Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali leo May 29,2024 ambapo amemteua Dkt. Mursali Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia . . .
Walimu wenye madai ya malimbikizo ya mishahara, wametakiwa kuwasilisha vielelezo vya madai yao kwa Maafisa Elimu ili yashughulikiwe, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Waziri wa Nchi, Ofis . . .
Utashi wa Kisiasa na Uongozi imara wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wa kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto ni moja ya jambo ambalo limechangia Tanzania kupunguza vifo vya wajawazito kutoka vifo . . .
Saudi Arabia imelaani mashambulio ya anga yaliyofanywa na Israel mjini Rafah. Taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo imesema serikali inalaani mauaji ya halaiki yanayofanywa na vikosi vya Isra . . .
Malori matatu pekee ya WHO yaliyobeba misaada yameingia katika mji wa Rafah uliozingirwa tangu uvamizi wa Israel ulipoanzaMaafisa wa Umoja wa Mataifa wameonya msaada wa dawa na usambazaji wa mafuta hu . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson katikati akipewa maelezo ya namna karakana inayotembea inavyofanya kazi na fundi wa karakana hiyo Mustafa Abdul Malambo wakati . . .
Mamilioni ya watu Sudan na Gaza wako hatarini kufa sio tu kutokana na risasi na mabomu lakini majeraha yasiyotibiwa na magonjwaBaraza Kuu la 77 la Shirika Afya Duniani lilifungua kikao chake cha kila . . .
Raia huyo wa Poland Mariusz Majewski alikamatwa na vikosi vya Kongo mwezi Februari akishutumiwa kwa ujasusi.Rais wa Poland Andrzej Duda amezungumza kwa njia ya simu na Rais wa Congo Felix Tshisekedi i . . .
Burkina Faso ilipitisha hati siku ya Jumamosi kuruhusu utawala wa kijeshi wa Kapteni Ibrahim Traoré, ambaye aliingia madarakani Septemba 2022 kupitia mapinduzi ya kijeshi, kusalia kwa miaka mitano za . . .
Wakati Msemaji wa Brigedi za Al-Qassam, Abu Ubaida wa Hamas akitangaza kuwakamata wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Gaza, Msemaji wa jeshi la Israel, Daniel Hagari amekanusha madai hayo akisema hak . . .
Rais wa Marekani, Joe Biden, amesema nchi yake itahakikisha Kenya inakuwa mwanachama wa jumuiya ya nchi za kujihami za magharibi NATO, hatua ambayo itaifanya Kenya kuwa taifa la kwanza kwenye ukanda w . . .
Askari wa Jeshi la Polisi mkoani Songwe wametakiwa kutambua kuwa kazi ya Polisi ni kazi takatifu ambayo majukumu yake yanahusiana na makatazo na amri za Mungu.Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi . . .
Mkurugenzi Muendeshaji wa PBZ Bank Ndg. Arafat Ally Haji, amekutana na kufanya mazungumzo na team yake ya uongozi wa PBZ Bank ikiwa ni siku yake ya kwanza kuingia ofisini baada uteuzi wake na Rais wa . . .
Raia wa Kenya aliyekuwa akiukwea Mlima Everest ameripotiwa kufariki wakati mwongozaji wake raia wa Nepali akiwa hajulikani alipo, akiwa mtu tatu kufariki kwenye mlima huo mrefu zaidi duniani msimu huu . . .
Mahakama ya Tunisia siku ya Jumatano iliwahukumu waandishi wawili wa habari kifungo cha mwaka mmoja jela kwa tuhuma za kuchapisha habari za uongoMahakama ya Tunisia siku ya Jumatano iliwahukumu waandi . . .
Mfanyakazi mmoja wa shamba la Michigan amegunduliwa ana ugonjwa wa mafua ya ndege ikiwa ni kisa cha pili cha binadamu kuhusishwa na mlipuko katika eneo lenye ng'ombe wa maziwa Marekani.Maa . . .
Waziri mkuu wa Chad, ambaye pia ni kiongozi wa upinzani Succes Masra, amejiuzulu baada ya rais wa muda wa nchi hiyo, Mahamat Idriss Deby kuthibitishwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika Mei 6.Masra, . . .
Mamlaka ya Palestine ambayo kimataifa inatambuliwa kama mwakilishi rasimi wa watu wa Palestine imekaribisha hatua ya nchi za Ireland, Norway na Uhispania kutambua eneo hilo kama taifa, ikisema ni kite . . .
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Annalena Baerbock, amesema anaunga mkono wito wa Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius wa kuongezea msaada kwa Ukraine.Mwanadiplomasia huyo wa Ujeru . . .
Dhoruba wakati wa msimu wa mvua si jambo geni lakini kwa mwaka huu, mvua kubwa zimeshuhudiwa kutokana na mfumo wa hali ya hewa wa El-nino, huku Wataalamu wakisema mabadiliko ya tabianchi pia yamechoch . . .
Uhispania Jumatatu ilidai "msamaha wa umma" kutoka kwa Rais wa Argentina Javier Milei kwa kumwita mke wa Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez "mfisadi" huku kukiwa na mzozo wa kidiplomasia kati ya w . . .
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat, amesema anafuatilia mambo yanavyoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kukosoa jaribio la kuipindua serikali lililotokea h . . .
China imeweka vikwazo vipya dhidi ya makampuni matatu ya Kimarekani yanayouza silaha kwa Taiwan, ambapo Rais Lai Ching-te ameapishwa leo Jumatatu, Mei 20, 2024, limeripoti shirika rasmi la Habari la C . . .
Mkazi wa Manispaa ya Bukoba Mzee Pius Ngeze (70), amesema anahofia balaa kubwa kutokea katika Mkoa huo kumezwa na ziwa Victoria, kutokana na kukosekana kwa mikakati mahsusi wala uchunguzi, ili kubaini . . .
Kongo zamani ikifahamika kama Zaire, asili ya jina lake ilizaliwa katika Lugha ya Kikongo ambayo ni ya watu wa Kabila la Wakongo, kwasasa ikifahamika kama Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Neno Kongo l . . .
Wanajeshi wa Marekani wamekamilisha bandari ya muda katika pwani ya Gaza , iliyokuwa likisubiriwa kwa muda mrefu, ili kuongeza kasi ya kufikisha misaada katika ukanda wa Gaza.Wanajeshi wa Marekani wam . . .
Rais wa Urusi Vladmir Putin ameeleza kuridhishwa na juhudi za mwenzake wa China Xi Jinping kuhakikisha suluhu ya mzozo wa Ukraine inapatikana.Katika kikao kati ya viongozi hao jijini Beijing, rais wa& . . .
Marekani imesema makampuni hayo yalijaribu kukwepa vikwazo katika mpango ambao unaweza kuondoa dola bilioni 1.5Wizara ya fedha ya Marekani siku ya Jumanne iliweka vikwazo kwa raia mmoja wa Russia, na . . .
Kwa muda wa mwezi mmoja jumla ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wapatao 194 wamebainika kupewa mimba na kukatishwa masomo yao katika wilaya ya Momba Mkoani Songwe.Hayo yamebainishwa na Mkuu . . .
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema zaidi ya wanachama 1,000 wa kundi la Hamas wanapokea matibabu nchini Uturuki.Rais Erdogan ameyasema hayo katika mkutano wa pamoja wa waandishi wa haba . . .