logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

TET na NECTA kujadili utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa

Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wamefanya kikao cha pamoja kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali juu ya utekekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa ya Elimu y . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

WAKULIMA WADOGO 634 KUNUFAIKA NA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa amezindua ugawaji wa vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima wadogo ili kuwawezesha vijana na wanawake kushiriki kikamilifu katika kilimo cha kisasa chenye tija na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

VItuo vya kupigia kura vyaongezwa

Jumla ya vituo 384 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Jimbo la Mwibara na Bunda katika kata kumi na tisa ili kurahisisha zoezi la upigaji kura ambapo kila kituo kimoja kitahudumia wananchi wasiozidi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

India na China zarejesha usafiri wa moja kwa moja wa ndege

Abiria wa safari ya kwanza ya moja kwa moja kati ya India na China katika kipindi cha miaka mitano wamewasili leo Jumatatu, baada ya mataifa hayo makubwa ya Asia kuondoa marufuku ya usafiri wa anga .A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Urusi yajaribu kombora la nyuklia la Burevestnik

Baada ya Gazeti la Wall Street Journal kuripoti kuwa utawala wa Trump umeondoa kizuizi muhimu kwa Ukraine kutumia baadhi ya makombora ya masafa marefu iliyotolewa na washirika wa Magharibi, Putin alis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Trump atangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia

Donald Trump ametangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia alipowasili Malaysia siku ya Jumapili kama sehemu ya ziara yake barani Asia, ziara ya kwanza tangu arudi madarakani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Dkt. Mwinyi" Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Tamko la UDASA sio msimamo wa UDSM-Prof. Anangisye

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema hakitambui wala kuhusika kwa namna yoyote na tamko lililotolewa na Jumuiya ya Wataaluma wa Chuo hicho (UDASA) Oktoba 23, 2025.Akitoa taarifa hii, Makamu Mk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Rais Samia apokea ujume maalumu wa Rais Tshisekedi

Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, umewasilishwa na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Da . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wajerumani wengi waunga mkono kauli ya Merz kuhusu uhamiaji

Raia wengi wa Ujerumani wanakubaliana na matamshi ya hivi karibuni ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yanayopendekeza kwamba matatizo yanatokana na uhamiaji yanadhihirika wazi katika barabara za n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

LUKUWI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MWANZA.

‎‎Naibu Kamishna wa Uhamiaji (Utawala), DCI Elizabeth Lukuwi Oktoba 23 mwaka huu amefanya ziara ya kikazi katika Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza  kwa lengo la kuzungumza na Maafisa na Askari . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Tathmini ya elimu ya mwaka wanafunzi wapaza sauti

Wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wameipongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, wakisema hatua hiyo imeimarisha mazingira ya kujifunza na kufundisha.H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI

Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua inayolenga kurekebisha muundo wa kazi na kuongeza ufanisi w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Waziri mkuu atoa wiki moja kituo cha polisi Nandagala kianze huduma

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 23 mwaka huu amekagua ujenzi wa kituo cha Polisi Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi na kuagiza kituo hicho kianze kazi ifikapo Novemba 1 mwaka huu. Aidha Mhes . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wananchi wajiandaa kupîga kura siku ya Jumamosi

Wananchi wa Cote Dvoire, kesho watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ambao rais Alassane Ouattara, anatarajiwa kushinda muhula wa nne, baada ya wapinzani wake wakuu rais za zamani Laurent Gbagbo na mwana . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

COPPER yakabidhiwa mbegu ya kisasa ya Choroko tani 1.5

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu kwa Wakulima wa Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuzitumia katika msimu wa kilimo wa 2025 . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Wapima udongo watakiwa kuzingatia weledi na uadilifuu

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Wizara ya Kilimo, Bw. James Kibamba, amewataka Wataalamu wa udongo nchini kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadilifu na umakini ili kuhakikisha matokeo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kilimo, madini na umeme vyachangia kukuza uchumi wa nchi

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan sekta ya kilimo imepata maen . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Wazazi kujengewa Wodi mpya Handeni kwa Sh milioni 530

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Salum Nyamwese amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 530 kwa ajili ya ujenzi wa wodi mpya ya wazazi katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni hatua inayolenga kubor . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Polisi Mbeya yapokea magari manne mapya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepokea magari manne mapya aina ya Robur Armored TLC300 ukiwa ni mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini.Akizungumza mara baada ya kupokea magari hayo  Oktoba 23 . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kahiga alazimika kujutia maneno yake

KATIKA kipindi cha miezi minane pekee, Gavana wa Kaunti ya Nyeri, Mutahi Kahiga, amelazimika kujutia maneno yake ya kugawanya baada ya kukabiliwa na hasira ya umma.Mnamo Februari, alitoa matamshi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Trump Atangaza Vikwazo Vipya kwenye Kampuni za Urusi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi vikwazo vipya dhidi ya baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta kutoka Urusi, hatua inayolenga kuongeza shinikizo kwa serikali ya Rais Vladimir Putin kufu . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Serikali Yaongeza Mikopo kwa Wanafunzi

David Kafulila ambaye ni  Mkurugenzi wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri DART, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X, ameandika.Uamuzi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Dkt,Mataragio aagiza vifaa vyote vya Jotoardhi katika mradi wa Ziwa Ngozi kufika kwa wakati

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC) kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Serikali kuongeza fursa za elimu kwa wenye mahitaji maalum

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu Maalum Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Magreth Matonya amesema Serikali inaendesha programu mbalimbali za elimu, ikiwemo ya kubaini wanafunzi wenye mahitaji ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Umoja wa Mataifa wahofia kutofanyika uchaguzi nchini Haiti

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewaonya viongozi wa Haiti kuwa muda wa kurejesha usalama na kuandaa uchaguzi mkuu nchini humo unasonga.Onyo hilo la Umoja wa Mataifa linakuja huku muda wa mwis . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Khartoum wafunguliwa tena

Ndege kutoka Port Sudan imeitua alasiri ya Jumatano, Oktoba 22, mjini Khartoum, ambapo Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilifurushwa miezi sita iliyopita. Uwanja huo wa ndege ulikumbwa na mashambulio . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Baraza la Katiba kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais Jumatatu, Oktoba 27

Baraza la Katiba limetangaza tarehe hiyo baada ya kupitia na kukataa rufaa zote zinazohusiana na uchaguzi wa Oktoba 12. Kwa upande wake, Issa Tchiroma Bakary, mgombea urais wa chama cha FSNC anayedai . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Brigadia Jenerali Ngoy Wa Kabila John akamatwa

Wakili Mkuu Mteule katika Mahakama Kuu ya Kijeshi baada ya kuwa karibu na rais wa sasa wa Kongo, afisa huyu wa zamani wa Joseph Kabila alikamatwa nyumbani kwake Kinshasa usiku wa Jumanne, Oktoba 22 ku . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

RMO Mwanza afanya ziara ya ufuatiliaji wa huduma za Bugando

Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba pamoja na timu yake ya usimamizi wa huduma za afya mkoa (RHMT) leo Oktoba 22 mwaka huu wamefanya usimamizi shirikishi kwenye maeneo na vitengo mbalimbali k . . .

Kurasa 3 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode