logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Rais wa Ufaransa kufanya ziara Africa Magharibi

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anatarajiwa kuzuru mataifa ya Cameroon ,Benin na Guinea Bissau wiki ijayo, ikiwa ni ziara yake ya kwanza barani Afrika baada ya kuchaguliwa t . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Polisi wauawa na watu wenye Silaha

Mamlaka nchini Nigeria zimesema watu wenye silaha wamewaua watu 17, wakiwemo polisi watano kwenye mambulizi mawili tofauti, katika jimbo la Katsina. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Wataalam Wa Ujenzi Wa Uchukuzi Wa Tanzania Na DRC Wapewa Mwezi Mmoja Kukamilisha Taratibu Za Mradi

Serikali za Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimetoa mwezi mmoja kwa wataalam wa sekta za ujenzi na uchukuzi kukamilisha taratibu za kupata Mkandarasi wa ujenzi wa miundombinu y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Ukraine, Urusi kusaini makubaliano ya kufungua upya bandari za nafaka

Urusi na Ukraine leo zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kufungua tena shughuli za usafirishaji nafaka kupitia bandari za Ukraine zilizopo kwenye mwambao wa bahari nyeusi, hatua itakayofungua njia . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Makundi ya kutetea haki za binadamu yaiomba serikali ya DRC kumuachia huru mwandishi wa habari

Darzeni ya makundi ya kutetea haki za binadamu yameiomba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumuachia huru mwanahabari wa DRC aliyekamatwa wiki iliyopita, baada ya maafisa wa ujasusi kumuachilia h . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2022

Kina Mdee wafungua kesi kupinga kufukuzwa Chadema

Waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, tayari wamefungua shauri la kupinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho.Mdee na wenzake wam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2022

Amnesty yashinikiza uchuguzi wa mauwaji ya raia 400

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty, linaitaka serikali ya Ethiopia, kuendesha uchuguzi kuhusiana na mauwaji ya kikabila ya raia zaidi 400, yaliofanyi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 21, 2022

Biden kualika viongozki wa Afrika Washington DC

Rais wa Marekani Jumatano ametangaza kwamba Marekani itawaalika viongozi kutoka barani Afrika kwenye kongamano litakalofanyika mwezi  Decemba. Kongamano hilo litafanyikia Washin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Mali yataka ufafanuzi juu ya uhusiano wa Ujerumani na wanajeshi wa Mali waliokamatwa

Serikali ya Mali imetaka ufafanuzi juu ya uhusiano uliopo kati ya serikali ya Ujerumani na wanajeshi 49 wa Ivory Coast waliokamatwa mjini Bamako wiki iliyopita. Wanajeshi hao walizuiliwa tarehe 9 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Mahakama ya Uturuki yaafiki uamuzi wa Erdogan kufuta mkataba wa kuwalinda wanawake

Mahakama ya juu ya Uturuki imeunga mkono uamuzi wa rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdogan wa kuiondoa Uturuki katika mkataba wa Ulaya dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia. Uamuzi huo wa Erdogan aliouf . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Somaliland yasitisha matangazo ya BBC.

Maafisa wa jimbo la Somaliland lililojitenga na Somalia, Jumanne walisitisha matangazo ya shirika la utangazaji la Uingereza (BBC), wakilishtumu shirika hilo kwa “kudhoofisha uaminifu wa taifa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Afisi ya UN ya kupambana na ugaidi inahimiza ushirikiano katika kupambana na ugaidi nchini Nigeria

Afisi ya Umoja wa mataifa ya kupambana na ugaidi inasema kuna umuhimu wa kuweka msingi imara wa ushirikiano kati ya mashirika ya serikali ya Nigeria katika usimamizi wa taarifa zinazohusiana na . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Uviko-19 Yasababisha Wafanyakazi Kufanyia Kazi Nyumbani Kwao

Wafanyakazi nchini Australia washauriwa kufanyia kazi nyumbani kutokana na ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya Uviko-19 kulikumba Taifa hilo. Mamlaka zimebainisha kuwa jumla ya kesi 300, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

RAISI AMTEUA WAMBURA KUWA IGP.

Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna wa Polisi, Camillus Wambura na kumteua kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP).Wambura alikuwa Mkurugenzi wa Upelelezi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Mkuu wa jeshi la Israel azuru Morocco kwa mara ya kwanza

Mkuu wa jeshi la Israel Aviv Kohavi anaendelea na ziara yake ya siku tatu nchini Morocco ambapo anatarajiwa kufanya mikutano na maafisa wandamizi wa ulinzi wa vyeo vya juu huku ushirikiano kati ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Kiongozi wa upinzani Tunisia kuhojiwa na majasusi Jumanne

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tunisia Rached Ghabbouchi Jumanne amepangiwa kuhojiwa na idara ya kupambana na ugaidi nchini, kwa tuhuma za usafirishaji haramu wa fedha pamoja na kuf . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Waziri wa fedha wa Marekani asisitiza kuimarisha biashara kati ya Marekani na Korea Kusini

Waziri wa fedha wa Marekani Janet Yellen amesema kwamba Marekani na Korea kusini wanahitaji kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara. Yelln amesema kwamba hatua hiyo ni ili kuzuia kushirikiana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Bunge la India Latoa Heshima kwa Mwai Kibaki katika Kikao Maalum.

Bunge la India limetoa heshima kwa hayati Rais wa tatu wa Kenya Mwai Kibaki wakati wa kikao maalum kinachojulikana kama Monsoon Session.Akizungumza Jumatatu, Julai 18, Spika wa Bunge hilo, Om Birla al . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Tanzania Ya Tano Afrika Kuzalisha Mionzi Dawa

Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri na Mbunge wa jimbo la Siha Dkt. Gwodin Mollel wakati wa ufunguzi wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Vijana wazua fujo wakitaka kutimua maafisa wa IEBC

VIJANA waliandama mjini Kisii jana dhidi ya maafisa wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) mjini Kisii. Vijana hao walikabiliana na maafisa wa polisi katika kituo cha Itumbe na kulemaza usafiri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

MBUNGE ULANGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU KATIKA HOSPITALI NA HAYA NDIO ALIYO YAKUTA

. . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Mkuu wa jeshi la Israeli kufanya ziara ya siku 3 nchini Morocco

Kiongozi wa jeshi la Israeli anatarajiwa kuanza zaira ya kikazi ya siku tatu nchini Morocco, hii ikiwa ni ziara ya kwanza kufanywa na kiongozi wa ngazi yake kwenye taifa hilo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Ugonjwa mpya homa ya mgunda waibuka

Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetangaza uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu puani na kuishiwa nguvu na hata kufariki. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Utawala wa Uhuru wang’aa katika ujenzi wa barabara

RAIS Uhuru Kenyatta ametumia Sh1.5 trilioni kwa ujenzi wa barabara katika kipindi cha zaidi ya miaka tisa ya utawala wale, na ataondoka Agosti akiwa amewaachia Wakenya kilomita 11,000 za barabara . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Afghanistan ya leo ni tishio kubwa zaidi kwa dunia

"Afghanistan ya leo ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kuliko ilivyokuwa mwaka 2001." Hili ni onyo kali kutoka kwa mtoto wa kiongozi maarufu wa upinzani dhidi ya Taliban.Ahmad Massoud . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Biden atembelea Jerusalem Mashariki

Rais wa Marekani Joe Biden yuko kwenye ziara mashariki ya kati tangu Alhamisi na Ijumaa amekwenda Jerusalem mashariki ambako aliitembelea hospitali moja na kuahidi dola milioni 100 kuzisaidia hosp . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Saudia yafungua anga yake kwa ndege zote, ikiwemo ndege za kutoka Israel

Saudi Arabia imesema itafungua anga yake kwa mashirika yote ya ndege, hatua hiyo ikitoa fursa kufanyika kwa safari za ndege za kutoka na kuelekea Israel. Uamuzi huo umekaribishwa na rais wa Mareka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Mali yasitisha kubadilishana zamu wanajeshi wa kulinda amani wa UN

Mali Alhamisi imesema kwamba inasitisha kubadilishana zamu wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kwa sababu za 'usalama wa kitaifa,' katika mvutano mpya kati ya utawala wa kijeshi wa Ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Mahakama ya Sweden yamuhukumu kifungo cha maisha jela afisa wa zamani wa Iran

Mahakama moja ya wilaya mjini Stockholm, Sweden, Alhamisi imemuhukumu afisa wa zamani wa Iran kifungo cha maisha jela kwa uhalifu wa kivita na mauaji ya wafungwa wa kisiasa wakati wa vita kati y . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Watu kadhaa wafariki kutokana na njaa katika eneo la Uganda la Karamoja

Uganda Alhamisi imesema watu kadhaa walifariki kwa sababu ya njaa katika moja ya maeneo maskini nchini humo, huku maafisa wa eneo hilo wakisema mamia wameangamia. Ofisi ya waziri mkuu hai . . .

Kurasa 93 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 13 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 14 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode