kushindwa kutoa ushahidi wowot . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Wanawake marufuku kusafiri bila kuandamana na mwanaume

Serikali ya Taliban imeamuru mashirika ya ndege nchini Afghanistan kuwazuia wanawake kupanda ndege bila kuongozana na jamaa yeyote wa kiume. Maafisa wa anga wa Taliban wamealiambia shirika . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Will Smith Amzaba Kofi Mc Tuzo Za Oscar

MWIGIZAJI maarufu wa Holywood, Will Smith (53), usiku wa jana alifanya tukio lisilo la kawaida, baada ya kumzaba MC wa Tuzo za Oscar, Chris Rock katika tuzo hizo zilizokuwa zinafanyika katika Ukum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Mazungumzo ya amani Jamuhuri ya Afrika ya kati yamalizika bila kupiga hatua madhubuti

Mazungumzo ya amani nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati ambapo vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipamba moto tangu mwaka wa 2013, yamemalizika Jumapili bila kupiga hatua madhubuti. Mazungumzo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Iraq yajenga ukuta kwenye mpaka wake na Syria.

Iraq imejenga ukuta kwenye mpaka wake na Syria ili kuzuia wanajihadi wa kundi la Islamic state kujipenyeza, chanzo cha jeshi la Iraq kimesema Jumapili.Katika hatua ya kwanza ya ujenzi, ukuta wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Ajali yaua saba Simiyu

Watu saba wamefariki dunia na wengine nane  wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Lori ya saa moja na nusu jioni kugonga pikipiki ya matairi matatu (Bajaji) jana Jumapili March 27, 2022 kati . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Profesa Ngowi afariki dunia

Profesa wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Honest Ngowi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 28, 2022 kwa ajali ya gari iliyohusisha lori na gari ndogo alilokuwa anasafiria kwenda mkoani Morogoro.Kamanda wa . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

SPD yashinda jimbo la Saarland

Chama cha Social Democratic, SPD kimetangazwa mshindi katika uchaguzi wa jimbo la magharibi mwa Ujerumani, Saarland. Kwa mujibu wa takwimu zilizochapishwa na vituo vya utangazaji vya ARD na ZDF, c . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Macron ajitenga na matamshi ya Biden kuhusu Putin

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonya dhidi ya kuongezeka kwa mvutano wa maneno na Urusi, baada ya Rais wa Marekani, Joe Biden kumuelezea Rais wa Urusi, Vladmir Putin kama "mchinjaji". Macron . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Zelensky azilaumu nchi za Magharibi kwa woga

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amezishutumu nchi za Magharibi kwa woga, wakati ambapo nchi yake inapambana kuzuia uvamizi wa Urusi. Akilihutubia taifa jana usiku baada ya Rais wa Marekani, Jo . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Waziri wa Elimu ashiriki mkutano wa kimataifa DOHA FORUM

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameshiriki Mkutano wa Kimataifa  Doha Forum kuhusu masuala ya Maendeleo. Mkutano huo unaofanyika  kila Mwaka  umes . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Mtandao Wawaka Moto Baada ya Rais Kusema DP Ruto Alitaka Kumng'oa Mamlakani

Mtandao wa kijamii wa twitter Jumapili Machi 27 asubuhi uliwaka moto baada ya ripoti za mazungumzo ya Rais Uhuru Kenyatta na wazee kutoka Mt Kenya.Rais alifanya kikao hicho Jumamosi Machi 26 na jarida . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Wazimbawe wanapiga kura katika uchaguzi mdogo ambao ni mtihani kwa chama tawala

Raia wa Zimbabwe wamepiga kura jana Jumamosi katika uchaguzi muhimu wa bunge na manispaa, unaoonekana kuwa ni kipimo kwa chama tawala cha Rais Emmerson Mnangangwa kuelekea uchaguzi mkuu hapo mwaka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Dk Mwigulu ashukiwa kwa kutaka fedha za Azaki Serikalini

Kauli ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba ya kutaka Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kuelekeza dola 1.3 bilioni za Asasi za Kiraia kwenda kwenye miradi ya kipaum . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Wanawake watakiwa kuwa mstari wa mbele katika zoezi la Sensa

Serikali imelitaka kundi la wanawake kuwa mstari wa mbele kuongoza jamii kujitokeza kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, ambapo kufanya hivyo kutaiwezesha Serikali kuwa na takwimu sahi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2022

Rais Joe Biden akosoa utawala wa Putin nchini Urusi

Rais wa Marekani Joe Biden amesema rais wa Urusi Vladimir Putin hawezi kusalia mamlakani baada ya kuivamia Ukraine huku akiyaonya majeshi Urusi kutojaribu kusogeleea eneo la jumuiya ya kujihami ya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Afisa wa Kike wa Polisi Aondoka Katika Kituo cha Mitihani Kufurahia Mvinyo

Afisa wa polisi aliyetwikwa jukumu la kulinda kituo cha mitihani katika kaunti ya Machakos alikamatwa Jumatano, Machi 23, baada ya kutoka katika eneo lake na kuanza ulevi.Afisa wa polisi wa Utawala Ra . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Mahakama ya Afrika Mashariki kuamua kesi ya vyama vya siasa leo

Majaji watano wa Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ) leo Ijumaa Machi 25, 2022 wanatarajia kutoa uamuzi wa kesi namba 3 ya mwaka 2019 iliyofunguliwa na vyama vitano vya siasa na kesi namba 4 ya mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Ujerumani yasaidia kukabiliana na kitisho cha njaa Ukraine

Kansela Olaf Scholz wa Ujerumani amesema taifa lake litaunga mkono utoaji wa misaada ya kiutu kwa Ukraine na mataifa jirani kwa kutoa nyongeza ya Euro milioni 370, kadhalika nyongeza ya Euro 430 k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Biden kutembelea mpaka wa Poland na Ukraine

Katika taarifa yake ya sasa Ikulu ya Marekani imesema Rais Joe Biden leo hii atatembelea mji wa Poland ambao uko karibu na mpaka na Ukraine, kwa lengo la kuonesha mshikamano na Ukraine dhidi ya uv . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Spika wa Bunge la Kenya aamuru kutotangaza wazi viti vya wabunge waliotoroka vyama vyao.

Wabunge wa Kenya waliohama vyama vyao vya kisiasa vilivyowapeleka bungeni wamepata afueni baada ya spika wa bunge la kitaifa Justin Muturi kuamuru kuwa hatatangaza wazi viti hivyo, licha ya sher . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Serikali ya Ethiopia yatangaza sitisho la mapigano na waasi wa Tigray

erikali ya Ethiopia siku ya Alhamis ilitangaza haraka sitisho la mapigano la upande mmoja katika mzozo wake na waasi wa Tigray ili kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika jimbo la kaskazini . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 25, 2022

Korea kaskazini yathibitisha kufanya majaribio mapya ya makombora

Vyombo vya habari vya serikali vilimuonyesha Kim, akiwa amevalia koti la ngozi, akichungulia nje ya dirisha la jengo la uchunguzi wakati kombora hilo likinyanyuliwa na kutoka kwenye bomba la mot . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Mwanamke mwenye viungo viwili vya uzazi

"Jina langu ni Elizabeth Amoaa - ni mwanamke mwenye viungo viwili vya uzazi, nina sehemu mbili za uke yaani via vya uzazi viwili," Mghana mwenye umri wa miaka 38.Sauti yake ikiwa na huzuni wakat . . .

Kurasa 108 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode