1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Chris Brown awacha viongozi ''hawataki amani''

Msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown, ameibua mjadala mitandaoni baada ya kuweka ujumbe mfupi katika ukurasa w . . .

Mzee Steven Hizza Afariki Dunia Tanga

Mwanamuziki mkongwe nchini Tanzania, Mzee Steven Hizza, maarufu kwa wimbo wake wa “Tanzania Yetu Ndiyo Nchi ya Furaha,” amefar . . .

Jembe Michezo

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi w . . .

Salah kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu

Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo ya England mwishoni mwa msimu, akiashiria kuondok . . .

Jembe Habari

Jeshi la Magereza Tz lakanusha taarifa za kuzorota kwa Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza Tanzania limetoa kanusho dhidi ya taarifa zilizoeleza kuwa hali ya afya ya Tundu Lissu siyo nzuri, likisisitiza . . .

news

Waasi M23 Wazuia Wanahabari

Waziri Murkomen "Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo"

Utafutaji mahari ndio unachangia wizi wa mifugo, Waziri Murkomen asemaWIMBI la ujangili na wizi wa mifugo lililosababisha vifo vya . . .

Habari Zote
Kitaifa

Jeshi la Magereza Tz lakanusha taarifa za kuzorota kwa Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza Tanzania limetoa kanusho dhidi ya taarifa zilizoeleza kuwa hali ya afya ya Tundu Lissu siyo nzuri, likisisitiza kuwa taari . . .

SOKA

Polisi Mwanza wafanya msako wa kijana aliyeua kisa Simba na Yanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamtafuta kijana mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Abel Mganga Mazuri (25), mkazi wa Nyamahen . . .

Kimataifa

Waasi M23 Wazuia Wanahabari

Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema waasi wa M23 wanazuia wanahabari ndani ya makontena tangu walipoutwaa mji wa Goma uliopo . . .

Kimataifa

Michael Randrianirina ataka vipimo vya ubongo kwa Mawaziri kupambana na ufisadi

Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ameagiza kuwa mtu yeyote anayetarajiwa kuteuliwa kuwa waziri lazima apitie kipimo cha ubongo (pol . . .

SOKA ULAYA

Mashabiki Ulaya walalamikia bei kubwa Tiketi za FIFA World Cup 2026

Mashabiki wa kandanda barani Ulaya wamewasilisha malalamiko rasmi kuhusu gharama kubwa ya tiketi za FIFA World Cup 2026 inayotarajiwa kufany . . .

Kimataifa

Iran yatoa kauli kali, yakataa mazungumzo na United States

Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya ya Iran, Ebrahim Zolfaghari, ametoa kauli kali akilenga United States kuhusu hali ya kisiasa na u . . .