1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Mahakama yatoa maamuzi Mapya Kesi ya talaka ya Cardi B na Offset

Rapa Offset ameibua utata mpya katika kesi yake ya talaka na Cardi B baada ya kudai kupimwa DNA kwa mtoto mdog . . .

Kim Kardashian na Hamilton Waweka Wazi Penzi Lao

Staa wa reality TV Kim Kardashian na bingwa wa dunia wa Formula One, Lewis Hamilton, hatimaye wameweka wazi uhusiano wao hadharani . . .

Jembe Michezo

Wachezaji 7 wa timu ya taifa ya Eritrea wazamia nchini Eswatini

Ushiriki wa timu ya taifa ya Eritrea katika michuano ya awali kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika, sasa umeleta m . . .

Ada ya $15,000 yawagusa mashabiki wa Afrika kuelekea kombe la dunia 2026

Marekani imedai kuwa mashabiki kutoka Algeria, Senegal, Cape Verde, Ivory Coast na Tunisia wanatakiwa kulipa amana ya dola 15,000( . . .

Jembe Habari

Marekani kuanza kuziwekea vizuizi bandari za Iran

Jeshi la Marekani limesema linaanza leo Jumatatu kuweka vizuizi kwa bandari zote za Iran.Vizuizi hivyo ni pamoja na usafirishaji m . . .

Dkt Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima

Juhudi, maarifa na uongozi bora wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, umeendelea kumpa heshima mbele ya dunia, baada ya Chuo Kikuu cha . . .

Habari Zote
Kimataifa

Marekani kuanza kuziwekea vizuizi bandari za Iran

Jeshi la Marekani limesema linaanza leo Jumatatu kuweka vizuizi kwa bandari zote za Iran.Vizuizi hivyo ni pamoja na usafirishaji mafuta ya n . . .

Kimataifa

Papa Leo XIV anaanza ziara ya siku 10 barani Afrika

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV anaanza ziara ya siku 10 barani Afrika itakayomfikisha katika mataifa manne.Anabeba ujumbe . . .

Top Story

FAHAMU KUHUSU ZAO LA ULEZI

Ulezi (kwa Kiingereza: Finger Millet) ni aina ya nafaka ndogo inayolimwa sana katika maeneo yenye ukame au nyanda za juu.Virutubisho vya Juu . . .

matukio

Watu 30 wauwawa katika mkanyagano Haiti

Takriban watu 30 wamekufa katika mkanyagano wa watu katika ngome ya kihistoria kaskazini mwa Haiti.Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwen . . .

Kimataifa

Marekani na Iran zashindwa kufikia makubaliano

Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance ametangaza  kwamba mazungumzo ya ngazi ya juu na Iran huko Islamabad, Pakistan, yamemalizika bila m . . .

Kimataifa

Wabenin wanapigia kura ili kumchagua mrithi wa Patrice Talon

Vituo vya kupigia kura vimepangwa kufunguliwa saa 1:00 asubuhi (sawa na 2:00 asubuhi saa za Afrika ya Kati) na kufungwa saa 10:00 jioni (11: . . .