logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Waziri wa ulinzi wa Marekani asema Ukraine inaweza kushinda vita vya Russia

Waziri wa ulinzi wa Marekani Lloyd Asutin, ameelezea Imani yake kwamba Ukraine inaweza kushinda vita dhidi ya Russia, ambavyo vimechukua muda wa miezi miwili. Lloyd alikuwa akizungumza wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Korea kaskazini yafanya maonyesho ya silaha usiku

Korea kaskazini imefanya maonyesho ya makombora yake ya masafa marefu katika gwaride la kijeshi lililofanyika usiku. Wakati wa maonyesho hayo, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, ameap . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Maambukizi ya Corona yaongezeka China

Maafisa wa afya katika mji wa Beijing, China, wameanza kupima virusi vya Corona kwa wakaazi milioni 21, kutokana na wasiwasi kuwamba huenda mji huo mkuu ukawekwa chini ya amri kali za kusitisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Wajumbe wa nchi 40 wakutana kujadili mkakati wa kuisaidia zaidi Ukraine

Wajumbe kutoka nchi 40 wanakutana kwa ajili ya kikao cha dharura kwenye mji wa Ramstein wa nchini Ujerumani kujadili njia za kuimarisha ulinzi wa Ukraine. Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mkurugenzi wa Human Rights Watch atangaza kujiuzulu

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch, Kenneth Roth, amesema leo kuwa atauachia wadhifa huo mwishoni mwa mwezi Agosti baada ya kuliongo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

China yakanusha kutaka kuitumia Twitter kupenyeza ajenda zake

Wizara ya mambo ya nje ya China imekanusha shutuma kwamba itatumia ushawishi wake kwa kampuni ya kutengeneza gari zinazoendeshwa kwa umeme, Tesla, ili kuathiri maudhui yanayorushwa na mtandao wa k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 826 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne Aprili 26, 2022 na Waziri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Msekwa "Asiyeupenda Muungano akajinyonge"

Spika wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa amesema mtu asiyependa Muungano wa Tanzania akajinyonge.Msekwa ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 26, 2022 wakati akiwasilisha mada kuhusu hatua mbalimbali am . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

NYUMBA 42 ZAHARIBIWA NA MVUA

Kufuatia Mvua ilionyesha April 23 mjini Geita iliyoambatana na upepo mkali na kusababisha kuezua paa za Kaya 42, mapema April 25 Mkuu wa mkoa wa Geita Rosemary Senyamule amefika eneo la Katumaini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mfalme Abdullah wa Jordan na Biden wajadili haja ya kutuliza mvutano wa Jerusalem

Mfalme wa Abdullah wa Jordan amekubaliana na Rais wa Marekani Joe Biden kuhusu haja ya kuzuia marudio ya makabiliano ya karibuni katika maeneo matakatifu ya Kiislamu mjini Jerusalem ambayo yalisab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Guterres kukutana na Putin kumuomba asitishe uvamizi dhidi ya Ukraine

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guteress anaelekea mjini Moscow ambapo anatarajiwa kukatana leo Jumanne na Rais wa Russia Vladimir Putin katika jitihada za kumuomba akubali kusitisha au . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Majeshi ya Niger na Burkina Faso yasema yameua magaidi 100 katika operesheni ya pamoja

Wakuu wa jeshi la Niger na jeshi la Burkina Faso Jumatatu wamesema operesheni ya pamoja ya wiki tatu katika eneo la mpakani linaloshambuliwa sana na wanajihadi, iliua magaidi 100 na wanajeshi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

KERO ZITOKANAZO NA MUUNGANO ZATATULIWA.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Muungano na Mazingira, Dk Selemani Jafo amesema wamefanikiwa kutatua kero 18 za muungano kati ya 25 zilizopo.Jafo ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 26, 2022 wakati wa shere . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Wizara ya Kilimo, Taha Zasaini Makubalino Kuendeleza Sekta Ndogo ya Kilimo cha Matunda na Mbogamboga

IBU MKUU wa Wizara ya Kilimo, Bw. Andrew Massawe na Mtendaji Mkuu wa Tanzania Horticulture Association (TAHA), Dkt. Jacqueline Mkindi, jana tarahe 22 April, 2022 katika ofisi ya Wizara ya Kilimo J . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Rais Kenyatta na Mkewe Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Mwai Kibaki

RAIS Uhuru Kenyatta na Mkewe Margaret Kenyatta wawaongoza wakenya kutoa heshima zao za mwisho kwa Rais wa zamani Emilio Stanley Mwai Kibaki.Rais Kibaki alitawala nchi ya Kenya kati ya mwaka 2002 had . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Mji wa China wa Shangai waripoti vifo 39 kutokana na Covid 19

Mji wa China wa Shangai Jumapili umeripoti vifo 39 kutokana na Covid 19, ikiwa idadi kubwa ya vifo licha ya kuweka masharti makali ya kupambana na ugonjwa huo kwa wiki kadhaa, huku mji mkuu Beij . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

WHO inapendekeza ongezeko la matumizi ya chanjo ya kwanza ya Malaria Afrika

umatatu April 25 ni siku ya Malaria Duniani, shirika la afya Duniani (WHO) linapendekeza upanuzi wa matumizi ya chanjo ya kwanza ya malaria na kuitaja kuwa inawezekana kuleta mabadiliko katika vit . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Waziri Mkuu Atembelea Ujenzi wa Nyumba Kijiji cha Msomera Wilayani Handeni

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amefanya ziara na kukagua nyumba 103 miongoni mwa nyumba zinazojengwa na Serikali katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

WATANZANIA WALIOKO MAREKANI WADAI KATIBA MPYA

Madai ya Katiba mpya yameibukia nje ya viunga vya Ubalozi wa Tanzania Jijini New York, Marekani, ndivyo unavyoweza kusema.Hiyo ni baada ya waandamanaji kujitokeza nje ya ofisi ya ubalozi jana wakiwa . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Bunge laahirishwa kupisha maombolezo ya Mbunge

Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameahirisha kikao cha Bunge leo Jumatatu Aprili 25, 2022 kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama kilichotokea jana katika Hospi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Korea Kaskazini inajivunia nguvu kubwa ya kijeshi

Vyombo vya habari nchini Korea Kaskani vimetangaza taifa hilo kupata kile ilichokiita nguvu isiyoweza kushindwa, ambayo ulimwengu hauwezi kuipuuza na hakuna anaweza kuisogelea.Vyombo hivyo vimeong . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

FEDHA ZA UVIKO_19 ZIKIENDELEA KUFANYA MIRADI MBALIMBALI

WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA)Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi umesema kupatikana kwa miradi ya maji inayotekelezwa kwa fedha za UVIKO-19 ambazo zimetolewa na Serikali ya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

ZAIDI YA WATOTO LAKI TATU WAPATA CHANJO

Mkoa wa manyara unalenga kuwachanja watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 kuwakinga dhidi ya ugonjwa wa Polio unaosababisha kupooza.Kampeni hiyo itakayozinduliwa rasmi kuanzia April 28 na kukami . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Iran yaanzisha mazungumzo na Saudia kurejesha mahusiano ya kidiplomasia

Iran imeanzisha tena mazungumzo na hasimu wake wa kikanda Saudi Arabia, baada ya kusitishwa kwa mazungumzo ya siri mjini Baghdad miezi kadhaa iliyopita. Tovuti ya habari ya Irani ya Nour, inayotaj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Uturuki yafunga anga lake kwa ndege za Urusi kuelekea Syria

Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za kiraia na kijeshi za Urusi zinazosafiri kuelekea Syria.Tangazo hilo linaashiria moja ya majibu makali zaidi ya Uturuki, ambayo imejenga uhusiano wa karibu n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

RAISI SAMIA AKUTANA NA BABA MZAZI WA RIHANNA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty ambaye alifika katika ukumbi wa Paramount Pictures . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

WHO yasema watoto milioni moja wamechomwa chanjo ya Malaria Afrika

Shirika la Afya Ulimwenguni WHO limesema mpango wa majaribio wa chanjo ya malaria katika nchi za Kenya, Ghana na Malawi unaendelea vyema. Akizungumza mjini Geneva jana, Katibu Mkuu wa shirika hilo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Mjane wa Dk Mengi Ashinda Rufaa ya Mirathi

Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi.Ameshin . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

TRA watoa ufafanuzi kuhusu kikao chao na wamiliki wa mtandao wa Facebook na Instagram

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia kwa Mkurugenzi wake wa huduma na elimu kwa mlipa kodi, Richard Kayombo imetoa ufafanuzi baada ya TRA kukutana na Timu ya Wataalam wa Kampuni ya META in . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Marekani imetoa msaada mwingine wa kijeshi dola milioni 800 kwa Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden siku ya Alhamis aliidhinisha msaada mwingine wa kijeshi wa Marekani wa dola milioni 800 kwa Ukraine akitangaza ilikuwa muhimu kuvisaidia vikosi vya Kyiv kuwafukuza w . . .

Kurasa 103 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode