logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Mwili wa Joshua Mollel kuwasili leo nchini

Hatua hii inafuatia makabidhiano yanayoendelea kufanyika kati ya nchi ya Israel na Kundi la Hamas kutoka Palestina.Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel, aliyeuawa na kundi la Hamas nchini Israel miaka miw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Trump amtetea Bin Salman kuhusu mauaji ya Khashoggi

Wakati Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman anafanya ziara yake ya kwanza Washington tangu mwaka 2018, yeye na Donald Trump walihojiwa Jumanne, Novemba 18, kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

TotalEnergies yatuhumiwa kuhusika na vitendo vya uhalifu wa kivita Msumbiji

Shirika la kimataifa la Human Rights Watch, limechapisha taarifa inayoituhumu kampuni ya mafuta ya Ufaransa, TotalEnergies kuhusika na vitendo vya uhalifu wa kivita kwa kushirikiana na askari wanaotoa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ujumbe wa Tanzania umefika mjini Geneva kuanza Mkutano wa 11 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa WHO wa Kudhibiti Tumbaku

Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefika mjini Geneva tayari kuanza Mkutano wa 11 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa WHO wa Kudhibiti Tumbaku (WHO FCTC COP11 ), unaofanyika Geneva , Uswiss tar . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Tanzania na Burundi kuongeza uzalishaji wa biashara ya nafaka

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dkt. Stephen J. Nindi, amesema kuwa Tanzania iko tayari kuimarisha ushirikiano na Burundi katika Sekta ya K . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wanafunzi wa muhula wa kwanza watakiwa kuwa Wazalendo na nchi yao

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Assed Mwampamba Novemba 17 mwaka huu ametoa elimu kwa wanafunzi wa muhula wa kwanza ambao wanajiunga katika Chuo cha Mgao Health Tra . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

TPDC YAONGEZA KASI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuunga mkono Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwani Watanzania zaidi ya 3000 wameunganishiwa na mifumo ya gesi asilia ambayo ni . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Viongozi watakiwa kuhakikisha wanatafuta zaidi fedha ili kutekeleza miradi ya maendeleo Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza viongozi kuhakikisha wanatafuta zaidi fedha za ndani ili kutekeleza miradi ya maendeleo Nchin.Akizungumza Ikulu Chamw . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Jukwaa la wadau wa mazingira kanda ya Ziwa Victoria watoa elimu matumizi ya taka plastic

Jukwaa la wadau wa mazingira kanda ya Ziwa Victoria chini ya kauli mbiu isemayo"Sema hapana kwa taka za plastic kuwa sehemu ya suluhisho chukua hatua sasa" limeendelea kuwanufaisha wadau mbalimbali ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

RC Chalamila atangaza rasmi kurejeshwa hudama ya mwendokasi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert John Chalamila ametangaza rasmi kuwa huduma ya mwendokasi kwa barabara ya BRT 2 (Mbagala) itaanza kufanya kazi rasmi siku ya tarehe 20/11/2025 siku ya Alhamisi na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Chakwera anatumai serikali ya Tanzania itamkaribisha kuanza maridhiano

Rais wa zamani nchini Malawi, Lazarus Chakwera amesema ameridhia uteuzi wa Jumuiya ya Madola kuwa msuluhishi Tanzania.Chakwera amesema hayo alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama chake MCP mjini . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Walimu wakuu wapinga kuongozwa na walimu wa JSS

CHAMA cha Walimu Wakuu wa Shule za Msingi (KEPSHA) na Chama cha Kitaifa cha Walimu (KNUT) vimepinga uongozi mpya unaopendekezwa ambapo walimu wa Shule za Sekondari ya Chini (JSS) msingi ‘kusimamia†. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

INEC yatangaza kuteua madiwani wa viti maalumu 1,385

#10YrsJembefm  #Familiamoja #AhsantekwaTime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Utafiti: kupungua kwa misaada kutasababisha vifo milioni 22

Zaidi ya watu milioni 22, wengi wao watoto, wako hatarini kufa kutokana na magonjwa yanayoweza kuzuilika ifikapo 2030 kwa sababu ya kupunguzwa kwa misaada ya Marekani na Ulaya.Zaidi ya watu milioni 22 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Merz, Macron, Starmer kukutana Berlin leo hii

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz atakutana na viongozi wa Ufaransa na Uingereza mjini Berlin jioni ya leo. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa serikali.Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron atakuwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Upinzani waituhumu serikali ya kijeshi kwa kushindwa kulinda nchi

Mrengo wa upinzani nchini Mali, umeituhumu utawala wa kijeshi kwa kushindwa kuilinda nchi hiyo dhidi  mashambulio ya wanajihadi ambao umesababisha uhaba wa mafuta.Kwa miezi miwili sasa, jiji kuu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza jipya la Mawaziri katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma.Tan . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Rais Samia awatakia kheri wanafunzi wanaoanza mtihani leo

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakiwa kheri ya wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne ambao wameanza mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari leo katika shule takribani 5,868 nchini.Katika ujumbe alioutoa k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Waendesha Bodaboda Watakiwa Kuepuka Vitendo Vya Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka maafisa usafirishaji (bodaboda) kujiepusha na vitendo vyovyote vya uhalifu au uvunjifu wa amani kutokana na makundi yenye nia ovu kudaiwa kuwashirikisha baadhi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mke wa Besigye atoa wito kuachiwa huru kwa mumewe

Mke wa mwanasiasa mashuhuri nchini Uganda, Kizza Besigye, Winnie Byanyima, sasa anataka mume wake kuachiwa huru na haki itendeke, kauli anayotia wakati huu mwanasiasa huyo akifikisha mwaka mmoja kizui . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania â€“ Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04, 2025 katika kesi ya jinai namba 48250 ya mwaka 2025, inayo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na mawili yasiyokuwa ya kiserikali na yale ya kutoa misaada ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu ambayo ni Kamati Elekezi na Kamati ya Kiufundi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi uwazi na ubunifu ili kuhakikisha kuwa tafiti zinazofanyika zinatoa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora-Kigoma waendelea kwa kasi

Serikali inaendelea na zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha sita kutoka mikoa ya Tabora hadi Kigoma katika wilaya za Tabora Mjini, Uyui, Urambo, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya 28 za wakazi wa Bonde la Maisaka, waliopisha ujenzi wa mradi mkubwa w . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Ruvuma wakulima 383 kunufaika na mitambo ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo imekabidhi vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima 383 wa Wilaya za Songea na Nyasa mkoani Ruvuma vitakavyowasaidia kumwagilia zaidi ya ekari 500 za kilimo.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya K . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Tamasha la Land Rover kutangaza vivutio vya utalii nchini

Tamasha la Land Rover Iringa 2025 litakalofanyika mwezi Novemba 2025 linatarajia kutangaza vivutio vya utalii vya mkoa wa Iringa hivyo kuvutia watalii wengi kutoka ndani na nje ya nchi.Akizungumza kat . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Tajiri Aliko Dangote aweka rekodi mpya Afrika

Ripoti kutoka Mabilionea Bloomberg Mfanyabiashara mkubwa wa nchini Nigeria, Aliko Dangote, ameandika historia mpya kwa kuwa Mwafrika wa kwanza kufikisha utajiri wa Dola Bilioni 30.3.​Utajiri huu wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Mtahiniwa kufanya KCSE rumande Lamu

MWANAFUNZI wa shule ya upili iliyo eneo la Lamu ya Kati, Kaunti ya Lamu, huenda akalazimika kufanya mitihani yake ya KCSE akiwa chini ya ulinzi wa polisi.Hii ni kutokana na kuwa, alikamatwa na kuwekwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Baraza la usalama na UN lawateua wataalam kuchunguza ukiukaji wa haki

Baraza la Haki za bindamu la Umoja wa Mataifa, limewateua watalaam watatu, kuchunguza madai ya ukiukwaji wa haki Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatia uhaba wa bajeti ya fedha, kuwa . . .

Kurasa 2 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 7 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 7 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode