1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na . . .

Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake . . .

Jembe Michezo

Refa Abongile kuchezesha FAR Rabat vs Yanga

Refa wa kimataifa mwenye historia ya “bahati” kwa klabu za Kaskazini mwa Afrika zinapocheza nyumbani, Tom Abongile kutoka Afri . . .

Arteta Awaomba Mashabiki Utulivu

Arteta aliongeza kuwa mazungumzo hayo yalikuwa ya kutia moyo na yamewapa wachezaji imani mpya, akibainisha kuwa Arsenal ipo katika . . .

Jembe Habari

Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda

Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwe . . .

Rais Samia Aanza Mazungumzo ya Kimataifa Dubai Kuvutia Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa ki . . .

Habari Zote
Kimataifa

Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda

Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi . . .

Kimataifa

Marekani yasema imerejesha $500m kwa Venezuela

Marekani imerejesha fedha za mauzo ya mwanzo ya mafuta ya Venezuela, ikiwa ni sehemu ya makubaliano baina ya Caracas na Washington yaliyofik . . .

matukio

Kifo cha Saif al-Islam Gaddafi

Saif al-Islam Gaddafi, mtotoa mdogo wa Muammar al-Gaddafi na mgombea katika uchaguzi wa rais wa 2021, ambao hatimaye haukufanyika, ameuawa n . . .

Afya

HIZI NDIO FAIDA YA KULA UWELE

1 Huimarisha afya ya mmeng’enyo wa chakulaUwele una nyuzinyuzi (fiber) nyingi, husaidia choo kuwa laini na kuzuia tatizo la kufunga choo.2 . . .

Kitaifa

SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA MADINI NCHINI TANZANIA

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (kulia) akioneshwa picha zilizopo ukutani ( Wall Museum) zilizokuwa zikimuonesha historia ya Mgo . . .

Kimataifa

Rais Samia Aanza Mazungumzo ya Kimataifa Dubai Kuvutia Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa kimataifa kw . . .