logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Kuhusu Mafua, UVIKO-19 na Dengue

Wizara ya Afya imewataka wananchi kuchukua tahadhari kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na UVIKO-19, huku ikisisitiza kuchukua hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi.Tahadhari . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Bima ya Afya kwa Wote: Kitita Maalumu Kuanza Rasmi Kesho

Wananchi wasio na uwezo nchini sasa wana sababu ya kutabasamu kufuatia kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, hatua inayolenga kupanua wigo wa upatikanaji . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Wazazi Wakumbushwa Kuwekeza Elimu kwa Watoto

Jamii imetakiwa kutambua umuhimu elimu kwa watoto wote ili waweze kupata uwezo,ujuzi na maarifa yatakayomfanya kuishi vizuri katika jamii husikawito huo umetolewa na afisa elimu na msingi kutoka manis . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Manyara yapitisha bajeti ya 2026/ 2027

MKOA wa Manyara umepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Sh327 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027.Katibu Tawala msaidizi sehemu ya mipango na uratibu, Lusungu Mwilongo ameeleza hayo mjini Babati . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Shirika lataka afisa achunguzwe kuhusu ushonaji wa sare za polisi

SHIRIKA moja lisilo la kiserikali lenye makao yake Mombasa, linamtaka Inspekta Jenerali wa Polisi kuchunguza afisa wa cheo cha juu wa polisi kwa madai kwamba alimwagiza fundi wa nguo eneo la Changamwe . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Idadi ya watu wanaokabiliwa na njaa yaongezeka

Idadi ya watu wanaokabiliwa na hali mbaya ya chakula nchini Somalia, iliongezeka maradufu mwaka uliopita hadi kufikia watu milioni 6 na laki 5, wameonya wataalamu wa umoja wa Mataifa.Kwa mujibu wa wat . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 24, 2026

WATANZANIA WAJIVUNIE MRADI WA SGR UNAOGHARAMIWA NA KODI ZAO

Waziri wa Ujenzi, Makame Mbarawa, amesema Watanzania wanapaswa kujivunia Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kwa kuwa unajengwa kwa fedha zinazotokana na kodi zao, hivyo ni mali ya taifa inayostahili kulind . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

STAMICO na PLANTCOR Wasaini Mkataba wa Utafiti wa Dhahabu Kigosi

Mkataba wa mashirikiano ya utafiti na uchimbaji wa dhahabu katika leseni ya Kigosi kati ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kampuni ya PLANTCOR kutoka Afrika Kusini umesainiwa rasmi, huku Serik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Watu Wawili Wafariki kwa Kupigwa Radi Kilombero

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha vifo vya watu wawili vilivyotokea katika Kitongoji cha Mbesi, Kijiji na Kata ya Utengule, Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, kufuatia tukio la . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Dkt. Samia: Ukuaji wa Uchumi Tanzania Utegemea Amani na Usalama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi wa taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo ya hali imara ya ulinzi na usalama nchini, huku akisisitiza . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

JWTZ Yasisitizwa Kuishi Kwenye Misingi ya Viapo

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya viapo vyao na kuepuka vitendo vinavyoweza kuharibu heshima . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Ripoti ya UN: Haki za Binadamu Zimevunjwa Tanzania

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Kikundi Kazi cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Uhifadhi Holela (UNWGAD) kimezitaka mamlaka za Tanzania kumuachia huru Mweny . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Kijana Mkinga Ahukumiwa Miaka 30 kwa Kusafirisha Mirungi

Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga, baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Rais Samia Azindua Makao Makuu ya Ulinzi Kikombo

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa yaliyopo Kikombo jijin . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 24, 2026

Wamatangi apuuza ‘mgomo’ wa baraza la magavana, afika kwa ukaguzi Seneti

GAVANA wa Kiambu, Kimani Wamatangi alipuuza ‘mgomo’ wa Baraza la Magavana na kufika kwa Kamati ya Uhasibu inayoongozwa na Seneta Moses Kajwang kuwajibikia hesabu za kaunti yake, jana.Haya yanajiri . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 24, 2026

Mexico yatuma wanajeshi 10,000 mitaani kukomesha ghasia

Mexico imewatuma wanajeshi 10,000 mitaani kutuliza mapigano yaliyosababishwa na mauaji ya mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya nchini humo ambaye amesababisha vifo vya watu wengi.Nemesio "El Mencho" Ose . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 24, 2026

Mshauri wa Trump azitaka pande hasimu Sudan kusitisha mapigano

Mshauri wa rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na nchi za Kiarabu, Massad Boulos, amezitaka pande hasimu nchini Sudan kukubali mpango wa usitishaji mapigano bila masharti, wakati huu watu zaidi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 24, 2026

Parfait Onanga-Anyanga ateuliwa kuwa kaimu mkuu wa ofisi ya UM Afrika ya Kati

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mwanadiplomasia wa Gabon Parfait Onanga-Anyanga kama Mwakilishi wake Maalum wa Afrika ya Kati na kaimu mkuu wa Ofisi ya kikanda ya Umoja wa M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Dk. Mwigulu aagiza barabara ya Tengeru-Mirerani Km 28 kujengwa kwa kiwango cha lami

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Ujenzi kuanza ujenzi wa barabara ya Tengeru- Mirerani km 28 kwa kiwango cha lami.Amesema hayo kwenye hafla la uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa host . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Kindiki ahimiza amani baada ya mwanamume kudungwa kisu kwa dai la kukataa kuvalia kofia ya UDA

NAIBU Rais Kithure Kindiki ametoa wito wa kampeni za amani kuelekea kwa uchaguzi mdogo wa udiwani utakaofanyika Februari 26, 2026.Akizungumza katika kanisa la Kanthoki Full Gospel katika eneobunge la . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Jeshi la polisi linafuatilia kwa karibu watu wanaojiita TFF

Jeshi la Polisi linapenda kujulisha kuwa, linaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi kama yalivyoainishwa na Sheria za nchi. Utekelezaji huo unakwenda sambamba na kushirikiana na wananchi katika k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Kiongozi wa Cartel “El Mencho” Auawa katika Operesheni ya Kijeshi Mexico

Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kama El Mencho ameuawa kufuatia operesheni kubwa ya kijeshi iliyofanyika katika jimbo la Jalisco nchini Mexico.Kwa mujibu wa taarifa za awali, kiongozi huyo wa genge . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • February 21, 2026

Serikali Yazindua Programu ya Kuinua Vijana Kiuchumi Mwanza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, leo Februari 20, 2026, amezindua programu maalumu inayolenga kuwaimarisha vijana kiuchumi na kutatua changamoto wanazokabiliana naz . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 20, 2026

Yoon Suk Yeol Aomba Radhi Baada ya Hukumu ya Maisha Jela

Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa kutangaza Sheria ya Kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024.Kauli hiyo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • February 20, 2026

Mtoto wa Mugabe Akamatwa kwa Jaribio la Mauaji

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujaribu kuua kufuatia tukio la ufyatuaji risasi lililoripotiwa k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • February 20, 2026

Kardinali Pengo Afariki Dunia

Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwe . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • February 20, 2026

Sangu Awasili Mwanza kwa Ziara ya Kazi

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Mhe. Deus Sangu, aliyewasili mkoani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2026

Polisi wa Afrika Kusini wamekamata mtoto wa kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe

Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, polisi na wakili wa familia wamesema.Wakili Ashley Mugiya amelia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2026

Australia yatoa bil. 15/- kunufaisha kampuni na mashirika ya uzalishaji yanayochipukia Tanzania

Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezesha Kampuni na Mashirika nchini Tanzania kuongea uzalishaji w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 20, 2026

Wanamgambo wa RSF walifanya mauaji ya kimbari el-Fasher

Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu ndani na karibu na mji mmoja huko Darfur, inaonesha ishara za . . .

Kurasa 2 ya 143

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Marekani Yaiwekea Rwanda Vikwazo kwa Madai ya Kuisaidia M23

    • 16 masaa yaliopita
  • Watu 169 Wauawa Kaskazini mwa Sudan Kusini

    • 17 masaa yaliopita
  • Dkt Samia: Tutajiepusha na Athari za Kupanda Bei ya Mafuta

    • 17 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode