Utakuta maelfu ya makala zikielezea jinsi binzari ya manjano zinavyoweza kutibu magonjwa kama kiungulia, kukosekana kwa uwezo wa tumbo wa kusaga chakula, kisukari, huzuni na maradhi ya ubongo ya Alzheimer.Inaweze hata . . .
Wageni wanaotembelea Rwanda mara nyingi huvutiwa kupata nchi ambayo mambo yanaonekana kufanya kazi kwa ufanisi. Ni nadhifu na mwonekano wa kijani kibichi - na huduma ya wi-fi ni nzuri katika mji mkuu, Kigali.Kila . . .
Ni saa 2.00 usiku, kwenye kibanda cha kuonyesha video maarufu kwa jina la ‘kibanda umiza’ eneo la Semtema, Manispaa ya Iringa.Katika kibanda umiza panafurika sana siku za mechi kubwa, ama za Ulaya au Simba na Yanga n . . .
"Ninaamini kwamba kuungana na Urusi ni lengo letu la kimkakati na matarajio ya watu. Tutachukua hatua zinazofaa za kisheria katika siku za mbeleni. Jamhuri ya Ossetia Kusini itakuwa sehemu ya nchi ya kihistoria - . . .
Kila mwaka Machi 08, Umoja wa Mataifa husheherekea haki zilizopatikana kwa bidii za wanawake- na kuangazia changamoto ambazo bado ziko mbele katika kukomesha ubaguzi wa kijinsia katika karibu nyanja zote za mais . . .
Vladimir Putin anapunguza idadi ya watu waliokaribu nae, na kusababisha jeshi la Urusi kuwa katika vita vya hatari ambavyo vinatishia kuharibu uchumi wa nchi yake.Mara chache anaonekana kutengwa zaidi alipoonekan . . .
Huku uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine ukiendelea, athari za kiuchumi kutokana na vita vinavyoendelea tayari zimeanza kujitokeza kote ulimwenguni na Afrika hazijaachwa nyuma.Mwandishi wa Habari za Biashara wa BBC A . . .
Ukikutana naye kwa mara ya kwanza, hutaamini kuwa mzungu huyu ni raia wa Tanzania na tena ni mlumbi wa Kiswahili pengine kuliko Waswahili wengi wa asili.Wengi waliosoma vitabu vyake wakiwa shule za sekondari vya . . .
Kila mwaka, mamilioni ya mali za kibinafsi hupotea huko Japan.Lakini tofauti na nchi nyingine, ukipoteza simu au pochi yako katika nchi hii, kuna uwezekano mkubwa ukavipata tena.Mali zote zilizopotea zimehifadhiwa katika . . .
Simu ya Zoom ilikuwa na takriban watu 40 - au ndivyo watu ambao walikuwa wameingia walifikiria. Mkutano wa wafanyakazi wote katika kampuni bandia, kwa ajili ya kuwakaribisha waajiri wapya wa kampuni hiyo ya kusadikik . . .
“Nilizoea kuwa mkarimu kwa wateja wakati nafanya biashara ya mama ntilie kwakuwa lazima uwe mchangamfu ili uwavute wateja, lakini moyo wangu umebadilika baada ya kuanza kazi ya udereva wa maroli masafa marefu.“ . . .
Singapore inajulikana kwa kuwa mojawapo ya nchi zilizo na miji mikubwa zaidi ulimwenguni, bila ukosefu wa majengo marefu na ya kifahari. Lakini kwa mtu mmoja, hiyo haiwezi kuwa mbali zaidi na mahali alipopaita nyum . . .
PARACHICHI ni miongoni mwa matunda yenye ladha nzuri na ni maarufu hapa Tanzania. Kutokana na utamu na wingi wake wa mafuta, unaweza kudhani siyo tunda zuri kiafya hasa kwa kuwa halina ladha aya sukari lakini ukwel . . .
Hebu vuta picha, mto unatiririsha maji na kuna sehemu kuna maporomoko ambapo maji yanadondoka kutoka juu mpaka chini lakini tofauti na maji ya kawaida, maji haya yana rangi kama damu! Ni tukio la kustaajabisha si n . . .
Dhoruba kali ilipopiga mnamo Oktoba, wakazi wa jamii inayoelea ya Schoonschip huko Amsterdam walikuwa na shaka kidogo kuwa wangeweza kukabiliana nayo. Walifunga baiskeli zao na madawati ya nje, wakawatembelea maj . . .
NILIFANYA biashara mjini Kisii Kenya ambapo nilijikita katika uuzaji wa ala za muziki, ilikuwa imenoga katika kaunti yote na hata kuenea katika ukanda mzima wa Mkoa wa Nyanza. Hata hivyo nilitamani hata kufanya bia . . .
Tuanze kwa kuamkiana ile salamu maarufu ya Wahehe ya ‘Kamwene’.‘Kamwene’ ni salamu tu kama ilivyo habari za leo na ikiwa utaamkiwa hivyo basi huna budi kujibu neno hilohilo, ‘Kamwene’.Kwa kiasi kikubwa, Mkoa . . .
Juni 11, 2010, katika Uwanja wa FNB maarufu “Soccer City”, kulikuwa na ufunguzi wa Kombe la Dunia. Siku hiyo, Desmond Mpilo Tutu alikuwa kwenye kiwango bora cha furaha. Kwa Kiingereza unaweza kusema “he was in . . .
Nakutahadharisha kuwa usiibe kitu cha mtu yeyote. Mimi naitwa Richard na kwa kweli niliona cha mtema kuni siku niliojaribu kuchukuwa simu ya mtu.Nilikuwa nimeenda kuangalia mechi ya Uingereza kwenye bar fulani mjin . . .
Kwa kawaida, yapo mambo manne tu ambayo yanafanya watu wengi kushindwa kufanikiwa, lakini si hivyo tu hayo ndiyo ndiyo mambo ambayo karibu maskini wote duniani wanayafanya sana maishani mwao. Na kwa kuendelea kufan . . .
Tinder, programu ya kutafuta wenza ambayo iliundwa mwaka wa 2011, imewekwa kama mojawapo ya alama za enzi ya kidigitali ambayo tunapitia na imekuwa sehemu ya mazungumzo kuhusu mahusiano ya sasa ya mapenzi. Na ing . . .
Wakati mjadala uliopo sasa ukiwa kwa nini watu wengi wanapendelea kuitwa wasomi wa PhD, mengine yamebainika kuhusu taratibu za usomaji wa shahada za juu katika baadhi ya vyuo vikuu nchini.Kuna madai ya kuwapo kwa u . . .
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza operesheni maalum ya kumuua kiongozi wa ISIS Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurayshi."Wanajeshi wote waliohusika katika operesheni hiyo wamerudi salama aliongezea Joe Biden."Ahsante sa . . .
Hii ni hali ambayo mama huyu anaiona kama sehemu ya wito wake wa maisha kwamba atoe nasaha na awe kielelezo cha kuishi na virusi vya HIV kwa miaka mingi na kwamba ni kitu ambacho kinawezekana ."Ni miaka miwili sa . . .
Frida Ismail mwanamke wa miaka 35 kutoka Dar es salaam Tanzania japo anatabasamu la kupendeza , nyuma ya tabasamu hilo amebeba majuto na machunguHii inatokana na hali iliyomkuta wakati huo akiwa na umri wa miaka 28 alipo . . .