logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Benki Kuu yaonya mikopo kausha damu

Serikali imetoa wito kwa watoa huduma za kifedha nchini kufuata sheria na taratibu za huduma za fedha ikiwemo kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa uf . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • February 20, 2024

RC CHALAMILA ATOA UFAFANUZI WA UHABA WA SUKARI NCHINI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 19, 2024 akiwa katika Mkutano wa hadhara Wilaya Temeke Jimbo la Mbagala ametoa ufafanuzi kwa wananchi juu ya uhaba wa Sukari hapa nchini . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • February 19, 2024

SEKTA BINAFSI NI MDAU WA UCHUMI NA MAENDELEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaiangalia sekta binafsi kwa mtazamo chanya wa kuwa mdau muhimu wa uchumi na maendeleo.Rais Dk.Mwinyi . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • February 8, 2024

Msiwafunge Biashara, wapeni elimu ya kodi – Meya Kagera

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera, Gypson Godson amepiga marufuku watoza ushuru ndani ya Manispaa hiyo kufunga maduka ya wafanyabiashara na badala yake wajikite kuwapa elimu, ili wawez . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 11, 2024

W'Bank "Biashara ya kimataifa kukua kwa 2.3% katika 2024"

Baada ya kulegeza kasi ya ukuaji wa uchumi duniani mwaka 2023, biashara ya kimataifa inakadiriwa kuongezeka hadi asilimia 2.3 mwaka 2024, na kuakisi ukuaji wa makadirio ya pato la kimataifa.Hii inaony . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 4, 2024

Mapato chanzo anguko la Uongozi Mnada wa Pugu

Kushindwa kufikia lengo la ukusanyaji wa mapato kwa Viongozi wa Mnada wa Pugu ni moja ya sababu iliyompelekea Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega kumuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Malawi imepiga marufuku uingizaji wa mahindi kutoka Kenya na Tanzania

Kenya na Tanzania kwa muda mrefu wamekuwa vyanzo vikuu vya mahindi kwa Malawi wakati wa vipindi vya  uhaba wa chakula. Wizara ya Kilimo ya Malawi ilitangaza marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka nje . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • November 20, 2023

Holcim Group yaiweka sokoni Mbeya Cement

Kampuni kubwa ya Saruji ya Uswizi imetangaza mpango wa kuuza kampuni yake tanzu Pan African Cement, ambayo inashikilia asilimia 65 ya Kampuni ya Saruji Mbeya (Mbeya Cement), kwa Kampuni ya Amsons Grou . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • November 14, 2023

Malawi kuzuia baishara ya fedha za kigeni ili kunusuru uchumi

Malawi itaanza kuzuia biashara ya fedha za kigeni na kufanya msako dhidi ya wafanyabiashara magendo, baada ya kushuka thamani ya sarafu yake, wizara ya fedha imesema Jumatatu.Kwa mujibu wa shirika la . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Magenge ya kimataifa yadaiwa kusafirisha fedha haramu kupitia michezo ya kidijitali

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameiambia VOA kwamba huenda magenge ya kihalifu ya  kimataifa yanatumia sekta inayokuwa ya michezo ya Kamari kwa njia ya dijitali Asia Kusini Mashariki, kama mfumo wa . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 9, 2023

Mkutabo wa mwaka wa IMF na Benki ya Dunia wafanyika Afrika

Wajumbe wa Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, na Benki ya Dunia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 50 wanafanya mkutano wao wa kila mwaka katika ardhi ya Afrika huko nchini nchini Morocco.Mk . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • October 4, 2023

Bei za Mafuta zikizidi kupaa

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji – EWURA, inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia hii leo Jumatano, Oktoba 4, 2023, ambapo bei za . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • September 28, 2023

Uganda yatafuta ufadhili wa China kwenye ujenzi wa bomba.

Serikali ya Uganda ipo katika hatua za mwisho za majadiliano na wafadhili kutoka China kuisaidia kufadhili mradi wenye utata wa bomba la mafuta ghafi.Hayo yamesemwa jana na Irene Bateebe katibu katika . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • September 18, 2023

Ridhiwan Kikwete "Jiepusheni na mikopo kausha Damu"

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewatahadharisha Watumishi wa Umma kujiepusha na mikopo yenye riba kubwa maarufu kwa jina la “Kausha D . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • August 2, 2023

Mafuta yapanda bei, dola yatajwa kuwa chanzo

EWURA imesema kwamba kupanda kwa bei ya mafuta mwezi Agosti yanatokana na changamoto za upatikanaji wa dola za Marekani, mabadiliko ya sera za kikodi, kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola, on . . .

Kurasa 3 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Tanzania yatwaa ushindi wa kidijitali duniani

    • 3 siku zilizopita
  • Kabudi, Tulia wataja sababu kutiki kwa Dk Samia

    • 3 siku zilizopita
  • Gwiji wa Mitindo Giorgio Armani Afariki Dunia

    • 3 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode