logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Maendeleo madogo yamepatikana katika mazungumzo kati ya Walibya mjini Tunis

Kufuatia mazungumzo kati ya Walibya huko Tunis siku ya Alhamisi, Agosti 20, 2026, yaliyowezeshwa na Ujumbe wa Usaidizi wa Umoja wa Mataifa n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Zelensky asema uchaguzi wakati wa vita 'utaigawanya' Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba itakuwa hatari sana kwa nchi hiyo kufanya uchaguzi wakati inapambana na uvamizi wa Urusi.A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Canada yaendeleza vita vya kibiashara na Marekani

Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney amesema nchi yake iko katika vita vya kibiashara na Marekani. AMEtangaza ushuru kwa bidhaa za Marekani kul . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Dk Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mat . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Lissu "Hakuna Mtu Asiyeweza Kuitwa Kuwa Shahidi Mahakamani"

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Agosti 21, 2026 amekataa hoja kwamba Rais wa Tanzania hawezi kupelekewa wito wa mahakama, akisema Rai . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Watu 50 wengi wao watoto, wapoteza maisha baada ya boti kuzama Nigeria

Watu 50 wamepoteza maisha nchini Nigeria, baada ya boti kuzama katika jimbo la Sokoto, Kaskazini Magharibi mwa Nigeria, siku ya Alhamisi.Abd . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Rais Paul Biya arejea nchini baada ya kuwa nje ya nchi kwa siku 74

Rais wa Cameroon, Paul Biya, amerudi mjini Yaoundé siku ya Alhamisi, Agosti 20, 2026, baada ya siku 74 akiwa nje ya nchi.Rais wa Cameroon, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Waandamanaji walalamikia ukosefu wa huduma Tunisia

Mamia ya raia wa Tunisia wameandamana katika mji mkuu, Tunis, wakilalamikia ukosefu wa maji, umeme na kupanda kwa gharama za maisha wakati n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 20, 2026

Bilionea wa Majengo Afungwa Maisha Jela

Mwanzilishi wa kampuni kubwa ya ujenzi wa majengo nchini China, Evergrande, Hui Ka Yan, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 20, 2026

Mbunge wa upinzani na waziri wa zamani wauawa katika shambulio la vikosi vya usalama

Nchini Zambia, polisi wamethibitisha kwamba Mbunge Mutotwe Kafwaya alifariki wakati wa operesheni iliyofanywa siku ya Ijumaa, Agosti 14, nyu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 20, 2026

Italia na Ujerumani zatafuta mwafaka kuhusu uhamiaji

Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia Antonio Tajani amesema Ujerumani na Italia zinataka kuimarisha ushirikiano katika kushughulikia suala la uh . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 20, 2026

Israel yatangaza uchunguzi wa kifo cha Hind Rajab

Jeshi la Israel limesema litachunguza mauaji ya Hind Rajab, msichana wa Kipalestina mwenye umri wa miaka mitano, pamoja na familia yake yali . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Ufaransa Yajibu Iran Yawafukuza Wanadiplomasia Wawili

Ufaransa imetangaza kuwa itawafukuza wanadiplomasia wawili wa Iran kutoka nchini humo katika siku zijazo, hatua inayoongeza mvutano wa kidip . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Vieira Apata Kibarua Kipya, Apewa Jukumu la Kuinoa Senegal

Gwiji wa zamani wa Arsenal, Patrick Vieira, ametangazwa kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Senegal, akichukua nafasi ya Pape Thiaw.Ute . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Habari Mseto Mama mkarimu auawa na aliyempa maji ya kunywa

HUZUNI na mshtuko zimetanda katika kijiji cha Chabuene, Kaunti ya Meru, kufuatia mauaji ya kikatili ya Evelyne Mukiri Mbaabu, mwanamke anaye . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Uwekezaji wa bilioni 50/- wabadili huduma za Saratani Tanzania

TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI) imeeleza kuwa Serikali imewekeza zaidi ya Sh bilioni 50 katika miradi mbalimbali ya miundombinu, vifaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Marekani yawawekea vikwazo viongozi wa Mahakama ya ICC

Utawala wa Rais Donald Trump umewawekea vikwazo Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Tomoko Akane, na mwendesha mashtaka mwandamizi Abd . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Musiala akabiliwa na tatizo la kupoteza fahamu

Kiungo wa kati wa Bayern Munich, Jamal Musiala, amegunduliwa kuwa na tatizo la mfumo wa kati wa neva baada ya kuanguka uwanjani kwa mara ya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 19, 2026

Nani alimuua Tupac Shakur?

Kwa karibu miaka 30, swali la nani aliyemuua Tupac Shakur halijapata jibu la kisheria. Kesi ya Duane Davis sasa inachunguza madai ya kisasi, . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 18, 2026

Idadi ya vifo baada ya feri kuzama katika Ziwa Kariba yaongezeka hadi kufika 80

Zimbabwe inaomboleza baada ya feri kuzama kwenye Ziwa Kariba siku ya Jumanne, Agosti 11. Kwa kuwa idadi ya vifo sasa ni angalau 80, ni tukio . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 18, 2026

Rigathi akata rufaa kupinga uamuzi wa mahakama

Aliyekuwa naibu rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amekata rufaa kupinga uamuzi wa mahakama kuu iliyounga mkono kuondolewa kwake madarakani ak . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 18, 2026

Hichilema achaguliwa kwa muhula zambia

Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili wa miaka mitano baada ya kushinda uchaguzi wa urai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 18, 2026

Trump atishia kuishambulia Oman

Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuishambulia Oman ikiwa nchi hiyo itazuia juhudi za kutatua mgogoro unaohusu Mlango Bahari wa Hormuz . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Ronaldo Aweka Wazi Mpango wa Kustaafu Soka

Staa wa timu ya Al Nassr, Cristiano Ronaldo 41 amesema kuwa huenda msimu wa 2026/27 huenda ukawa wa mwisho kwake kama mchezaji wa kulipwa ba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa IOM Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Mamlaka yawakamata wahamiaji waliotaka kuingia Uhispania

Mamlaka nchini Morocco zimewakamata mamia ya wahamiaji waliotaka kuvuka mpaka ili  kuingia katika eneo la Ceuta lililoko kaskazini mwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Ofisi ya Waziri Mkuu wa Kurdistan ya Iraq yalengwa na shambulio la ndege isiyo na rubani

Ofisi ya Waziri Mkuu wa Kurdistan, eneo linalojitawala kaskazini mwa Iraq, imelengwa usiku wa Jumapili, Agosti 16, kuamkia Jumatatu, Agosti . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Kushner kufanya mazungumzo na Netanyahu

Mjumbe maalumu wa Marekani Jared Kushner atakutana hii leo Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.Hii ni baada ya Kushner ya m . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 17, 2026

Rais Hichilema aongoza kwenye matokeo ya kura

Rais Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya uchaguzi wa urais Zambia, baada ya zaidi ya nusu ya majimbo kutangaza matokeo yake.Tume . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2026

ULEGA "BARABARA YA KIBAONI–SITALIKE KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI KATAVI NA MAENEO JIRANI"

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa ujenzi wa Barabara ya Kibaoni–Sitalike (km 70) ni muhimu katika kuchochea shughuli za kiuch . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2026

Trump Aomba Mahakama Kuruhusu Ujenzi wa Ukumbi wa Ikulu Kuendelea

Rais wa Marekani, Donald Trump, kupitia utawala wake, umeomba Mahakama ya Juu ya Marekani iruhusu kuendelea kwa ujenzi wa ukumbi mkubwa wa W . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2026

Iran yaitaka Qatar iwaachilie marubani wake watatu

Iran imeitaka Qatar iwaachilie marubani wake wa tatu wa kijeshi inaodai walikamatwa baada ya ndege zao kuanguka wakati wa vita vya Mashariki . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 16, 2026

Israel ladai kumuuwa kamanda wa ngazi ya juu wa Hezbollah

Jeshi la Israel limedai kuwa limemuua kamanda mwandamizi wa kundi la Hezbollah Hassan Alaa katika shambulio lililolenga kusini mwa Lebanon. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

SERIKALI YAONGEZA FURSA KWA WATANZANIA KUNUFAIKA NA SEKTA YA MADINI

Serikali imeendelea kufanya maboresho katika Sheria na Kanuni za Madini kwa lengo la kuongeza ushiriki wa Watanzania katika sekta ya madini, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

TANZANIA NA UJERUMANI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA MAENDELEO KWA WANANCHI NA UCHUMI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

Madereva Polisi watakiwa kuwa mfano usalama barabarani

Madereva wa Jeshi la Polisi mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani na kuacha kutumia nafasi zao kama aska . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

KIONGOZI MWENGE WA UHURU ARIDHISHWA TENKI LA MAJI BUHONGWA

MWENGE wa Uhuru 2026 umeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa tenki la kuhifadhi maji Buhongwa, jijini Mwanza, mradi unaolenga kuimarisha upat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

Dkt. Nchimbi Amtembelea Rais Mstaafu Amani Karume Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali Rais Mstaafu wa Zanzibar, Ama . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 14, 2026

Ghana na Afrika zafufua matumaini ya Kombe la Dunia 2027

Timu hizo sasa zitaungana na mataifa ya Taiwan, Uzbekistan, Papua New Guinea na Venezuela au Ecuador katika mashindano ya mataifa sita mwezi . . .

Kurasa 4 ya 258

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category