logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 6, 2024

Lameck Lawi kuvaa viatu vya Inonga

Unaweza kusema ndani ya Simba eneo la beki wa kati mwenye namba yake yupo njiani kutua kikosini hapo baada ya klabu hiyo kufikia dau linalotakiwa na Coastal Union kwa aji . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 6, 2024

Mchezaji Aziz K Ateuliwa Mchezaji Bora Mwezi wa Nne

Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili 2024, kwenye NBC Premier League huku kocha wa timu hiyo Miguel Gamond akit . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 16, 2024

Chama Apewa Zawadi ya Kitimoto

Shabiki wa Simba Simon Mkondya ambaye ni Mfanyabiashara na Mfugaji kutoka Jijini Dodoma ( 104.4), amemtaka Wachezaji wa Simba Clatous Chama na Kibu Dennis kwenda kuchukua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 16, 2024

Mangungu Akataa Kujiuzulu Simba

Tetesi zinazoendelea kwa sasa katika Klabu ya Simba SC juu ya Mwenyekiti wao upande wa wanachama;SIMBA MPYA: Katika kikao kilichofanyika Juzi Jumamosi, Mwenyekiti wa klab . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • April 12, 2024

Mandonga Achezea Kichapo kwa Mada Maugo, apigwa TKO

Bondia Karim Mandonga amepoteza pambano dhidi ya Mada Maugo kwa kupigwa katika Raundi ya 6 kwa TKO kwenye pambano lililofanyika Mkoani MorogoroNgumi iliyopigwa kwenye kid . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 9, 2024

Klopp aionya Manchester United

Kocha Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp ameionya Manchester United akisema watachezea kichapo kutoka kwa Arsenal mwezi ujao ikiwa watacheza kama walivyocheza dhidi ya kikosi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

PSG imedhamiria kwa Victor Osimhen

Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris St-Germain wamepaga kulipa Pauni 111.5 milioni kumnunua Mshambuliaji wa SSC Napoli, Victor Osimhen katika dirisha lijalo la majira . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 5, 2024

FECAFOOT yakana ujio wa kocha mpya

Shirikisho la Soka nchini Cameroon ‘FECAFOOT’ limekanusha na kushangazwa na Wizara ya Michezo ya nchi hiyo kumteua Marc Brys kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa, †. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Haaland "Man City bado wanaweza kushinda taji la EPL"

Jangili wa Manchester City, Erling Haaland , amesema kwamba timu yake bado inaweza kushinda taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) licha ya sare ya bila kufungana . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Ten Hag Afungukia Madai ya Kutemwa Kibarua chake Man U

Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag anasema hajali kuhusu uvumi unaohusu kibarua chake.Kundi la Sir Jim Ratcliffe la Ineos linaripotiwa kufikiria kufanya marekebis . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2024

Lionel Messi atemwa Argentina

Nahodha na Mshambuliaji Lionel Messi atakosa mechi zijazo za Kimataifa ya Kirafiki za Argentina dhidi ya El Salvador na Costa Rica kwa sababu ya jeraha la msuli wa paja l . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2024

Ihefu FC yahamia jijini Arusha

Kikosi cha Ihefu FC, kitaweka kambi jijini Arusha kwa ajili ya kuweka kambi kujiandaa na michezo inayokuja ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’.Tim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2024

Al hilal yaipatia Azam fc mpunga wa kutosha

Kwa mujibu wa taarifa zinasema kuwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan imepeleka ofa ya Dola 200,000 [TZS 509 Million] kwenye klabu ya Azam FC ili kuinasa saini ya mshambuliaji w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 7, 2024

Kimenuka..Timu ya Singida Fountain Gate Yafukuza Kocha na Wasaidizi wake wote

Uongozi wa Singida Fountain Gate umefikia uamuzi wa Kuvunja benchi lote la ufundi Kocha na wasaidizi wake lililokuwa likiongozwa na Kocha Thabo Senong kufuatia matokeo ma . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • March 6, 2024

Anthony Joshua atamba kumchakaza Ngannou

Bondia Anthony Joshua ametamba kumpiga mpinzani wake Francis Ngannou kwa ‘KO’ kwenye pambano la uzito wa juu litakalofanyika Saudi Arabia, mwishoni mwa juma lijalo.Jo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 5, 2024

Prince Dube Aomba Kuondoka Azam, Apewa Ruksa

Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube akiomba kuvunja mkataba na Klabu hiyo.Ikumbukwe kuwa mkatab . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 27, 2024

Anthony Martial kuondoka Man Utd

Mshambuliaji wa Man Utd, Anthony Martial ataondoka kwenye kikosi hicho katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo mkataba wake utamalizika na Man United imekataa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 26, 2024

CAF yakataa ombi la Simba SC

Meneja Habari na Mawasiliano Simba SC Ahmedy Ally amesema mchezo wao Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi Jwaneng Galaxy utachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku, . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 26, 2024

Mchezaji mpira wa Honduras Elis bado yuko katika hali ya kukosa fahamu baada ya kuumia kichwa

Mshambulizi wa Honduras Alberth Elis alibaki katika hali ya kukosa fahamu Jumapili baada ya jeraha baya la kichwa na klabu yake ya Ufaransa ya Bordeaux ikisema "haiwezeka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Dani Alves Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka Minne Na Miezi 6 Jela

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil, Dani Alves amehukumiwa kifungo cha miaka minne na miezi 6 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumnyanyasa kingono mwanamke mmoja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Kocha Dabo ahimiza juhudi Azam FC

Kocha Mkuu wa Azam FC, Youssouf Dabo amewaomba wachezaji wake kuongeza bidii kuendana na ushindani kwenye mbio za ubingwa Ligi Kuu soka Tanzania Bara.Dabo amesema kwa nam . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 22, 2024

Haji Manara ataka Kocha wa Taifa Stars afukuzwe mara moja

Mkurugenzi Mtendaji wa Manara TV, Haji Manara amesema kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wanapaswa kumfukuza Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Adel Amrouche k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 21, 2024

Tanzania kupeleka waamuzi AFCON

Shirikisho la Soka ‘TFF’ limesema Tanzania itakuwa kituo cha mafunzo ya mfumno wa VAR kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ‘CECAFA’.Katibu Mkuu wa TFF, Kidao . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 20, 2024

Benchikha afichua kuahirishwa mechi ya Mtibwa

Wakati kikosi cha Simba SC kikiwa safarini kuelekea nchini Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa Mzunguuko watano wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Asec Mim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 19, 2024

Mourinho: Man City, Real Madrid mabingwa Ulaya

Kocha kutoka nchini Ureno Jose Mourinho anaamini Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City ndio washindani wakuu wa taji la Ligi ya mabingwa Barani Ulaya msimu huu, . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 16, 2024

Shime atamba kuiangamiza Afrika Kusini

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’, Bakari Shime amesema maandalizi ya mchezo wa kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya Olimpiki dhidi ya Afrika Kus . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2024

Wachezaji Ivory Coast wazawadiwa fedha, nyumba

Wachezaji wa Ivory Coast na Kocha wao wa muda Emerse Fae wamepewa fedha na nyumba za kifahari baada ya kutwaa Ubingwa wa Afrika ‘AFCON 2023’ kwa kuifunga Nigeria maba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2024

Brentford imekubali yaishe kwa Toney

Klabu za Newcastle United na Arsenal zote za England zimeanza kujipanga baada ya kusikia taarifa kwamba Brentford inamfuatilia Mshambuliaji kutoka nchini Canada na Klabu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 13, 2024

Mrisho Ngassa Ampa za uso Fisto Mayele

Sakata la Fiston Mayele limemuibua mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa ambaye amesema kama ni kutupiwa jini basi Fei Toto angekuwa chizi, majini ya hap . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 12, 2024

Mbwana Samatta "Narudi Kucheza TIMU Moja ya Tanzania"

Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania nahodha Mbwana Ally Samatta ameeleza uchu wake wa kurudi kucheza timu moja wapo ya Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.Samatta anatamani ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 9, 2024

Gamondi akomaa na safu ya ulinzi

Licha ya kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Mashujaa FC jana Alhamis (Februari 08) katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es salaam, Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 9, 2024

Xavi Alonso "Sina mpango na Liverpool"

Kocha Mkuu wa Vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani Bayern Leverkusen, Xabi Alonso amesema kuwa hana mpango wa kujiunga na Liverpool kwa sasa kwa kuwa alipo ana furaha.Alonso a . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2024

Hugo Broos"Tulistahili kucheza fainali"

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ Hugo Broos amewapongeza wachezaji wake licha ya kushindwa kutinga Hatua ya Fainali ya Michuano ya Mataifa . . .

Kurasa 7 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • JAMII IMETAKIWA KUJIEPUSHA NA UHALIFU MTANDAONI

    • 60 dakika zilizopita
  • Shauri la Polepole afisa wa polisi atajwa mahakamani

    • 2 masaa yaliopita
  • Maombi ya Kibatala kuhusu ulinzi wa Polepole uamuzi kutolewa leo

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode