1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia  . . .

Caren Simba Akanusha Madai ya Kutoka Kimapenzi na Pacome Zouzoua

Mrembo wa mitandao ya kijamii Caren Simba (@caren_simba), amefunguka na kufafanua kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na k . . .

Jembe Michezo

Afcon: Senegal kuchuana na Morocco kwenye mechi ya fainali

Senegal na wenyeji Morocco ndio wamefuzu hatua ya fainali kwenye mashindano ya Kombe la Afrika AFCON baada ya kushinda mechi zao z . . .

Enzo Maresca Atajwa Kumrithi Ruben Amorim Manchester United

Jina la Enzo Maresca, kocha raia wa Italia aliyemaliza hivi karibuni kazi yake na klabu ya Chelsea, limo kwenye orodha ya makocha . . .

Jembe Habari

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa ki . . .

Spika Zungu Akutana na Spika wa India New Delhi

Spika wa Bunge la India Mheshimiwa Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanza . . .

Habari Zote
Kimataifa

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba takribani watu milioni 55 katika Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na uhaba mkali wa chakula mwaka huu.S . . .

matukio

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa kitaifa amba . . .

Kimataifa

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol Apatikana na Hatia

Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, ambaye aliondolewa madarakani, ametiwa hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kughushi ny . . .

matukio

Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maan . . .

afrika mashariki

Yoweri Museveni anaongoza kwa 61.7%

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais yanaonyesha Yoweri Museveni akiongoza kwa kura 14,232 (61.7%); Bobi Wine anashika nafasi ya pili kwa k . . .

matukio

Bobi Wine Awekewa Kizuizi Nyumbani Wakati Kura Zikihesabiwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anaripotiwa kuwekwa katika kizuizi cha nyumbani huku mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu . . .