BUNGE wa Embakasi Mashariki, Babu Owino, amefichua kuwa serikali imeondoa walinzi wake rasmi, akidai hatua hiyo imetokana na kushiriki kwake katika maandamano yaliyofanyika Jumatano Juni 25.Kupitia ta . . .
WADAU mbalimbali kutoka nchi nane za Bara la Afrika zinazolima na kutumia korosho wamepongeza teknolojia ya kisasa inayotumiwa na wataalam nchini kuzalisha zao hilo (Ubebeshaji).Hayo yameji . . .
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imewataka waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele kupinga na kuzuia vitendo vya rushwa, hasa kipindi hiki cha kujiandaa na Uc . . .
MAMLAKA ya Mapato (TRA) mkoani Kigoma imeteketeza bidhaa mbalimbali za vyakula na vipodozi tani 53 zenye thamani ya Sh milioni 530 ambazo ziliingizwa nchini bila kufuata taratibu.Meneja wa TRA mk . . .
MKOA wa Mwanza umetumia zaidi ya Sh bilioni 50.3 ambazo zimelipwa kuanzia mwaka 2014 hadi mwezi Juni mwaka huu kama ruzuku kwa kaya kwaajili ya wanufaika wa mpango huo awamu ya tatu kipind . . .
Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa mchakato wa kumpata mgombea wa urais wa Tanzania kupitia chama hicho, pamoja na kupitisha ilani ya uchaguzi, utafanyika baada ya kukamilika kwa mi . . .
Ushirika wa usafirishaji mkoa wa Mwanza UWAMWA imezindua gari 10 kwa lengo la kusafirisha wanafunzi kwenda shule na kuwarudisha ili kuepuka adha wanazopata katika usafiri wa umma.Akieleza mpango huo M . . .
RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na kuhamisha viongozi mbalimbali, wakiwemo wakuu wa mikoa watano na wakuu wa wilaya 17. Hatua hiyo imebainisha majimbo ambayo viongozi walioachwa katika u . . .
JUZI Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitoa maagizo saba kwa taasisi za umma na watumishi wa umma kuhusu mifumo kusomana akilenga dhamira ya serikali ya kuimarisha utendaji kazi nchini.Ametangaza kuanzia . . .
WADAU wa siasa wamesema bunge lijalo linaweza kuwa na wabunge wengi wapya kutokana na wabunge wanaomaliza muda wao wengi kutotatua changamoto za wananchi kwenye majimbo yao.Akizungumza na waandishi wa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili Jamhuri ya Msumbiji 24 Juni 2025 ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru . . .
Serikali imesema imekuwa ikiongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu mwaka hadi mwaka ili kuwawezesha wanafunzi wote wakiwemo wenye mahitaji maalumu na wanaotoka kwenye familia zenye uwezo mdogo wa kiuc . . .
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula alisema hayo bungeni Dodoma juni 23 alipoeleza mafanikio ya sekta ya utalii wakati akichangia taarifa ya hali ya uchumi, Mpango wa Maendeleo wa Ta . . .
MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba, amesema atasimamia ukweli kwa kueleza na kutetea mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.Tarimba amesema tangu Rais Samia aingie madarakani, amekuw . . .
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa maagizo saba kwa taasisi za umma na watumishi wa umma kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi.Ametangaza kuanzia jana hadi Julai 30 mwaka huu taasisi za umma zijiunge . . .
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza miradi ya umeme katika vitongoji kwa kuzingatia vigezo vya ziada ikiwemo ukubwa wa vitongoji, jimbo na mahi . . .
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemteua Dk Alicia Massenga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, iliyopo jijini Mwanza.Taarifa kwa umma iliyotolewa Juni 23, 2 . . .
Dk. Mwinyi alitoa kauli hiyo leo, Juni 23,2025 wakati akihutubia hotuba ya kulifunga baraza hilo huko Chukwani, Zanzibar, ambapo alisema ukomo wa Baraza la 10 utafikia Agosti 13 mwaka huu, kwa mujibu . . .
Katika taarifa iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 24, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Rais Samia amemteua Estomin Kyando kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo.Pia, Rais Samia a . . .
BAADHI ya wabunge wa vyama vya Democrats na Republican wamelitaka bunge la Congress kupitisha uamuzi wa kuzuia Amerika kuingilia mapigano yanayoendelea katika Mashariki ya Kati.Lakini huenda uamuzi hu . . .
Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea jijini Dodoma Juni 24, 2025 pamoja na mambo mengine wabunge watapiga kura kupitisha bajeti kuu ya Serikali ya shilingi trili . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya Kibaha Mkoa wa Pwani imetoa hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa Yasini Hassan Kibabu, Miaka 19, Mkulima na mkazi wa Ungindoni, Kibaha baada ya kupatikana na hatia ya . . .
Serikali imesema imewekeza nguvu kubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) vyombo vya ulinzi na usalama wadau wa ndani na nje . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, akiambatana na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango, wameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki kutoka kote duniani kushiri . . .
SERIKALI imesema imeandaa jumla ya mipango ya matumizi bora ya ardhi 2,480 katika kipindi cha miaka minne, ambapo vijiji 4,679 vimewekwa katika mipango hiyo kati ya vijiji 12,333 nchi nzima.Hayo yames . . .
TIMU ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia wilayani Ilala imebaini katika Kata ya Pugu baadhi ya wanawake wanazaa na waume za watu na kujihesabia haki kuwa nao ni wake halali ilihali ndoa ya . . .
IKIWA imebaki miezi minne kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu hekaheka na sarakasi za watia nia zimeshika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika majimbo mbalimbali nchini.lina t . . .
Serikali ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Marekani dhidi ya vituo vyake vya nyuklia, ikiyataja kuwa ya kikatili na ukiukaji wa sheria za kimataifa.Waziri wa Mambo ya Nje wa . . .
SERIKALI imesema inafanya jitihada za kuwarejesha nyumbani Watanzania wote waliopo Israel na Iran ili kuwaepusha na mashambulio yanayoendelea baina ya mataifa hayo mawili ya Mashariki ya Kati.Katika t . . .
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na taasisi nyingine za elimu, kusimamia na kudhibiti ubora . . .