Wizara ya Afya imewataka wananchi kuchukua tahadhari kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na UVIKO-19, huku ikisisitiza kuchukua hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi.Tahadhari . . .
Wananchi wasio na uwezo nchini sasa wana sababu ya kutabasamu kufuatia kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, hatua inayolenga kupanua wigo wa upatikanaji . . .
Jamii imetakiwa kutambua umuhimu elimu kwa watoto wote ili waweze kupata uwezo,ujuzi na maarifa yatakayomfanya kuishi vizuri katika jamii husikawito huo umetolewa na afisa elimu na msingi kutoka manis . . .
MKOA wa Manyara umepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Sh327 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027.Katibu Tawala msaidizi sehemu ya mipango na uratibu, Lusungu Mwilongo ameeleza hayo mjini Babati . . .
SHIRIKA moja lisilo la kiserikali lenye makao yake Mombasa, linamtaka Inspekta Jenerali wa Polisi kuchunguza afisa wa cheo cha juu wa polisi kwa madai kwamba alimwagiza fundi wa nguo eneo la Changamwe . . .
Idadi ya watu wanaokabiliwa na hali mbaya ya chakula nchini Somalia, iliongezeka maradufu mwaka uliopita hadi kufikia watu milioni 6 na laki 5, wameonya wataalamu wa umoja wa Mataifa.Kwa mujibu wa wat . . .
Waziri wa Ujenzi, Makame Mbarawa, amesema Watanzania wanapaswa kujivunia Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kwa kuwa unajengwa kwa fedha zinazotokana na kodi zao, hivyo ni mali ya taifa inayostahili kulind . . .
Mkataba wa mashirikiano ya utafiti na uchimbaji wa dhahabu katika leseni ya Kigosi kati ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kampuni ya PLANTCOR kutoka Afrika Kusini umesainiwa rasmi, huku Serik . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha vifo vya watu wawili vilivyotokea katika Kitongoji cha Mbesi, Kijiji na Kata ya Utengule, Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, kufuatia tukio la . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi wa taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo ya hali imara ya ulinzi na usalama nchini, huku akisisitiza . . .
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya viapo vyao na kuepuka vitendo vinavyoweza kuharibu heshima . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Kikundi Kazi cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Uhifadhi Holela (UNWGAD) kimezitaka mamlaka za Tanzania kumuachia huru Mweny . . .
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga, baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya . . .
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa yaliyopo Kikombo jijin . . .
GAVANA wa Kiambu, Kimani Wamatangi alipuuza ‘mgomo’ wa Baraza la Magavana na kufika kwa Kamati ya Uhasibu inayoongozwa na Seneta Moses Kajwang kuwajibikia hesabu za kaunti yake, jana.Haya yanajiri . . .
Mexico imewatuma wanajeshi 10,000 mitaani kutuliza mapigano yaliyosababishwa na mauaji ya mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya nchini humo ambaye amesababisha vifo vya watu wengi.Nemesio "El Mencho" Ose . . .
Mshauri wa rais wa Marekani kuhusu masuala ya Afrika na nchi za Kiarabu, Massad Boulos, amezitaka pande hasimu nchini Sudan kukubali mpango wa usitishaji mapigano bila masharti, wakati huu watu zaidi . . .
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mwanadiplomasia wa Gabon Parfait Onanga-Anyanga kama Mwakilishi wake Maalum wa Afrika ya Kati na kaimu mkuu wa Ofisi ya kikanda ya Umoja wa M . . .
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Ujenzi kuanza ujenzi wa barabara ya Tengeru- Mirerani km 28 kwa kiwango cha lami.Amesema hayo kwenye hafla la uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa host . . .
NAIBU Rais Kithure Kindiki ametoa wito wa kampeni za amani kuelekea kwa uchaguzi mdogo wa udiwani utakaofanyika Februari 26, 2026.Akizungumza katika kanisa la Kanthoki Full Gospel katika eneobunge la . . .
Jeshi la Polisi linapenda kujulisha kuwa, linaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi kama yalivyoainishwa na Sheria za nchi. Utekelezaji huo unakwenda sambamba na kushirikiana na wananchi katika k . . .
Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kama El Mencho ameuawa kufuatia operesheni kubwa ya kijeshi iliyofanyika katika jimbo la Jalisco nchini Mexico.Kwa mujibu wa taarifa za awali, kiongozi huyo wa genge . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, leo Februari 20, 2026, amezindua programu maalumu inayolenga kuwaimarisha vijana kiuchumi na kutatua changamoto wanazokabiliana naz . . .
Rais wa zamani wa Korea Kusini (2022–2025), Yoon Suk Yeol, ameomba radhi kufuatia taharuki na mjadala ulioibuka baada ya uamuzi wake wa kutangaza Sheria ya Kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024.Kauli hiyo . . .
Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata Bellarmine Mugabe, mtoto wa mwisho wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, kwa tuhuma za kujaribu kuua kufuatia tukio la ufyatuaji risasi lililoripotiwa k . . .
Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki jijini Dar es Salaam, Kardinali Polycarp Pengo amefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026, alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwe . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Februari 20, 2026, amempokea ofisini kwake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Mhe. Deus Sangu, aliyewasili mkoani . . .
Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini, polisi na wakili wa familia wamesema.Wakili Ashley Mugiya amelia . . .
Bw. Smith alieleza kuwa, Shirika hilo limepokea msaada wa Euro milioni 5 sawa na Tzs Bil. 15 kutoka Serikali ya Austria kwa ajili ya kuwezesha Kampuni na Mashirika nchini Tanzania kuongea uzalishaji w . . .
Wataalam wa Umoja wa Mataifa wanasema kampeni ya uharibifu iliyofanywa na wanamgambo wa RSF mnamo Oktoba dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu ndani na karibu na mji mmoja huko Darfur, inaonesha ishara za . . .