logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

Serikali mbioni kuvifungulia vyombo vya habari

Serikali imesema ipo mbioni kuvifungulia vyombo vya habari ambavyo bado vimefungiwa mara baada ya kumaliza mazungumzo yanayoendelea hivi sasa baina ya mamlaka na wahusika.Kauli hiyo imetolewa leo Juma . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 7, 2021

Mshukiwa wa mauaji ya mwandishi wa habari akamatwa

Mwanaume mmoja raia wa Saudi Arabia anayeshukiwa kuhusika na mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi amekamatwa nchini Ufaransa, ripoti zinasema. Khaled Aedh Al-Otaibi alikamatwa katika uwanja wa n . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 7, 2021

Siku za kufanya kazi zapunguzwa UAE

Umoja wa falme za kiarabu umepunguza siku za kufanya kazi hadi siku nne na nusu.Wikendi kwa wafanyakazi itakuwa inaanza jumamosi hadi jumapili, badala ya ijumaa hadi jumamosi, ilivokuwa awali.Wiki ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Suzuki
  • December 7, 2021

MGOMBEA URAIS NCHINI KENYA AMEAHIDI MIKOPO KWA WATAKAOOANA.

Mtia nia wa kugombea urais nchini Kenya ameahidi kutoa mikopo yenye thamani ya kati ya TZS milioni 10 hadi TZS milioni 20 kwa wanandoa wapya endapo atachaguliwa katika ofisi hiyo ya juu zaidi nchini h . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Tanzania yafunga kambi ya wakimbizi wa Burundi.

Kambi ya Mtendeli, moja ya kambi tatu za Tanzania zinazohifadhi wakimbizi wa Burundi imefungwa kabisa, baada ya zaidi  ya wakimbizi elfu 19 wa mwisho waliokuwa  katika  kambi hiyo kuham . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Ramaphosa awasihi wakaazi nchini Afrika kusini kupata chanjo ya COVID-19

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika kusini alisema nchi hiyo sasa ina vifaa vya kutosha vya chanjo, chanjo ni muhimu kwa ajili ya kufufua uchumi wetu kwa sababu watu wengi zaidi wanavyochanjwa maeneo mengi . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Marekani na washirika wake wanalaani serikali ya Ethiopia kuwashikilia wakaazi kwa misingi ya kabila

Taarifa hiyo ya pamoja iliyotolewa na wizara ya mambo ya nje Marekani ilisema Australia, Canada, Denmark, Uholanzi na Uingereza waliungana na Marekani kuitaka serikali ya Ethiopia ikomeshe mara moja k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Mkuu wa Gereza Afungwa kwa Kuiba Fedha za Mfungwa - Rwanda

MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkuu wa gereza kuu la Kigali kwa kuiba fedha kutoka katika akaunti ya mfungwa, raia wa Uingereza.Innocent Kayumba amehukumiwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Olaf Scholz wa Ujerumani ateua baraza la mawaziri la kwanza lenya usawa wa kijinsia

Usawa ni muhimu kwangu na ndio maana kati ya mawaziri 16 kutakuwa na wanaume wanane na wanawake wanane alisema Scholz ambaye anajieleza mwenyewe kama mtetezi wa haki za wanawa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Polisi wa Sudan wafyatua mabomu ya kutoa machozi kwa waandamanaji

Waandamanaji hao waliandamana kutoka wilaya mbalimbali za mji mkuu, wengi wakiwa wamebeba bendera za taifa na wakiimba “Hapana kwa utawala wa kijeshi” na "jeshi linaweza kukusaliti, lakini mi . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

Papa Francis asema "ustaarabu umwekwenda mrama" kwa kuwapuuza wahamiaji - Lesbos

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis leo amekitembelea kwa mara nyingine kisiwa cha Lesbos nchini Ugiriki eneo ambalo lilikuwa kitovu cha wimbi la wahamiaji miaka 6 iliyopita na kuitaja ta . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

Aishtaki kampuni iliyomuajiri kisa rasta zake - Marekani

Mmarekani mweusi aitwaye, Jeffrey Thornton ameishtaki Kampuni iliyomuajiri ya Encore Group, kwa kumfanyia unyanyasaji baada ya kumwambia akate rasta zake ili aendane na mazingira ya kazini “niliambi . . .

Kurasa 106 ya 106

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

    • 16 masaa yaliopita
  • Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

    • 16 masaa yaliopita
  • RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode