1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Caren Simba Akanusha Madai ya Kutoka Kimapenzi na Pacome Zouzoua

Mrembo wa mitandao ya kijamii Caren Simba (@caren_simba), amefunguka na kufafanua kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na k . . .

Wasani wakubwa India waomboleza kifo cha Legandary Dharmendra

Tasnia ya filamu ya India imegubikwa na simanzi kufuatia kifo cha mmoja wa nguli wake wakubwa na kipenzi cha vizazi vingi Dharmend . . .

Jembe Michezo

Liverpool Yazidi Kumvizia Semenyo Kufuatia Tetesi za Kuondoka kwa Salah

Klabu ya Liverpool inaonekana tayari kuanza kupanga maisha bila nyota wao Mohamed Salah, kufuatia taarifa zinazoenea kuhusu uwezek . . .

Yanga na Pyramid ndio zina safu bora ya ulinzi kwenye mizunguko miwili ya CAF Champions league

Vigogo wa Afrika, Young Africans SC ya Tanzania na Pyramids FC ya Misri, ndiyo timu pekee ambazo hadi sasa hazijaruhusu goli katik . . .

Jembe Habari

Ruto aongoza sherehe za Jamhuri Dei

RAIS William Ruto ameongoza sherehe za Jamhuri Dei nchi ikiadhimisha miaka 62 tangu ilipopata uhuru.Sherehe hizo zinazoendelea kat . . .

Lounge yafungiwa kwa kutiririsha kinyesi ovyo

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye bar iitwayo Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya . . .

Habari Zote
Afrika Mashariki

Ruto aongoza sherehe za Jamhuri Dei

RAIS William Ruto ameongoza sherehe za Jamhuri Dei nchi ikiadhimisha miaka 62 tangu ilipopata uhuru.Sherehe hizo zinazoendelea katika uwanja . . .

Kitaifa

Wananchi Dar Walia na Tatizo la Maji

Wananchi wa Dar es Salaam wameendelea kuonesha malalamiko yao kutokana na ukosefu wa maji safi katika maeneo mbalimbali ya jiji, hali ambayo . . .

Kimataifa

Mauaji ya kimbari nchini Rwanda: Benki ya Ufaransa yakabiliwa na mashitaka

Nchini Ufaransa, muungano wa vyama vya kiraia kwa ajili ya Rwanda (CPCR) umewasilisha mahakamni malalamiko dhidi ya Benki ya Ufaransa, ukiis . . .

Kitaifa

Waziri Ulega "sitoongeza hata sekunde ujenzi barabara ya Mkuyuni

Itakumbukwa Mnamo Disemba 5, mwaka huu 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt, Mwigulu Nchemba alifanya ziara jijiji Mw . . .

Kitaifa

Lounge yafungiwa kwa kutiririsha kinyesi ovyo

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye bar iitwayo Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya kinyesi c . . .

Kimataifa

Umoja wa Mataifa kuzikutanisha pande hasimu nchini Sudan

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameliambia shirika la Habari la Al Arabiya la Saudi Arabia kuhusu mkutano huo, ingawa hakuf . . .