Shirika la Umeme (TANESCO) limesema kuanzia Julai mwaka huu litakuwa na mfumo wa ununuzi wa umeme ambao utawezesha wateja wao kuweka umeme kwenye mita papo hapo (automatically) tofauti na wa sasa . . .
Marekani inapiga marufuku uagizaji wowote wa mafuta na gesi ya Russia, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne hatua ambayo alisema italeta pigo jingine kubwa kwa mashine ya vita vya Putin, huku vikos . . .
ya taa kwa miezi mitatu kuanzia mwezi Machi.Taarifa iliyotolewa Jumatatu Februari 28, 2022 na Wizara ya Nishati imesema kuwa sababu za kuondoa tozo hiyo ni kutokana na kuendelea kupanda kwa . . .
Baa nchini Marekani zimeondoa pombe kali aina ya vodka kutoka Russia na sasa zimebuni kinywaji kipya chotara (cocktail) kilichopewa jina la “Kyiv Mule”.Wanywaji wa baa za michezo za Bethesda, . . .
Kampuni ya Uagizaji wa Magari aina zote nje ya nchi maarufu Dellah Car Traders Company imefungua rasmi Ofisi Mpya katika jengo la NSSF Mjini Shinyanga ikiwa ni sehemu ya sherehe ya kutimiza miaka mita . . .
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Profesa Godius Kahyarara amesema licha ya serikali kutopanga bei, hata wafanyabiashara hawaruhusiwi kupanga bei. Katika taarifa ya Profe . . .
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeonya wamiliki wa vituo vya mafuta na wananchi kuepuka kununua dizeli inayozalishwa viwandani na kuitumia kwenye magari. NEMC . . .
Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amethibitisha kuwa jumuiya hiyo imechukua tahadhari kubwa endapo Urusi itasitisha usambazaji wa gesi katika ukanda huo. Kwa miezi kadhaa . . .
Ripoti mpya ya Benki ya dunia inasema baadhi ya nchi maskini zaidi duniani zinakabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni ambao unatatatiza juhudi za kujikwamua kutokana na mdororo wa uchumi uliosababishw . . .
Kwa mara nyingine tena, Benki ya NMB imeonyesha ni benki inayojali watu wa hali zote kiuchumi na kijamii, na leo imeungana na Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) katika kuhakikisha w . . .
Wafanyabiashara mkoani Katavi wametakiwa kukata bima kwa ajili ya kulinda biashara zao wakati wanapokabiliwa na majanga mbalimbali yanayotokana na moto, mafuriko pamoja na upepo hatua itakayosai . . .
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepata mwarobaini wa kukabiliana na changamoto ya utambuzi wa bidhaa bandia baada ya kutangaza rasmi programu tumizi ya ‘Hakiki Stempu’.Kwa mujibu wa taarifa . . .
Fedha za tozo zimeingiza Sh320 bilioni katika Mfuko wa Barabara Mjini na Vijijini(Tarura). Fedha hizo zimepatikana na hivyo zinapelekwa kwenda kumaliza migogoro na changamoto ya barabara nyingi a . . .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameipongeza Mamlaka ya Serikali Matandao (eGA) kwa kutengeneza mfumo utakaowezesha mifumo mbali . . .
SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) Februari 10 limekutana na kuzungumza na Mawakala na Madalali wa shirika hilo katika kikao kilichofanyika Hoteli ya Cate Jijini Dar es Salaam.Aidha Mkurugenzi Mten . . .