logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Uturuki yapanga kuidhinisha ombi la Finland kujiunga na NATO

Maafisa wawili wa Uturuki wamesema kuna uwezekano mkubwa Bunge la nchi hiyo likaidhinisha mwezi ujao ombi la Finland la kujiunga na Jumuiya ya kujihami ya NATO.Taarifa hiyo imetolewa wakati Rais wa Fi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Muhoozi kuchukua kiti cha Museven

Mtoto wa kiume wa rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jeneral Muhoozi Kainerugaba, amweka wazi nia yake ya kugombea urais wa taifa hilo katika uchaguzi mkuu wa Taifa hilo  mwaka 2026.Jenerali Muhoozi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2023

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Atoa Ufafanuzi Toto Afya Kadi

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imesema watoto ambao awali walikuwa wakisajiliwa kupitia utaratibu wa bima ya afya ya ‘Toto Afya Kadi,' sasa watasajiliwa kupitia vifurushi vya bima ya afya au . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Pinda ateuliwa kwenye Baraza la kumshauri Rais

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amemteua Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la kumshauri Rais kuhusu utekelezaji wa masuala ya kilimo na chakula.Taarifa ya uteuzi huo imtolewa l . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Kamati ya amani yampongeza Rais Samia

Kamati ya Amani na Jumuiya ya Maridhiano Tanzania imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka miwili madarakani na kusema ameifungua Tanzania katika uhusiano wa kimataifa, Demokrasia na uk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 13, 2023

Mkuu wa Mkoa Mwanza Adam Malima" wananchi Wa Mwanza Mjitokeze Kwenye Maadhimisho "

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi  katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalaama Barabarani yatakayofanyika Mkoani Mwanza Kitaifa.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima amew . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 13, 2023

Polisi yawataka Waendesha Baiskeli kutii sheria usalama barabarani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, limewataka waendesha baiskeli mkoani humo kutii sheria za usalama barabarani bila kushurutishwa.Hayo yamesemwa na Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Arusha Mrakibu Mwandamizi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 13, 2023

Wabotswana waipongeza Tanzania mifumo imara ya manunuzi

Wataalamu kutoka Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma nchini Botswana, wameipongeza Tanzania kwa kuwa na mifumo imara ya ununuzi na utatuaji wa migogoro ya ununuzi na upataji wa wazabuni na wakanda . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Watanzania 8,500 wanahitaji huduma upandikizaji figo

Serikali nchini kupitia Wizara ya Afya, imesema tafiti zimebaini kuwa takribani Watanzania 5,800 mpaka 8,500 wanahitaji huduma za kusafisha damu au kupandikizwa figo.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Af . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Mkataba wa usafirishaji wa nafaka kutoka Ukraine wakaribia kumalizika

Russia imesema Alhamisi kwamba mkataba wa kihistoria wa kuhakikisha usafirishaji salama wa nafaka kutoka bahari ya Black Sea nchini Ukraine hautekelezwi kikamilifu, na hivyo kutilia mashaka iwapo itar . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

Vijana watakiwa kuvumbua fursa za ajira

Jeshi la Kujenga Taifa JKT limewataka vijana wanaohitimu mafunzo ya kijeshi, kuacha tabia ya kuilalamikia aerikali kwa kuacha kutoa ajira, badala yake Watumie stadi za maisha ujuzi waliopatiwa vikosin . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

CHONGOLO AWEKA HISTORIA NYINGINE CCM SIMANJIRO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amemaliza ziara yake wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ambapo pamoja na kukagua uhai wa Chama sanjali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchag . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

Makamu wa Rais azungumza na Mwenyekiti AL Faisal

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 08 Machi 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni Tanzu ya Al Faisal (Al Faisal Holding )Sheikh Fai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

Spika wa bunge la Marekani akataa mwaliko wa Zelenskiy

Spika wa bunge la Marekani Kevin McCarthy anasema hana mpango wowote wa kuizuru Ukraine baada ya Rais Volodymyr Zelenskiy kumpa mwaliko.Haya ni kwa mujibu wa shirika la habari la Marekani CNN. Katika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2023

"Nauona mkono wa Rais Samia" - Ado Shaibu

Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo amesema Ado Shaibu amesema kuwa anauona mkono wa Rais Samia Suluhu Hassan kuelekea uhuru wa habari nchini.Amesema, kila tawala inacho cha kujivunia na kwamba, ka . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2023

Maambukizi Mapya ya Ukimwi Yanatokana na Mashoga

Baraza la Kitaifa la Kupambana na Magonjwa Sugu (NSDCC), limefichua kuwa asilimia 18.2 ya maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimbi yanatokana na wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao.Kulingana na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 7, 2023

Jaji mkuu wa Iran atoa onyo kali kwa wanawake wanaokiuka maadili ya mavazi nchini humo

Jaji mkuu wa Iran Gholamhossein Mohseni Ejei, amesema Jumatatu kwamba wanawake wanaokiuka madili ya kiislamu kwenye mavazi yao wataadhibiwa.Taarifa hiyo imetolewa na chombo rasmi cha habari cha serika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 7, 2023

Kiongozi wa upinzani wa Belarus apewa kifungo cha miaka 15 jela kwa tuhuma za kupanga mapinduzi

Kiongozi wa upinzani wa Belarus Sviatlana Tsikhanouskaya, aliyeko uhamishoni, Jumatatu amepewa kifungo cha miaka 15 jela, licha ya kutokuwepo nchini, baada ya kupatikana na hatia ya jaribio la mapindu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2023

Kaya za wanufaika wa TASAF kulindwa

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka Wakuu wa Wilaya kushirikiana na Viongozi wa Kata kuunda kamati za ulinzi, ili kulinda mali za wanufaika wa TASAF kupitia mpango wa kunusuru kaya masi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2023

Mkataba wa kulinda maji ya kimataifa ya bahari wapitishwa New York

Kwa mara ya kwanza mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa yamekubaliana kuhusu mkataba wa pamoja wa kulinda mazingira kwenye maji ya bahari ya kimataifa.  Hatua hiyo ni muhimu kwa kuwa hapo awali . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2023

Trump aongoza kwa kura katika mkutano wa CPAC

Matukio mawili ya kushindana yameonyesha mgawanyiko wa waconservative wa Marekani kabla ya uchaguzi mkuu wa rais mwaka ujao.Wakati Donald Trump na mpinzani pekee aliyetangaza atawania urais balozi wak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2023

Rais Wa Ufaransa Azungumza Na Kagame, Tshisekedi, Asifu “Makubaliano Ya Kusitisha Mapigano DRC Kuanzia”

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, akiwa nchini DRC, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Afrika, amesema kuwa pande zote zinazozozana katika mgogoro wa kiusalama unaokumba mashariki mwa nchi hiyo, z . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2023

Acheni kauli ya 'Maelekezo kutoka juu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifunga Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kima . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

Mkuu wa jeshi la mamluki la Russia Wagner atajwa kuwa mhalifu wa kivita.

Yev-geny Prig-ozhin mkuu wa jeshi la mamluki la Russia Wagner linalopigana nchini Ukraine kuwa ni  mhalifu wa kivita.Mwanasheria Mkuu Merrick Garland alikiambia kikao cha Seneti kwamba wizara ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

Muungano wa upinzani Tunisia kufanya maandamano licha ya kunyimwa kibali

Muungano wa upinzani wa National Salvation Front nchini Tunisia ulisema siku ya Alhamisi kwamba utafanya maandamano siku ya Jumapili licha ya kunyimwa kibali na mamlaka nchini humo, huku kukiwa na msa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 2, 2023

Mahakama Kuu yaamua NGO ya mashoga isajiliwe, Serikali yashtuka

Makamu wa Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ameshtushwa na uamuzi wa Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu Shirika lisilo la kiserikali (NGO) linaoundwa na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja lisa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 2, 2023

Mhe.Rais Samia afungua mkutano wa faragha

Mhe.Rais Samia afungua mkutano wa faragha wa Mawaziri ,Naibu mawaziri,Makatibu Wakiu na Naibu Makatibu Wakuu kwenye ukumbi wa AICC. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 2, 2023

RAIS SAMIA AWATAKA VIONGOZI KUTEKELEZA NA KUSIMAMIA MAJUKUMU YAO

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 2, 2023

Rais Samia azuia mawaziri kuajiri maafisa habari binafsi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaagiza Mawaziri na Manaibu Waziri kutotumia maafisa habari binafsi, bali wazingatie utaratibu wa kuwatumia maafisa wa vitengo vya . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 2, 2023

Marekani yaongeza msaada wa kijeshi kwa Somalia kwenye vita dhidi ya ugaidi

Marekani imeongeza msaada wake wa kijeshi kwa Somalia wakati taifa hilo likipiga hatua katika kukabiliana na mtandao wa kigaidi wa al Qaida ilioutaja kuwa mbaya zaidi ulimwenguni. Marekani ime . . .

Kurasa 53 ya 100

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

    • 17 masaa yaliopita
  • RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

    • 18 masaa yaliopita
  • XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

    • 20 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode