logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Tangazo la Kuitwa Kazini (Serikalini) Taasisi Mbalimbali za Umma

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 02 – 21 Machi, 2022 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Madarasa ya Uviko-19 yamsimamisha kazi mkuu wa shule Gairo

Kufuatia kuvunjwa vioo vya madirisha ya madarasa 12 katika shule ya Sekondari Kibedya iliyopo wilayani Gairo mkoani Morogoro, uongozi wa wilaya hiyo umemsimamisha kazi mkuu wa shule hiyo Kelvin Ka . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Elon Musk hatajiunga na bodi ya Twitter, mkuu wa kampuni hiyo.

Elon Musk ameamua kutojiunga na bodi ya Twitter, afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo Parag Agrawal anasema.Uteuzi wa Bw Musk ulipaswa kuanza kutekelezwa Jumamosi baada ya kufichua wiki jana kwamba . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Waziri Nape aongea kuhusu uwekaji wa anwani za Makazi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema zoezi la uwekaji wa anwani za Makazi limefikia asilimia 68 huku akiitaja mikoa ya Dar es salaam na Tanga kuwa bado haijafa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Morocco na Uhispania wakubaliana kumaliza mvutano wa kidiplomasia

Morocco na Uhispania zimekubaliana kufungua ukurasa mpya wa mahusiano baada ya serikali mjini Madrid kutangaza kuunga mkono ajenda ya Morocco ya kulidhibiti jimbo linalozozaniwa la Sahara Magharib . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

ei za vyakula zavunja rekodi duniani

Faharasa mpya iliyochapishwa leo imeonesha kuwa bei ya vyakula duniani imepanda na kufikia rekodi ya juu kabisa mnamo mwezi Machi baada ya vita nchini Ukraine kusababisha mtikisiko mkubwa kwenye m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Tarura Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Faini Zinazotokana na Kukwepa Ushuru wa Maegesho

WAKALA wa barabara Mijini na Vijijini Tarura umetoa taarifa kwa umma kuwa umeanza rasmi kutoza faini kwa watumiaji wa maegesho waliopitisha siku 14 bila kulipa madeni ya ushuru wa maegesho. Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Baraza la seneti lamthibitisha Ketanji Brown kuwa jaji wa mahakama ya juu

Baraza  la Seneti la Marekani lilimthibitisha Jaji Ketanji Brown Jackson katika Mahakama ya Juu ya Marekani Alhamisi kwa kura 53-47, na kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza mweusi  kuwa ja . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Watu milioni 800 barani Afrika huenda waliambukizwa Covid 19 miaka miwili iliyopita-WHO.

Zaidi ya theluthi mbili za Waafrika wanaweza kuwa waliambukizwa virusi vya Covid katika miaka miwili iliyopita, ikiwa ni mara 97 zaidi kuliko idadi ya maambukizi iliyoripotiwa, ripoti ya shirika . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

SOKO LA KARUME LAUNGUA TENA

Moto ulionza leo Ijumaa Aprili 8, 2022 alfajiri umeteketeza vibanda 36 katika Soko la Kurume lililopo Dar es Salaam baada ya kuunguza sehemu ya soko hilo,na kuunguza maduka ya wafanyabiashara ndog . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Rais wa Yemen ajiuzulu

Rais wa Yemen aliyekuwa uhamishoni amemfuta kazi makamu wake, kisha akajiuzulu, na kukabidhi madaraka kwa baraza la rais kwa lengo la kuanzisha mazungumzo yanayo lenga kumaliza mzozo wa miaka saba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Robo ya kazi kwa wanawake

Mahakama nchini Nigeria imeagiza Serikali kutekeleza sera ya usawa wa jinsia inayoeleza kuwa 35% ya uteuzi wa nyadhifa katika ofisi za umma itengwe kwa ajili ya wanawake. Uamuzi wa Jaji Donat . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Rais Wa Zambia Atumikia Nchi bila kulipwa Mshahara

Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amehudumu kama Kiongozi wa nchi kwa kipindi cha miezi minane bila malipo tangu achukue hatamu za uongozi wa nchi hiyo mnamo Agosti 2021. Kwa mujibu wa Shi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Profesa Makubi asisitiza uchangiaji damu salama

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amesisitiza taasisi na Wadau kushirikiana katika kuhamasisha wananchi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wahitaji hasa wajawazito na wagonjwa wanaopat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Maandalizi ya mazungumzo ya amani kati ya Armenia na Azerbaijan

Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Vovayi Pashinyan na Rais wa Azerbaijan Ilham Aliyev waliwaagiza mawaziri wao wa mambo ya nje "kuanza maandalizi ya mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili" wakati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

HRW imeelezea wasiwasi kuhusu kuteswa wafungwa nchini Uganda

Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Ulaya siku ya Jumatano alielezea wasiwasi wake kuhusu kuteswa kwa wafungwa nchini Uganda na ukiukwaji mwingine wa haki akimtaka Rais Yoweri Museveni kuhakiki . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Covid yaongeza hatari kwa walioambukizwa kuganda damu

Utafiti uliochapishwa leo umeonyesha kuwa watu waliaoambukizwa virusi vya corona wako hatarini kupata tatizo la kuganda damu hadi miezi sita baada ya kuambukizwa. Utafiti huo umegundua kwamba watu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Dharura za kiafya zinazohusiana na hali ya hewa zaongezeka Afrika

Shirika la afya ulimwenguni, WHO limesema jana kwamba dharura za kiafya zinazosababishwa na mazingira zinaongezeka barani Afrika ingawa linachangia kidogo mno ongezeko la joto ulimwenguni. Mkuruge . . .

bungeni
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Mbunge Hanje aibua suala la Mwenge, Naibu Spika amjibu Thursday April 07 2022

Mbunge wa Viti Maalumu, Nusrat Hanje ameibua sakata la mbio za mwenge akitaka kujua gharama zainazotumiwa na kama zitakuwa zinakaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).Hata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

BUGANDO YAJA NA MRADI WA KUZUIA UPOFU UNAOZUILIKA

Hospitali ya Bugando Yafanikisha kujenga kliniki ya macho itakayohudumia zaidi ya wagonjwa wa 400 wa macho kwa siku, ambapo awali ilikuwa inahudumia wagonjwa 150 tu kwa siku lakini kwa sasa baada ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Maelfu ya watu asili wa Brazil waandamana dhidi ya Jair Bolsonaro

Wakiwa wamevalia mavazi yao ya kitamaduni, maelfu ya watu asili waliandamana na kukusanyika kwenye eneo moja kubwa kilomita nne kutoka ikulu ya rais, makao makuu ya Baraza la Wawakilishi na Mahaka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mashirika mawili yashutumu ‘kampeni ya maangamizi ya kikabila’ Tigray Magharibi

"Kampeni ya maangamizi ya kikabila" huko Tigray Magharibi nchini Ethiopia, hivi ndivyo mashirika mawili ya kimataifa ya Hki za Binadamu, Amnesty International na Human Rights Watch, yanalaani kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Rais Biden ametangaza mipango ya kupanua bima ya afya ya bei nafuu

ais wa Marekani Joe Biden alitangaza mipango ya kupanua fursa za huduma za afya kwa kupendekeza mabadiliko ya sheria ya huduma ya afya ya bei nafuu (ACA) ili kuruhusu mamilioni ya familia za Marek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Ndege Kubwa Duniani Yakamilisha Safari Ikitumia Mafuta ya Kupikia

Ndege ya Airbus A380, imekamilisha safari ya majaribio ya kutumia mafuta ya kupikia kusafiri.Ndege hiyo ya majaribio ilikamilisha safari ya saa tatu kutoka Uwanja wa Ndege wa Blagnac huko Toulouse had . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Wanasayansi wa UN wahimiza kuachana na nishati chafu ili kuiokoa dunia

Wanasayansi wa Umoja wa Mataifa wamesema malengo yaliyowekwa na jumuiya ya kimataifa ya kudhibiti ongezeko la joto duniani katika kiwango cha nyuzi 1.5 za Celsius yatatekezeka tu ikiwa itafanyika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Rais Samia" Tanzania haitajengwa na chama kimoja"

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania haitajengwa na mtu mmoja au chama kimoja bali itajengwa na Watanzania wote.Rais Samia ameeleza hayo leo Jumanne Aprili 5, 2022 Jijini Dodoma wakati a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Mahasimu Sudan Kusini wasaini mkataba wa amani ya kijeshi

Viongozi wanaohasimiana Sudan Kusini wamesaini makubaliano kuhusu kifungu muhimu cha kijeshi cha mpango wa amani unaosuasua. Makubaliano hayo yamefikiwa jana kutokana na upatanishi wa nchi jirani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Urusi yataka kikao cha Baraza la Usalama kuhusu uhalifu wa mjini Bucha

Urusi imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufanya kikao leo Jumatatu, kujadili ilichokiita ''uchokozi wa Waukraine wenye msimamo mkali'' katika mji wa Bucha, baada ya serikali ya Ukrai . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

PACHA WA RAIS UHURU AJA NA JIPYA

Michael Njogo Gitonga ambaye alijizolea umaarufu kwa kufanana kwa karibu sana na Rais Uhuru Kenyatta sasa amejitosa rasmi katika mawimbi ya siasa.Gitonga ambaye anafanana na Rais Kenyatta kiasu cha ku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Mkurugenzi wa UNICEF aanza ziara ya siku nne nchini DRC

Mkurugenzi Mkuu wa Unicef, alianza ziara yake ya kwanza nchini DRC siku ya Jumapili na kwa siku nne katika nchi ambayo watoto ni waathiriwa wa ghasia za makundi yenye silaha. UNICEF ​​​​il . . .

Kurasa 106 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode