1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Maitre Gims Wawekewa Kizuizini Ufaransa kwa Uchunguzi wa Utakatishaji Fedha

Msanii maarufu wa muziki wa mtindo wa rapa na mwenye asili ya Kongo, Maitre Gims, amewekwa kizuizini nchini Ufaransa ili kuhojiwa . . .

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa . . .

Jembe Michezo

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi . . .

Jackline Sakilu Afungiwa Miaka 10 Kutokana na Doping

Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limeeleza chanzo cha kufungiwa kwa nyota wa timu ya taifa, Jackline Sakilu, kwa miaka 10 kutoka . . .

Jembe Habari

Iran yakumbwa na giza la Intaneti siku ya 32

Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744 . . .

Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Utur . . .

Habari Zote
SOKA

Amnesty International Yatoa Onyo kwa Kombe la Dunia 2026

Shirika la kimataifa la Amnesty International limeonya kuwa mashindano ya Kombe la Dunia 2026, yanayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, . . .

SOKA

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( ambapo ni . . .

Kimataifa

Iran yakumbwa na giza la Intaneti siku ya 32

Iran imeingia siku ya 32 tangu kukatika kwa mtandao, huku watumiaji wengi wakikosa mawasiliano nje ya mtandao kwa zaidi ya saa 744, kwa muji . . .

Kitaifa

Bunge Laahirishwa Dakika 15 ili kupisha mazishi ya Lukuvi

Kikao cha kwanza cha Mkutano wa Tatu wa Bunge la 13 la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoanza leo Machi 31, 2026 jijini Dodoma . . .

Kimataifa

Bei ya mafuta yapanda hadi Dola 115 kutokana na vita ya Iran

Bei ya mafuta duniani imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 115 kwa pipa katika masoko ya Asia, kufuatia kuongezeka kwa mvutano wa vit . . .

Kitaifa

Wananchi Idodi waaga mwili wa William Vangimembe Lukuvi kwa uchungu

Wananchi wa Kijiji cha Idodi mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu . . .