1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Filamu 5 za Yesu Unazopaswa Kuangalia

Kuna siku unakaa tu na unataka kuangalia kitu chenye maana sio tu burudani, bali kitu kinachokufanya ufikirie kidogo kuhusu maisha . . .

Hakuna wa kumfikia Drake kwenye mauzo Duniani

Msanii wa hip hop kutoka Canada, Drake, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa kimataifa baada ya kutajwa kuwa rapa a . . .

Jembe Michezo

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuend . . .

Taifa Stars yashuka nafasi ya ubora FIFA

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeshuka kwa nafasi tatu katika viwango vya ubora wa soka duniani vinavyotolewa na FIFA, n . . .

Jembe Habari

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukam . . .

Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi

Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundom . . .

Habari Zote
matukio

Polisi Watoa Onyo Dhidi ya Uzushi wa ‘Kuibiwa Nyeti’

Jeshi la Polisi limetoa onyo kwa wote wanaosambaza uzushi mitandaoni kuhusu ‘kuibiwa nyeti’ na kueleza kuwa watasakwa na kukamatwa.Msema . . .

Kimataifa

Trump Aibuka na Tishio Zito Kuhusu Mlango wa Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump ameibua taharuki mpya kimataifa baada ya kutoa kauli kali dhidi ya Iran kupitia ujumbe mkali aliouchapisha kwe . . .

Dini

Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa u . . .

Kimataifa

Sheria mpya ya kijeshi kwa wanaume Ujerumani yazusha mjadala

Chama cha Kijani kimetoa wito kwa serikali kufafanua sheria inayowataka wanaume raia wa Ujerumani wenye umri kati ya miaka 17 na 45 kupata . . .

matukio

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti yao kuzama katika Bahari ya Mediterania

Zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo baada ya boti ya wahamiaji kuzama katika Bahari ya Mediterania ya Kati, na kusababisha vifo vya watu wa . . .

matukio

Iran yaonya madhara makubwa kwa nchi jirani Marekani ikiishambulia zaidi

Kamandi ya jeshi la Iran, imeonya kuwa kutakuwa na madhara zaidi kwa mataifa jirani ikiwa Marekani na Israel zitashambulia miundombinu yake . . .