Ukraine imekishambulia kiwanda cha kusafisha mafuta mjini Moscow kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, na kusababisha usumbufu mkubwa wa safari za ndege.Wizara ya Ulinzi ya Urusiimedai mifumo yake ya u . . .
Mkuu wa jeshi la Uganda Muhoozi Kainerugaba amejisifu, kwa ushahidi wa picha, kuhusu kutekwa nyara kwa wakili na mwanasiasa wa upinzani mnamo Juni 15, 2026 ambaye alitaka kumfikisha mahakamani kwa aji . . .
Serikali ya Equatorial Guinea imejiuzulu baada ya makamu wa rais, Teodoro Nguema Obiang Mangue, ambaye pia ni mwana wa rais, kusema kuwa imeshindwa kutimiza majukumu yake.Nguema amesema kuwa Waziri Mk . . .
MSIMAMIZI wa tanki Kassim Kongwa na wenzake, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa shataka la wizi wa lita 2,800 za mafuta ya ghafi mali ya kampuni ya Mikoani Edible Oil and Detergents Limited.Washtaki . . .
Waandishi wa habari na waandaaji wa vipindi vya watoto nchini wametakiwa kutumia vyombo vyao vya habari kuelimisha jamii kuhusu usalama wa watoto mtandaoni ili kukabiliana na ongezeko la vitendo vya u . . .
Kama ishara ya wasiwasi kuhusu mlipuko wa virusi vya Ebola nchini DRC, Umoja wa Afrika umeitisha mkutano kwa njia ya video siku ya Jumanne na wakuu wa nchi na mawaziri zaidi ya kumi kutoka kote barani . . .
Jukwaa la kisiasa linalojumuisha vyama vya upinzani vinavyopinga mpango wa kufanyika kwa marekebisho ya katiba nchini DRC la C64 sasa limeandaa maandamano ya nchi nzima tarehe 08 mwezi Julai, kumtaka . . .
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema kitendo cha Israel kuendelea kukalia eneo la kusini mwa Lebanon ni kukiuka na kuyaweka matatani makubaliano ya amani kati yake na Marekani.Waziri . . .
Jeshi la Nigeria limethibitisha kifo cha Meja Jenerali mstaafu Rabe Abubakar, aliyekuwa msemaji wa jeshi kati ya mwaka 2015 na 2017, baada ya kufariki akiwa mikononi mwa watekaji nyara waliomteka mwez . . .
Marius Borg Høiby, mtoto wa miaka 29 wa Malkia wa Norway, Mette-Marit, amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Oslo kumpata na hatia ya makosa mawili ya ubakaji.Ua . . .
Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuwa na maambukizi ya Ebola nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeongezeka na kufikia 782, ikiwemo vifo 178n wakati huu mlipuko huo ukienea kwenye maeneo mawi . . .
Taarifa hiyo iliyochapishwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook imeongeza kwamba picha za angani hazikuonyesha chochote kilichosalia cha ndege hiyo iliyoanguka wakati wa majaribio ya kawaida.Taarifa . . .
Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika operesheni ya kijeshi iliyohusisha matumizi ya droni kuelek . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Iran, akielezea kwamba "makubaliano mazuri sana" yamefikiwa na . . .
Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato wa kurekebisha Katiba ya Februari 18, 2006, ulioanzishwa na . . .
Katika utafiti uliochapishwa mnamo Juni 11, muungano wa watafiti unabainisha kwamba lengo kuu zaidi la Mkataba wa Tabianchi wa Paris huenda likavukwa ndani ya miaka minne ijayo.Wakati wimbi jipya la j . . .
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo kiwango cha matumizi kimeongezeka kutoka asilimia 6. . . .
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amekutana na Bw. Massad Boulos, mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, anayeshughulikia masual . . .
Papa Leo XIV anatarajiwa kusafiri Alhamisi hadi visiwa vya Canary vya Uhispania kukutana na wahamiaji, ambao wengi wao walinusurika kutokana na hatari ya kuvuka bahari ya Atlantiki ili kufika kwenye v . . .
Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 635. Misri imeahidi kuisaidia Kongo katika suala la ebola.Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa . . .
Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira huku ikipiga marufuku kuajiri kutoka kwa nchi zingine 27, ku . . .
Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo cha . . .
Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa miaka 17 bila leseni halali ya urubani.Polisi walisema ilibainika kuwa Jeffre . . .
Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, boti zilizozuiliwa ziliondoka kutoka nchi zilizo mbali zaid . . .
Maandamano ya wanawake yazimwa na maafisa wa usalama Herat. Mashuhuda wakiripoti mauwaji ya mtu mmoja na wengine wamejeruhiwa.Maafisa wa usalama wa Afghanistan wamezima maandamano ya kutetea haki za w . . .
Waandamanaji wanaopinga wahamiaji wamechoma moto majengo na magari kwenye mji mkuu wa Ireland Kaskazini, Belfast siku moja baada ya kutokea shambulio la kisu linalodaiwa kufanywa na mhamiaji kutoka Su . . .
JAMII katika Kaunti ya Lamu zimesisitiza wito wa ushirikiano kuhubiri amani na utangamano kati yao, kufuatia kisa cha mauaji msikitini wiki chache zilizopita.Msomi wa dini ya kiislamu na imamu, Bw Mah . . .
. . .
Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na kulipuka moto katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa La Romana Interna . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa katika Mlango Bahari wa Hormuz, eneo linalodhibitiwa kwa sehemu na Iran.K . . .