logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Zogo la Lionel Messi laibuka tena La Liga

FC Barcelona inaweza kuchukua hatua ya kumsajili, Lionel Messi, lakini La Liga haitabadilisha kanuni zake ili kusaidia hilo, kwa mujibu wa Rais wa Ligi Kuu Hispania, Javi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Erling Haaland Awakosha Man City Kwa Huduma yake, Wamwandalia Mtakaba Mwingine Mnono

Klabu Bingwa nchini England Manchester City inajiandaa kumpa mkataba mpya Mshambuliaji Erling Haaland baada ya kuwakosha kwa huduma yake moto katika msimu huu wa kwanza k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 20, 2023

Manula, Kanoute kuikosa Wydad Casablanca

Huenda Simba SC ikawakosa Aishi Manula na Sadio Kanoute katika mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Wydad Casablanca ya Moro . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 19, 2023

Madrid Yaifunga Tena Chelsea UEFA Champions League, Watinga Nusu Fainali

Klabu ya Real Madrid ya Uhispania imefabikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA Champions League) baada ya kuikanda Chelsea (wenyeji wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 17, 2023

Man City kumrudisha Jude Bellingham England

Imefahamika kuwa Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City, wameanza mikakati ya kumnasa kiungo wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham ili kumsajili kwa msimu ujao w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 17, 2023

Kylian Mbappe aweka rekodi Paris Saint-Germain

Mshambuliaji Kylian Mbappe amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Klabu Bingwa nchini Ufaransa Paris Saint-Germain kwenye Ligi Kuu ya nchi hiyo ‘Ligue 1’, huku mabingw . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 14, 2023

Achraf Hakimi aushangaza ulimwengu, hamiliki chochote

Katika hali ya kushangaza, imebainika kuwa Beki wa Kulia kutoka Morocco na Klabu Bingwa nchini Ufaransa Paris Saint-Germain Achraf Hakimi hamiliki chochote, licha ya kuli . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 13, 2023

Ben Chilwell achekelea mkataba mpya Chelsea

Beki wa Klabu ya Chelsea, Ben Chilwell amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga kwenye timu hiyo akiahidi kujituma zaidi.Beki huyo amecheza mechi 81 katika mas . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • April 13, 2023

Tanzania mwenyeji wa ngumi Afrika

Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya Kimataifa ya Kanda ya tatu ya mchezo wa ngumi yanayotarajiwa kufanyika Aprili 18 hadi 23, mwaka huu, katika Uwanja wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 11, 2023

Lampard Arithi Tena Masaibu Aliyoacha Chelsea

FRANK Lampard alianza vibaya awamu yake ya pili ya ukufunzi kambini mwa Chelsea kwa kichapo cha 1-0 kutoka kwa Wolverhampton Wanderers kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2023

Ansu Fati hatarini kuondoka FC Barcelona

Makamu wa Rais wa FC Barcelona, Rafa Yuste, amesema hana uhakika wa asilimia 100 kama Mshambuliaji kinda wa klabu hiyo Ansu Fati atasalia klabuni hapo, licha ya kufahamu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2023

Mudathir Yahya amtaja kocha Nabi bao bora Afrika

Kiungo kutoka Visiwani Zanzibar na klabu ya Young Africans Mudathir Yahya Abbas amefichua siri ya bao lake alilofunga dhidi ya TP Mazembe ambalo limeibuka Bao Bora la Kom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

Timu ambazo Yanga atakutana nazo Robo fainali kombe la shirikisho hizi hapa

Baada ya Yanga kuizamisha TP Mazembe kwenye dimba lao la nyumbani huko DR Congo kwa kuwachapa bao 1-0, US Monastir walipaswa kushinda angalau mabao matatu dhidi ya Real B . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 3, 2023

Kocha wa Chelsea Atimuliwa

Klabu ya Chelsea imemtimua Kocha wake Graham Potter baada ya muendelezo wa matokeo mabovu ya klabu hiyo huku jana Jumamosi akipokea kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa Asto . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Serikali kununua JENERETA Uwanja wa Mkapa

Serikali imehaidi kufanya Maboresho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwemo kununua jenereta mbili kubwa ambazo zitatumika wakati umeme utakapokatika.Kauli hiyo, imetolew . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Valangati la kuuzwa Manchester United

Imeelezwa kuwa mmiliki mwenza wa kutoka Familia ya Glazer, Avram Glazer hataki klabu ya Manchester United ipigwe bei kwa mujibu wa ripoti, licha ya klabu hiyo kuwekwa sok . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Liverpool yamuwinda Antonio Silva

Majogoo wa Jiji ‘Liverpool’ wameanza mchakato wa kumfukuzia beki anayekipiga SL Benfica ya Ureno, Antonio Silva huku taarifa zikiripoti meneja wa Klabu hiyo ya Alfiel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Aliyekuwa Kiungo Nyota wa Arsenal Mesut Ozil Astaafu Soka Akiwa na Miaka 34

Aliyekuwa kiungo wa kati wa Arsenal, Real Madrid na Ujerumani Mesut Ozil ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34. Akitoa tanggazo hilo kupitia ukurasa wake wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Fei Toto Aahidi Ushindi Stars Dhidi ya Uganda Kufuzu AFCON

KIUNGO wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kutua nchini Misri, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu maandalizi ya mechi yao dhidi ya Uganda . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Bondia Mtanzania Stumai Muki Amchapa Chimwemwe Banda wa Malawi Dar

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Stumai Muki amefanikiwa kumchapa kwa pointi mpinzani wake kutoka Malawi, Chimwemwe Banda katika pambano lisilokuwa la ubingwa la kimata . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

US Monastir kumsajili Fiston Mayele

Kocha Mkuu wa US Monastir ya Tunisia, Novic Darko, ameshindwa kujizuia na kutamka kuwa kama akipewa nafasi ya kusajili Mshambuliaji msimu ujao, basi chaguo lake la kwanza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

Taifa Stars yawasili salama Misri

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imewasili nchini Misri salama huku Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, akisema kuwa Tanzania ina nafasi ya kufanya vizu . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

BFT kuongeza idadi ya makocha

Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limetangaza kuendesha mafunzo kwa makocha yakiwa na lengo la kuongeza idadi ya walimu wa mchezo huo. Makocha hao wataongezwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 19, 2023

FIFA na CAF Wampe Tuzo Mama Samia Kwa Kuhamasisha Michezo na Kuongeza Morali

Nimesikia na kuona Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) likitoa tuzo maalum kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Mfalme Mohammed VI wa Morocco kwa kuwa mfano wa kuigwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Mambo yamekubali Ulaya, Robo Fainali UEFA

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika Real Madrid watakutana na Chelsea ya England katika mchezo wa Robo Fainali, baada ya kufanywa kwa Droo ya Michuano hiy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Kocha wa Arsenal Apigwa Kalamu Baada ya Kucheza Mechi 12 Bila Ushindi.

Klabu ya Crystal Palace imempiga kalamu kocha mkuu Patrick Vieira baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa mechi 12 zilizopita bila kusajili ushindi wowote. Palace haijashi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Ten Hag akasirishwa na maamuzi England

Meneja wa Manchester United Erik Ten Hag ameonesha kusikitishwa na kitendo cha kukosa uthabiti katika maamuzi ya waamuzi baada ya kuchoshwa na uchezeshaji wa mwamuzi Anth . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 12, 2023

Wanne mbaroni wakijifanya wachezaji wa Coastal

Kamanda wa Uhamiaji Mkoa wa Tanga, Kagimbo Bakari amesema Jeshi hili limewakamata wahamiaji haramu wanne raia wa Cameroon, ambao wamedai wapo nchini  kwa ajili ya ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

Nabi atetea maamuzi ya kumtoa Aziz Ki

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Nasreddine Mohammed Nabi, ametetea maamuzi yake ya kumtoa Kiungo Mshambuliaji kutoka Burkina Faso Stephen Aziz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 7, 2023

Young Africans yamlima barua Feisal Salum

Kwa mara nyingine tena Uongozi wa Young Africans umemwandikia Barua Kiungo kutoka visiwani Zanzibar Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ ya kumtaka kurejea kambini kujiun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

Messi awanunulia zawadi ya iPhone wachezaji wa Argentina

Lionel Messi ametumia pauni 175,000 kuwanunulia zawadi za simu 35 aina ya iPhone rangi ya dhahabu wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya Argentina kutokana na mafanikio wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Young yahamia Chamazi

Rasmi mchezo wa 16 Bora Kombe la Shirikisho Tanzania Barani ‘ASFC’ kati ya Mabingwa watetezi Young Africans dhidi ya Maafande wa Jeshi la Magereza Tanzania Prisons ut . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2023

Vipers SC Yapewa muda Tena

Shirikisho la Soka Nchini Uganda ‘FUFA’ limeusogeza mbele Mchezo wa Ligi Kuu nchini humo kati ya Arua Hill SC dhidi ya Vipers SC.Mchezo huo ulipangwa kuchezwa kesho M . . .

Kurasa 11 ya 21

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

    • 3 masaa yaliopita
  • RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

    • 3 masaa yaliopita
  • XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode