logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Afisa Mkuu wa Rubis Atimuliwa nchini.

Serikali imetimiza ahadi yake ya kuwaadhibu wauzaji mafuta wanaoficha mafuta huku kukiwa na uhaba wa bidhaa hiyo kote nchini kote.Mnamo Jumatano, Aprili 13, 2022, serikali ilifuta kibali cha kufanya k . . .

news
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Hakuna mbadala wa mafuta ya urusi

Katibu Mkuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Petroli (OPEC) Mohammed Barkindo ameonya maofisa wa Umoja wa Ulaya kuhusu vikwazo kwa Urusi ambavyo amedai vinaweza kuibua mshtuko mbaya zaidi kuwahi kutok . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Benki ya Dunia yatabiri uchumi wa Ukraine kudorora mwaka huu

Benki ya Dunia imesema kuwa uchumi wa Ukraine unatarajiwa kudorora kwa karibu nusu kutokana na uvamizi wa Urusi kufunga biashara na kupunguza mauzo ya nje.Katika ripoti yake iliyoitoa jana Jumapil . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

"MAFUTA YAKO YA KUTOSHA" Waziri Makamba

. . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mfumuko wa bei wafikia asilimia 3.7

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika mwaka 2021, mfumuko wa bei ulikua kwa wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.3 mwaka 2020.Majaliwa amezungumza hayo leo Jumatan . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

RASIMMAFUTA YAPANDA BEI

Wakati bei ya Mafuta yanayotumika kwenye vyombo vya moto ikitangazwa kupanda mara dufu, wananchi wa jiji la Dar es salaam wameonekana usiku wa kuamkia Leo wakipanga foleni katika vituo vya Mafuta . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Benki kuu ya Zimbabwe yaongeza kiwango cha riba kwa asilimia 80 kudhibiti mfumuko wa bei.

Benki kuu ya Zimbabwe Jumatatu imetangaza kwamba imeongeza kiwango chake cha riba hadi asilimia 80 katika jitihada za kudhibiti mfumuko wa bei uliofikia kiwango cha juu sana kutokana na athari z . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Macky Sall atoa wito kwa raia kukabiliana na kupanda kwa bei za vyakula

Rais wa Senegal alilihutubia taifa katika mkesha wa kuadhimisha miaka 62 ya uhuru wa nchi hiyo. Wakati Waislamu wakianza mfungo wa Ramadhani Jumapili hii, Aprili 3 na Wakrist . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Marekani Yatoa pipa milioni 1 za mafuta kwa siku kukabiliana na bei ghali ya bidhaa hiyo.

Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi ametangaza kwamba pipa milioni 1 za mafuta zitatolewa kutoka kwa hifadhi ya mafuta ya Marekani kila siku kwa kipindi cha miezi sita ili kusaidia kupunguza bei . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

IEBC Yataka DP Ruto na Raila Wachunguzwe kwa Kutumia Pesa za Umma Kufanya Kampeni

Tume Huru ya Uchaguzi na Umma (IEBC), imemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma(DPP) Noordin Haji ikimtaka achunguze madai kuwa Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanatumi . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Kenya inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6 mwaka wa 2022.

Serikali ya Kenya imesema kuwa inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6% mwaka huu , baada ya kunawiri kwa asilimia asilimia 9.9% katika robo ya tatu ya mwaka wa kifedha wa 2021 pamoja na k . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Waziri Biteko kushiriki kikao cha Baraza la Uchumi na Jamii UN

Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amekutana na Rais wa Baraza la Uchumi na Jamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC), Collen Kelapile katika kikao kilicholenga kupata maelezo kabla ya kushiriki kikao cha . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Wasafirishaji bidhaa nje wahimizwa kupima bidhaa zao

hirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa wito kwa wafanyabiashara kutumia huduma ya msaada wa kitaalamu kwa wasafirishaji wa bidhaa nje ya nchi ili kuepukana na usumbufu wa bidhaa kurudishwa nchin . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Madereva bajaji Mbeya wampongeza Rais Samia Suluhu

Vijana waendesha bajaji Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kupata mikopo ya vijana, wana . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Madini ya magari ya Umeme kuanza kuchimbwa Tanzania

Kampuni ya Peak Resources Ngualla (PRNG) itakayojihusisha na uchimbaji wa madini ya teknolojia ya Rare Earth Elements ambayo yanatumika kutengeza Magari, ipo katika hatua za mwisho za makubaliano . . .

Kurasa 7 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • “THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

    • 7 masaa yaliopita
  • Jeshi la Israeli lawauwa watu 10 kusini mwa Syria

    • 8 masaa yaliopita
  • Baba na Mama Waua Mtato Wao

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode