logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Afya
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Je binzari ya manjano inaweza kutibu magonjwa kama vile Saratani?

Utakuta maelfu ya makala zikielezea jinsi binzari ya manjano zinavyoweza kutibu magonjwa kama kiungulia, kukosekana kwa uwezo wa tumbo wa kusaga chakula, kisukari, huzuni na maradhi ya ubongo ya Alzheimer.Inaweze hata . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Je, Rwanda ni nchi ya usalama au hofu?

Wageni wanaotembelea Rwanda mara nyingi huvutiwa kupata nchi ambayo mambo yanaonekana kufanya kazi kwa ufanisi. Ni nadhifu na mwonekano wa kijani kibichi - na huduma ya wi-fi ni nzuri katika mji mkuu, Kigali.Kila . . .

mikasa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Watoto hatarini janga la ulawiti, ubakaji

Ni saa 2.00 usiku, kwenye kibanda cha kuonyesha video maarufu kwa jina la ‘kibanda umiza’ eneo la Semtema, Manispaa ya Iringa.Katika kibanda umiza panafurika sana siku za mechi kubwa, ama za Ulaya au Simba na Yanga n . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Je ni mataifa hewa gani yanatumiwa na Urusi katika mzozo wa jirani zake

"Ninaamini kwamba kuungana na Urusi ni lengo letu la kimkakati na matarajio ya watu. Tutachukua hatua zinazofaa za kisheria katika siku za mbeleni. Jamhuri ya Ossetia Kusini itakuwa sehemu ya nchi ya kihistoria - . . .

Wanawake
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Siku ya Wanawake Duniani

Kila mwaka Machi 08, Umoja wa Mataifa husheherekea haki zilizopatikana kwa bidii za wanawake- na kuangazia changamoto ambazo bado ziko mbele katika kukomesha ubaguzi wa kijinsia katika karibu nyanja zote za mais . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Hawa ndio Majenerali na maafisa wa karibu zaidi na Rais Putin wanaomsaidia katika vita ya Ukraine.

Vladimir Putin anapunguza idadi ya watu waliokaribu nae, na kusababisha jeshi la Urusi kuwa katika vita vya hatari ambavyo vinatishia kuharibu uchumi wa nchi yake.Mara chache anaonekana kutengwa zaidi alipoonekan . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Bidhaa ambazo zitaguswa na jinsi Afrika itakavyoathirika.

Huku uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine ukiendelea, athari za kiuchumi kutokana na vita vinavyoendelea tayari zimeanza kujitokeza kote ulimwenguni na Afrika hazijaachwa nyuma.Mwandishi wa Habari za Biashara wa BBC A . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Kisa Mabala kuukana uraia wa Uingereza

Ukikutana naye kwa mara ya kwanza, hutaamini kuwa mzungu huyu ni raia wa Tanzania na tena ni mlumbi wa Kiswahili pengine kuliko Waswahili wengi wa asili.Wengi waliosoma vitabu vyake wakiwa shule za sekondari vya . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Ifahamu nchi ambayo unaweza usipoteze kitu chochote

Kila mwaka, mamilioni ya mali za kibinafsi hupotea huko Japan.Lakini tofauti na nchi nyingine, ukipoteza simu au pochi yako katika nchi hii, kuna uwezekano mkubwa ukavipata tena.Mali zote zilizopotea zimehifadhiwa katika . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Udanganyifu mkubwa ulitumika kuwarubuni watu kufanya kazi katika shirika feki

Simu ya Zoom ilikuwa na takriban watu 40 - au ndivyo watu ambao walikuwa wameingia walifikiria. Mkutano wa wafanyakazi wote katika kampuni bandia, kwa ajili ya kuwakaribisha waajiri wapya wa kampuni hiyo ya kusadikik . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Ujasiri wa maisha, mama lishe hadi dereva

“Nilizoea kuwa mkarimu kwa wateja wakati nafanya biashara ya mama ntilie kwakuwa lazima uwe mchangamfu ili uwavute wateja, lakini moyo wangu umebadilika baada ya kuanza kazi ya udereva wa maroli masafa marefu.“ . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Mwanaume aliyeishi katika msitu kwa miaka 30 Singapore

Singapore inajulikana kwa kuwa mojawapo ya nchi zilizo na miji mikubwa zaidi ulimwenguni, bila ukosefu wa majengo marefu na ya kifahari. Lakini kwa mtu mmoja, hiyo haiwezi kuwa mbali zaidi na mahali alipopaita nyum . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Faida za Kula Parachichi Kiafya

PARACHICHI ni miongoni mwa matunda yenye ladha nzuri na ni maarufu hapa Tanzania. Kutokana na utamu na wingi wake wa mafuta, unaweza kudhani siyo tunda zuri kiafya hasa kwa kuwa halina ladha aya sukari lakini ukwel . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Maajabu ya Maporomoko ya Maji Yanayofanana na Damu

Hebu vuta picha, mto unatiririsha maji na kuna sehemu kuna maporomoko ambapo maji yanadondoka kutoka juu mpaka chini lakini tofauti na maji ya kawaida, maji haya yana rangi kama damu! Ni tukio la kustaajabisha si n . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 13, 2022

Kwa nini nyumba zinazoelea zimependwa nchini Uholanzi?

Dhoruba kali ilipopiga mnamo Oktoba, wakazi wa jamii inayoelea ya Schoonschip huko Amsterdam walikuwa na shaka kidogo kuwa wangeweza kukabiliana nayo. Walifunga baiskeli zao na madawati ya nje, wakawatembelea maj . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 13, 2022

ASIMULIA ALIVYOTAPELIWA MILIONI MOJA ,TENDA HEWA ILIVYOMRUDISHA NYUMA

NILIFANYA biashara mjini Kisii Kenya ambapo nilijikita katika uuzaji wa ala za muziki, ilikuwa imenoga katika kaunti yote na hata kuenea katika ukanda mzima wa Mkoa wa Nyanza. Hata hivyo nilitamani hata kufanya bia . . .

Utalii
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

URITHI WETU: Hawa ndio Wahehe na chimbuko lao-1

Tuanze kwa kuamkiana ile salamu maarufu ya Wahehe ya ‘Kamwene’.‘Kamwene’ ni salamu tu kama ilivyo habari za leo na ikiwa utaamkiwa hivyo basi huna budi kujibu neno hilohilo, ‘Kamwene’.Kwa kiasi kikubwa, Mkoa . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Desmond Tutu aacha funzo kwa watawala, viongozi wa dini

Juni 11, 2010, katika Uwanja wa FNB maarufu “Soccer City”, kulikuwa na ufunguzi wa Kombe la Dunia. Siku hiyo, Desmond Mpilo Tutu alikuwa kwenye kiwango bora cha furaha. Kwa Kiingereza unaweza kusema “he was in . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Sitarudia Tena Kuiba Kitu cha Mtu

Nakutahadharisha kuwa usiibe kitu cha mtu yeyote. Mimi naitwa Richard na kwa kweli niliona cha mtema kuni siku niliojaribu kuchukuwa simu ya mtu.Nilikuwa nimeenda kuangalia mechi ya Uingereza kwenye bar fulani mjin . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Epuka kufanya mambo haya katika maisha yako

Kwa kawaida, yapo mambo manne tu ambayo yanafanya watu wengi kushindwa kufanikiwa, lakini si hivyo tu hayo ndiyo ndiyo mambo ambayo karibu maskini wote duniani wanayafanya sana maishani mwao. Na kwa kuendelea kufan . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

Mwanaume anayetuhumiwa kuiba mamilioni kutoka kwa wanawake

Tinder, programu ya kutafuta wenza ambayo iliundwa mwaka wa 2011, imewekwa kama mojawapo ya alama za enzi ya kidigitali ambayo tunapitia na imekuwa sehemu ya mazungumzo kuhusu mahusiano ya sasa ya mapenzi. Na ing . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Usomaji shahada za juu unavyogeuka shubiri vyuoni

Wakati mjadala uliopo sasa ukiwa kwa nini watu wengi wanapendelea kuitwa wasomi wa PhD, mengine yamebainika kuhusu taratibu za usomaji wa shahada za juu katika baadhi ya vyuo vikuu nchini.Kuna madai ya kuwapo kwa u . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Mfahamu kiongozi wa ISIS asiyeonekana aliyeuawa na makomando wa Marekani

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza operesheni maalum ya kumuua kiongozi wa ISIS Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurayshi."Wanajeshi wote waliohusika katika operesheni hiyo wamerudi salama aliongezea Joe Biden."Ahsante sa . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Lucy Nyawira, mchungaji aliyemficha mumewe kuwa ana maambukizi ya HIV kwa miaka saba

Hii ni hali ambayo mama huyu anaiona kama sehemu ya wito wake wa maisha kwamba atoe nasaha na awe kielelezo cha kuishi na virusi vya HIV kwa miaka mingi na kwamba ni kitu ambacho kinawezekana ."Ni miaka miwili sa . . .

Makala
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya ilivyozima ndoto za Frida

Frida Ismail mwanamke wa miaka 35 kutoka Dar es salaam Tanzania japo anatabasamu la kupendeza , nyuma ya tabasamu hilo amebeba majuto na machunguHii inatokana na hali iliyomkuta wakati huo akiwa na umri wa miaka 28 alipo . . .

Kurasa 4 ya 5

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • CAM'RON : "Nimeingiza Takribani Bilioni 24.5 ndani ya Miaka Minne kupitia Biashara ya Dawa za Kuongeza Nguvu Za Kiume"

    • 7 masaa yaliopita
  • FAT JOE: Bruno Mars Alinifokea Baada Ya Kumuuliza Asili Yake Kama Ni Puerto Rico

    • 7 masaa yaliopita
  • Dereva wa Mbunge atozwa faini ya Sh.100,000 kwa kosa la kuendesha gari kinyume na sheria

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode