logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Umoja wa Falme za Kiarabu kuviondoa vikosi vyake Yemen

Umoja wa Falme za Kiarabu umesema unaondoa vikosi vyake vilivyobaki Yemen baada ya Saudi Arabia kutaka vikosi hivyo viondoke katika nchi hiyo maskini ya Rasi ya Uarabuni ndani ya saa 24.kufuatia shart . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Euro milioni 30 zaibiwa katika wizi wa benki

Wezi waliiba mali yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya euro kutoka kwenye masanduku ya kuhifadhia fedha na vito vya thamani ndani ya benki moja nchini Ujerumani.wakati wa mapumziko ya siku kuu wape . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Wanafunzi wajiunga na maandamano Iran kupinga ugumu wa maisha

Wanafunzi nchini Iran walifanya maandamano mitaani mjini Tehran Desembe 29 mwaka huu ambapo ni siku moja baada ya wafanyabiashara wa mji mkuu huo kuandamana kupinga hali mbaya ya kiuchumi ambapo  . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 31, 2025

Wanafunzi wajiunga na maandamano Iran kupinga hali ngumu

Wanafunzi nchini Iran walifanya maandamano mitaani mjini Tehran Jumanne, siku moja baada ya wafanyabiashara wa mji huo mkuu kuandamana kupinga hali ya mbaya ya kiuchumi.Kulingana na Ilna shirika la ha . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 31, 2025

Euro milioni 30 zaibiwa katika wizi wa benki

Wezi waliiba mali yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya euro kutoka kwenye masanduku ya kuhifadhia fedha na vito vya thamani ndani ya benki moja nchini Ujerumani.Polisi imesema wezi hao walifanya wi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Urusi yaishtumu Ukraine kwa kushambulia makazi ya Putin

Urusi imeishtumu Ukraine kwa kujaribu kushambulia makazi ya Rais Vladimir Putin na kuapa kulipiza kisasi, bila kutoa ushahidi wa madai hayo ambayo Ukraine imeyapuuza na kuyataja kutokuwa na msingi.Waz . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Dereva ashikiliwa baada ya kutelekeza abiria

Dereva wa basi la kampuni ya Makupa lenye namba za usalili T 958 DRK linalofanya safari zake kutoka jiji la Arusha kuelekea Dar es salaam Ibrahim Athumani amekamatwa na Polisi na kuwekwa mahabusu mpak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Rais wa Ufaransa atangaza mkutano wa washirika wa Kyiv mapema Januari Paris

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron metangaza leo Jumatatu, Desemba 29, mkutano wa washirika wa Kyiv huko Paris mapema mwezi Januari kujadili dhamana za usalama kwa Ukraine ndani ya mfumo wa makubaliano . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Côte d'Ivoire: Chama cha rais chaongoza kulingana na matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge

Kama ilivyokuwa katika bunge lililopita, muundo wa Bunge la baadaye la Côte d'Ivoire unaongozwa kwa kiasi kikubwa na chama cha urais.Nchini Côte d'Ivoire, matokeo yaliyotangazwa hadi sasa na Tume Hu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Korti yamtangaza mfu mwanamume aliyekosa kuwasiliana na familia kwa miaka 17

MAHAKAMA imetoa uamuzi kumtangaza kuwa amekufa, mwanamume aliyetoweka kwa miaka 17 bila kuwasiliana na familia wala jamaa zake.Mahakama Kuu ya Milimani, Nairobi, ilimtangaza Joseph Macharia Karanja ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Ukraine na Urusi zinakaribia makubaliano ya amani

Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kwamba Ukraine na Urusi ziko karibu kufikia makubaliano ya amani aliyasema hayo alipomkaribisha Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy kwenye makazi yake ya Flor . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Mtawala wa kijeshi Guinea atarajiwa kushinda uchaguzi

Raia wa Guinea walipiga kura Jumapili katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kumpa ushindi mtawala wa kijeshi Mamady Doumbouya wa kuongoza kwa muhula wa miaka saba.Doumbouya ni kamanda wa zamani wa viko . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Thadey Kweka akamatwa na jeshi la polisi Mkoani Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kumkamata na kumshikilia Thadey Sabinus Kweka kwa tuhuma za makosa ya jinai ikiwemo uchochezi, likieleza kuwa hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa dhidi ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 26, 2025

Jeshi la Polisi lawashukuru Watanzania kwa ushirikiano

Jeshi la Polisi Tanzania limetoa shukrani kwa wananchi wote nchini kwa ushirikiano waliouonyesha katika kulinda na kudumisha amani kipindi chote cha Sikukuu ya Krismasi, iliyoadhimishwa 25 Desemba 202 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 26, 2025

Myanmar kufanya uchaguzi mkuu wake wa kwanza Jumapili

Upigaji kura utafanyika katika sehemu mbalimbali kwa awamu tatu, ambapo awamu ya pili itakuwa Januari 11 na ya tatu Januari 25.Wakosoaji wanatia shaka kuhusu uwezekano wa mabadiliko halisi kuelekea ut . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 26, 2025

Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ahukumiwa

Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, amehukumiwa tena Ijumaa kwa makosa ya ufisadi yanayohusiana na uporaji wa mabilioni ya dola kutoka mfuko wa uwekezaji wa taifa, 1MDB.Mahakama Kuu ya Mal . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Trump atangaza vikosi vya Marekani kuishambulia IS, Nigeria

Rais wa Marekani Donald Trump amesema vikosi vya Marekani vimefanya mashambulizi makali dhidi ya kundi linalojiita dola la kiislam IS kaskazini magharibi mwa Nigeria ambapo ametishia kwamba watafanya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Guinea kufanya uchaguzi mkuu wiki hii

Jumla ya watu milioni 6.8 katika taifa hilo la Afrika Magharibi wanatarajiwa kujitokeza siku ya Jumapili majira ya 7:00 asubuhi hadi saa 6:00 jioni kuwapigia kura wagombea tisa wa nafasi ya urais.Wago . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Mwanaume Aliyeiona Dunia Maili kwa Maili kwa Baiskeli

Kwa zaidi ya nusu karne maisha ya Heinz Stücke raia wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 85 yamejikita katika safari isiyo ya kawaida—kuizunguka dunia akiwa juu ya baiskeli.Stücke ameandika historia . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Krismasi Yageuka Taharuki Davao City

Katika tukio lililozua mshangao mkubwa mwanaume mmoja ambaye utambulisho wake bado haujafahamika amenaswa akitembea juu ya nyaya za umeme katika eneo la Barangay Ilang jijini Davao City nchini Ufilipi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 26, 2025

Krismasi Yawaletea Kifungo Madereva Wanne Morogoro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata madereva wanne kwa kosa la kuendesha vyombo vya moto wakiwa chini ya ushawishi wa ulevi katika kipindi cha Sikukuu ya Krismasi.Kwa mujibu wa taarifa ya Ka . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 25, 2025

Watoto Tisa Wazaliwa Mkesha wa Krismasi Tarime

Watoto tisa wavulana watano na wasichana wanne wamezaliwa salama usiku wa mkesha wa Krismasi katika Hospitali ya Halmashauri ya Tarime Mjini mkoani Mara.Kwa mujibu wa Umoja wa Waandishi wa Habari Wila . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 25, 2025

Ukuta wa Kanisa Waanguka Chamwino, Wanne Wafariki

Dodoma Watu wanne wamepoteza maisha huku wengine 18 wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa kanisa wakati wa ibada ya ubatizo iliyofanyika Desemba 23 mwaka huu katika Parishi ya Wiliko Dinari ya . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 25, 2025

Watu Watano Wafariki Baada ya Helikopta Kuanguka Mlima Kilimanjaro

Watu watano wamepoteza maisha kufuatia ajali ya helikopta iliyoanguka katika Mlima Kilimanjaro,mlima mrefu zaidi barani Afrika katika tukio lililotokea Jumatano jioni wakati wa operesheni ya uokoaji.K . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 24, 2025

Utaratibu wa mapitio ya kesi ya Waziri Mkuu Ousmane Sonko wafunguliwa

Nchini Senegali, je, Ousmane Sonko anaweza kufutiwa mashitaka yanayomkabili miezi sita baada ya hukumu ya mwisho kwa kashfa mnamo mwezi Julai 2025? Siku  ya Jumatatu, Desemba 22, mawakili wa Wazi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 24, 2025

Ndege za Marekani zafanya ukaguzi juu anga ya Nigeria

Kulingana na uchunguzi wa shirika la habari la Reuters, ndege ya kijeshi ya Marekani imekuwa ikiruka mara kwa mara juu ya anga ya Nigeria katika wiki za hivi karibuni.Maafisa wa Marekani wam . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

MKUU WA MAJESHI YA LIBYA AFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE NCHINI UTURUKI

Ankara — Mkuu wa Majeshi ya Libya Luteni Jenerali Mohammed al-Haddad pamoja na maafisa wengine wanne wa kijeshi wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka m . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

PAPA LEO ATOA WITO WA AMANI WAKATI WA KRISMASI

Baba Mtakatifu Leo ametoa wito kwa watu wote wenye nia njema duniani kuifanya sikukuu ya Krismasi kuwa siku ya amani, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu siku hii takatifu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 24, 2025

MWANAMKE ALIYEISHI ZAIDI YA MIAKA 20 BILA FIGO AFARIKI DUNIA

 Asia Mustapha, mwanamke aliyepambana na maradhi ya figo kwa zaidi ya miaka 20 na kutegemea huduma ya kusafisha damu kwa mashine (dialysis), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Desemba 24 mwaka . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 23, 2025

Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram zikidai kuwa gari la Polisi lilimgonga na kumuua mwananchi katika eneo la Kong . . .

Kurasa 3 ya 133

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Semenyo atua Man City, aweka rekodi hii hapa

    • 2 masaa yaliopita
  • Ibaada ya mazishi ya watu waliouawa katika mapigano yafanyika Goma

    • 4 masaa yaliopita
  • Wanajeshi wanaotuhumiwa kwa uhaini wahamishiwa katika gereza la Ndolo

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode