logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

IMF yasema vita vya Ukraine vitayaathiri mataifa ya Afrika

Mkuu wa shirika la fedha duniani IMF, Kristalina Georgieva, amekutana na mawaziri wa fedha wa mataifa ya Afrika jana Alhamisi, kujadili athari za uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine. Amesema mtazamo . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Mauzo ya madini Tanzania yaweka historia, ni ‘Matrilioni’

Sekta ya madini nchini imeweka historia ya mauzo ya moja kwa moja ya madini yenye thamani ya shilingi Trilioni 8.3 kwa kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wataalamu wa Ugavi 230 watakiwa kurudia mitihani ya kitaaluma.

Bodi ya wataalam wa ununuzi na ugavi ( PSPTB ) imetangaza matokeo ya mtihani wa 23 ya kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi ambapo wanafunzi 230 wanatakiwa kujisajili upya wakitarajiwa kurudia tena mtihan . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mfumo mpya wa kununua umeme kuanza Julai.

Shirika la Umeme (TANESCO) limesema kuanzia Julai mwaka huu litakuwa na mfumo wa ununuzi wa umeme ambao utawezesha wateja wao kuweka umeme kwenye mita papo hapo (automatically) tofauti na wa sasa . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani inapiga marufuku uagizaji wa gesi na mafuta ya Russia

Marekani inapiga marufuku uagizaji wowote wa mafuta na gesi ya Russia, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne hatua ambayo alisema italeta pigo jingine kubwa kwa mashine ya vita vya Putin, huku vikos . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Serikali yaondoa tozo ya petroli, dizeli, mafuta ya taa

ya taa kwa miezi mitatu kuanzia mwezi Machi.Taarifa iliyotolewa  Jumatatu Februari 28, 2022 na Wizara ya Nishati imesema kuwa sababu za kuondoa tozo hiyo ni kutokana na kuendelea kupanda kwa . . .

news
Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Baa Marekani zaondoa pombe kali ya Russia

Baa nchini Marekani zimeondoa pombe kali aina ya vodka kutoka Russia na sasa zimebuni kinywaji kipya chotara (cocktail) kilichopewa jina la “Kyiv Mule”.Wanywaji wa baa za michezo za Bethesda, . . .

news
Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

DELLAH CAR TRADERS YATIMIZA MIAKA MITATU, YAFUNGUA OFISI MPYA SHINYANGA MJINI

Kampuni ya Uagizaji wa Magari aina zote nje ya nchi maarufu Dellah Car Traders Company imefungua rasmi Ofisi Mpya katika jengo la NSSF Mjini Shinyanga ikiwa ni sehemu ya sherehe ya kutimiza miaka mita . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Wafanyabiashara marufuku kupanga bei

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Profesa Godius Kahyarara amesema licha ya serikali kutopanga bei, hata wafanyabiashara hawaruhusiwi kupanga bei. Katika taarifa ya Profe . . .

news
Viwanda
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

NEMC yaonya matumizi ya Dizel ya Viwanda

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeonya wamiliki wa vituo vya mafuta na wananchi kuepuka kununua dizeli inayozalishwa viwandani na kuitumia kwenye magari. NEMC . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Umoja wa Ulaya wafikiria wauzaji wengine wa gesi asilia

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amethibitisha kuwa jumuiya hiyo imechukua tahadhari kubwa endapo Urusi itasitisha usambazaji wa gesi katika ukanda huo. Kwa miezi kadhaa . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Benki ya dunia yaonya mgogoro wa madeni kwa nchi zinazoendelea

Ripoti mpya ya Benki ya dunia inasema baadhi ya nchi maskini zaidi duniani zinakabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni ambao unatatatiza juhudi za kujikwamua kutokana na mdororo wa uchumi uliosababishw . . .

news
Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Benki ya NMB kuwakomboa Wamachinga, waweka makubaliano ya miaka mitano

Kwa mara nyingine tena, Benki ya NMB imeonyesha ni benki inayojali watu wa hali zote kiuchumi na kijamii, na leo imeungana na Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) katika kuhakikisha w . . .

news
Viwanda
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Pinda awahimiza wamiliki wa Viwanda Katavi kukata bima za biashara

Wafanyabiashara mkoani Katavi wametakiwa kukata bima kwa ajili ya kulinda biashara zao wakati wanapokabiliwa na majanga mbalimbali yanayotokana na moto, mafuriko pamoja na upepo hatua itakayosai . . .

news
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

TRA kudhibiti ubora wa bidhaa kidigitali

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepata mwarobaini wa kukabiliana na changamoto ya utambuzi wa bidhaa bandia baada ya kutangaza rasmi programu tumizi ya ‘Hakiki Stempu’.Kwa mujibu wa taarifa . . .

Kurasa 8 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • “THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

    • 5 masaa yaliopita
  • Jeshi la Israeli lawauwa watu 10 kusini mwa Syria

    • 5 masaa yaliopita
  • Baba na Mama Waua Mtato Wao

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode