logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Ukraine yashambulia Moscow na kutatiza safari za ndege

Ukraine imekishambulia kiwanda cha kusafisha mafuta mjini Moscow kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, na kusababisha usumbufu mkubwa wa safari za ndege.Wizara ya Ulinzi ya Urusiimedai mifumo yake ya u . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Mtoto wa rais na mkuu wa jeshi ajisifu kuhusu kumteka nyara wakili

Mkuu wa jeshi la Uganda Muhoozi Kainerugaba amejisifu, kwa ushahidi wa picha, kuhusu kutekwa nyara kwa wakili na mwanasiasa wa upinzani mnamo Juni 15, 2026 ambaye alitaka kumfikisha mahakamani kwa aji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Serikali ya Equatorial Guinea yajiuzulu

Serikali ya Equatorial Guinea imejiuzulu baada ya makamu wa rais, Teodoro Nguema Obiang Mangue, ambaye pia ni mwana wa rais, kusema kuwa imeshindwa kutimiza majukumu yake.Nguema amesema kuwa Waziri Mk . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Wafikishwa Mahakamani Kisutu Kwa Tuhuma za Wizi wa Mafuta Ghafi

MSIMAMIZI wa tanki Kassim Kongwa na wenzake, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa shataka la wizi wa lita 2,800 za mafuta ya ghafi mali ya kampuni ya Mikoani Edible Oil and Detergents Limited.Washtaki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTOA ELIMU YA USALAMA WA MTOTO MTANDAONI

Waandishi wa habari na waandaaji wa vipindi vya watoto nchini wametakiwa kutumia vyombo vyao vya habari kuelimisha jamii kuhusu usalama wa watoto mtandaoni ili kukabiliana na ongezeko la vitendo vya u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

AU inataka kukusanya fedha za kupambana na mlipuko wa Ebola

Kama ishara ya wasiwasi kuhusu mlipuko wa virusi vya Ebola nchini DRC, Umoja wa Afrika umeitisha mkutano kwa njia ya video siku ya Jumanne na wakuu wa nchi na mawaziri zaidi ya kumi kutoka kote barani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Jukwa la C64 linamtaka Rais Félix Tshisekedi kujiuzulu

Jukwaa la kisiasa linalojumuisha vyama vya upinzani vinavyopinga mpango wa kufanyika kwa marekebisho ya katiba nchini DRC la C64 sasa limeandaa maandamano ya nchi nzima tarehe 08 mwezi Julai, kumtaka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

Iran "Israel ilazimishwe kuondoka Lebanon"

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kitendo cha Israel kuendelea kukalia eneo la kusini mwa Lebanon ni kukiuka na kuyaweka matatani makubaliano ya amani kati yake na Marekani.Waziri . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Jenerali wa Zamani wa Jeshi la Nigeria Afariki Baada ya Kutekwa

Jeshi la Nigeria limethibitisha kifo cha Meja Jenerali mstaafu Rabe Abubakar, aliyekuwa msemaji wa jeshi kati ya mwaka 2015 na 2017, baada ya kufariki akiwa mikononi mwa watekaji nyara waliomteka mwez . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Mtoto wa Malkia wa Norway Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Makosa ya Ubakaji

Marius Borg Høiby, mtoto wa miaka 29 wa Malkia wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Oslo kumpata na hatia ya makosa mawili ya ubakaji.Ua . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Idadi ya watu walioambukizwa yafikia 782

Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeongezeka na kufikia 782, ikiwemo vifo 178n wakati huu mlipuko huo ukienea kwenye maeneo mawi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 16, 2026

Ndege ya kijeshi ya Marekani yaanguka nane wahofiwa kufa

Taarifa hiyo iliyochapishwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook imeongeza kwamba picha za angani hazikuonyesha chochote kilichosalia cha ndege hiyo iliyoanguka wakati wa majaribio ya kawaida.Taarifa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2026

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika operesheni ya kijeshi iliyohusisha matumizi ya droni kuelek . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2026

Trump adai makubaliano na Iran yako karibu, Tehran yasema bado haijafanya uamuzi wa mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya  Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Iran, akielezea kwamba "makubaliano mazuri sana" yamefikiwa na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2026

Kabila avunja ukimya wake na kutoa wito kupambana dhidi ya marekebisho ya katiba

Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato wa kurekebisha Katiba ya Februari 18, 2006, ulioanzishwa na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

Wanasayansi wanaonya ongezeko la joto duniani linatarajiwa kufikia 1.5°C ifikapo mwaka wa 2030

Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda likavukwa ndani ya miaka minne ijayo.Wakati wimbi jipya la j . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA NISHATI SAFI JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo kiwango cha matumizi kimeongezeka kutoka asilimia 6. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

Rais Mstaafu Kikwete Ahudhuria Mkutano wa Viongozi Duniani Norway

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, anayeshughulikia masual . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

Papa Leo kukutana na wahamiaji katika visiwa vya Canary

Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana na hatari ya kuvuka bahari ya Atlantiki ili kufika kwenye v . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 11, 2026

Idadi ya visa vya ebola yaongezeka Kongo

Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo katika suala la ebola.Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Taifa la Ghuba Lapiga Marufuku Kuajiri Wafanyakazi wa Ndani Kutoka Kenya, Nchi Nyingine 25 za Afrika

Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira huku ikipiga marufuku kuajiri kutoka kwa nchi zingine 27, ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Mtu mmoja auawa katika maandamano ya kupinga kituo cha Ebola

Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Rubani Atuhumiwa Kurusha Ndege Miaka 17 Bila Kuwa na Leseni Halali

Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila leseni halali ya urubani.Polisi walisema ilibainika kuwa Jeffre . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Zaidi ya wahamiaji 1,000 waokolewa pwani ya Mauritania ndani ya siku kumi

Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, boti zilizozuiliwa ziliondoka kutoka nchi zilizo mbali zaid . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Taliban yavunja maandamano ya haki za wanawake Afghanistan

Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usalama wa Afghanistan wamezima maandamano ya kutetea haki za w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 10, 2026

Shambulio la kisu lazusha vurugu Ireland Kaskazini

Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea shambulio la kisu linalodaiwa kufanywa na mhamiaji kutoka Su . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 9, 2026

Wito wa amani kufuatia kisa cha mauaji msikitini

JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki chache zilizopita.Msomi wa dini ya kiislamu na imamu, Bw Mah . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 9, 2026

RPC Morcase akanusha uvumi wa maiti sita kuokotwa mto Ruvu

. . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 9, 2026

Marubani Wawili Wafariki Katika Ajali ya Private Jet ya Yadier Molina

Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka moto katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa La Romana Interna . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 9, 2026

Helikopta ya Kijeshi ya Marekani Yaanguka Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango Bahari wa Hormuz, eneo linalodhibitiwa kwa sehemu na Iran.K . . .

Kurasa 2 ya 165

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mataifa ya Magharibi yanaandaa vita dhidi ya Urusi

    • 4 masaa yaliopita
  • Iran na Marekani zatofautiana vipengele vya makubaliano

    • 4 masaa yaliopita
  • Mtindo mpya wa wanawake kuvalia pete ‘kufukuza wanaume wasumbufu’

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode